Ayo Interview yako imeniteka ndani ya dakika 51 na second 42 full U know is not easy I really love. sijui umeniloga mshikaji wangu babu unajuwa hupo vzr 🔥🔥🔥
Nice Majaniiiii Naskia Kama Temba Anaanza kuimba Hivi Guy You Good Millard Guy Men You Have Done It Well.. GODFATHER BEAT MAKER EASTAFRIKA MUCH LOVE 254
I remember P Funk anakaa kwenye ufukwe wa bahari in Zanzibar Mercury restaurant anaangalia mawimbi ya bahari na zile boti na ngalawa na mashuwa zinavyotikiswa na mawimbi ya bahari then anacreate beats from movements ya zile boats na maji. This guy is genious
Funk, hongera sana, pamoja na yote yanayotokea ktk music industry... umekuwa mmoja wa watu muhimu ktk kukuza muziki na kuinua na kulea vipaji vya wengi. ngoma zote naweza kusema ni "classic". God bless you brother!!
Brother should host his own podcast or live/whether recorded episodes of Tanzanian Hip Hop plus Bongo Flava contents as he's aside hustle from creating music since he has a lot of history to this music.
Boonge la interview yaani nilikuwa natamani iendelee tu roho inaniuma sana kuona huyu jamaa kama haeshimiki hivi alichofanya hapa bongo bongo records for ever #MAJANI
Ajabu mimi na P hatukuwahi hata kupiga story. Akiongelea 'ujana' 😄 kwa kweli bro alikuwa anaroll! Nakiri nilikuwa namuogopa. Pale Mwenge hm sheria zilikuwa kali sana. So nikaishia kupiga ngoma zake, kusupport wasanii walioleta moto wake!! Lakini namheshimu mno. Hope one day, tutashake hands!! Namtakia rejeo la mafanikio na pia namwombea Mama!! Very mature and real!! 🤝🏻
Yan kinywele kimoja ndyo produced jini ninaye mjua Mimi hakuna biti zilizo fanana hata kidogo Alf zote Kali na za Moto kabisa heshima kwako dady from music
P funk majani atabaki kuwa juu kileleni na ndio producer namba moja Tanzania na Africa nzima
Interview ya kistaarabu sana.ina namna Bora kabisa ya kuhoji na kujibu.Welldone Millard na P funk.
Interview ya Kijanja sana nice to see Legend P Funk Majani He's looks healthy and happier 💪
P funk The Producer who know very well the music industry. I like the man he follow the music law
Ayo Interview yako imeniteka ndani ya dakika 51 na second 42 full U know is not easy I really love. sijui umeniloga mshikaji wangu babu unajuwa hupo vzr 🔥🔥🔥
Nice Majaniiiii Naskia Kama Temba Anaanza kuimba Hivi Guy You Good Millard Guy Men You Have Done It Well.. GODFATHER BEAT MAKER EASTAFRIKA MUCH LOVE 254
Dondosha likes Salute kwa #PfunkMajani #Legend #AyoTv Bigup
P FUNK..♥️THIS GUY IS SO HOT MEN.🔥♥️🔥♥️🔥,AM LIKE HMMMMH ..SO COOL 😎 LOTS OF LOVE FROM GERMANY. COOL INTERVIEW. 👌♥️
Hata Kenya tunatambua mfalme PFunk Majani..... Love and respect
I remember P Funk anakaa kwenye ufukwe wa bahari in Zanzibar Mercury restaurant anaangalia mawimbi ya bahari na zile boti na ngalawa na mashuwa zinavyotikiswa na mawimbi ya bahari then anacreate beats from movements ya zile boats na maji. This guy is genious
Nazan serekal ingejarbu kusikiliza mawazo ya p funk... Nazan wasanii wengi wangenufaika Sanaa na mzik wao wanao fanya
Kama umerudi kuckiliza hii interview baada ya sakata la Paula tujuane hapa😂😂
😅😅😅🙋🏻♀️
Duh,huyu ni baba
Kajala,atajuta kwa malezi ya kijinga anayompa mtt wake!
NIMEPENDA INTERVIEW P FUNK YUPO COOL KTK KUJIELEZEA NICE 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Jamaaa ana akili sana..!🔥
P funk is a music genius
Real
P funky is the best all the time
Much love to legendary sound engineer mr.pfunk and @millard ayo for such a wonderful interview....💚
p.funk big brother bongo fleva much love toka 254
Pfunky ur so real.unaongea vzr kabisa ...huna upendeleo
Wale waliokuw wakisubiria ataje diamond na hajamtaja ...piga like😂
Legend never die, respect p.
Nice interview. Majani mtu poa sana
Majani. Jamaa mmoja anajielewa sana .One of the best....Holland tu namkubali sana..hij is genius hij weet wat hij doet....
This man is Bright 💥
Love u bro u are real legend I love u Kaka naququbalii Ndugu yangu
Funk, hongera sana, pamoja na yote yanayotokea ktk music industry... umekuwa mmoja wa watu muhimu ktk kukuza muziki na kuinua na kulea vipaji vya wengi. ngoma zote naweza kusema ni "classic". God bless you brother!!
Piga like kama unamkubali Millard Ayo
This guy has a lot to learn from.
