Naimba kwafuraha nacheza kwafuraha na mshukuru mungu muumba mbingu na inchi kwaku nijalia neema za ajabu maishani mwangu asanti kwamaneno ayo mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yautume ilimpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
Naimba Kwa furaha na cheza Kwa furaha na mshuku Mungu muumba mbingu na Dunia Kwa kunijalia rehema nyingi za ajabu maishani mwangu , asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi nzuri yenye umuhimu sana katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwalinda siku zote za maisha yenu na kuwajalia nguvu za Roho mtakakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu amina
wapendwa shukulani kwa wimbo mzuri unao tujasa roho zetu na furaha ya mungu maishani mwetu.mungu kawabariki sana na awape nguvu mnapo enderea kumtumikia na kuliupili neno lake kote duniani. AMEN!!!
hi everyone nice song ,ningependa munipatiye lyrics ya hiyi nyimbo .nimeyipenda sana nigependa kuifundish ndani ya choir .asante sana na Mungu azidi kuabariki
Naimba naimba kwafuraha nacheza nacheza kwa Furaha na mshukuru Mungu muumba mbingu na inchi kwakunijalia rehema nyingi za ajabu maishani mwangu asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
May the Almighty feel our praises, oh God never leave us alone, tutaanzia wapi sisi. May you be praised mchana kutwa na kila siku za maisha yetu. Thanks God for blessings.
I always love your Catholic songs, they inspire, they have a good message, they entertain n they bless our souls. Congratulations for this well practiced, well sang n well composed songs. Kutoka St.Joseph Kahawa sukari parish Kenya twasema Hongera!!!
mungu awape rehema muzdi kumtukunza kwa njia ya nyimbo zenu"me cna la ziada kama pongez wametoa wanzangu wa nyuma yangu"endeleeni mungu wangu atawalipa ujila wenu"Ameni♡
this is my morning n night tune,I love your dancing my dears,you are amazing,the piano player tunes touches my heart ,cant wait to see you live May God give you good health for more inspiration
beautiful beautiful song and people.I love the way yo so committed to the work of our GOD the dancing is spectacular.you guyz are a blessing.amazing a. called Cate wairimu
26 Pia, kumbuka kuwa yeye ni mtu yule yule na kumbukumbu moja. Anakumbuka kuwa alikuwa na wandugu na dada wengi hivi kwamba alifanya vile na kitendo kama hicho duniani wakati wa maisha yake. Na ni ama malaika wa Mungu ambao wanakupeleka, au malaika wa Shetani ambao wanakupeleka. Yote inaambatana na njia aliyokuwa ameifuata duniani! Mnaona? Sio kitu cha siri, utaonekana huko katika mwili usioonekana kwa wanadamu na watu ambao hauwajui watakupeleka mahali pako pa mbinguni! Na mara tu huko, utagundua wale ambao wapo! Ni wale wa kanisa lako duniani! Unaweza kuona ndugu kama hawa na ambao walikuwa wamekufa! Na kama wewe "ulikuwa mwanasiasa utajikuta katika kikundi cha wanasiasa wengine! Ikiwa ulikuwa mcheza mpira au ikiwa ulichukua hatua kama hiyo na vile, utapata sehemu yenu Mbinguni!
Naimba kwafuraha nacheza kwafuraha na mshukuru mungu muumba mbingu na inchi kwaku nijalia neema za ajabu maishani mwangu asanti kwamaneno ayo mungu awajalie neema nabaraka katika kazi yenu yautume ilimpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
Naimba Kwa furaha na cheza Kwa furaha na mshuku Mungu muumba mbingu na Dunia Kwa kunijalia rehema nyingi za ajabu maishani mwangu , asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi nzuri yenye umuhimu sana katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwalinda siku zote za maisha yenu na kuwajalia nguvu za Roho mtakakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu amina
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu
Mungu awe nanyi daima wakatholiki wa Tanzania
Mzuri wimbo wa utamadunisho,hongera saana,nimeipenda sana
Congratulations nice song 🔥🔥🔥
wapendwa shukulani kwa wimbo mzuri unao tujasa roho zetu na furaha ya mungu maishani mwetu.mungu kawabariki sana na awape nguvu mnapo enderea kumtumikia na kuliupili neno lake kote duniani. AMEN!!!
