MZEE MASATU AJIBU KWA JAZIBA CHAMA KWENDA YANGA/ MUACHENI AENDE YE NANI?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • KWA MATANGAZO HABARI NA MATUKIO TUPIGIE
    0625466848 AU 0753393036
  • Sport

Komentáře • 12

  • @abdisalim7900
    @abdisalim7900 Před 2 dny +2

    Ni ukweli usiopingika kwamba CHAMA tulimpenda sn,lkn SIMBA yetu tunaipenda zaid,naamini wanasimba hatuwezi kuyumbishwa na ngedere mmoja.Chama aliweza kuleta shida ndani ya Simba km mtakumbuka vizuri pale MANARA alipoondoka SIMBA,kwahy mda wote alikuwa anachaeza kwa kufuata maelekezo na mwisho kaamua amfuate shoga ake huko..Simba itaendelea kubaki kuwa Simba,na ni kosa kubwa kumwona Simba Kalowa ukamfikiria kuwa ni PAKA

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 2 dny +1

    Mzee wa watu kachanganyikiwa kweli hata hajui anachoongea🤣🤣🤔

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 2 dny +1

    chama angebaki nyie ubingwa mungeendelea kuusikia...toa taka taka izo....anza upya.

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Před 2 dny +1

    Mzee masatu simba itabaki kuwa simba

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 Před 2 dny

    Ila huyu mzee huyu🤣😅

  • @user-ws2ub7px4t
    @user-ws2ub7px4t Před 2 dny

    Uyo mzee amepagawa nakuondoka kwa chama

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383 Před 2 dny +1

    Leo nimefurahi sana Simba maduka yote yameondoka tuanze upya

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Před 2 dny +1

    Sasa unakikosi kipi ww mzee.

  • @agnesmbogo3753
    @agnesmbogo3753 Před 2 dny

    Wewe mzee mpuuzi kweli mjipange kupokea magoli

    • @barbiepixie92
      @barbiepixie92 Před 2 dny

      Chama was there na still simba ilifungwa its a good thing akaanze maisha yake upya all the best anakoenda simba ianze upya kutengeneza time nzuri era ya kina chama simba imeisha tayari