Magufuli aamsha dude jingine bandarini

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Rais John Magufuli, ametoa siku saba kwa vyombo vya dola kuchunguza magari 50 yaliyopo bandarini yaliyoingizwa nchini kwa jina la Ofisi ya Rais.

Komentáře • 343

  • @Uswazi_kids
    @Uswazi_kids Před 3 lety +145

    Kama umemkumbuka mh magufuli like hapa 🇹🇿

  • @johnthobius6543
    @johnthobius6543 Před 6 lety +13

    Laa Rais anafanya kazi mpaka mamwonea huruma laa!! Mungu ampe maisha marefu

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 Před 2 lety +12

    Kwa hii kazi uliyoifanya Magufuli Rais wangu. Ndio maana walikuuwa!! Walioumia kwa kutopig misheni town zao no wengi kinyama!!

  • @maryammeme2615
    @maryammeme2615 Před 6 lety +19

    Huyu rais Ni jembe sijawai ona duniani long live magu

  • @gaspermganga8900
    @gaspermganga8900 Před 2 lety +24

    Rest In Peace my president the son of Africa. Naamini uliletwa na Mungu Kufungua macho watanzania na Waafrika kwa ujumla, muda sio mrefu watu wengi wataanza kugundua kuwa kifo chako wengi tulijua kitatokea kwasababu hakuna rahisi yeyote kwenye Historia ya afrika Aliyejitolea maisha yake kwa wananchi, akapendwa na Mataifa ya ulaya. Angalia, Thomas Sankara, Patrice Lumumba, Ghadafi, kwame nkuruma, Na wengine wote. Afrika we must unite before it’s too late.

  • @williammaroa3928
    @williammaroa3928 Před 6 lety +8

    Hongera Sana Mzee jpm. kiongozi wa Mali ya umma

  • @eliaikawilhelm3541
    @eliaikawilhelm3541 Před 2 lety +19

    Pumzika kwa aman baba magufuli😭😭😭😭😭😭

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 Před 6 lety +28

    I love my president❤️💛💚 magufuli forever

  • @jacksonpeter6099
    @jacksonpeter6099 Před 3 lety +49

    Rest in peace Baba. Nilikukubali mno.

  • @neozoran244
    @neozoran244 Před rokem +1

    Greatest Of All Time (G.O.A.T) ❤️💪

  • @sayibahati7316
    @sayibahati7316 Před 6 lety +5

    Inatia huluma sana Mzee wetu,,,,,,mijitu haisikii,,ama kweli watu wakozoea wizi ni kazi sana kuacha

  • @elisha5693
    @elisha5693 Před 6 lety +15

    tuombe kwaajili ya rais wetu

  • @ibel4lf
    @ibel4lf Před 2 lety

    Our Late beloved president Pole
    sana nchi ilikuchosha... pumzika kwa amanj John P Magufuli

  • @mtotowaraila5397
    @mtotowaraila5397 Před 6 lety +10

    Raisi mchapa kazi East African👊👊

  • @kisayansimedia1626
    @kisayansimedia1626 Před 3 lety +10

    Magufuri good job 👍

  • @mtungilandegeya6312
    @mtungilandegeya6312 Před 6 lety +10

    Rais Magufuli kazi anayo
    ... maana mijitu inayomzunguka inajifanya mizuzu sana

  • @jummawetu
    @jummawetu Před 6 lety +8

    huu ndie raisi yaani afrika tukipata maraisi wa 5 kama mafufuli yaani tunatona ugaibuni tunalejea kwetu afrika UVWF tunamupongeza sana RAISI MAGUFULI

  • @ayoubbusanya8290
    @ayoubbusanya8290 Před 6 lety +61

    Nimemuonea huruma sana raisi wangu baada ya kumaliza kuongea na Kusema "haya bana", inaonesha mawaziri wake wanamuangusha Sana maana kaonesha uchungu Sana

    • @emanuelmartin389
      @emanuelmartin389 Před 6 lety +3

      Makonda apewe awaoneshe kazi

    • @emanuelmartin389
      @emanuelmartin389 Před 6 lety +2

      Makonda apewe hiyo kaz awnyoshe

    • @mohamedfogo8820
      @mohamedfogo8820 Před 6 lety +1

      Kwa kweli moyo ni safi
      Anaumia sana ila mijizi ktk nchi hii ni mingi sana.yaani bado wanamzunguka tu dah!!

