GHOROFA LA KIFAHARI LABOMOLEWA MBEZI BEACH MCHANA KWEUPE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 02. 2024

Komentáře • 574

  • @lydiabochela9363
    @lydiabochela9363 Před 4 měsíci +17

    Safi sanaaa, kuna watu jeuri ya vihela vyao inawazidi wanasahau kuwa kuna MUNGU mtetezi wa wa nyonge.

  • @user-ry2ix2pv4q
    @user-ry2ix2pv4q Před 4 měsíci +12

    Duuu! Huyu mwenye gorofa angekaa tu aelewane na mwenye kiwanja

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Před 5 měsíci +14

    Asante sana Mkuu hakikisha unabomolea wote wanaovamia aridhi za watu.

  • @divaidachboy2339
    @divaidachboy2339 Před 5 měsíci +9

    Jmn hap sawa nimeewaelea viongozi kaz nzuri

  • @user-rx4wj3bs8z
    @user-rx4wj3bs8z Před 5 měsíci +26

    Safi sana
    fantastic 👏

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 5 měsíci +26

    Msiseme ni wanadamu wamebomoa! Hapo ni Mungu kabomoa.Asanteni Sn.

    • @SportsRaha
      @SportsRaha Před 5 měsíci +1

      Weeeee Mungu ndo anaendesha tingatinga 😂😂😂😂

    • @nasranasra5348
      @nasranasra5348 Před 4 měsíci

      Lp1😊q​@@SportsRaha¹

    • @fatumazakalia-yx4kg
      @fatumazakalia-yx4kg Před 4 měsíci

      ​@@SportsRaha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani ww

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před 5 měsíci +63

    Kwa hasara hii, tukiona kiwanja kina mgogoro tusitishe ujenzi.

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 5 měsíci +2

      Kwakweli

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 5 měsíci +1

      Point mkuu

    • @Maryc2G
      @Maryc2G Před 5 měsíci +1

      Kweli kabisa, tusijenge mpaka mahajana au serikali iamue hiyo kesi

    • @alibachirofficial3939
      @alibachirofficial3939 Před 4 měsíci

      Wakati inajengwa walikuwap?

    • @RehemaJustine-co2kp
      @RehemaJustine-co2kp Před 3 měsíci

      ​@@alibachirofficial3939ushaambiwa Mama alikuwa anafatilia haki yake,kwa kipindi cha miaka 20 hadi kupata haki yake! Hivyo inawezekana kesi iko mahakamani,yeye bado anaendelea na ujenzi

  • @user-lz5it9yn4q
    @user-lz5it9yn4q Před 5 měsíci +36

    Huyu si mtu bali ni malaika mlinzi katumwa dunian na MUNGU ❤🙏

  • @fundikilafundi6985
    @fundikilafundi6985 Před 5 měsíci +7

    SAFI SANA Wazir jer kila la kher kwako Bado Dodoma Jiji.

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 5 měsíci +24

    Nimempenda mbomoaji yuko vzr anabomoa palepale panapouma😅jamani Jerry ungeniuliza nikakuchagulia pakubomoa yani umebomoa panapouma😅❤❤❤❤

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 Před 5 měsíci +4

    Hongera sana Mh Jerry Silaa, kaza

  • @happykimaya6631
    @happykimaya6631 Před 5 měsíci +6

    Asante. Iwe fundisho Kwa matajiri wengine

  • @AminaAminjay-dv8tr
    @AminaAminjay-dv8tr Před 5 měsíci +5

    Safi sana ,nataman hata mimi nifikiwe kwenyehili maana nimezibiwa hadi mlango sijui nipae ama ila naimani mungu atatenda kwa wakati

  • @aminangombo7048
    @aminangombo7048 Před 5 měsíci +9

    Asante baba mlezi, mkeo Bi. Hadija kafurahi mno kupata haki yake

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Před 5 měsíci +5

    Mungu akubariki waziri wenye hela wana dhulumu sana watu uku kisa pesa zao na ukipeleka kesi mahakamani hakuna ufuatiliaji wowote kisa kupewa rushwa 😢😢😢

