Video není dostupné.
Omlouváme se.

MCHOME MAPOVU APANGA KIKOSI CHA YANGA CHA MAANGAMIZI | CHAMA,PACOME NA AZIZ KI WOTE NDANI|MOTO BALAA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 07. 2024
  • #livestreaming #jobe #jezimpya #mayele #hafiz #manara #pyramid #buza #dabi #derby #mamelodi #luismiquissone #yanga #mkude #leo #simba #mwananchi #jezimpya #mandonga #simbasc #skudu #lilepo #Yangasc #ngoma #mayele #simbaday #derby #barnaba #wasafibet #Mletemzungu #azamfc #chama #no6 #mtibwasugar #namungo #dabi #derby #job #dickson #kibabage #kariakoo #kiama #namungo #wydadathleticclub #riversunited #medeama #mkapastadium #mkapa #azamfc #tff #alahly #benjaminmkapa #marumogallant #inonga #onana #musonda #mahop #simbaday #okrah #yangaday #gamondi #mkwakwani #tanga #skudu #almerrikh #kramo #ihefu #afl #mbwaduke #sankara #msuva #karabaka #diamondplatnumz #mwijaku #moloko #dullamakabila #taifastars stars #crbelouizdad
    The Official CZcams Channel Account J&R Mtita From Tanzania Regrister by Tanzania Communications Regulation Authority (TCRA)
    Booking : jrmtitatv@gmail.com
    Contact : +255 747 384 250

Komentáře • 25

  • @MariamKilimba
    @MariamKilimba Před 28 dny +9

    ww mchome nakukubali sn kaka mungu akulinde sn

  • @user-gs3pb8iu3u
    @user-gs3pb8iu3u Před 27 dny +4

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 unatisha sana mchome

  • @VeronicaWillism
    @VeronicaWillism Před 27 dny +2

    Yan wee unajua sana kkaa si uje. tuu yangaa

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 Před 28 dny +4

    Mchome nakupa Maua Yako.
    Ukiona mpangaji TIMU anaanza na washambuliaji jua Huyo anaona Mbali.

  • @lameckmayalaihobesadickmayala

    Kaka mapovu, to me nashindwa hata kukutabili, najuwa kuwa ww nimwasimba, lkn ukweli nikwaa, unafaa kuwa mchambuzi, hongera sana, huna usimba nauyanga, ila mpira unaujuwa hasa

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před 28 dny +3

    Kaka upo vizuri sana muda woote unaongea ukweli

  • @user-gy5fo6zv6w
    @user-gy5fo6zv6w Před 27 dny +2

    Kikosi cha simba hakipangiki,,

  • @TonnyKapela
    @TonnyKapela Před 28 dny +2

    Nakubaliiiiiii mchome ww waaaabie ukweli maaana hamna namna 😂😂😂😂😂😂😂

  • @galatonetz
    @galatonetz Před 27 dny +1

    Mzee upo sawa

  • @LucasHaile-dy9kd
    @LucasHaile-dy9kd Před 25 dny +1

    Ww jamaa mchesh sana japo wanamsimbaxi hawakuamin kabisa kama ni mwenzao

  • @ShabaniMcharo
    @ShabaniMcharo Před 26 dny +1

    Yote tisa kumi ligi kuu itaongea yanga au simba nani kasajili vizuri lakini heris hakosei

  • @MariamKilimba
    @MariamKilimba Před 28 dny +2

    😅😮😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @user-lw6on7dd7h
    @user-lw6on7dd7h Před 27 dny +1

    Usijhe ukajuta kwa maneno Yako Simba msimu ujao itafanya vizuri na ubingwa mwakani unaenda msimbazi

    • @dicksonpaschal8247
      @dicksonpaschal8247 Před 27 dny

      Endelea kuota ubingwa unadhani ni mihogo ya kununua kwa jero eeh😂

  • @user-qp8hv7rh8p
    @user-qp8hv7rh8p Před 27 dny +1

    Akanye uko uyo mnafki akapange na kikosi cha family yake

  • @Barakah2590
    @Barakah2590 Před 28 dny

    😮😮😮😮

  • @CharlesNdege-om5oe
    @CharlesNdege-om5oe Před 27 dny

    MCHOME HUNA BAYA KAKA WEWE NI MKWELI SANA NA NI MTU WA BOLI KWELI KWELI

  • @alexndihokubwayo8010
    @alexndihokubwayo8010 Před 27 dny

    Acheni kujifaliji simba hamuna timu wale marasita mani wenu nima papaye tu

  • @JuliethKisonga
    @JuliethKisonga Před 27 dny

    Ngoja inyeshe tutajua panapo vuja

  • @BorySaronge
    @BorySaronge Před 27 dny

    Wewe zungumza vyovyote vile na uwafurahishe hao rafiki zako ila nakupa ukweli kwamba mfumo ule wa mwaka Jana wa slow motion ndio mwisho na hapo ndipo utakapo just kuwa wewe ni boya lisilo okoa

  • @Daudi-b7n
    @Daudi-b7n Před 26 dny

    utazoea tu

  • @user-ef2nz7ce9r
    @user-ef2nz7ce9r Před 27 dny

    Bw. Mchome wasaidie washabiki wa tz, kuongea mpira. Si vema mwanaume kuitwa chawa. Hivi mwanao akikuuliza kuwa '' Baba kwa nini unaitwa Chawa? Utajibuje????

  • @MikidadiKambinda-tr6rl

    Acheni. Ujinga. Mle. Hamuna. Kocha. Ikifika. Xmas. Hajafukuzwa. Nipo. Pale. Kocha. Msaidizi. Kuwa. Kocha. Mkuu. Wapi

  • @lameckmayalaihobesadickmayala

    Kaka mapovu, to me nashindwa hata kukutabili, najuwa kuwa ww nimwasimba, lkn ukweli nikwaa, unafaa kuwa mchambuzi, hongera sana, huna usimba nauyanga, ila mpira unaujuwa hasa