    • @st99ngeni35
      @st99ngeni35 Před 6 lety +2

      Ayubu Busanya Ina uma sana kwakweli. Tuzidi kuiombea hii nchi na raisi wetu ili tufike

    • @st99ngeni35
      @st99ngeni35 Před 6 lety +4

      mohamed selungwi Ndiyo maana wanaompinga ni wengi....WATU WANATAMANI HATA AFE ILI MAMBO YARUDI KULEX2 KWA ZAMANI. NI LAZIMA WATZ TUKUBALI KUBADIRIKA NA TUMOE SUPPORT RAISI WETU

  • @sheilatezura5652
    @sheilatezura5652 Před 6 lety +5

    Nakukubali rais wangu jpm.

  • @albertkimaro8493
    @albertkimaro8493 Před 6 lety +2

    Mungu akutangulie katika kuingoza Tz, nimesikitika sana hapo mwishoni ulipo sema "Haya banna" imeonesha ni jinsi gani unavyo kerwa,

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 6 lety +15

    haya bana!!!! pole rais wetu funga majambazi hayo waishazoea wizi

  • @nyangimarwa3448
    @nyangimarwa3448 Před 3 lety +12

    Pumzika kwa Amani Baba, Mzalendo wetu wa nchi yake Daima hatutakusahau Kipenzi cha Watanzania utaendelea kuishi mioyoni mwetu Daima

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter8574 Před 5 lety

    Hongera mh.rais tuko nawew kila hatua na tunakuombea Mungu akulinde uzidi kufanya kaz kwa mkono wa Mungu usikate tamaa atakaye kukwamisha fukuza Mungu anataka haki Fanya kazi ya Mungu

  • @richardsoka2400
    @richardsoka2400 Před 6 lety +5

    Uzembe wa hali ya juu! They have purposely done this, it is just an open sabotage by TPA and TRA leaders. Kudos President Magufuli. God Bless Tanzania.

  • @erickkihuru4529
    @erickkihuru4529 Před 6 lety +3

    Hongera prezda kaz Nzur xana bandarn hakuna uongoz mzur angalia tena

  • @loatalothi8784
    @loatalothi8784 Před 6 lety +6

    Communication hata kwenye familia ikikosekana Mambo hayataenda, vivyohivyo na nchi viongozi,mawaziri,wakuu wa idara za serikali no communication Tanzania mnaichelewesha kuendelea,Mungu ibariki Tanzania yetu

  • @malcomg1004
    @malcomg1004 Před 2 lety

    Sasa ni 2022,kma umeshammis sana jembe Magu gonga like tumuenzi Baba yetu

  • @omarmwalimu92
    @omarmwalimu92 Před 6 lety +20

    Uwozo wote huu unahitaji katiba mpya ambayo itakuwa Smart kwa kumshughulikia mtu yoyote bila kujali cheo au hadhi yake.Kama Rais anapambana na rushwa ,je itakuwaje kama Mungu anamchukua kabla ya kumaliza kipindi chake? ,na je itakuwaje kama akimaliza kipindi chake ?.Je tunaimani gani kama Raisi atakayefuata atafuata sera zake?.Hapo ndipo tunaposema kuna umuhimu wa katiba mpya anayoendana na usasa na kizazi cha sasa ,katiba ambayo itaweza kumshughulikia mtu yoyote hata kama ni Raisi ama waziri. Msingi wa Utawala bora ni sheria ambazo zinaweza kufanya kazi hata kwa mtu hohehahe (fukara)

  • @kulwawaziri3866
    @kulwawaziri3866 Před 6 lety +2

    Sawa sawa rais wetu mpendwa John pombe magufuli tunakusapot

  • @mropeamadeus5445
    @mropeamadeus5445 Před 6 lety +24

    huyo ndie Mkuu Safi Sana

  • @sentejr2821
    @sentejr2821 Před 2 lety +3

    Tunakukumbuka raisi wetu
    Raisi pekee aliependa wanyonge
    Dah RIP MWAMBA

  • @gerardpaul2322
    @gerardpaul2322 Před 6 lety +4

    Mkuu mungu akupe ulinzi unamaaduwi wengi unauma xana bandar mkabidhi Makonda.