Nimeiimis Sana kitunda yetu kipindi icho, tukiongozwa na James mwiyunge waroma tupo juuu
Ooooh nooo it's fantastic
I have spent my childhood in this island. It was a cycle estate and my father was working there. I was born in Lindi.
Karibu tena
hi everyone nice song ,ningependa munipatiye lyrics ya hiyi nyimbo .nimeyipenda sana nigependa kuifundish ndani ya choir .asante sana na Mungu azidi kuabariki
na mimi na mshukuru Mungu muumba wa mbingu na inchi kwa kunijaliya rehema nyingi za ajabu maishani mwangu Amen❤
Naimba naimba kwafuraha nacheza nacheza kwa Furaha na mshukuru Mungu muumba mbingu na inchi kwakunijalia rehema nyingi za ajabu maishani mwangu asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Amen
Nice song congratulations).
I like this song 🔥😍
Be blessed all.
May the Almighty feel our praises, oh God never leave us alone, tutaanzia wapi sisi. May you be praised mchana kutwa na kila siku za maisha yetu.
Thanks God for blessings.
jambo kwanza ,mungu awazidishie kipawa cha nyimbo nzuri Sana'a aaaaa
What a wonderful song!
Tuendelee kumsifu Bwana bila kurudi nyuma wanafamilia!
Tumsifu Yesu Kristo!
I love this song million times💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞💞
Je suis très heureux d'écouter ces chants . Mnafuraha kabisa
I love this song
Ooh wow Catholic 💝💝💝💝💝💝💝am proud to be catholic ooh god bless all
asante Yesu mbalikiwe sana watumishi
Wimbo nzurk kabisa !mungu akubaikiwe sana
I always love your Catholic songs, they inspire, they have a good message, they entertain n they bless our souls. Congratulations for this well practiced, well sang n well composed songs. Kutoka St.Joseph Kahawa sukari parish Kenya twasema Hongera!!!
Tz hoyeeeeeee!
Very nice to see and listen for ius christians
Great song asante sana
Ongera wanakwaya! Kenya tunabarikiwa!
Alafu kuna mtu anataka kukosa mbinguni imagine hizi raha zote tuzikose milele woii Mungu nisaidie nisikose Mbingu
Amazing Catholic tradition song
Those vocals awwwww soo nice,keep it up n b blssd.
hongereni sana kwaya ya familia kitunda mko vizuri ,yaan kwa jinsi mnavyoimba ata mgojwa atapata hamu ya kucheza na kuamka
Mungu awabariki sana kwa nyimbo mzuri
Congrats guys you have done a good job God continue blessing you to worship Him
Wimbo mzuri sana Mungu awabariki sana
I love t. I thank God for u guys keep up the good work of praising God. I keep on watching this video everyday. Namshukuru Mungu Milele Amina
Catholic songs are a blessing. God bless!
Asante sana kwa wimbo huu!! Tumsifu Yesus Christo...
This song blesses me so much. Barikiwa Familia Takatifu.
I love this song day and night ....wonder blend of voice
WOW!Mungu awabariki sana jamani naombnea maneno ya huu wimbo hatakama ni kiitikio tu. Natanguliza shukrani zangu za dhati
nimeipenda sana kiukweli.
These songs gives me strength and hope in life am so impress
Asanten sana Kwaya Ya Familia Takatifu Kitunda ka Uinjilishaji kupitia Kuimba! Asanteni sana. Mungu awabariki!!
mungu awape rehema muzdi kumtukunza kwa njia ya nyimbo zenu"me cna la ziada kama pongez wametoa wanzangu wa nyuma yangu"endeleeni mungu wangu atawalipa ujila wenu"Ameni♡
mashallah mungu awaongoze milele daima
♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡Amani kwenu milele yote
..me gusta un montón. ...enhorabuena. ...bendiciones. ..
Nice song have been searching for it for almost an year
Nyimbo nzuri wapendwa.Densi yenu pia iko juu sana.Mwaaaaaaaa
My baby sleep to this song
This song is one of my favorites songs. Good Job St. Kitunda!
Hongera....safi kabisa
I wish the last part was a song of its own.
