KUTENGENEZA MAFUTA YA NAZI // Jinsi ya kutengeneza mafuta ya NAZI.
Vložit
- čas přidán 16. 11. 2020
- Nafurahi kushare video nyingine ya ninyi.
JINSI YA KUTENGENEZA MAFUTA YA NAZI
Nadhani wengi wenu mtaipenda.
Namtumaini mnafurahia Video zangu. Asanteni kwa kuangalia.
Iliusikose video zangu SUBSCRIBE hapo chini
Nifollow katika mitandao mingine
Instagram: @glow_ch1
Tik tok: glow_ch
Product nilizotumia
--------------------------------------------
Labda kuna mtu atataka kujua:
Camera ninayotumia : Canon 80D
Software ya kueditia video : imovie
Taa ninayo tumia : Ring light
Kamera ya kufanyia vlog: iphone xs
Kwa, sponsorhip, product review, jisikie huru kunitafuta katika barua pepe: g.mtei54@gmail.com
#mafutayanazi #glowcharls #nazi #Kutengeneza
Maoni yote katika video zangu ni yangu mwenyewe, bila kujali ikiwa video imefadhiliwa au la. Hivyo basi, bidhaa ambayo nimejaribu ikanifaa mimi inaweza isikufae wewe.
Wenu,
Gloria
Omg that was super magic sikujua kabisa it separates, that was amazing yani unapata pure coconut oil. Natafutaga sana oil napata ila it looks like imechakachuliwa mbaya kabisa. But now i got an idea from mutu mukubwa, mutu mwenye akili kubwa kabisa, mutu mwenye kamati yake mwenyewe🥰🥰
Regards,
Your number 1fan♥️
Genius unashindwaje haya mambo wewe 🙈🙈🙈mpaka wanakuuzia yaliochakachuliwa Genius 😂😂😂. Unakosea wapi jamani 🤣🤣🤣🤣🤣. Mimi pia ni your number 1 fan and you know it rafiki yangu wa majuu ❤️❤️
Ubarikiwe San
Waooh this is amazing G yani mafuta yamejichuja vizuriiii aisee big up dear asante kutupa darasa
Asante sana dear. 🙏🏾🙏🏾
Asante kwa kutumegea ujuzi
Asante kwa somo lako zuri
Some nzuri kweli ...hayawezi Yaka nganda
Asante nimejifunza
Huwezi kuchemsha bila kuweka kwenye fridge?
Coconut oil has a lot of health and hair benefits for sure
Nimeipenda hii njia ni nzuri na rahisi
Ila mimi napendelea yale mengine ambayo hayajapitishwa na moto
Njia Hii ni rahisi sana👌🏽👌🏽
Unaweka kwenye friza au friji tu sehem ya kawaida
Na kweli hii njia ni rahisi alaf yametoka mafuta mengi .Asante kwa kushare nasi
Kweli hii njia ni rahisi na inatoa mafuta mengi. Asante sana dear.
@@GlowCharls naweka kwenye friji au friza
Safi sana!!
upo vzr asant kw ujuzi
Acha nikupe lik umeonesha vizuri
Safi saaana. So mpaka cream iungue?
Me sijui hata nimekosea wap😢 ngoja kesho tena niamke nayo asantee
Shukraan sana
Unawza kuntumia hayo mafuta
Nice
Kwenye fridge au freezer?
Jmn asnt ni mazr kama hiyo mikono yko😘
Hi glow mambos hayo ndio mafuta mimi hutumia kwa kichwa sana nazi.
Mafuta ya nazi ni mazuri sana kweli kweli.
Vp ukitaka kuweka carafuu ili kukata harufu ya Nazi?
Nizuli sna
Asante sana dear czcams.com/video/qCK3jHKJCaA/video.html kuna hii njia nyengine pia.
Beautiful mama
Asante 🙏
Namba kuuuziwa nusu Lita inawezekana?
Dakika gap za kuchemsha?
Unaweza kuweka kweny freez
Hello mambo vichupa na pataje?
Wow, will try this method
You should for sure!! ☺️
@@GlowCharls dear yanafaa kupikia
Kwani nilazima kuweka kwenye frig
Haya mafuta yanafaa kupikia??
Tunashukuru.ila n'a uliza mafuta ya nazi yanangarisha usoni Pia?
Kuchemsha bila kuweka kweny frij haiwezekani
Unaweka kwenye furiza au kwenye furj
♥️♥️♥️ link plz
Kama friji haun inakuwaje
ambao hatuna frij
Je moto unaotakiwa ni mkali au wa kawaida ? maana nimetengeneza nimepata mafuta kidogo sana
Moto wa kawaida tu. Je ulitumia nazi zilizo komaa??
@@GlowCharls nilitumia zilizo komaa ila nahisi nilikosea maana niliweka moto mkali sana .. Asante sana kwa Elimu ubarikiwe..
Kama Sina frij
Hayo maji ya nanzi nimeyatamani 😋
Lol yapo kidogo sana. 🙃
Hivi kama sina fridge siwezi kutengeneza eti?
Mafuta mazuri
Nayahitaji huwa unauza
Hapana siuzi nafundisha tu kutengeneza ☺️☺️. Kuna njia nyengine hii ya kutengeneza kama ungependa kuona czcams.com/video/qCK3jHKJCaA/video.html bila kuchemsha.
Shida sina brebda wala mbuzi
Kama upo naomba nitengeneze2 uniagizie maana friji sina walabrenda wala mbuzi kwaiyo nashindwa kutengeneza
Kwani wewe unaishi wapi mwenzangu??maana huwa masokoni ukienda kununua nazi tanzania unaweza omba wakukunie hapo hapo ukinunua nazi.
Nilitaka nisema kama upo dar au mbea