  • @SuperKibwana
    @SuperKibwana Před 6 lety +19

    Mjomba Magu, safisha tu nchi. Huu uchafu lazima utoweke kabisa na kwa Njia yoyote ile.

  • @jacklinekimario787
    @jacklinekimario787 Před 2 lety +1

    Natamani hata Mungu aturejeshee magufuli kidg tu hatamwezi mmoja tu afu amrudshe akapmzke aliko🥺🤲tunataka MAGUFULIFICATION🤒
    Dah rip legend❤️bba wa mioyo ya wanyonge

  • @kitangacharles5818
    @kitangacharles5818 Před 6 lety +8

    Nimekuelewa jpm

  • @mihambokitambo421
    @mihambokitambo421 Před 6 lety +6

    jama Mungu amsadie rais

  • @mkemiamagege8477
    @mkemiamagege8477 Před 2 lety +3

    Huyu Kikwete huyu Alichotufanyia katika nchi hii kwakweli. Mungu anjua kuna siku atamuaibisha kwa kila jambo alilotutendea wananchi kipindi cha uwongozi wake na kipindi ambacho alipotuondolea huyu Mzee kuiingilia Serikali ya awamu ya Tano.

  • @elvunielvuni6637
    @elvunielvuni6637 Před 6 lety +7

    duuu nakuogopa kama motoooo mkuu magugufuri

  • @gemkachar
    @gemkachar Před 6 lety +1

    Pole Mhe Rais. mwenyezi mungu yupo nawe.

  • @annafrancis9699
    @annafrancis9699 Před 3 lety

    That is wonder full and nice one for our better president

  • @agnesakazinzurbadamwemanel8909

    nimelia upya nilivyotazam hii video kwa mara nyingine raisi wetu leo haupo tena daa mungu mkali jamani pumzika kwa amani raisi wetu bado unaishi moyoni mwangu😭

  • @isayangwahi9251
    @isayangwahi9251 Před 6 lety

    Baba Magu piga kazi Baba Nakuombea wallah Mungu akulinde....Lazima wanyooke

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 Před 6 lety

    Endelea kutunyoosha mambo mazuriiii hakika wewe ni role model viva mheshimiwa tafadhali fika na mtibwa kuna majipu

  • @rammyissa5928
    @rammyissa5928 Před 2 lety

    Tutakukumbaka daima mzee wetu mungu hakupumuzishe kwahamani baba

  • @mathiasnsegenelo7598
    @mathiasnsegenelo7598 Před 6 lety

    Mungu azidi kukulinda rais wangu mpendwa,nakupenda kweli rais wang

  • @pauljuma5713
    @pauljuma5713 Před 6 lety +4

    Ndo maana huwa namkubali Paul makonda unadhani uchafu kama huo angeuvumilia raisi angemkabidhi hyo bandari awanyooshe

  • @machinefannatic99
    @machinefannatic99 Před 6 lety +11

    Tanzania pasua kichwa, magari yanakaa miaka yanachomwa na jua, yanapata rust na corrosion taasisi za uma zinakosa magari ya kutosha na kuagiza mengine kijinga jinga

  • @PH-hg2vn
    @PH-hg2vn Před 3 lety

    Kweli wewe ulikuwa Kiongozi baba, basi Mungu alikupenda zaidi. Amina

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Před 3 lety

      Baaada ya hapo hizo ambulance ziliishia wapi naona ilikua km stunts tu kupata public sympathy

  • @elisha5693
    @elisha5693 Před 6 lety +27

    huyu Rais tumwache atuongoze mpk atakapo itwa na Mungu,maana anatusaidia sana

  • @Crabtree1844
    @Crabtree1844 Před 2 lety

    Jembe kutoka Chato. Ewe mwenyezi Mungu ulitupatia dume kweli. Sijaona Afrika mzima. Aaah, shuja wetu! Asante Mungu, hapa tumeona Rais wa wanyonge.