  • @user-pq1hy4gh4n
    @user-pq1hy4gh4n Před 5 měsíci +3

    Hongera sana iwefundisho kwa wengine,

  • @user-lk9fy9is5s
    @user-lk9fy9is5s Před 5 měsíci +21

    Ahsante sana mkuu 🤝🤝

  • @geofreykayombo401
    @geofreykayombo401 Před 5 měsíci +28

    Toa namba yakukupata waziri,na ucheki na pugu kinyamwezi kuna matatizo mengi sana ya ardhi,shida ni mjumbe na mwenyekiti wanausika kwa uuzaji wa mara mbili mbili wa viwanja.kuna baadhi ya wenye viwanja wanashirikiana na hawa wenyekiti kufanya mambo sio,sababu watu wale wale wanasaini hati ya manunuzi,kwa kiwanja kilekile na kipo karibu na office ya serikali ya mtaa,na mjumbe anajua kasaini hati hiyo kwa mnunuzi wa kwanza na mnunuzi wa pili anasaini tena.

    • @user-mf9tu4yu3p
      @user-mf9tu4yu3p Před 5 měsíci +5

      Nahawa wenyeviti wa serikari za mtaa ni chanzo cha migogoro kabisa

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 Před 5 měsíci

      huko anakujua sana alikuwa mkurugenzi wa jiji,akawa mbunge,akawa now waziri

    • @MerLasway
      @MerLasway Před 5 měsíci

      Z😊Z😅zz😅😊D😊😅😅😅z😅Z😅😊😊😊zz😊z😊😊SXz😊zza😅@@😅😅😅-😅😅Xz😅Azs😊😅😅😊ds😅😊z😅😊z😅Ad😅😅aaaA°°Aaa•°X@☆☆22😊@~😅@😅@😊😊😊#😊😊😊○😊😊😊😊😊😊😊😊‐😊😊😊☆☆😅😊😊😅☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆##☆😊😊😊😊😊😊😊😊😊☆😊😊#😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊-------------------------------‐-------------😊☆☆☆☆☆☆-==☆😮☆😅😊😮○••😅😅😅😅😅😅☆☆•○•😅😅😅😊○☆○○😅😅▪︎~~▪︎~☆😊#№---@😅@@-😅@----😅☆😅😅😊😊•○😅@#-😊😅•-😅--@#-😅•@---😊#@😊☆••9​@@user-mf9tu4yu3p

  • @user-oe6du3ne3t
    @user-oe6du3ne3t Před 5 měsíci +4

    Hongela Sana mku malipo yako yapo kwamung

  • @mshanibeatrice7449
    @mshanibeatrice7449 Před 4 měsíci +7

    Daa nilivyoona linabomolewa moyo wangu uliumia sana kumbe huyu mtu ni mzulumaji ? Hongera wazir ww ndie Rais ujae big up

  • @joliapantaleo349
    @joliapantaleo349 Před 4 měsíci +1

    Mungu akulinde jerry slaa kazi nikubwa na njema

  • @fadymoses4994
    @fadymoses4994 Před 5 měsíci

    Nakubali Mr Operator 😅 kivunja vunja ni rahisi sana

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před 5 měsíci +16

    Hongera waziri

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 8 dny

    Wenye pesa wengi wanakiburi safi sana.

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Před 5 měsíci

    Hongera Mh.Waziri nami nimevamiwa kiwanja changu Makole Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamepandikiza hati katika kiwanja cha mmiliki mwingine wakidai eti CDA ndo walompa na c kweli kwani CDA ilivunjwa mwaka 2017 na kiwanja hicho kilikuwepo hadi mwaka 2020.
    Hapo kuna mianya ya Rushwa .

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 2 měsíci

    Mmmmh😢😢😢unaweza ukafa,Kwa Jin's ninavyofahamu gharama za ujenz

  • @user-jg5yc9jn1u
    @user-jg5yc9jn1u Před 4 měsíci

    Hongereni San haki saw Kwa wote

  • @AmosJuma-wp2pe
    @AmosJuma-wp2pe Před 5 měsíci +4

    Nimeipenda

  • @santinosabugo2114
    @santinosabugo2114 Před 5 měsíci

    safi sana mkuu wanyooshe wapumbafu wachache wanahalibu sifa ya Tanzania

  • @josephatmathiasgalagalabuh786
    @josephatmathiasgalagalabuh786 Před 5 měsíci +13

    WAZIRI NJOO MSUMI KUNA WAHUNI WAMEVAMIA SHMAB LA MTU NA KUJENNGA NGOME YA UHALIFU

  • @ashanziku3498
    @ashanziku3498 Před 4 měsíci +2

    Safi sana. Wanasumbua. Sana na vihela vyao

  • @SalumSleiman
    @SalumSleiman Před 5 měsíci

    Asante Mama Samia Suluhu kwa kutugombania sisi wanyonge na kupata haki zetu

  • @ElizabethMkini
    @ElizabethMkini Před 2 měsíci

    Jamani si wange msettle huyo Naomi wamlipe...kweli mnavunja nyumba yote hiyo duh😢

