Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Huyu mwamba yuko natural kwakweli 😂😂😂yan hatumii nguvu😂😂😂
ndo ilivo ukiw unajua hutumii nguvu kabsa
KAMWENE mnyalukolo uko vizuri sanaaa kiukweli ndugu zako we like you so much 😂😂
Sina taaruma ya uandishi Wa habar ila naamini huyu jamaaa ni miongoni mwa watu wagum kufanya nae mahojiano, ni msumbufu afu haboi.
huyu jmaa ni shda yan ana mamb mengi asee
Umejuaje
😀😀😀😀😀😂
Hakika Ni comedian By born wanaoamini hilo pamoja nami gonga like...!!
OMG🙌🙌🙌 kaka angu mm💪💪💪iringa woooye
😂😂😂 Zima taaa jamani na nyingine 😂😂😂 walio sikia gonga like
Oh! How i love Hakika Reuben ❤️🇰🇪
Kwa kweli kuchekesha hakuhitaji nguvu kama una kipaji, huyu jamaa hata asipoongea utacheka tu
Huyu jamaa vichekesho vyake hatumii script kama wengine. Naona anashuka tu mistari kulingana na mazingira
Hakika mtambo kweli kweli
Jamaa kaua kinyama.hadi coy mzungu kaduwaaa
Daimmmm waooo this was amazing😂😂😂😂😂😂😂
It's happening, the industry is growingggggg so fast🔥🔥🔥😩😩😩
I'm just smiling all the time.....make his presence simultaneously
Hakika is crazy😂😂😂😂 all the way from Kenya mad love for this guy💥🍁💪
Ruben ukimfanyisha interview ujipange
hii mbwaaa aina akili ata mojaa daaa hahaha
😂 uyu jamaa kwel natural mleten tena bana
,natural talent i see from him🔥🔥
Day nilikundua hii jamaa ni kucheka tu love from Kenya..
We need hakika now Nairobi in Churchill show
If we laugh our issue😂😂😂asante Reuben
Kweli huu mtambo 😂😂😂
Content master😂😂..much love from Kenya
Tishaaa snaaaaa
Hiv rubeen akilii unazo kwelii mbn mm naonaa zpo chachee sanaa
Wangemuacha aongee mwenyewe. Siyo kumuongoza kwa maswali. Mi naamini ni comedian aliyejitosheleza kukaa stage peke yake
He made the different
I love him hatumii nguvu nyingi😂
Yaani ruben ni kichaaa🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂Bam, he nailed it
😂😂the Legend himself
Their issue😂😂Nitajuaje 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
So talented. Hongera sana
Daaaaaaaah jamaa unatixha mwamba
Yupo vnzr sana😂😂
Coy mwongeze na Mwaisa
Hakikaruben to the world 🤣🤣🤣🤣
Hahahahah jamani hakikaa wew
🔥🔥🔥
Nakubaliiii San hapooo coy 🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪🤣🤣🤣
Fainali ya cheka tuu mleteni huyu bwana aisee😂😂😂😂
Daaah.... jamaa hatari
Awooote 😄😄😄
Very talented person 🔥🔥
Mekuelewa kaka just you smile and digest everything,,🥰🥰🥰
Aise uyu mtu ni comedy kupitiliza utake usitake utacheka
Jmn hakika 😂😂😂😂😂😂
Maisha mazuri
nyeee acha nicheke kihehe
He’s naturally funny 😆🤣😅😅🤣🤣
Hiliiii jamaaa litakuwa pungaaaa tuuuu
Anaweza sana
Nakubali kazi zako ndugu
Halleluyah 🙏🙏
Show ikonpoa sana ila jitahidi utuoneshe audience
Mleteni tena bhn
mitambo tuliyonayo hii 😂
Huyo kimeo mleteti mwaisa mtu mbad hapo itakua unyama sana🤣
Kila mtu na nafasi yake broo wacha dharau ww
@@ayoubmakori8680 we yako iko wap
@@Lilmbunah mi sina ndomaan sjasema uyo ni kimeo Tena hili swali ingepaswa mm ndo nikuulize na sio we uniulize mm
@@ayoubmakori8680 huenda nafaxi yako ni ku reply
@@Lilmbunah pia sio mbaya lkn nasahihisha maboya Kama ww ambayo unaleta dharau kwa wenzio
Jamaa anajua...
