'NI JUKUMU LANGU, NDIO MAANA NILIPOTAMKA MGONJWA AKAPELEKWA KARANTINI"-RC MAKONDA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 369

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 4 lety

    Millard Ayo Unatumiwa, Usijifanye Kumhoji Huko Makonda Kulikuwa ni Random, Wewe Unatumia Kihuni Na akina Wahuni Sabaya etc. Wewe Iko Siku Hao wanaokutumia Hutawaona. Je Ni Wagonjwa Wangapi Amewataja Wagonjwa! Huyu Mpumbavu Ni Wangapi Umewataja zaidi ya Mbowe? Millard Ayo Wewe Endeleza Umalaya wako tu!

  • @lailmeeea4908
    @lailmeeea4908 Před 4 lety +5

    Mi naona yupo sawa tu sema sisi binadamu tu uwa tunakuza mambo sioni cha ajabu hapo kawaida tu yupo sawa mkuu wetu piga kazi baba 😍😍😘

  • @neemakaluwa2089
    @neemakaluwa2089 Před 4 lety +15

    Nimeamin watu hatueleweki ni jua au mvua.
    Juz nimesoma coment tumemponda Leo tunamsifu. Tuzidi kumwomba Mungu atuondoshee hii mitihani peke yetu hatuwez🙏

  • @salmaayub61
    @salmaayub61 Před 4 lety

    nakupenda sana makonda sijui nikwambie nini maana unajielewa sana sana Mungu akupe maisha marefu sana maana wewe ni mkweli siku zote na wantanzania ukiwambia ukweli hawa unakuwa adui sioni kosa lako apo wewe ndie kaka mkuu wawa kuu wa mikoa yotè

  • @braitontweve170
    @braitontweve170 Před 4 lety +1

    Makonda nakupend sana bro kiukweli mti mzur haukos kupigw mawe mungu akubaliki san

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 4 lety

    Kama alipewa Taarifa ya Mtoto wa Mbowe Kuwa Mgojwa akiwa Kama Nani? Mkunga au Daktari? Na kama alikuwa na Nia Njema Kwanini Taarifa Hizo asimpe waziri wa Afya? Millard Ayo wewe Malaya Utakuja Kushitakiwa Utozwe Fine Uuze Vijikamera Uchwara Hivyo, Mpaka Vichupi Ndio Utajua Kutumiwa Kuna Mipaka, Acha Kutumika.

  • @josephizengo5912
    @josephizengo5912 Před 4 lety +12

    wee fund sana makonda big up bro

  • @shollodegeorge9056
    @shollodegeorge9056 Před 4 lety +1

    Mh.makonda wee ni msema kweli daima ndo maana wanakuatack ila mungu atakulinda bro

  • @stevenkyanzi5622
    @stevenkyanzi5622 Před 4 lety +17

    Aisee muheshimiwa nabii hakubaliki nyumbani kwake leo nimeamini hongera muheshimiwa

  • @kulwakunemka3286
    @kulwakunemka3286 Před 4 lety +1

    Saafi saana Makonda,hua nakuelewa sana we jamaa,hao wanaokusumbua na maswali ya kichoko ni mashabiki wa Sacco's ya Mbowe tu,upo sahihi na umeeleweka sana

  • @samwelimashaka8997
    @samwelimashaka8997 Před 4 lety +5

    Uko sawa mkuu

    • @mamavero4004
      @mamavero4004 Před 4 lety

      Sasa hapo tatizo nn jamani ukimwi mfichi na corona kwani mtu umeupata makusudi watu mnakosa uelewa hapa inavyoonekana watu wakiwaona ndugu zao na dalil za corona watawaficha mm naona bora tu kusema hakuna siri hapo huu si ukimwi jamani

  • @jumakondo2456
    @jumakondo2456 Před 4 lety

    Dc huko vizuri xan piga kazi tunaelewa mungu akubariki hakutie nguvu

  • @johnmligo6966
    @johnmligo6966 Před 4 lety +3

    Makonda keep it up.... wanakuelewa taratibu watanzania wapogo ivyooo. Mlitaka mbowe na familia yake awaambukize wake zenu ndio muweke hadharani? Watanzania janga hili halijui wewe ni nani ndo mana hata familia za hadhi ya akina mbowe wameupata..... tuache unafiki.

