RECAP: ALBUM YA YOUNG LUNYA IMEBUMA?? HAIJAFANYIWA PROMO WALA MEDIA TOUR, TATIZO NINI KWA UONGOZI??
Vložit
- čas přidán 4. 07. 2024
- Bongo5 is a dedicated to creating the best content for you, our audience!
We hope you enjoyed this video, and ask you to please like & subscribe to our channel if you haven't yet. Have you had a great experience with our channel? Let us know in the comments below!
#entertainment #news #music #funny - Zábava
KWELI KAKA MIMI NAKUKUBALI SANA BLO WEWE NIZAIDI YA WASEMAJI YANI BLO ❤❤❤❤❤❤
ndio kwanza siku SITA kaka inabidi tuwape muda management mbona alifanya wasafi
Wewe si ndo ulie kuwa unasema yuong lunya ndo msanii wa hip hop mbora leo hii unasema nini sasa kwenda huko mnafki wewe hiloooooooo😮😮😮😮
Kuna wakati niko najiuliza ilo promotion unakuwaga na liongelea ni lipi ?
Sasa mtangazaji inatakiwa ujue kutofautisha kati ya single na album, hata huko Duniani msanii akiachia album namba zake haziwezi zikawa sawa na akiachia single kwa muda huo huo mchache. Album ni project ya pamoja huwezi sikiliza album kama single Moja album inabidi ipewe muda mrefu kidogo sio siku chache tu unaanza kuijaji mbona hizo namba ni namba nzuri tu ukizingatia soko letu la hip hop kilivyo jamaa amejitahidi Sana kwa hizo namba, unatakiwa ujue mziki wetu umeathiriwa zaidi na amapiano na miziki mwingine kuliko hip-hop hizo namba kwangu Mimi kwa muda huu naona ni namba nzuri Sana kwake
Acha kupotosha watu akuna albam nzuri hapo. Kelele nyingi
Angalia album za wasanii wakubwa wote marekani kisha urudie kurecap hii content yako kaka! hiyo ni album sio single songs kumbuka ni album inayostreamiwa platform tofauti Vedio ndo zitaleta namba hapa mkubwa
Haijaenda kwasababu hana mashabiki wanao mkubali mashabiki zake wote watoto wadogo ndio wanao msiliza young lunya hem nenda kaangalie album ya roma mkatoliki alafu ndo utajuwa kama young lunya ni mtoto wewe kila siku umengangania promo promo mbona wewe hicho kipindi chako hukifanyii promo😮