What a lovely song God bless you
nyimbo nzuri sana,tunabarikiwa kwa nyimbo hizi.
Waimbaji hoeeee!!! nani kama ninyi keep it up! God bless u.
Juz like it, inculturation in its peak, thumps up guys and big ups mkude, alwas my mentor in organ playing.
this is my morning n night tune,I love your dancing my dears,you are amazing,the piano player tunes touches my heart ,cant wait to see you live
May God give you good health for more inspiration
Beautiful song. Keep up East Africa.
I'm more impressed with Catholic songs, God bless those singers
O
very nice. A cut above the rest. full dvd needed. keep up!
I love the song.may good God bless us
Oh my goodness. Love the song very much. and the dance it is very traditional. The pianist is professional too. Hongera sana Kwaya ya Familia Takatifu
this is awesome, gives me a passion to be an organist too
Ooooh nooo it's wow
It's the love of our Creator
The greatness of God is above everything in this world, God, always I have to say thanks to you for abandant blessings.
beautiful beautiful song and people.I love the way yo so committed to the work of our GOD the dancing is spectacular.you guyz are a blessing.amazing a. called Cate wairimu
i wish to be part of your choir member , u have touched my heart. blessed are u
Wonderful song thanks
Nice. Reminds of The good old days!
Exxxxv
video
kumakubwa
Nyimbo za kikatoliki nzuri Sana zinatakafarisha Sana
thank you, thank you, thank you for love ness song.
keep blessed.
Wimbo mzuri wa kutuliza roho...Mungu awa bariki sana
I love this may God keep you going...
Nabalikiwa sa, nampongeza na mpiga kinanda👏👏🎵😘😘🎺
Kwa kwel
more than excellent!!! God bless you Guys...
Big-up Mkude
mathew ouma Hatuna budi kumshukuru Muumba kwa mema al'otutendea.Angekuwa mwanadamu.............................
Good job! Kudos! Keep it up. Hongera sana
waaoo be blessed all.really i like your folkdance very atractive.
Thanks Lord .....wow nice song
naimba kwa furaha
nice song listening from Kenya
may you our God bless all singers
such a nice song .. nimeipendaa lakini naomba mniambie jina la hiyo nyimbo ya mwisho ( heri walio maskini wa roho) nimeitafuta lakini sipati
i feel blessed when i listening this song i love it God bless you all gud guyz
Nice song
Love the dancing styles
Nice song may almighty God bless you all
Mungu awabariki
Mme imba vizuri sana na nazidi kubarikiwa GOD BLESS
Lovely song, good vocals.
Mahea - Kenya
I thank God our creator
I really love it may God bless u all
Wow
that's its amazing
Nafurai Sana nimiss kanisa
Good music, praise God
I love the song plus the dances are perfect ..am blessed !kip it up & God bless u
Marko Kaye I absolutely feel inspired please keep it up
Hi
Good dancing, good message, it's real killing me
God blessed all the Catholic songs Amen.
26 Pia, kumbuka kuwa yeye ni mtu yule yule na kumbukumbu moja. Anakumbuka kuwa alikuwa na wandugu na dada wengi hivi kwamba alifanya vile na kitendo kama hicho duniani wakati wa maisha yake. Na ni ama malaika wa Mungu ambao wanakupeleka, au malaika wa Shetani ambao wanakupeleka. Yote inaambatana na njia aliyokuwa ameifuata duniani! Mnaona? Sio kitu cha siri, utaonekana huko katika mwili usioonekana kwa wanadamu na watu ambao hauwajui watakupeleka mahali pako pa mbinguni! Na mara tu huko, utagundua wale ambao wapo! Ni wale wa kanisa lako duniani! Unaweza kuona ndugu kama hawa na ambao walikuwa wamekufa! Na kama wewe "ulikuwa mwanasiasa utajikuta katika kikundi cha wanasiasa wengine! Ikiwa ulikuwa mcheza mpira au ikiwa ulichukua hatua kama hiyo na vile, utapata sehemu yenu Mbinguni!
i love the song
Asante Santa kwakuimba vizuri
It is realy nice
love this song
Wonderful vocals I will always enjoy your praise songs! Blessings to you all ...
blessings to those who are ready to be blessed