  • @mangegervas9651
    @mangegervas9651 Před 4 lety +3

    Gud saana. Kumbe ulifanya saafii

  • @filminamaga2385
    @filminamaga2385 Před 4 lety +9

    Uko vzr makonda achana na wasiojielew piga kaz baba tuko pamoja na mungu akutie nguvu.

    • @Rashidmhedhery
      @Rashidmhedhery Před 4 lety

      Filmina Maga : ovyooooooooooo, wewe ni mpumbavu kama Bashite, una support ujinga,🤮🤮🤮

    • @abdulkalimujuma2460
      @abdulkalimujuma2460 Před 4 lety

      Madawa yameishia wapi minaona siasatu apo fala wew toa siasa ap umemuona mboetu apo we mzima? Kasome kwanza ndotutakuelewa

  • @kolokokoloko9276
    @kolokokoloko9276 Před 4 lety

    Safi sana mhe Makonda

  • @charlskpc1103
    @charlskpc1103 Před 4 lety +2

    Big up kwa hili

  • @shadymbuki87
    @shadymbuki87 Před 4 lety +6

    Asante sana mkuu, tumekuelewa zaidi ya sana kwenye hili, CHAPA KAZI.

  • @mathewlive77
    @mathewlive77 Před 4 lety +23

    Kama unaamini kuwa watanzania ni wanafiki gusa like apa.

    • @Hasnspop
      @Hasnspop Před 4 lety +1

      Kama mwana f a mshamba tuu anatafuta kiki kwenye kitu siliaz

    • @happymboya8045
      @happymboya8045 Před 4 lety +2

      Siyo kidoga tunaweza pata tuzo kwajili ya unafki

  • @kelvinkawea6016
    @kelvinkawea6016 Před 4 lety +1

    Big up jembe piga kazi mti wa matunda ndo unapigwa mawe

  • @yolamshaban4387
    @yolamshaban4387 Před 4 lety +5

    Ipo siku tutaelewana.....kwamba Mungu ni wetu sote....

    • @stanleykishiwa9141
      @stanleykishiwa9141 Před 4 lety

      Sasa maswala ya kuficha mgonjwa corona ili iweje wakati ni janga la dunia nzima maana corona sio malaria au magonjwa ya zinaa acheni siasi

  • @mathiasalbert329
    @mathiasalbert329 Před 4 lety +5

    Nakubali kazi yako RC

  • @abeidmayanga809
    @abeidmayanga809 Před 4 lety +2

    Wel say mkuu safi sanaa

  • @paulkisatulusana1142
    @paulkisatulusana1142 Před 4 lety +7

    Makonda upo sawaaaaa
    Big upo

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 Před 4 lety

    Asante sana Makonda,umeliokoa Taifa.

  • @stanleyrububura4000
    @stanleyrububura4000 Před 4 lety +1

    Hahahaaa "nimewaokoeni acheni ujanja ujanja" safi sana mkuu.

  • @raymondhaule6947
    @raymondhaule6947 Před 4 lety +1

    Makonda yuko sawa kabisa kwani kama Mr tembo anaumwa na amejificha ukasema nimemwona tembo amejifucha nadhani anaumwa kunakosa kwani makonda alijuwaje mtoto wa Fulani anaumwa kama siyo watu wakaribu na Fulani kumwambia kunatembo tumeambiwa anaumwa.na yeye akatuma watu wakachunguze wakamwambia nikweli timemwona tembo anaumwa mwisho tembo akachuliwa akatibiwa mwisho tumwombee mungu akapona unadhani nani. atashukuriwa yule aliye mficha au yule aliye towa tarifa na tembo akatibiwa mwisho we akapona waziri yuko sawa kujibu vile kulingana na kazi yake na mkuu wa mkoa alikuwa sawa kusema vile mbona wanao ficha watoto walemavu tunawasema na kuwaonesha mitandaoni jamani tuweni wawazi

