Fix You: Nilijitoa sana kwa girlfriend wangu lakini akaniacha alipopata kazi, waliniasa sikusikia

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

Komentáře • 60

  • @magrethrichard8477
    @magrethrichard8477 Před 8 měsíci +1

    Nauliza wanawake hv unasalitije mwanaume mwenye roho nzuri hv,,nyie mwanaume bora asiwe na hela ila awe na roho nzuri,,,napenda mwanaume mwenye roho na hofu ya mungu❤❤❤

  • @revocatusbahatibussiah5201
    @revocatusbahatibussiah5201 Před 11 měsíci +3

    Bro ur so strong like me!!!!! Hata mm iliwah nikuta hiyo but I stand STRONGEST
    Kupona hadi mwaka uishe....
    Na MUNGU atakupatia unaestahili

  • @shabanialawi1566
    @shabanialawi1566 Před 11 měsíci +3

    Nakubaliana na wewe Amos! Kwanza hii ku-date haipo kwenye culture yetu, sisi unamuona unaemtaka unasema unaposewa unaoa sio ku-date 😊

  • @elizabethmgina945
    @elizabethmgina945 Před 5 měsíci

    Be strong my bro hata mimi nimeumizwa na mpenzi wangu mbaya zaidi ameniambia anaoa mwezi huu wa tano namshukuru MUNGU japo bado cjapona😢

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 11 měsíci +5

    ila mapenzi kila mtu analalamika kivyake dah wanawake wanakuja apa wanalalamikia wanaume na wanaume nao wanalalamikia wanawake aaahhhh kweli mapenzi kamari 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻

  • @beatricemalle4422
    @beatricemalle4422 Před 11 měsíci +2

    Mungu ampe mwanamke wa maisha yake atakayempenda na kumuheshimu

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 11 měsíci +2

    Dada Irene u back again,,wow,,❤️🥰we love you and kipindi chako pia,,usiache dada Irene endelea nakipindi chako kinatufunza sana

  • @jacksonrusanyu5521
    @jacksonrusanyu5521 Před 11 měsíci +6

    Dada zile nywele zako natural zinakutoa sana

  • @elamndendya5917
    @elamndendya5917 Před 11 měsíci +2

    Pole sana kaka ila umetuambia ukweli mtupu

  • @Zenny89
    @Zenny89 Před 11 měsíci +4

    Sasa Blaza!!! Kwanini msichana wa kitanga?? Ulitakiwa upate msichana wa kikuriaa… kila ukimwangalia usoni unapata ugonjwa wa Moyo😩.. hutaachwa.

  • @kmotivation1130
    @kmotivation1130 Před 11 měsíci +3

    Ndugu zangu mimi sijui mapenzi lakina wanaume wenzangu acheni kuwa nice guy ,ukiwa nice guy sana mwana mke ana kutumia kukamilisha dream zake kupia wewe yani anakutumia ipasavyo so stop to be nice man, act like Alfa,Sigma guy itakusaidia , wanawake wengi wanatesa Beta Man coz ni wapole so wanaume Kuweni Makini ,

  • @husseindjumida6568
    @husseindjumida6568 Před 11 měsíci +1

    Bro anaongea mpaka mamb amabayo hajaulizwaa😂😂. Sio sawaa. Tena kama ww huwezi kua manager, mm na weza kabisaa...

  • @doricelugundiza4849
    @doricelugundiza4849 Před 11 měsíci +1

    Pole sana….

  • @thomaskapande8618
    @thomaskapande8618 Před 9 měsíci

    Sure

  • @husseindjumida6568
    @husseindjumida6568 Před 11 měsíci +1

    Napendaa sana ichi kipindi! Dada pole namafuwa.😢😢

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious Před 11 měsíci +2

    😂😂😂 Brother Mahusiano Sio Mpango

    • @elmereckbet4510
      @elmereckbet4510 Před 11 měsíci +1

      Ila waisa 😃

    • @Mbeyaconscious
      @Mbeyaconscious Před 11 měsíci +1

      @@elmereckbet4510 😆😆😆😆😆😆

    • @Mbeyaconscious
      @Mbeyaconscious Před 11 měsíci +1

      @@elmereckbet4510 But Somo Kubwa Unetupatia Sisi Kama Vijana 💥💥💥💥

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 Před 11 měsíci +1

    Mim tukiachana ntajutia tuu moyo wangu lkn sio materials ambazo nlimsaidia au kunisadia coz vitu vipo vinapatikana ....ila jeraha la moyo Mungu atuponye tuu kwa sabbu kuna watu tukupenda tunaingiaga kichwa,mikono,miguu mpaka na viatu😂😂😂ukina kutendwa kutoka utajua hujui😅😅😅

  • @riziwanikipande8807
    @riziwanikipande8807 Před 11 měsíci

    Pole kijana

  • @wisemelodytz589
    @wisemelodytz589 Před 11 měsíci +2

    Kipindi bora kabisa hasa kwa sisi vijana kuna mengi ya kujifunza hapa
    Nulichogundua kutokana na story ya bro ni kwamba alikua "nice guy" wanawake wengi hawapendi hiyo usiwe innocent sana mwamba unatakiwa kuwa na heka heka "bad boy" imagine anataka kufua nguo za ndani mwanaume ni kichwa bro wanaojua wameelewa

  • @naumikabila5880
    @naumikabila5880 Před 11 měsíci +1

    Hivi kwanin wanawake au wanaume wenye wapole na wako na true love ndo watu wanao umizwa sana kwenye mahusiano jmn??