🤣🤣🤣🤣aisee mzungu mwenyewe kacheka
Si muachie 2
Hahahah jmn nimecheka yaan huy jamaa
Kumbe shooooga
😂😂😂😂😂nimecheka saana at ninashida nawahenga 😀😀😀😀😀
Aliperform vizuri sana
Wewe kibokoooo
Mungu huyu !!!
Ruben amenikonga nyoyo ndo master wa stend comedy bongo
Nairudia hii km mjinga😂😂😂😂
Mleten mwaisa apo
Hii jamaa ni jinga😂😂😂
Nakukubali sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hakika ataniua kwa kicheko
Mkali sana
🤣🤣🤣🙌uyu mtu jmn dah
Hahahahahaha jamani
Nice 👍
I love you
😂😂😂 jamaa unaweza
Very talented person
Hakikaaa 🤣🤣🤣🤣oyeeee
Kamweneee🤣🤣
The guy very talented
Hakika ni level nyingine jamani
Amehuwaaa
Dishi kwli
Bangi ni hatar
Jamaa mbishi kweli
Unyama sana
Nicely
Kumbe bwabwa
Wee Ruben umenichekesha pakanashi nakojowa kazini jamani muzungu amesema eti tizama wa Africa 👀
muwe mnamuita ita jamani anafurahisha saana
😂😂😂😂😂 huyu kipaji anacho hata hateseki
Nyieee
Bac na mm natukana mamba
Et usivuke mamba kabla hujavuka mto
Hakika yupo vizuri
Hakika nivituko Sanaa 😅😅😅
Asa anazunguka mbona😁
Huyu mwamba yuko natural kwakweli 😂😂😂yan hatumii nguvu😂😂😂
ndo ilivo ukiw unajua hutumii nguvu kabsa
KAMWENE mnyalukolo uko vizuri sanaaa kiukweli ndugu zako we like you so much 😂😂
Sina taaruma ya uandishi Wa habar ila naamini huyu jamaaa ni miongoni mwa watu wagum kufanya nae mahojiano, ni msumbufu afu haboi.
huyu jmaa ni shda yan ana mamb mengi asee
Umejuaje
😀😀😀😀😀😂
Hakika Ni comedian By born wanaoamini hilo pamoja nami gonga like...!!
OMG🙌🙌🙌 kaka angu mm💪💪💪iringa woooye
😂😂😂 Zima taaa jamani na nyingine 😂😂😂 walio sikia gonga like
Oh! How i love Hakika Reuben ❤️🇰🇪
Kwa kweli kuchekesha hakuhitaji nguvu kama una kipaji, huyu jamaa hata asipoongea utacheka tu
Huyu jamaa vichekesho vyake hatumii script kama wengine. Naona anashuka tu mistari kulingana na mazingira
Hakika mtambo kweli kweli
Jamaa kaua kinyama.hadi coy mzungu kaduwaaa
Daimmmm waooo this was amazing😂😂😂😂😂😂😂
It's happening, the industry is growingggggg so fast🔥🔥🔥😩😩😩
I'm just smiling all the time.....make his presence simultaneously
Hakika is crazy😂😂😂😂 all the way from Kenya mad love for this guy💥🍁💪
Ruben ukimfanyisha interview ujipange
hii mbwaaa aina akili ata mojaa daaa hahaha
😂 uyu jamaa kwel natural mleten tena bana
,natural talent i see from him🔥🔥
Day nilikundua hii jamaa ni kucheka tu love from Kenya..