  • @faizebrahim338
    @faizebrahim338 Před 4 lety +1

    Mama waziri ...we tuachie makonda atutajie acha kuleta siasa alichofanya makonda ni kitu cha maana ...tena kwa hili mngekua mnataja majina ili watu wajue nilishakutana na huyo mgonjwa achukue tahadhari .. we unadhani unajua wangonjwa hao wa corona walikutana na watu wangapi mpk kufikia kwenu .... au mnataka huu ugonjwa uendelee kwa kasi

  • @deniseliuter8288
    @deniseliuter8288 Před 4 lety

    Mi c support mwanasisa yeyote kwakua wote wanatetea masilahi yao...angalia maisha ya watoto wao wanayoishi Kama sio ya ctarehe......c ccm Wala upinzani....

  • @kigogozanzibar7074
    @kigogozanzibar7074 Před 4 lety +4

    Makonda anaona mbali Sana

  • @sahiltvontheline5560
    @sahiltvontheline5560 Před 4 lety +1

    Pauli makonda nambar 1 in Dar es salaam

  • @billionmaffia6562
    @billionmaffia6562 Před 4 lety +1

    😀😀😀😀 daaa bongo hii jamani daa sasa anyway lakini

  • @mgawerevocatus8582
    @mgawerevocatus8582 Před 4 lety +16

    Hapa ndiyo naiona logic ya kusikiliza pande mbili ili kubalance story.
    Kama story ingeishia kwa malalamiko kutoka kwa family ya Mbowe bila kumsikiliza Makonda tunge muhukumu bure.
    Kumbe kama Makonda asinge sema kijana angeendelea kusambaza kirusi mtaani,
    Kama kweli anawajali watanzania kwanini hakujiweka karantini kama Isabella?

  • @twahayussuf8587
    @twahayussuf8587 Před 4 lety +2

    Mkuuu upo sawa kabisaaaa

  • @aggreymrema3145
    @aggreymrema3145 Před 4 lety +3

    Mimi sio mwanasiasa ila kwa upeo wangu nilivyokusikiliza siku ile ubungo tulikuelewa vizur hukua na nia njema

  • @jactonkogoya657
    @jactonkogoya657 Před 4 lety +3

    Makonda upo sahihi bro, huu sio ugonjwa ni janga

  • @enjoysoccer1
    @enjoysoccer1 Před 4 lety

    Good Makonda

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 4 lety +5

    uko vizuri makonda

  • @nicksonshoo6828
    @nicksonshoo6828 Před 4 lety +1

    Makonda acha kutuzuga akuna alie sawa kwa%100 kubali kushindwa mzee babaa..

  • @mrdeniskomba2596
    @mrdeniskomba2596 Před 4 lety +2

    Ulichemka brazaaaaa.

  • @awamiabbas222
    @awamiabbas222 Před 4 lety +6

    Me binafsi waziri sjamuelewa hapo kwakwel namuona Mh Mkuu wa mkoa yuko sahihi kwani kasemea mkoa wake na halafu huu ugonjwa siy wa kuficha wasilete mzaa kwa hiyo mtu akiumwa aogope kusema au kusemewa mwisho wa siku afie ndani na kuusambaza ugonjwa eee Mwenyezimungu tunusuru waja wako

    • @JBONLY
      @JBONLY Před 4 lety

      Sasa mnaficha ugonjwa ili watu waendee kuambukizana pol makonda yupo sahihi mtu akipatikana namagonjwa awekwe waz wengine wanaeneza ugonjwa kwa maksud

    • @mwajumakassim6632
      @mwajumakassim6632 Před 4 lety

      Alichosema wazir wa Afya ni kwamba si ruhusa kumtaja mgonjwa kwa jina kwamba anaumwa kitu Fulani si taratibu za wizara ya afya,ugonjwa ni siri ya mgonjwa na Tabibu