  • @luizavankilasi9030
    @luizavankilasi9030 Před 4 měsíci

    Mungu akubariki waziri

  • @user-ec8zv7lq8y
    @user-ec8zv7lq8y Před 5 měsíci +2

    Demolition siyo sawa kwani watoa hati ni watumishi ndani ya wizard yako

  • @MasatuElly-kr4hj
    @MasatuElly-kr4hj Před 2 měsíci

    Shida Nini tena🎉😊

  • @user-ou8sp5bb7n
    @user-ou8sp5bb7n Před 5 měsíci +2

    Kwa kweli wenye nguvu wametuumiza sana

  • @jacksonmichael799
    @jacksonmichael799 Před 5 měsíci +12

    Safi sana!! Waziri ,I see the return of JPM💪💪 ,Piga kazi Baba maombi yetu yako na wewe.

  • @vikramlufunyo5832
    @vikramlufunyo5832 Před 5 měsíci +1

    Tunamshukuru mh rais

  • @user-yv1dw6cu9k
    @user-yv1dw6cu9k Před 5 měsíci

    👋👋👋👋👊👊safi sana waziri safi sana

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 Před 5 měsíci +3

    Safi sana

  • @user-qm3pi7vx9u
    @user-qm3pi7vx9u Před 5 měsíci

    Daaah siyo poa kbx aisee

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik Před 5 měsíci

    Hongera wazir kumbuka pia uchawi upo afrika

  • @Immahjr
    @Immahjr Před 5 měsíci +3

    Duh mungu awasimamie 🙌

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Před 5 měsíci

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @SmilingBoaSnake-hx3gp
    @SmilingBoaSnake-hx3gp Před 5 měsíci

    Waaah! Sio poa walai

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 Před 4 měsíci

    kwa hili Mungu akubariki maana MUNGU apendezwi na dhuruma na dhuruma ni nyingi katika ameneo ya nchi hii hasa watu wanyonge wanaonewa na wenye nacho

  • @mwanawetuamiri6747
    @mwanawetuamiri6747 Před 5 měsíci

    Safi sana kiongozi wetu sasa hivi hakuna tena janja janja

  • @GersboyOfficial
    @GersboyOfficial Před 5 měsíci +20

    Kuna viboss uwa vinadhani pesa inafanya kila kitu Sasa kazi ndo hii hapa

  • @samsonkisanga8587
    @samsonkisanga8587 Před 4 měsíci

    Msibomoe nyuma yanguu...😂😂😂 ole wake

  • @chidi_don
    @chidi_don Před 5 měsíci

    Dah sio poa kabisa bro 😮

  • @ezrommussamusssa2540
    @ezrommussamusssa2540 Před 5 měsíci +1

    Mungu amemsikia mweny kiwanja chake

  • @jumatamimu6841
    @jumatamimu6841 Před 5 měsíci +1

    Pole kwa dhuruma

  • @Joliegal834
    @Joliegal834 Před 5 měsíci

    Jaman mama emmmy pole sana

  • @chackym4416
    @chackym4416 Před 5 měsíci

    Kwan broo hujaenda msibani

  • @aneth520
    @aneth520 Před 4 měsíci

    Mungu mkali sana, hasiye haki hataishi eneo hilo, maana litakuwa mateso na laana, Maana Mungu ndiye anayemjua mwenye haki

  • @lucynyalagu3799
    @lucynyalagu3799 Před 5 měsíci +3

    Mh.Waziri Jerry Slaa Barikiwa sana kwa kutenda haki ,karibu Kata ya Kwembe mtaa wa Kwembe kati kuna madudu Wilaya ya Ubungo ninakusubiri kwa hamu asante Mkuu

  • @JumaSetumbi-sq9hr
    @JumaSetumbi-sq9hr Před 4 měsíci

    Safi sana iyooooimeenda kabisa

  • @123kerim23
    @123kerim23 Před 5 měsíci +4

    Hio miak ishirin serikal ilikuw wapi kam sio rushwa zilikuw zinapita tu

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před 4 měsíci

    Safiiii, nimefrahi sana,kuna watu wamedhulumiwa mali zao jamani 😢😢😢

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 Před 2 měsíci

    Tunajua na wewe watakuuwa.lakini habali wameipata 👍

  • @user-mn5us5ln7t
    @user-mn5us5ln7t Před 5 měsíci +1

    Habari mkuu tunaomba uje uku mtaa wa darajani.mikocheniA ccm Kuna mtu amejenga katikati ya njia anasema ni kwake na mahakama imempa na ni barabara ya maji mvua zikinyesha saizi mvua zikinyesha maji yanaingia majumbani kwetu..kisa ana ela.

