KINANA AFUNGUKA SABABU ZA KUJIUZULU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 84

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před měsícem +4

    Sio Kususa Nyie Wajinga, Mtu anayejua Uongozi, Bosi wako Akifanya Maamuzi Huyapendi au akikutuma Ukafanye Kazi huikubali.. Unajiuzulu na Kufunga Mdomo. Si Lile Macho ya Nyoka Msigwa! Linaongea Uwongo Kama Limemeza Kengele ya Kuchunga Ng'ombe.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 19 hodinami

    Ameshakuwa Mzee🎉

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem +5

    Au kwasababu vijana wake wapigaji wametumbuliwa mama achana nae mzigo huooo

  • @husseinsalum5908
    @husseinsalum5908 Před měsícem +8

    Eti barua yake moja anabdili tarehe tu😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem +6

    Sasa kinachotokea nini na magu alifanya nini?? Mzee alikuwa anaona mbali.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před měsícem +7

    Yeye aliwaona mwezake kakosea akawarudisha wanawake bwana

  • @athumanmbululo3980
    @athumanmbululo3980 Před měsícem +3

    Huyu mzee wamwache apumzike,, mbona vijana tupoooi

  • @thadeusmateru1356
    @thadeusmateru1356 Před měsícem +4

    Orodha ya makapi yaliyotupwa na Kikwete na kubebwa na samia orodha imekamilika. Hawa wote ni kundi moja la mafia hawawezi kutengana. Hawa na mzee Makamba si ndio walimtukana Magufuli

  • @user-nf1tg3kt3y
    @user-nf1tg3kt3y Před měsícem +7

    CCM ni anguko kubwa sana mbeleni huko

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 Před měsícem

      Pole,utasubiri sana kama fisi anavyovizia mizoga

  • @coolsinare8824
    @coolsinare8824 Před měsícem +4

    ki ukweli hii chama ya ccm inachezea watu sana..huyo bwana kwa nini huwa mnapenda kumrudisha?????yani hakuna anayejali uchumi unaenda wapi???bado kidogo tutaishtaki ccm kwa Mungu

    • @simonzakaria4770
      @simonzakaria4770 Před měsícem +1

      Huyo mzee ni mtetezi wa majambazi.majambazi yake yakitumbuliwa anatishia kujihuzuru kuyatetea majambazi yake

  • @HalidMuhammad-gi9qy
    @HalidMuhammad-gi9qy Před měsícem +4

    Ikisha uchaguzi tu arudishwa hakuna viongozi.wanarudi haohao vikongwe hadi wafe

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před měsícem +1

      @@HalidMuhammad-gi9qy haa haa nakweli asee niusanii tu unafanyika inchi hi

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před měsícem +6

    Tena rudi kwenu Mogadishu Somalia Bado Bashe

  • @daudimusoma3337
    @daudimusoma3337 Před měsícem +1

    Tulishamchoka Kila wakati anajiuzulu. Huyo Mzee akalee wajikuu maana ni Kama anawafanyia mzaha wana ccm

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před měsícem +2

    Matamaniyo yake niya wizii tu hana lolote aondoke tu maana vijana wake wamesha fukuzwa na yeye hawezi kubaki iyo mzee kala sana Cake ya taifa

  • @olembetonga7341
    @olembetonga7341 Před měsícem +5

    😂watu siowajinga bwanaa 😂😂michezo ya ccm hiyo yote ni mipango ya uchaguzi tunaijua hiyoo😂😂😂😂

  • @Kaka_Rambo
    @Kaka_Rambo Před měsícem +4

    😂😂😂 Ila Zembwera

  • @vanemmy6043
    @vanemmy6043 Před měsícem +7

    Aende zake shenzi tu mxm

  • @sakuranitillya6088
    @sakuranitillya6088 Před měsícem +2

    Akafie mbali hiko

  • @rydo09tzgo
    @rydo09tzgo Před měsícem +1

    Hii collabo haieleweki, ulinzi uimarishwe kwa taifa😆😅😆

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz Před měsícem +4

    Mnatia aibu mnapoteza mashabiki mjitathimini

    • @vanemmy6043
      @vanemmy6043 Před měsícem +2

      Kwakosa lipi?