  • @elisanteshelukindo2745
    @elisanteshelukindo2745 Před 6 lety +2

    Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya JPM ,Bwana azidi kumpa hekima mara trilion

  • @mirrykirungi3223
    @mirrykirungi3223 Před 3 lety +4

    Rest easy my president daima tutakukumbuka tulikupenda ila MUNGU amekupenda Zaid umeondoka Bado twakuitaji

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 Před 4 lety

    Baba fanya kazi ya kuwatumikia watanzania uliowaahidi. Tunakupongeza sana. Wewe fanya sehemu yako wasioelewa achana nao baba.

  • @emmanuelmichael3012
    @emmanuelmichael3012 Před 3 lety

    Daa speech zake sijui Kama zitasahaulika

  • @josephkinunda4211
    @josephkinunda4211 Před 6 lety

    Siyo mwepesi sn wa kucomment kuhusu mambo km haya lkn huu ni uzembe mkubwa ambao hata mm mwenyewe nikipewa nafasi km hii siwezi kuufanya. Hongera rais.

  • @kitimethegreat52
    @kitimethegreat52 Před 6 lety +4

    Yaani nimejisikia sana uchungu uchungu, kwanini mzigo wote huo ubebeshwe peke yako, wao wanakodoa tu mimacho.

    • @clementhiddi1486
      @clementhiddi1486 Před 4 lety

      Viongozi Tanzania ni aibu tu no accountability nor patriotism, rais anaumia sana.

  • @angelamarlow510
    @angelamarlow510 Před 2 lety +1

    Hakika utabaki kua ww kwenye moyo wangu Rais Dr Magufuli Nina Iman ulijichagulia fungu sahihi wakati wa Uhai wako,,

  • @mpumulagrandson7880
    @mpumulagrandson7880 Před 2 lety

    Tunakukumbuka Sana JPM Allah akupumzike na akupunguzie adhabu ya kaburi Ameen

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab Před 2 lety

    Leo nimejisikia kukukumbuka tu mzee dah No one is like you, No one watakuja wengi ila Hatotokea mwengine

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 Před 2 lety

    Miss U my president!!!!You are legend is with us

  • @andason5406
    @andason5406 Před 2 lety

    Tutakukumbuka sn bb saizi wale uliowabana kwahaki saizi wanatusumbuwa sisi maskin

  • @hemedomary2281
    @hemedomary2281 Před 6 lety +4

    Mh.Rais hakuna haja ya maneno mengi,piga chini hao kisha weka ndani kwa uzembe wao pia piga chini waziri.Haiwezekani hadi Rais aende bandarini ndiyo uozo ugundulike,hawa jamaa wanajua kinachoendelea juu ya hayo magari na mengine mengi tu hapo bandarini.

  • @hamisisonga4357
    @hamisisonga4357 Před 6 lety +3

    Kusema ukweli mawaziri baadhi bado wanaboa aisee kama hawajuw wajibu wao wapishe two wenye ham na kazi waje kupiga coz hawawajibiki ipasanyo piga kazi jembe tunakusapoti

  • @mussataliye7815
    @mussataliye7815 Před 5 lety +1

    Rais wangu najivunia sn kuwa na Rais kama ww mungu akulinde

  • @ahmedysaidy9874
    @ahmedysaidy9874 Před 2 lety

    Hayo magari yana siri kubwa.

  • @marysaimon2213
    @marysaimon2213 Před 2 lety

    Nani atakaye fichua wizi kama huu, tunakumic sana Rais wetu

  • @barikichichimu3502
    @barikichichimu3502 Před 6 lety

    j..p..m mungu akubariki na akupe nguvu daima.saaaf sana .

  • @upendorobert7298
    @upendorobert7298 Před 6 lety +3

    duuh, nchi hii, huliwa na wenye meno. mawaziri wote ni mizigo tu. utafukuza wote tu