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz Před 5 měsíci

    Safi sanaMunguhakulinde

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 5 měsíci

    Jamani greda si mngeongea akawanunulia enjoy nyingine😢😢

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 4 měsíci +1

    safi jisafisheni ccm inchi imekua ya matajiri mwenye psa atishwi na sheria za leo ndio maana tunaitaji katiba mpya mihimili iwe imara kuriko leo kuna memo wana sema unanijua mimi nani?? sababu mtu wa ccm inakua shida kama huku kinondoni kuna mama anasumbuliwa na try agein kiwanja chake

  • @njemamehuna9821
    @njemamehuna9821 Před 5 měsíci +1

    Huu ni ujinga wa hali ya juu sana

  • @yokimrossie3536
    @yokimrossie3536 Před 4 měsíci +1

    Naumia 😢japo Hana haki😂

  • @Yusudav
    @Yusudav Před 5 měsíci +5

    Mgeomba alipe pesa ya kiwanja ila sio kubomoa nyumba😢

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 Před 5 měsíci +1

      Miaka karibia 20 anapigania haki yake kwa nini alijengaa kwenye kiwanja chenye matatizo

    • @AminiMsellem-gk3yy
      @AminiMsellem-gk3yy Před 5 měsíci

      Ameshaambiwa amegoma

  • @vampatz7795
    @vampatz7795 Před 4 měsíci

    The power of Jesus❤ haki ya mtu ni ya mtu2

  • @joneydomin6708
    @joneydomin6708 Před 5 měsíci +1

    Hatimae shangazi yangu Naomi kwayu kapata haki yake .MUME wake ambaye ni MAREHEMU alinunua kiwanja MIAKA mingi mno .

  • @devothakapuna7251
    @devothakapuna7251 Před 4 měsíci

    Mungu akusaidie katika kutekeleza haki

  • @user-xr5xx7bq3p
    @user-xr5xx7bq3p Před 5 měsíci

    ❤viziri,,sana,❤❤❤❤

  • @patriciamakoye1546
    @patriciamakoye1546 Před 4 měsíci +1

    Mfalme suleimani aliomba apewe hekima,waziri angetafuta suruhu

    • @ireneanania9714
      @ireneanania9714 Před 4 měsíci

      Sasa na ww hapo kwa akili zako ulitaka afanyaje 🙄

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 5 měsíci +4

    Bado sijaona ghorofa la kifahari apo, sema nyumba ya ghorofa moja

  • @kheirdulla9046
    @kheirdulla9046 Před 4 měsíci +5

    Kwann wasingekubaliana akamlipa pesa kuliko kutiana hasara hivi

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 Před 4 měsíci

      That's true"vitu vingine vinahtaji busara sio kukurupukaa

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 Před 4 měsíci +1

      No .. alitumwa ajenge?? Alivamia kiwanja akatumia ubabe akajenga bila kibali wala kujali haki ya mwenzake .. na hapo saa hizi amesharaiwa sana pengine wayamalize kama wewe ulivyo shauri ila itakuwa ameendelea kuonyesha ubabe na kutotoa ushirikiano na kutishia watu maisha .. mwache alinywe alilolikoroga.

    • @ernestsereli8559
      @ernestsereli8559 Před 4 měsíci

      @@badmanno.1650 kwa upande mwngine ni sawa kabsaa

    • @hancemagembe6260
      @hancemagembe6260 Před 3 měsíci

      Hataki hela anataka eneo lake ili ajenge akae kwenye ardhi yake

  • @peterwanjohiwangirasta8734
    @peterwanjohiwangirasta8734 Před 5 měsíci +1

    Bomoa nyumba kama izo kabisa Mataji wanajifanya juu wako na pesa uyo masiki amepa haki 🙏🙏🙏