    • @aginsagins-jf4vz
      @aginsagins-jf4vz Před měsícem

      @@vanemmy6043 huoni uongeaji wao kama wapo kijiwe cha kahawa wanabweka tu mpaka wanajisahau kama wapo sehemu gani

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Před měsícem +1

      Jitathmini wewe mwenyewe

  • @DorcusiDor-mm1sb
    @DorcusiDor-mm1sb Před měsícem

    Alitangaza kujiuzulu mara 3 lakini kila alijiuzulu matukio yanatokea kwanza sio mtanzania

  • @Hamil-ud7yw
    @Hamil-ud7yw Před 4 dny

    Wamuaacheeeeeee tna huyu mzee kwan wengne hmna ? Ccm mbna chama kipo Smart lkn mnafel kwa uyu babu

  • @JayndevuNgare
    @JayndevuNgare Před měsícem +2

    Kwel kitenge kelele zimezid sanaa mpk kipind akina uzur na kuonyesha yy n chama gan?....

  • @user-vs8xq4gk3g
    @user-vs8xq4gk3g Před měsícem +1

    kijana Kila Mara anapojiuzuru anasema anaachia nafasi kwa vijana , vijana hawapewi nafasi kwa nin?

  • @JohnRwabigene
    @JohnRwabigene Před měsícem

    Ningependa nami niwe kwenye studio

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před měsícem +1

    Watangazaji wa kitanzania ni very local, hiyo ni taarifa be serious!

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 Před měsícem +1

    3 chafu poziii 😂😂😂 namba witiri hizo Kapate D mbili ndo uwelewe 🤣🤣 MGUSE MMOJA UNATE

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před měsícem

    Hawa ndiyo wenye nchi. Wamejitajirisha kwa mali za wengi. Genge la hatari Tanzania. Watanzania yetu macho. Tumeaambiwa KAENI KIMYA

  • @michaelkalamu4465
    @michaelkalamu4465 Před 25 dny

    Yusuph makamba aendelee kutukana tena ili mwae awe rais

  • @user-xx1je7sy4h
    @user-xx1je7sy4h Před měsícem

    Harafu hao ni watu hatari sana nchi hii rwanda ndiko kulikuwa kunawafaa kuishi wangelijuta kuzaliwa lakini huku tunawachekea tu

  • @michaelkalamu4465
    @michaelkalamu4465 Před 25 dny

    Mipango ya KINANA ,Nape,na January makamba ya kutaka kumpindua Samia suluhu na RAIS wa Tanzania ili asigombee tena 2025 imevuja ndiomana ameona ajiuzuru kabla ya kufukuzwa kazi kwa udhalili.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před měsícem +5

    CHANEL YA WASAFI KWANN HAMUACHIANI NAFASI YA KUONGEA? HAPO NI KELELE TUU KITENGE UNA KELELE SANA HAPO. CHANEL HAINA UTULIVU.

    • @dimosomkoba356
      @dimosomkoba356 Před měsícem +2

      Ni bora hata tusinge kuwa tunawaona, maadam wamewekwa kama timu yaani watu watatu basi ilitakiwa waheshimiane wapeane nafasi ya kuchangia hoja siyo baadhi kutaka kujionesha kuwa ni wazuri zaidi ya kuongea kuliko wenzao!! Kwa ushauri hilo wanatakiwa walifanyie kazi, bila ya kuficha bwana kitenge jali mawazo ya wenzako maama unawafanya wengine wajione wanyonge na kama kila mtu akitaka kujionesha ni mwamba asikilizwe yeye basi hapo hapatokuwa na kipindi hapo!!

