MASHARTI KIBAO KUMUONA NABII, WENGINE WANATOA MPAKA KIASI CHA 500,000 KUMUONA NABII, SUGUYE AFUNGUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 46

  • @Eyecuemedia1
    @Eyecuemedia1 Před 2 měsíci +5

    Big up Zembwela. Watu wa Mungu wana angamia kwa kukosa maarifa. Usiposoma Neno na kuielewa unapigwa na wahuni. Yesu kasema aliwapa wanafunzi wake bure na wao watoe huduma bure. Shetani katuchezea hadi kuonekana kumfuata Yesu ni dili na sio njia ya kwenda mbinguni.

    • @rosemneney3244
      @rosemneney3244 Před měsícem

      Uislam upi bure mpaka kuzika ustaaz.analipwa mtoto mchanaaa 20000

  • @JoshuaSiara
    @JoshuaSiara Před 2 měsíci +5

    Acha wakaangwe (in pastor hananja's voice)

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 Před 2 měsíci +14

    Asee......nlshatoa 250,000 kumuona kuhani wa mbezi kimara enzi hizo akiwa pale mwenge nkaingia kuonanae wakati nmefka mlangoni kuna mlinzi akaniambia et kwa pesa Yako utamuona kuhani kwa dkk 2 mule ndani kuhani akaniambia et nmemwagiwa mchanga wa makaburini mwisho akasema kanunue dawa za kuoga kunywa na kupaka jumla TSH 250,000 nilpotoka nkasema nmeshapigwa hapa nikasepa zangu bila kununua dawa nikaanza kuisoma biblia mwenyewe kujiombea mwenyewe kufanya kazi kwa bidii na nmefanikiwa tu vizuri........jamani fungukeni jmn🤣🤣🤣

    • @Official83640
      @Official83640 Před 2 měsíci +1

      Bado hujasema mpaka useme maana hawaelewi wengi endeleeni kuwafungua mwanangu anateseka na mama wa kambo yaani anaenda kufata dawa za uzazi hizo dawa zao wanazopewa huko anampa mwanangu apake aisee roho inaniuma mno mm muislam sina imani hizo jamna yaani huyu dd ananiudhi mno ipo siku atajuta kunifahamu

    • @Peterchila-un2lx
      @Peterchila-un2lx Před 2 měsíci +1

      Pole sana ila bado ujasema nautasema

    • @Bambagatz
      @Bambagatz Před 2 měsíci

      😂😂😂😂😂

    • @Bambagatz
      @Bambagatz Před 2 měsíci

      pôle sana ndugu
      Ni Mapito hapa hakuna kuhukumiana ushuhuda ni mzuri zaidi maana ndio utakaotumika pia kumshinda ibilisi

    • @bamag-021
      @bamag-021 Před 2 měsíci

      HEBU TUANGALIE NA HAPA YESU ANAVYOSEMA
      7 Na katika kuenenda kwenu, hubirini, mkisema, Ufalme wa mbinguni umekaribia.
      8 Pozeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma, toeni pepo; *mmepata bure, toeni bure.*
      9 *Msichukue dhahabu, wala fedha, wala mapesa mishipini mwenu;*
      10 wala mkoba wa safari, wala kanzu mbili, wala viatu, wala fimbo; maana mtenda kazi astahili posho lake.
      ( *Mathayo 10:7-10)*
      MMEPATA BURE ,TOENI BURE.
      IKiwa kuna malipo yoyote ya kumuona mtumishi wa Mungu(nabii, mtume, mchungaji, n.k) tuwe makini na huyo mtu maana atakuwa anapingana na YESU alivyoagiza.
      2) jambo lingine ni kwamba hata shetani anayo nguvu ya kufanya mijiza .. @
      Kipindi cha ELIYA NABII, MGOGOLO Uliokuwepo ni MUNGU YUPI AABUDIWE.
      Maana wote ni Mungu.
      (Mtu akitamka Mungu tambua kuwa hata BAALI Ni Mungu,) soma👇🏿
      21 Naye Eliya akawakaribia watu wote, akanena, *Mtasita-sita katikati ya mawazo mawili hata lini?* *Bwana* akiwa ndiye Mungu, mfuateni; bali ikiwa *Baali* ni Mungu, haya! Mfuateni yeye. Wale watu hawakumjibu neno.
      1 Wafalme 18:21
      Shindano la kumtambua Mungu wa kweli lilifanyika kwa kuangalia muujiza wa kushusha MOTO
      24 Nanyi ombeni kwa jina la mungu wenu, nami nitaomba kwa jina la Bwana; na Mungu yule ajibuye kwa moto, na awe ndiye Mungu. Watu wote wakajibu wakasema, Maneno haya ni mazuri.
      1 Wafalme 18:24
      Mungu (Bwana) alishusha Moto kujidhihirisha kwao.
      Lakini kwa kipindi chetu tunaambiwa shetani anauwezo wa kufanya miujiza mingi (kama tunayo iyona) hata kushusha MOTO nawatu watamsujudia kwa ishara hizo.
      13 Naye *afanya ishara* kubwa, hata *kufanya moto* kushuka kutoka mbinguni uje juu ya nchi mbele ya wanadamu.
      14 Naye *awakosesha wale wakaao juu ya nchi, kwa* *ishara zile alizopewa* kuzifanya mbele ya huyo mnyama, akiwaambia wakaao juu ya nchi kumfanyia sanamu yule mnyama, aliyekuwa na jeraha la upanga naye akaishi.
      Ufunuo wa Yohana 13:13-14
      Tutambue kwamba SHATANI Pia ana *UTATU MCHAFU.👇🏿👇🏿*
      13 Nikaona *roho tatu za uchafu zilizofanana na* vyura, zikitoka katika kinywa cha *yule joka* , na katika kinywa cha *yule mnyama* , na katika kinywa cha yule *nabii wa uongo.*
      14 Hizo ndizo *roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na* kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote *kuwakusanya* kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.
      Ufunuo wa Yohana 16:14
      TUOMBE ROHO MTAKATIFU ATUONGOZE KUYATAMBUA VEMA MAANDIKO

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari Před 2 měsíci +6

    Wacha waibiwe wanataka wenyewe hawalazimishwi acha wanyooshwe si wameamua kujifanya wanagadhabu na mihemuko ya imani.