  • @liberatharichard4556
    @liberatharichard4556 Před 10 měsíci

    Typing..................deleting.........., .......😢

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe9815 Před 11 měsíci +2

    Icho ki2 hata Mimi kimenikuta Ila Kwa kua Mimi ni son of LUCIFER, nilimuona Ka choko tu Yule demu, Kwa kua hakuniachia kilema nipo imara Sana mtoto wa kuzimu

    • @jamesmwakyusa9772
      @jamesmwakyusa9772 Před 11 měsíci

      Duh

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Před 11 měsíci

      Khee!Son of who..........nilidhani nimesikia mengi duniani.

    • @benjaminchakwe9815
      @benjaminchakwe9815 Před 11 měsíci

      @@jamesmwakyusa9772 Mambo yakawaida Sana haya hata usiogope wala kutishika

    • @benjaminchakwe9815
      @benjaminchakwe9815 Před 11 měsíci

      @@neemayatosha1618 Mambo yakawaida Sana haya wala usiogope wala kutishika ☠️🤘🏿

  • @abdallahmvungi3566
    @abdallahmvungi3566 Před 11 měsíci +1

    NIMEPENDA HILO SWALI LA "ULIJUAJE KAMA ATAKUWA MKEO", HAPO NDIPO VIJANA WENGI TUNAPO KOSEA .

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před 11 měsíci +1

    Sound down aongelee kwenye mic

  • @geofreymchwemba9251
    @geofreymchwemba9251 Před 11 měsíci

    Sema hapo kunavitu vya kumsaidia mwanamkee ,, mfano vocha unamsaidia na yeye anakupigia wapo unawapa vocha hawakupigii kabixa,, kwangu sisahi mwanaume kuwajibika kabla ndoa ila kwenye ndoa mwanaume hanstaili kuwajibika

  • @user-cq2uh6wl6o
    @user-cq2uh6wl6o Před 11 měsíci +1

    Duuuuuu Broo Broo iyo stor inaniusu kbs yamenikuta mm mzee yaan isje kukutokea iyo ishu

  • @officialoscaroscarjrfan
    @officialoscaroscarjrfan Před 11 měsíci +1

    Yaani ni mm kabisa huyu daah maumivu yake duuh

  • @husseindjumida6568
    @husseindjumida6568 Před 11 měsíci +1

    Sister anajua kuhoji kuliko ma host weng ambao mnao Sns..yani ni namba 1 ao 2 kivyangu mimi..

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 11 měsíci +1

    Ndo maana mimi nimechagua kua single

  • @Salehabdallah-cu7kh
    @Salehabdallah-cu7kh Před 11 měsíci

    Kila mtu anakua mshauri mambo yakienda kombo....nobody tells us about it wakiwa kwa romance

  • @charlesjohn5792
    @charlesjohn5792 Před 11 měsíci

    Kwa tabia hizo za huyu jamaa lazima tu uachwe....

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 Před 11 měsíci +2

    Sasa huyu kaka ni Lambistic anahitaji tiba ya kisaikolojia. Girlfriend kazi yake ni kupelekewa moto tu, malavidavi, romatic gestures, kufuliana chupi, kunyonya papuchi, kumpikia, kusaidia wazazi wake kiuchumi, kumtoa out, kuwekeza kwa future ya mpenzi, kutelekeza familia yako kisa mchumba na kujitoa sadaka hayo ni mambo unayaacha kwanza hadi huyo Girlfriend awe mke na hiyo ni baada ya kujiridhisha pasipo shaka lolote kuwa anaweza kupokea moto wakati wowote, muda wowote na "popote".

    • @halimoabgal5039
      @halimoabgal5039 Před 11 měsíci +1

      😂😂😂😂😂 daaaahh

    • @acmaheri
      @acmaheri Před 11 měsíci

      Mhhhhh😂😂😂😂😂😂. Kama mawazo ya vijana wa siku hizi ndio haya wasichana wa nyakati hizi watapata sana tabu

    • @DannyWiston-rb9cl
      @DannyWiston-rb9cl Před 11 měsíci

      @@acmaheri huwez kua na mawazo ya vijana wa kizamani ambao ni wazee wasasa, ikiwa wewe ni kijana wa sasa, tunaishi nao kulingana na walivyo

    • @thomaskapande8618
      @thomaskapande8618 Před 9 měsíci

      Ukiwa mlaini mno kwa mwanamke ndo matokeo yake better ukajua mipaka ya me na ke

  • @thomasgabriel588
    @thomasgabriel588 Před 11 měsíci +1

    Mwamba mchumba hasomeshwi

  • @AminaAmina-yy1fn
    @AminaAmina-yy1fn Před 11 měsíci

    Umejichanganya