  • @paschalmakondo3163
    @paschalmakondo3163 Před 4 lety +4

    Mbowe ni muuuaji nami siku zote na sema ni wakala wa shetani

    • @hassanmwakatika2129
      @hassanmwakatika2129 Před 4 lety

      mama ako ndo muuaji

    • @simonmgaya2644
      @simonmgaya2644 Před 4 lety

      Kama wewe uliondondosha komente hi kamamtotowamboe anacorona mbowekaukosa ? Nakamahajaukosa yupohospto gani mstudanganye sawa

    • @christophermlaponi534
      @christophermlaponi534 Před 4 lety

      Kuna corona za aina mbalimbali, nyingine ikikupata hauumwi, ila unajikuta tu kuropoka vitu vya ajabu ajabu !!

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 Před 4 lety +1

    uko sawa makonda

  • @faizebrahim338
    @faizebrahim338 Před 4 lety

    Upo sawa kaka achana na wapumbav wanaoleta siasa kwenye gonjwa kama hili ....

  • @charlesbaba8820
    @charlesbaba8820 Před 4 lety

    Makonda mungu akubaliki sanaaaa

  • @mfaumeulenje6734
    @mfaumeulenje6734 Před 4 lety +1

    Sawa makonda anamakosa yake ni kama amefanya uzalilishaji nikosa kisheria ila pia amefanya sahihi bila ya ivyo watu wengi wangeangamia kwa kujificha wangonjwa na kama ingekua kila MTU anaficha kama mbowe tungekua wapi Tanzania kuna wakati Siasa haitajiki kabisa katika maisha ya kihsalama ..baki nyumbani okoa maisha

  • @jacksonngwassy8715
    @jacksonngwassy8715 Před 4 lety +7

    True

  • @juniorking7123
    @juniorking7123 Před 4 lety +9

    huyu jamaa ajawahi kukubali kosa

    • @johnmachibya4777
      @johnmachibya4777 Před 4 lety

      Yuko sahihi mkuu wa mkoa fatilieni ameongea ukweli mkubwa sana

    • @lsayamapolu7516
      @lsayamapolu7516 Před 4 lety

      Yuko poa sana

    • @mapenzi_tz1511
      @mapenzi_tz1511 Před 4 lety

      Angewaacha wafe tu watu wengine Viburi unawaacha akifa mmoja watajifunza , unaficha kwani ukimwi uwo

  • @augustinomwamasinga2200
    @augustinomwamasinga2200 Před 4 lety +3

    Daah makonda uko sawa sanaaaaa

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 4 lety +7

    Sasa mnaopinga kumshutumu makonda je uyo mtoto wa mbowe sio mgonjwa au kwa vile kamtaja makonda wacheni chuki binafsi mbona alikuwa anauguzwa ndani baadae ndio ametolewa baada ya kutajwa

  • @ErickAMinja
    @ErickAMinja Před 4 lety

    Well done mheshimiwa ulikuwa ukitimiza majukumu yako ya kiusalama

  • @shijermajebela7038
    @shijermajebela7038 Před 4 lety +8

    Genius

  • @hauledernest668
    @hauledernest668 Před 4 lety +1

    Makonda kama kaongea ukwel hivi

  • @Gwanchele
    @Gwanchele Před 4 lety +1

    Ila kiukweli ukiangalia kwa undani Makonda hana kosa

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 4 lety +6

    Upo sawa Makonda

  • @felixmoses9863
    @felixmoses9863 Před 4 lety +13

    Hapo Brother umenena,alikaaje mtaani akati anajua anamgonjwa

    • @engzuberir.akilenza1764
      @engzuberir.akilenza1764 Před 4 lety

      Hapa TZ hata ukila nyama ya mtu lazima utaungwa mkono na watu kama hawa, ni bahati mbaya sana inamaana hata Mheshimiwa Waziri haumuelewi.