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg Před měsícem +2

    Msitumie madarali kumuomba mungu. Sali omba mungu ni wa wote

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Před 2 měsíci +3

    Makanisa sasa yamekua biashara cha kushangaza hata haya makongwe yamegeukia huko michango kibaoo

  • @drsilo
    @drsilo Před 2 měsíci +4

    Uislam kila kitu bure na msada unasaidiwa karibuni ndungu zangu wakiristo kweny uislam kila ktu bure ww na iman yako tuu

  • @user-ne6vu7kc5u
    @user-ne6vu7kc5u Před 2 měsíci +1

    Point sana zambwela

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 Před 2 měsíci +3

    Dini ni biashara Yani wewe ukuze kiwango cha Imani harafu kujenga kanisa au mskiti mchange Sasa kama majibu yanatoka SI a anze yeye kuomba ili ajenge nyumba ya Ibada ajinunulie magari nyumba na mahitaji yake ila Kuni baazi Yao ni wapigaji na kutishana kwingi

  • @user-cg2tj9qz8h
    @user-cg2tj9qz8h Před měsícem

    Mimi nimetoa sh 500000 mbele ya mkewangu alitaka milioni sita

  • @SOMOMC
    @SOMOMC Před 2 měsíci

    mko sawa lakini sijamsikia suguye

  • @hildajoel5
    @hildajoel5 Před měsícem

    Yule wa buza kiboko ya wachawi mama yangu alienda akaulizwa una sadaka bei gani😂🙌 kubwa kuliko akaambiwa kumuona nabii na kuombewa laki 5 maamae akasepa😂😂

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Před 2 měsíci

    Manabii weng wa Sasa ni wafanyabiashara tu halafu ajabu hawana hata hofu ya Mungu

  • @rachelmsekena603
    @rachelmsekena603 Před měsícem

    Sijui tumeshakua mazuzu jamani yani nabii kumuona kwa hela hustuki tu

  • @alluminiumexperttz.12mview13

    Wapo ambao wamezikana kabisa familia zao sababu ya hawa manabii. Wamevunja ndoa za wengi sana sijui wanawafanya nini waumini wao hawaambiliki

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 Před měsícem

    Tunaitaka Dunia na kuhtaji ya Mungu hivyo basi madalali kibao wamejitokeza kudalalia uhusiano wako na Mungu, usjali endelea kutenda dhambin Njoo uchukue nguvu za MUNGU zko kwenye makopo pesa yako tuu😂😂😂😂 Guys
    Wakipatikana wa kutuongoza katka kweli tunapga vitaa mpk wanapotea

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 2 měsíci +1

    Makanisa ya utapeli

  • @EdenMcharo
    @EdenMcharo Před měsícem

    Kwanini tra isichukue kodi?

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 Před měsícem

    Mashajulikana kondo mlio potea kila mtu anataka kufunguwa kanisa awachunge kondoo

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 Před 2 měsíci +1

    Wakristo wote hatuchekan madhehebu yote ni pesa tuu

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 Před 2 měsíci +1

    😂😂😂😂Tanzania ni taifa rahisi sana kuliongoza, propaganda ndogo tu inawachanganya 😊

    • @gracemkami1343
      @gracemkami1343 Před měsícem

      Ni kweli mm mmoja wapo mishaidi nikajifanya naenda chooni nikasepa juu Kwa juupk Leo siwezi sahau waliamza lakin 7 kwenda kumuona

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Před měsícem

      Katika comments zote,wewe ndo umeelewa huu mchezo. Media zinatumikaga vibaya sana 😂

  • @mwankunjatyson
    @mwankunjatyson Před 2 měsíci

    Kiukweli kabisa haitakiwi kutozwa hata sh.1 unapokua umemuombea mtu Biblia hairuhusu kabisa

  • @JninjaH2R
    @JninjaH2R Před 2 měsíci

    Tunapenda miujiza sana ,makanisa ya ajabu yafutwe

  • @emmanuelMgani-pk6zt
    @emmanuelMgani-pk6zt Před 2 měsíci +2

    Wajinga ndio waliwao😂😂

  • @user-xc5tv9dl5k
    @user-xc5tv9dl5k Před 2 měsíci

    Hao ote matapeli tu

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 2 měsíci

    Wanao wapa ela wachungaji ni watu wapumbavu tena wasio na akili

  • @habibumallanga2381
    @habibumallanga2381 Před 2 měsíci +1

    Acha wakaangwe c wajinga

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 Před měsícem

    Tunaitaka Dunia na kuhtaji ya Mungu hivyo basi madalali kibao wamejitokeza kudalalia uhusiano wako na Mungu, usjali endelea kutenda dhambin Njoo uchukue nguvu za MUNGU zko kwenye makopo pesa yako tuu😂😂😂😂 Guys
    Wakipatikana wa kutuongoza katka kweli tunapga vitaa mpk wanapotea