I appreciate his work i will wish to get more of his work in the future (P Funk his the BEST) 🔥🔥🔥🔥
Namkubali sana huyu brother na nampa big up sana
Very intelligent . Respect 🙌🏾
P so much dope & illest producer of all time...mangoma makali kayafanya sana beat kama a.k.a mimi so mchezo mazee
Jamaa alikuwa fundi sana
P Funk ! Dr.Dre wa East Africa
Best interviewer, best interviewee
Exactly
The legend of music producer
Aise huyo mtoto wako sijui aika nimeenda kumcheki kubabake ni mkaaaali.
Love that u re very real.
P FUNK IS A HOT HOT GUY. 🔥🔥🔥🔥❤.❤❤❤🔥❤❤❤..😋😋😋❤💜💜♥️🥰MUCH LOVE FROM GERMANY. ❤💚💛.ONE LOVE. 💜
Like kama unakumbuka "Majanii Temba Hapa,,
Lile goma LA mengi ni baba yangu na bakhresa ni mjomba angu
Chanel five unaijua? ile nayo ni yetu na seki ni mfanyakazi wetu kwenye ile tv yetuu😂😂😂
Mtoto Idi kazua balaa mtoto Idi kazua mikosi, miaka hiyo channel 5 ndio invuma kishenzi.
MAJANIII YUKO VZURI
Mzee anajua san kujielezea uko makini #P one day tutafanya kitu I'm #Ghoust_Ngwear
Nimekuelewa bro ..... Millard uko vzr kwa interview
This man is genuine and genius
Brother should host his own podcast or live/whether recorded episodes of Tanzanian Hip Hop plus Bongo Flava contents as he's aside hustle from creating music since he has a lot of history to this music.
Kweli Mo town pako vyema sanaa ...
Namb uno
P.funky master j,watu muhimu Sana kwenye tasinia ya mziki,waandaaji wana muziki bora
Offcoz P umenena Good music is just good
safi sana ligendi🙏🙏
P your to too concious and awareness
P.funk genius xna
This guy is really really honest aise
Majani he's so smart😊
We ni kiboko hadi huku.
We ndio mtoto wake anayemzumzia anaitwa munira
@@shareefkamtande4692 😂😂😂
Munira Niambie
Bonge la Interview Millard Ayo we ni noma na nusu..💪
Interviews nzuri sana......
PF hongera sana we jamaa ni fundi kabisaaa kwenye music industry..
Boonge la interview yaani nilikuwa natamani iendelee tu roho inaniuma sana kuona huyu jamaa kama haeshimiki hivi alichofanya hapa bongo bongo records for ever #MAJANI
P funk is genius ananikumbusha DeathRow Records
Unajua Bro
One of the best music Producer in East Africa
Ajabu mimi na P hatukuwahi hata kupiga story. Akiongelea 'ujana' 😄 kwa kweli bro alikuwa anaroll! Nakiri nilikuwa namuogopa. Pale Mwenge hm sheria zilikuwa kali sana. So nikaishia kupiga ngoma zake, kusupport wasanii walioleta moto wake!! Lakini namheshimu mno. Hope one day, tutashake hands!! Namtakia rejeo la mafanikio na pia namwombea Mama!! Very mature and real!! 🤝🏻
Majani🔥🔥🔥🔥
Arushaaa juu😘
Majani mbona unakuwa kijana hongera P FUNK MAJANI
Pesa ndio inamfanya hivyo
Heavy weight producer khalfani aka majani skanka dope grass green
majani mtu smart sana
Daaah p funk yuko na busara sana i lyk it kubali sana uyu jamaa
What a nice interview
dah huyu jamaa ni mshkajii big up sana kwenye hii interview
Nafurahi jinsi umezaa ! Tuko eji moja!!!!
Very well saying Paul
As a first timer, kazi safi braza Millard.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nakubali sana p na ayo
Duh! Jamaa kasoma IST, wakishua kinoma!!!
Ni shule ya wap
Majaniiiii, temba hapa!
Boomplay quality sio nzuri, hizo zingezama apple music na spotify pia
On point
Sahihi kabisa Pfunk..
Safi kweli juma nature anapenda ugali
P funk yupo vzr aise so stable
Legendary!
Yas his so reel man! I very apriciate him, more talented in this country 👏🤘
Kwan lazima uandike kingereza
@@harithaharith3003 Umenichekesha sana maana sio kwa kiingereza hicho
@@mohamedally342 anazingua 😆
🔥🔥
Yan kinywele kimoja ndyo produced jini ninaye mjua Mimi hakuna biti zilizo fanana hata kidogo Alf zote Kali na za Moto kabisa heshima kwako dady from music
hii interview ni ya kibabe sana because wamekutana wote wanajua ahsanteni kwa kuja💪💪💪
🇦🇪Great interview 🌹🌹❤️❤️
This is one of the best interviews i’ve watched.. big up!!
Millard muziki wa P-Funk hauwezi kuwa Classic.Classic ni genre ya muziki unaojitegemea...
Big up p majani
Good interview nice conversation
Khalfan majan 🤗🥰🙌smart sanaaa
Baba Christian, mama Muslim. Both ....paul majan.a.k.a.p funky..his sound...
Mikono iyoo
P kitambo sana nakukubali sana kaka
Jamani miye nampendaga sana uyo Kaka karibu burundi,
Kichwaaaa..............
Majani Baba Mkubwa
Huyu kaka p majani ana busara kubwa na hekma sana,hongera millard ayo
Very genius guy
Yani km watu hawaoni mchango wa huyu jamaa wakati yeye ndo baba wa bongo flava
P Funk una upeo mkubwa sana