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Před 4 lety +8

    Waziri acha siasa hii Corona siyo ugonjwa hili nijanga la Dunia halina kificho wafiche magonjwa ya zinaa si corona acheni

  • @philipojmwaipopo949
    @philipojmwaipopo949 Před 4 lety +4

    Wabongo kwa unafiki juzi mlimponda kwenye comments zenu leo mnamwita bright man duuh aisee..viongozi endeleeni kufanya yale mnayoyaona yana faa maana cc raia wenu ni kama popo

  • @bettyrugemalila9185
    @bettyrugemalila9185 Před 4 lety

    Jinsi ulivyofikisha ujumbe haikuwa nzuri

  • @pilikashinje6765
    @pilikashinje6765 Před 4 lety +1

    Duh!

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 Před 4 lety

    Nothing else

  • @stephenemuya8575
    @stephenemuya8575 Před 4 lety

    Huyu jamaa ni mjinga tu sanaaa

  • @mussajuma1736
    @mussajuma1736 Před 4 lety

    makonda upo sawa kabixa bila ww kusema akafanya sili dodoma mbowe angeeneza sana ugonjwa huu mungu tulinde sanaaaa.

  • @teddykanondo5753
    @teddykanondo5753 Před 4 lety

    Makonda ni mchochezi mnawakamata kina Esther Matiko. Katika chapa kazi ni huyu Dada. Keep it up.

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 Před 4 lety +10

    Upo sahihi mzee baba wacha wapuuzi wapigekelelee

  • @ombenimshana9162
    @ombenimshana9162 Před 4 lety

    Sijui kama neno la ipo siku linatimiaga,likitimia ndipo tutajua ukweli watu

  • @shibilitimedia3312
    @shibilitimedia3312 Před 4 lety +9

    Haukuwa na kosa Mheshimiwa uko sahihi.

    • @keddlynebonny6462
      @keddlynebonny6462 Před 4 lety

      Ndo ataje mtu acha mkumbo

    • @villanjimmy7625
      @villanjimmy7625 Před 4 lety

      Kam ni wajibu wak kwann asiend na timu yak kimya kimya na kumpeleka qarantene had atangaze siyo vzur jmn tusfate mkumbo

    • @mwajumakassim6632
      @mwajumakassim6632 Před 4 lety

      ila hakutakiwa kutaja jina,kaenda kinyumbe ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na daktari

  • @kigogozanzibar7074
    @kigogozanzibar7074 Před 4 lety +3

    Makonda anaona mbali sanaaaaaaaa

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 4 lety +1

    Jukumu gani hilo lakumuanika m2 aradhani hacha masifa piga kazi apunguze kiherehere😂😂😂

  • @silvangabriel3592
    @silvangabriel3592 Před 4 lety +4

    Bado tu unabwbwanya

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 4 lety

    Hata Marekani Watu wanafanya Self Quarantine Labda awe amezidiwa. Pumbavu Huyu Millard anauza Utu Mpaka Matako zake!

  • @hanifaalsalamy2935
    @hanifaalsalamy2935 Před 4 lety

    Mh makonda upo sahihi kwani watanzania wengi angeambukia corona ni kweli watu wengi hawana uelewa wa covid 19. Tunashukuru kwa hilo mh makonda.

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 Před 4 lety +1

    Asante Makonda Mungu akulinde nahao wabaya wako chapa kazi

    • @asaketom9044
      @asaketom9044 Před 4 lety

      Mbaya Ni yeye makonda ungekuwa unaenda kutajwa hadharani ungefurahia Bora ungetumia njia nyingine Kama una akili

  • @eriezarichardmbeya1233

    Umefika wakati wa MTU kumkataa MTU soo kikichobaki ni kubaki mungu,,,,,,jah one love,

  • @marcodominico9503
    @marcodominico9503 Před 4 lety +2

    KAMA MLIKUWA NA UHAKIKA MLITAKIWA KUMFATA.
    KUTAJA MTU KWENYE MEDIA NI KUVUNJA TARATIBU ZA MAADILI

  • @kigogozanzibar7074
    @kigogozanzibar7074 Před 4 lety +6

    Makonda katowa Siri ili watu wafahamu

  • @kudraahmad6003
    @kudraahmad6003 Před 4 lety +4

    Makonda nakuelewaga sana ,chapa kaz mm Niko mbali na huo mkoa lakin nakukubal baraaaa