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Před měsícem +2

      Kitenge ni chawa mkubwa wa ccm

    • @KassimAlly-xp4dz
      @KassimAlly-xp4dz Před měsícem +1

      Ndo burdan

    • @daudimusoma3337
      @daudimusoma3337 Před měsícem

      @@anithawidambe7543 kweli anko hata Mimi sipendi. Hiyo si burdan ni kelo

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Před měsícem

      ​@@dimosomkoba356nenda kaombe hiyo kazi wewe mtulivu, uone kama utapewa😅😅 hawa ndio wananogesha

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před měsícem +2

    Kinana anautaka urais 2025

  • @jacobmbeta5612
    @jacobmbeta5612 Před měsícem +1

    Yaani nyie hamuwezi kutangaza mpaka mpige mikelele kama Malaya wanagombea bwana

  • @user-vd6fu6rv9r
    @user-vd6fu6rv9r Před měsícem

    .Mnatuharibia profession ya Habari..Kelele zimekuwa nyingi na Ukomedi humo

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im Před měsícem

    Wazalendo kama Dr Bashiru waliondolewa na timu ya mama. Wengine wakatupwa Cuba. Watanzania lazima tutafute dawa ya kututibu ugonjwa unaoitwa WOGA. HATA VIONGOZI WAKUBWA WOTE WAMEINGIA UVUNGUNI. Ni nani ataiokowa nchi?

  • @emanuelmpare772
    @emanuelmpare772 Před dnem

    Babu pumzika

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před měsícem

    Kwa mujibu ya waandishi wa habarani ni kioo cha jamii ispokua angalia hawa waandishi alafu waangalie kinaa salimu kikeke kina tido muhando kina ziyana sefu kina umu lhary kwali hawa tuwaweke kundi gani jins wanapotoa habary wao hawatafakary

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Před měsícem

    Kwaumri alionao asingependa aingie kwenye uchaguzi utakao tawaliwa na dhulma na hila...

  • @samasob8233
    @samasob8233 Před měsícem

    Hatuvai miwani ya jua ndani ya jengo lolote, hakuna jua, unless otherwise

  • @EmanuelJoseph-j4m
    @EmanuelJoseph-j4m Před měsícem

    Mpo wa vizur ndy maana mn avamiwaga n bunduki.

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 Před měsícem +1

    Hii inchi haina vijana?

  • @afrovines7996
    @afrovines7996 Před měsícem

    1

  • @cngeze
    @cngeze Před měsícem

    Ana Dementia 😅

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Před měsícem

    Ccm mbele kwa mbeleeee

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 Před měsícem +1

    Majizi wameyafukuza 😂 fukuzawahuni

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Před měsícem

    KINANA ANA UJAUZITO NDIO MAANA AMEACHIA NGAZI ILI AJIFUNGUE USALAMA, NA BAADAE CCM WATAMRUDISHA👁️👁️

  • @AjuaeAbromo
    @AjuaeAbromo Před měsícem

    Kwelli

  • @JackKanyigo
    @JackKanyigo Před měsícem

    Huyo ni kundi la Nape na Makamba..Mama ajiangalie uchaguzi unakaribia

  • @simonzakaria4770
    @simonzakaria4770 Před měsícem

    Mtaabishaji wa nchi acha aende

  • @EliaBeatus
    @EliaBeatus Před měsícem

    Hawa wa2 nyie hamuogopi

  • @user-wi8og3sv4j
    @user-wi8og3sv4j Před měsícem

    Mpasuko huo

  • @user-ht8bd7wq4u
    @user-ht8bd7wq4u Před měsícem

    😂😂😂😂

  • @AliDulla
    @AliDulla Před měsícem

    😂😂

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps Před měsícem

    😂

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem

    Bora aendezake tumemchoka kabisa

  • @JohnRwabigene
    @JohnRwabigene Před měsícem

    Kinana tukichunguza atakua Mzee WA tamaa alitakiwa ajitoe mapema,ila vijana ndo wanamtumia
    Umli alionao Mzee ovyo,kanyumbani ulemaisha waachie vijana.
    Tulia Acha maneno umalizemaisha ya yako Kwa eshima

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před měsícem +3

    Yeye aliwaona mwezake kakosea akawarudisha wanawake bwana

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps Před měsícem

    😂

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps Před měsícem

    😂

  • @Bruno-ed1ps
    @Bruno-ed1ps Před měsícem

    😂