Fursa za utajiri kupitia kilimo cha zao la Vanilla
Vložit
- čas přidán 17. 11. 2021
- Watanzania wanaofikiria kuwa mamilionea kupitia kilimo, wanaweza kujaribu bahati kwa kujihusisha na uzalishaji wa vanila.
Zao la vanila ni sehemu ya mazao ya viungo kama iliki, mdalasini, vitunguu saumu na tangawizi; huuzwa kwa bei ya juu ndani na nje ya nchi.
We bro ni mwongo! Mbna waziri amekataa acha uongo
Jinsi cha ya kuandaa shimo la kupanda vanilla na nimbolea ipi inatakiwa?
Hiyo vanilla inatumika kufanyia nini au inatumikaje, ( kwa mfano embe ni tunda, unaweza kula pia unaweza kutengenezea juisi, sasa hii vanilla inakuwaje?).
Kiwango Cha kuwekeza pesa ni T.sh ngapi ?
TUNAOMBA utaratibu Arusha
Mtupe soko jamani liko wapi jmn
Tutapataje mbegu
Naweza kupata mkopo wa kulima vanilla? Shamba langu liko kijiji cha Nyingwa, Matombo Morogoro