  • @barakamasanja8466
    @barakamasanja8466 Před 2 lety

    Very good anko magu lala salama

  • @franklazaro7660
    @franklazaro7660 Před 6 lety

    upo sawa mzee wangu

  • @keloboy7844
    @keloboy7844 Před 6 lety

    kazi juu ya kaz yani bamba tubamba

  • @stahncalifornia214
    @stahncalifornia214 Před 6 lety +7

    Maguuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu

  • @jimmyjay9594
    @jimmyjay9594 Před 2 lety +20

    Rest in peace king

  • @nestorykayombo8681
    @nestorykayombo8681 Před 6 lety +3

    Mmmm magufuri ninoma

  • @godwinsanga2412
    @godwinsanga2412 Před 2 lety

    Matokeo darasa la saba ramadhani njombe 2021

  • @mcjabbyevents4938
    @mcjabbyevents4938 Před 6 lety

    Mungu akuzidishie mheshimiwa

  • @muzdalfaaladina6943
    @muzdalfaaladina6943 Před 2 lety

    Dah nimekumis sanaa baba pumzika kwa amani😭😭😭😭🇹🇿

  • @joshuanyamkokoma1467
    @joshuanyamkokoma1467 Před 6 lety

    Mungu azid kukuongoza na kukulinda Raisi wetu

  • @helmandidas715
    @helmandidas715 Před 2 lety

    Tunakukumbuka Baba Magufuli

  • @josephmkemangwa4389
    @josephmkemangwa4389 Před 6 lety

    Safi sana mkulugezi izo gali zije na ilinga gali ni chache ilinga!

  • @barakamasanja8466
    @barakamasanja8466 Před 2 lety

    Magufuli raid bora mungu akupe ufalme mbiguni

  • @stevenlyando1801
    @stevenlyando1801 Před 6 lety

    magu anapiga sana kazi huyu mzee,kaniumiza sana roho mwishoni hapo eti HAYA BWANA duuuh

  • @mussaikunda5641
    @mussaikunda5641 Před 2 lety

    namkubali xn Magufuli

  • @frankrobert2856
    @frankrobert2856 Před 3 lety +3

    Big up

  • @ezekielkimaro1647
    @ezekielkimaro1647 Před 4 lety +3

    Live long my president!

  • @bahatimwakagugu979
    @bahatimwakagugu979 Před 6 lety

    Komaa nao Baba'! Hao watumishi mizigo watanyooka tuu. Kwani zama zimebadirika mambo ya kukaa maofisini tu zimeisha. Hapa kazi tu. Ufisadi hauna nafasi.

  • @strikerhussein9212
    @strikerhussein9212 Před 6 lety

    hahahahaa mister prisdent big up naona vidume kimyaaaa vijasho lainiiii hahahaha ukiwakuta kwenye office zao c mikwala hiyo watumbue tu mkongwe .na ktiba tuibadili uendelee 2040

  • @mditijaphet7347
    @mditijaphet7347 Před 6 lety +4

    Ndiyo makonda itapendeza zaidi

  • @ymusic803
    @ymusic803 Před 2 lety

    Uliupiga mwingi sanaa kila cku ww ni kazi tu hakuna kuzurula nchi za nje hakuna kutulia ikulu .........Mungu natamani kumuona Magufuri mwingine ...

  • @bekabakari7394
    @bekabakari7394 Před 3 lety

    Tumempoteza shujaa
    Mungu ndiye anaye jua

  • @elisha5693
    @elisha5693 Před 6 lety +12

    Amen rais wangu

  • @sammweusimweusi780
    @sammweusimweusi780 Před 6 lety +4

    Mh rais watendaji wako hasa kwenye chama chako wanakuhujumu.

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 Před 6 lety

    i cried mr President. thanx for seeing this.

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 6 lety +18

    natamani makonda awe waziri ausike na bandari watamkoma

  • @br.luckieafrica9233
    @br.luckieafrica9233 Před 2 lety

    African leaders are black skinny but the mindset is white. Dr magufuri was a Black panfricanist kwa ukweli

  • @pottawa7692
    @pottawa7692 Před 5 lety +2

    Yuko makini sana BABA WA TAIFA🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @ngusarobert7013
    @ngusarobert7013 Před 6 lety +6

    Makonda anasitaili kua wazili apewe bandali kuisimamia

  • @shaurikiyanga6033
    @shaurikiyanga6033 Před 6 lety

    pole sana mkuu hii ndio tz

  • @temkezatv4381
    @temkezatv4381 Před 3 lety

    Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.

  • @yonasangitho4485
    @yonasangitho4485 Před 6 lety +4

    kudadeki huhu anko huyu ni balaa hatari anakaba mpaka penalty