  • @isayamwanjisi2994
    @isayamwanjisi2994 Před 4 lety

    Sana mkuu wa mkoa mi nimekupata sana upo vzr sana swala la kikazi nakupongeza

  • @omarykaita43
    @omarykaita43 Před 4 lety +1

    Kwa maoni yangu Mh: Ummy Mwalimu yuko sahihi kwa mujibu wa kanuni za wizara ya afya lakini pia Mh: makonda naye yuko sahihi, kwa Mujibu wa ulinzi na usalama wa wananchi, ni lazima tujue Mh: mbowe ni "PUBLIC FIGURe" ambaye watu wengi huweza kumfuata na kuzungumza naye hivyo ni rahisi kuwaambukiza wengine.

  • @jacksontulito969
    @jacksontulito969 Před 4 lety

    Wewe msenge sana Makonda huna lolote

  • @ramadhanibakari9480
    @ramadhanibakari9480 Před 4 lety +2

    Mhe. RC kama mbowe alikuwa na mgonjwa nyumbani ungetumia njia nyingine kumfikishia ujumbe. Siyo kuzunguka ukimsema hadharani.

  • @gabriellck5643
    @gabriellck5643 Před 4 lety

    Makonda kajibu vizuri sana ...big up RC

  • @zulikeepitupstronglady9265

    Bashiteee ndio maana ulikuwa zero pale Muccobs

  • @abujuhaifah7461
    @abujuhaifah7461 Před 4 lety +8

    Maongez yako na nia yako kwa sasa haikua sawa sawa mwanzo ulikua lengo lako ni jengine na saiz ndio wajiosha

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    Thus why ur a regional commission, that's fact bro Makonda , Hawa jamaaa sometimes wanajifanya hamnazo Kila kitu wanapinga , jamani tuuache kujifanya mavimpire., Hacha watukane mwisho wa siku mwenye macho , hata dar siku full adabu , hakuna Yale Mambo yazamani, ya Mimi nani..., Piga kazi confidence man.

    • @josephdogan7650
      @josephdogan7650 Před 4 lety

      Ndugu yangu sijajua uelewa wako juu ya Sheria maadiri na utu na taratibu zinazoendesha mambo yetu ya kila sku km taifa. Km ungekuwa unajua ,hakika usingempongeza huyu mdudu.
      Kifupi ni kwamba hata wazuri mwenye dhamana kamshushua kusomi na kumzodoa.
      Kifupi huo unaoutetea sio uchapa kz. Haupo ktk vitabu vyovyote vile vya mafundisho ya uchapa kz..
      Kuchapa kz kunakoshushia watu heshima utu na kutoa Siri za watu kwenye majukwaa ni ushambenga na utoto km utoto mwingine.
      Labda nikwambie kitu ambacho alipaswa kufanya1alipaswa kuwasiliana na wazuri au wahusika wa sfya ambao wangeweza kwenda alipo mtoto na kufanya taratibu zote za kimamlaka kumweka karantinii.
      Kwamfano , kulikuwa na urazima gani wa kuhusisha mtoto wa mbowe na siasa za chadema.hv huyu mtu anawezaje kuwahadaa a Kili kiasi hk

  • @kelpeacedasenior7128
    @kelpeacedasenior7128 Před 4 lety +7

    Makonda yupo sawa sana sasa huyu wa mbowe alikaa ndani half akamfichua sion kam kuna tatizo ila kama angekuwa ameenda karantin half kamtj sasa hapo tungesem makonda ana shida!!!!!

  • @salmadalaquimane2364
    @salmadalaquimane2364 Před 4 lety +2

    Achen kuficha ficha ndio maana maambukiz yana zidi 'coz kama mbowe kachanganyika na wa2 hiyo c atar lakn makonda alivyo itaja familia ya mbowe nan asie na akir una fikir ata mkaribia mbowe

  • @josephharri9015
    @josephharri9015 Před 4 lety +2

    Nakuja chukua hiyo miwani.