  • @deodadeo2016
    @deodadeo2016 Před 5 měsíci +3

    Mbona Tenesko hawajatoa nyaya za umeme....😂😂😂😂😂....uuwii

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Před 5 měsíci +13

    Duh ningependa maridhiano kati ya aliyejenga na mwenye eneo Sijui Kama Mlitoa tangazo Kama serikal kwamba tofauti Kati ya mwenye eneo na mjengaji kwamba jengo lake litabomolewa asipokubalikuridhiana na mwenye eneo ndipo ichukuliwe hatua ya kubomoa (serikali iwe ni hakimu kwa pande mbili maana hawa wte ni WA Tanzania Kama amekataa kuridhiana na mwenye eneo ndiposa hatua ka hizo zichikuliwe wazir nashauri Sana kwa waziri pande mbili zenye mgogoro wa ardhi ni vyema kuwakutanisha hao watu na mwenye Haki akibainika bac asiyehaki aombwe kuridhiana na mwenye Haki akikataaa bac zichikuliwe hatua hizo making tukiona majengo yanabomolewa hatusikii vizur tunapenda maridhiano kuliko hatua hizo maridhiano yakishndikana bac serial ifanye yake

    • @hamisaally968
      @hamisaally968 Před 5 měsíci +2

      Inaonekana watakuwa walimpa taarifa alavyo inavyoonekana ndo tabia yake sehemu zote tatu

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 Před 5 měsíci +3

      Hawawezi kuvunja nyumba bila kukaa meza Moja:huenda majeuri

    • @Maryc2G
      @Maryc2G Před 5 měsíci +1

      Mimi nafikiri Kingę fantoma kitu kingine zaidi ya kubomoa nyumba hiyo, for economical reasons kuna mambo mengi yangefanwa, hiyo haikuwa right decision kabisa, solution ziko nyingi sana, kubomoa nyumba ya Ghana I kama hiyo ingekuwa last result. Ni ushauri tu

    • @GeorgeMushi-ft4xm
      @GeorgeMushi-ft4xm Před 5 měsíci +2

      Kwanini ukajenge kwamtu alafu utake Suluhu

    • @mgonasipapune1383
      @mgonasipapune1383 Před 5 měsíci +2

      Na huyo mtu inaonekana ni kawaida yake.

  • @CECILIAMAGANGA-sk8md
    @CECILIAMAGANGA-sk8md Před 5 měsíci +4

    Yaan ingekuwaga hv Kila siku. Watu wangeacha kudhurumu watu

  • @upendohalisi80
    @upendohalisi80 Před 5 měsíci

    Hivi mbomoaji una mjengo kama huo😅😅😅

  • @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr
    @MKOLOSAIonlineTV-cn2vr Před 5 měsíci +2

    Msaada mimi nishaga poteza eneo la marehem mzee wangu huku mkoa wa shinyanga maeneo ya chembeli didia naomba msaada wenu niweze pata haki yangu pia mzee wangu aliwawa na watu miaka ya nyuma naomba msaada jamani please 😢😢

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka Před 5 měsíci

    nasikia bunju, tegeta kasisitiza tena anarudi bunju na bado ila kinondoni lakini kwa sisi,huku mikoani hakuna😢😢😢

  • @user-xd2tg8eq1h
    @user-xd2tg8eq1h Před 5 měsíci

    Safi waziri tenda haki usiangalie huyu nani wala anafedha kiasi gani

  • @zanzibarafrica5945
    @zanzibarafrica5945 Před 5 měsíci +2

    Kabla ya kuhukumu haki imetendeka je mnaujua ukweli? Si mnafurahia tu nyumba ya mtu inavunjwa kiufi WTZ wengi wanafurahia mtu pale anapo angushwa na anaposifiwa hawatoi pongezi kiukweli waziri angetumia busara busara ange ita pande zote mbili huwezi jua alojenga usikute nae kauziwa hivyo isifike hatua hii wangemalizana hata kwa kumlipa huyo mwenyewe

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 5 měsíci

      Mpaka kufika uamuzi huo ujue yote hayo yamefanyika. Usikute tajiri alileta dharau

  • @abuutwalha8796
    @abuutwalha8796 Před 5 měsíci

    Wa Israel wanasafisha mji wa gaza daah

  • @CASTUSNDAMUGOBA-vp8nj
    @CASTUSNDAMUGOBA-vp8nj Před 5 měsíci +1

    Hongera sana Mhe.Waziri!

