Ni ukweli usiopingika kwamba CHAMA tulimpenda sn,lkn SIMBA yetu tunaipenda zaid,naamini wanasimba hatuwezi kuyumbishwa na ngedere mmoja.Chama aliweza kuleta shida ndani ya Simba km mtakumbuka vizuri pale MANARA alipoondoka SIMBA,kwahy mda wote alikuwa anachaeza kwa kufuata maelekezo na mwisho kaamua amfuate shoga ake huko..Simba itaendelea kubaki kuwa Simba,na ni kosa kubwa kumwona Simba Kalowa ukamfikiria kuwa ni PAKA
Chama was there na still simba ilifungwa its a good thing akaanze maisha yake upya all the best anakoenda simba ianze upya kutengeneza time nzuri era ya kina chama simba imeisha tayari
Ni ukweli usiopingika kwamba CHAMA tulimpenda sn,lkn SIMBA yetu tunaipenda zaid,naamini wanasimba hatuwezi kuyumbishwa na ngedere mmoja.Chama aliweza kuleta shida ndani ya Simba km mtakumbuka vizuri pale MANARA alipoondoka SIMBA,kwahy mda wote alikuwa anachaeza kwa kufuata maelekezo na mwisho kaamua amfuate shoga ake huko..Simba itaendelea kubaki kuwa Simba,na ni kosa kubwa kumwona Simba Kalowa ukamfikiria kuwa ni PAKA
Mzee wa watu kachanganyikiwa kweli hata hajui anachoongea🤣🤣🤔
chama angebaki nyie ubingwa mungeendelea kuusikia...toa taka taka izo....anza upya.
Mzee masatu simba itabaki kuwa simba
Ila huyu mzee huyu🤣😅
Uyo mzee amepagawa nakuondoka kwa chama
Leo nimefurahi sana Simba maduka yote yameondoka tuanze upya
Kabisa kabisa bro..
Bdo mangungu kaka
Sasa unakikosi kipi ww mzee.
Wewe mzee mpuuzi kweli mjipange kupokea magoli
Chama was there na still simba ilifungwa its a good thing akaanze maisha yake upya all the best anakoenda simba ianze upya kutengeneza time nzuri era ya kina chama simba imeisha tayari