  • @rashidmalilo3657
    @rashidmalilo3657 Před 4 lety

    Makonda uko sahihi sana

  • @marygaspary199
    @marygaspary199 Před 4 lety

    Waziri yupo sahihi makonda bhana sijui ana tatizo gani akaombewe ana pepo la kuropoka !

  • @neemamahusho6193
    @neemamahusho6193 Před 4 lety

    kweli bhana umeongea Hapo ukweli

  • @exaverykalinga1487
    @exaverykalinga1487 Před 4 lety +5

    Mh. Upo sahihi ugonjwa huu cio wa kuficha ficha kwa sasa ugonjwa huu sio wa kuficha tutakwisha.

    • @Rashidmhedhery
      @Rashidmhedhery Před 4 lety +1

      Exavery Kalinga : wewe ni msemaji wa nani? Acha kuropoka

    • @joelmsambwa5504
      @joelmsambwa5504 Před 4 lety

      Wewe Ugonjwa wowote ule Ni Siri ya Daktari,Muuguzi na Mgonjwa Mwenyewe.

  • @petitonlinetv3142
    @petitonlinetv3142 Před 4 lety

    Ni mjinga tuu

  • @amazingswahili5025
    @amazingswahili5025 Před 4 lety

    Elimu kitu cha msimu sana.

  • @beatricetenywa4367
    @beatricetenywa4367 Před 4 lety +9

    Muungwana akivuliwa nguo huchutama....hapo kweli umeliteleza mkuu kukubalii ndo shida....😝🏃‍♀️

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 Před 4 lety +1

      Majibu mazuri kabisa ,na alikuwa anahakika na anachoongea,hii ni korona sio kisonono.

  • @jacksonolotu9318
    @jacksonolotu9318 Před 4 lety +2

    Unatuambia sisi ili iweje

  • @3minutescrashes421
    @3minutescrashes421 Před 4 lety +4

    Mimi binafsi binafsi Kama Mimi namkubali makonda "MAKONDA BABA LAO" hampambi MTU,MAGONJWA YA MLIPUKO SIYO YA SIRI KAMA MTU BADO KAJIFICHA NDANI YA JAMII KUNA HAJA YA KUMTAJA ILI KUWALINDA WANAOMZUNGUKA,". IPO HIVI ATA ANGESEMA RAIS BADO WANGE LALAMIKA ,"MAKONDA BABA LAO"

  • @jackmabirangacharles9398
    @jackmabirangacharles9398 Před 4 lety +5

    Mheshimiwa waziri usiri wa mgonjwa na Dk sio kwa Ugonjwa huu wa Corona
    Kote tuko Sawa ila sio kwahilo
    Uwazi na Ukweli ndio tiba

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 Před 4 lety +2

    Kumlinda mgonjwa so kumdhalilisha,halafu haifai kuleta siasa kwenye ugonjwa.

    • @emmanuelmoshi4938
      @emmanuelmoshi4938 Před 4 lety

      Attu Nelson kwann ummy hataji mjina ya wagonjwa?

    • @mwajumakassim6632
      @mwajumakassim6632 Před 4 lety

      Emmanuel moshi,taratibu za wizara ya afya haziruhusu lazima tuzingatie taratibu na miongozo,ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na tabibu,kwa mfano daktari akamtangazia mgonjwa kua anaumwa ugonjwa fulani kisha mgonjwa huyo akamshtaki Daktar akiwa na ushahidi Daktar anakua na kesi ya kujibu coz kakiuka maadili ya kazi yake,

    • @mwajumakassim6632
      @mwajumakassim6632 Před 4 lety

      Emmanuel moshi,taratibu za wizara ya afya haziruhusu lazima tuzingatie taratibu na miongozo,ugonjwa ni siri kati ya mgonjwa na tabibu,kwa mfano daktari akamtangazia mgonjwa kua anaumwa ugonjwa fulani kisha mgonjwa huyo akamshtaki Daktar akiwa na ushahidi Daktar anakua na kesi ya kujibu coz kakiuka maadili ya kazi yake,

  • @aliebrahim9423
    @aliebrahim9423 Před 4 lety +1

    Na Mimi nina 100%.