  • @abujafarshaban6830
    @abujafarshaban6830 Před 4 měsíci

    The Next president of Tanzania ❤SILAA

  • @user-rr8sd2gx2e
    @user-rr8sd2gx2e Před 5 měsíci +3

    Binafsi nafikili kingesaminishwa kwa fedha na kumlipa huyo mama mmiliki halali sio kubomoa, bora hata iuzwe na pesa akapewa mmiliki halali. Maana mwishoni mwa siku hata huyo mama naamini atakiuza hawezi kukaa hapo kwahicho kinachoendelea, maana mtu anaweza kupanga kisasi cha ulimwengu huu wa mwili au ulimwengu wa giza. Dunia hii.

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 5 měsíci

      Sasa nani analipa?

    • @user-rr8sd2gx2e
      @user-rr8sd2gx2e Před 5 měsíci

      @@Zuu673 Mmiliki aliyevamia amlipe mmiliki halali.

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 5 měsíci +1

      @user-rr8sd2gx2e yani hatua ya kuvunja kitu ni yamwisho kati ya zote ikiwemo na vikao vy maelewano na muhusik kuto ikubali hatma sheria zote zinafatwa,anko wangu kibosho alijenga kwenye shamba la watu tangu mwaka 2016 vikao walikaa sana lkn yeye hakutaka chochote zaidi yakuendelea kuishi pale meisho hadi kwenye vikao vingine hakufika kabisaaa na serikali ilichukuwa sheria na ilivunjwa mmiliki akapewa haki yake ndo ivyo iyo ya miaka mingi ivyo walizungushana saaana ivyo wamemchoka hataki kushirikiana na wenzake

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před 5 měsíci

    Grodoza ni ZURI likiwa linachonga barabara ,lkn likiwa linavunja nyumba Yako KHAAA utakojoa

  • @hbmussa9825
    @hbmussa9825 Před 4 měsíci

    UYO DADA ANAVO; NGEA ANAFAA KUWA MUIGIZAJI RAMATA AJAMUONA😂

  • @abullahsalimabdul-rahman1817

    MBONA WAMESITA KUBOMOA...SIM MOJA TU

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před 5 měsíci +1

    Awo wananyumba zaidi ya 20 ani apo ata plesha hana😂😂😂😂

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 5 měsíci

      Mama alivochanganyikiwa hivo, hata uwe na noti hiyo ni hasara.

  • @p.phareskalalu5924
    @p.phareskalalu5924 Před 5 měsíci

    Waziri ana mamulaka ayo ni mahakama pekee

  • @faithV-S
    @faithV-S Před 5 měsíci

    Wanaosema kua bora wangeongea kuliko kubomoa, HAPANA hii ndio haki. Maana mwenye nyumba kama ni kweli aliingilia kiwanja cha mwenzake kiubavu sio sahihi kabisaa. Katumia ubavu na yeye pia kapata wabavu, Safi sana

    • @juliuskato5100
      @juliuskato5100 Před 5 měsíci

      Huyu aliuziwa sio mporaji ameuziwa

    • @faithV-S
      @faithV-S Před 5 měsíci

      @@juliuskato5100 Hata kama ameuziwa Julius bado sio sahihi kujua kua umeuziwa eneo ambalo ni la mtu alafu ukaenda kujenga ulikua kabisa mtu kadhulumiwa. Kwanini usipbane na alie kuuzia. Ukadhulumiwa nawe ukadhulumu. Hapana

  • @rejaarealestate
    @rejaarealestate Před 5 měsíci

    ndio maana tunashauri watu wanunue viwanja rejaa real estate

  • @user-zc7ql3nc3v
    @user-zc7ql3nc3v Před 4 měsíci

    Huyo anaebomoa sasa😂

  • @CECILIAMAGANGA-sk8md
    @CECILIAMAGANGA-sk8md Před 5 měsíci

    Njoo na kilombero huku. Kunadhuruma hvhv yaan wachaga 😢😢😢😢😢😢

  • @user-ct1qv5cr6w
    @user-ct1qv5cr6w Před 5 měsíci +3

    Ongera Tanzania. Kenya kama hauna pesa utateswa mpaka utoroke 😂

  • @yusuphjafarijr7583
    @yusuphjafarijr7583 Před 5 měsíci +1

    hiii serikali niya ajabu sana tena sana

  • @RichMotherr
    @RichMotherr Před 4 měsíci

    Migogoro ya viwanja jaman mh 😢

  • @abubakarijuma-qs7vi
    @abubakarijuma-qs7vi Před 4 měsíci

    Hata kama lkn sio uzur hivyo