Mazungumzo ya mvuta bangi kwanza kutoka hapa kwenda huko Rotterdam kapanda ndege 4 za nchi tofauti hata kipofu humdanganyi hayo ni maongezi ya MA Seaman nchi kavu.
Muongo sana huyu,ni habari tu kazisikia kutoka Kwa watu. Hayo maswali anayo sema waulizwa wala sio kabisa. Msiwahoji watu wenye njozi za mchana.kaongopea sana
Huyu jamaa pia nimuongo huwezi kupata connect flight ya Emirates ikakuchukulie Bahrain 'alafu kwa ticket aliyokata kwenda kulala hotel Oman pia ni uongo'hapo ametaja mashirika tofauti 4 nahizo route pia amekosea kupanga huo uongowake 'wasafiri tunaelewa
@@amourabdallah2978 kuna vitu nadhan kachanganya. .ila n kweli .anaweza kiwa anakosea kumbuka hiyo story ya miaka ya 2000 .inaweza kuwa mambo yanabadilika .hata tour zinabadilishwa
Pole Sana brother ani kwakwel ayo mambo unayoogea niyakwakweli kabisa brother wangu ani lazima mtu uwakatae utaifa wako ani ata Sisi tumekataha utahitafa wetu
Maelezo yke sahihi lkn kwenye ndege dhuu nne hapo nashaka nayo , na pia kuna watu akimckia mtu anaongea ni mwepesi kushika kwa maeleza ya ukimbizi upo sw.
Μπράβο ρε παλικάρια !!!!
Nikija tz nitafanya kipindi cha story na ww jamaa wa mbanga nakukubar sana wangu keep it up
Big up Mzee WA mbanga
Mazungumzo ya mvuta bangi kwanza kutoka hapa kwenda huko Rotterdam kapanda ndege 4 za nchi tofauti hata kipofu humdanganyi hayo ni maongezi ya MA Seaman nchi kavu.
sikiliza vzr
Kwa nini uamini Kama kapanda ndege 4?
Aujawah kusafiri nn izo si connection za ndege na kuunga unga kutafuta urahis wa bei au nauli na kwa miaka iyo sio vitu vya kushangaa
Bro story kali mimi mrundi nime enjoy
Makaveli Wa Leeuwarden. .😊😊😎 Ally Kato aka 2pac
Muongo sana huyu,ni habari tu kazisikia kutoka Kwa watu.
Hayo maswali anayo sema waulizwa wala sio kabisa.
Msiwahoji watu wenye njozi za mchana.kaongopea sana
Pole sana nilijiita muisilsm kwenda Oman mbinde kwenye kuswali nina mengi
Punguza sauti ya background
Noma
Pole bro Salam zangu kutoka USA marekani
Gulf inapita Mascat au Abudhabi Baba United Arab Emirates
Utakuwa ulinunua ticket ya bei rahisi ndiyo maana umekuwa na connections nyingi pole sana utakuwa ulichoka sana kusafiri muda mrefu
Huyu jamaa pia nimuongo huwezi kupata connect flight ya Emirates ikakuchukulie Bahrain 'alafu kwa ticket aliyokata kwenda kulala hotel Oman pia ni uongo'hapo ametaja mashirika tofauti 4 nahizo route pia amekosea kupanga huo uongowake 'wasafiri tunaelewa
@@amourabdallah2978 eti Muscat Oman halafu akapanda Emirates. Majanga
Ana tunga au vipi 🤣
@@amourabdallah2978 kuna vitu nadhan kachanganya. .ila n kweli .anaweza kiwa anakosea kumbuka hiyo story ya miaka ya 2000 .inaweza kuwa mambo yanabadilika .hata tour zinabadilishwa
Part 2 plz
Mtangazaji maneno mengi unaludia story bro shida nn
Pole Sana brother ani kwakwel ayo mambo unayoogea niyakwakweli kabisa brother wangu ani lazima mtu uwakatae utaifa wako ani ata Sisi tumekataha utahitafa wetu
Halafu imekuwaje sasa urivyo kataa sasa. Unauraiya gani
.
Background sound punguzaa
Ally kato
Yani huyu mwandishi anazingua anaongea Sana kututafsilia kiswahili wakati anayemuhoji tumemwelewa.
Anaongea kiswahili na wew unatutafsilia una haribu story ongea kidogo
Lini itaendelea
Maelezo yke sahihi lkn kwenye ndege dhuu nne hapo nashaka nayo , na pia kuna watu akimckia mtu anaongea ni mwepesi kushika kwa maeleza ya ukimbizi upo sw.
Kwa nini unamashaka Kwa kupanda ndege 4 ?
Huyo Ni OS
ordinary sailor 😅 alikua AB bhnana
..
Bob kato
Mtangazaji unaongea sana kuliko unae mhuhoji alafu unaogea usenge tu na makelele mengi
daaah interview nzur ila fupi
Hahaaa si ya kucheka weeee wacha tu , jamaaa ananikumbusha mbali hahaaaa kutafuta maisha mbinde jamaa anaongea ukweli mtupu
Sana namwelewa kinoma
Kaka tunaomba uongeze muda