We need hakika now Nairobi in Churchill show
If we laugh our issue😂😂😂asante Reuben
Kweli huu mtambo 😂😂😂
Content master😂😂..much love from Kenya
Tishaaa snaaaaa
Hiv rubeen akilii unazo kwelii mbn mm naonaa zpo chachee sanaa
Wangemuacha aongee mwenyewe. Siyo kumuongoza kwa maswali. Mi naamini ni comedian aliyejitosheleza kukaa stage peke yake
He made the different
I love him hatumii nguvu nyingi😂
Yaani ruben ni kichaaa🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂
Bam, he nailed it
😂😂the Legend himself
Their issue😂😂Nitajuaje 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
So talented. Hongera sana
Daaaaaaaah jamaa unatixha mwamba
Yupo vnzr sana😂😂
Coy mwongeze na Mwaisa
Hakikaruben to the world 🤣🤣🤣🤣
Hahahahah jamani hakikaa wew
🔥🔥🔥
Nakubaliiii San hapooo coy 🙏🙏🙏🙏💪💪💪💪🤣🤣🤣
Fainali ya cheka tuu mleteni huyu bwana aisee😂😂😂😂
Daaah.... jamaa hatari
Awooote 😄😄😄
Very talented person 🔥🔥
Mekuelewa kaka just you smile and digest everything,,🥰🥰🥰
Aise uyu mtu ni comedy kupitiliza utake usitake utacheka
Jmn hakika 😂😂😂😂😂😂
Maisha mazuri
nyeee acha nicheke kihehe
He’s naturally funny 😆🤣😅😅🤣🤣
Hiliiii jamaaa litakuwa pungaaaa tuuuu
Anaweza sana
Nakubali kazi zako ndugu
Halleluyah 🙏🙏
Show ikonpoa sana ila jitahidi utuoneshe audience
Mleteni tena bhn
mitambo tuliyonayo hii 😂
Huyo kimeo mleteti mwaisa mtu mbad hapo itakua unyama sana🤣
Kila mtu na nafasi yake broo wacha dharau ww
@@ayoubmakori8680 we yako iko wap
@@Lilmbunah mi sina ndomaan sjasema uyo ni kimeo Tena hili swali ingepaswa mm ndo nikuulize na sio we uniulize mm
@@ayoubmakori8680 huenda nafaxi yako ni ku reply
@@Lilmbunah pia sio mbaya lkn nasahihisha maboya Kama ww ambayo unaleta dharau kwa wenzio
Jamaa anajua...
🤣🤣🤣🤣aisee mzungu mwenyewe kacheka
Si muachie 2
Hahahah jmn nimecheka yaan huy jamaa
Kumbe shooooga
😂😂😂😂😂nimecheka saana at ninashida nawahenga 😀😀😀😀😀
Aliperform vizuri sana
Wewe kibokoooo
Mungu huyu !!!
Ruben amenikonga nyoyo ndo master wa stend comedy bongo
Nairudia hii km mjinga😂😂😂😂
Mleten mwaisa apo
Hii jamaa ni jinga😂😂😂
Nakukubali sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hakika ataniua kwa kicheko
Mkali sana
🤣🤣🤣🙌uyu mtu jmn dah
Hahahahahaha jamani
Nice 👍
I love you
😂😂😂 jamaa unaweza
Very talented person
Hakikaaa 🤣🤣🤣🤣oyeeee
Kamweneee🤣🤣
The guy very talented
Hakika ni level nyingine jamani
Amehuwaaa
Dishi kwli
Bangi ni hatar
Jamaa mbishi kweli
Unyama sana
Nicely
Kumbe bwabwa
Wee Ruben umenichekesha pakanashi nakojowa kazini jamani muzungu amesema eti tizama wa Africa 👀
muwe mnamuita ita jamani anafurahisha saana
😂😂😂😂😂 huyu kipaji anacho hata hateseki
Nyieee
Bac na mm natukana mamba
Et usivuke mamba kabla hujavuka mto
Hakika yupo vizuri
Hakika nivituko Sanaa 😅😅😅
Asa anazunguka mbona😁