@@alibachirofficial3939ushaambiwa Mama alikuwa anafatilia haki yake,kwa kipindi cha miaka 20 hadi kupata haki yake! Hivyo inawezekana kesi iko mahakamani,yeye bado anaendelea na ujenzi
Mungu akubariki waziri wenye hela wana dhulumu sana watu uku kisa pesa zao na ukipeleka kesi mahakamani hakuna ufuatiliaji wowote kisa kupewa rushwa 😢😢😢
Toa namba yakukupata waziri,na ucheki na pugu kinyamwezi kuna matatizo mengi sana ya ardhi,shida ni mjumbe na mwenyekiti wanausika kwa uuzaji wa mara mbili mbili wa viwanja.kuna baadhi ya wenye viwanja wanashirikiana na hawa wenyekiti kufanya mambo sio,sababu watu wale wale wanasaini hati ya manunuzi,kwa kiwanja kilekile na kipo karibu na office ya serikali ya mtaa,na mjumbe anajua kasaini hati hiyo kwa mnunuzi wa kwanza na mnunuzi wa pili anasaini tena.
Hongera Mh.Waziri nami nimevamiwa kiwanja changu Makole Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamepandikiza hati katika kiwanja cha mmiliki mwingine wakidai eti CDA ndo walompa na c kweli kwani CDA ilivunjwa mwaka 2017 na kiwanja hicho kilikuwepo hadi mwaka 2020. Hapo kuna mianya ya Rushwa .
Mh.Waziri Jerry Slaa Barikiwa sana kwa kutenda haki ,karibu Kata ya Kwembe mtaa wa Kwembe kati kuna madudu Wilaya ya Ubungo ninakusubiri kwa hamu asante Mkuu
Habari mkuu tunaomba uje uku mtaa wa darajani.mikocheniA ccm Kuna mtu amejenga katikati ya njia anasema ni kwake na mahakama imempa na ni barabara ya maji mvua zikinyesha saizi mvua zikinyesha maji yanaingia majumbani kwetu..kisa ana ela.
safi jisafisheni ccm inchi imekua ya matajiri mwenye psa atishwi na sheria za leo ndio maana tunaitaji katiba mpya mihimili iwe imara kuriko leo kuna memo wana sema unanijua mimi nani?? sababu mtu wa ccm inakua shida kama huku kinondoni kuna mama anasumbuliwa na try agein kiwanja chake
No .. alitumwa ajenge?? Alivamia kiwanja akatumia ubabe akajenga bila kibali wala kujali haki ya mwenzake .. na hapo saa hizi amesharaiwa sana pengine wayamalize kama wewe ulivyo shauri ila itakuwa ameendelea kuonyesha ubabe na kutotoa ushirikiano na kutishia watu maisha .. mwache alinywe alilolikoroga.
Duh ningependa maridhiano kati ya aliyejenga na mwenye eneo Sijui Kama Mlitoa tangazo Kama serikal kwamba tofauti Kati ya mwenye eneo na mjengaji kwamba jengo lake litabomolewa asipokubalikuridhiana na mwenye eneo ndipo ichukuliwe hatua ya kubomoa (serikali iwe ni hakimu kwa pande mbili maana hawa wte ni WA Tanzania Kama amekataa kuridhiana na mwenye eneo ndiposa hatua ka hizo zichikuliwe wazir nashauri Sana kwa waziri pande mbili zenye mgogoro wa ardhi ni vyema kuwakutanisha hao watu na mwenye Haki akibainika bac asiyehaki aombwe kuridhiana na mwenye Haki akikataaa bac zichikuliwe hatua hizo making tukiona majengo yanabomolewa hatusikii vizur tunapenda maridhiano kuliko hatua hizo maridhiano yakishndikana bac serial ifanye yake
Mimi nafikiri Kingę fantoma kitu kingine zaidi ya kubomoa nyumba hiyo, for economical reasons kuna mambo mengi yangefanwa, hiyo haikuwa right decision kabisa, solution ziko nyingi sana, kubomoa nyumba ya Ghana I kama hiyo ingekuwa last result. Ni ushauri tu
Msaada mimi nishaga poteza eneo la marehem mzee wangu huku mkoa wa shinyanga maeneo ya chembeli didia naomba msaada wenu niweze pata haki yangu pia mzee wangu aliwawa na watu miaka ya nyuma naomba msaada jamani please 😢😢
Kabla ya kuhukumu haki imetendeka je mnaujua ukweli? Si mnafurahia tu nyumba ya mtu inavunjwa kiufi WTZ wengi wanafurahia mtu pale anapo angushwa na anaposifiwa hawatoi pongezi kiukweli waziri angetumia busara busara ange ita pande zote mbili huwezi jua alojenga usikute nae kauziwa hivyo isifike hatua hii wangemalizana hata kwa kumlipa huyo mwenyewe
Binafsi nafikili kingesaminishwa kwa fedha na kumlipa huyo mama mmiliki halali sio kubomoa, bora hata iuzwe na pesa akapewa mmiliki halali. Maana mwishoni mwa siku hata huyo mama naamini atakiuza hawezi kukaa hapo kwahicho kinachoendelea, maana mtu anaweza kupanga kisasi cha ulimwengu huu wa mwili au ulimwengu wa giza. Dunia hii.
@user-rr8sd2gx2e yani hatua ya kuvunja kitu ni yamwisho kati ya zote ikiwemo na vikao vy maelewano na muhusik kuto ikubali hatma sheria zote zinafatwa,anko wangu kibosho alijenga kwenye shamba la watu tangu mwaka 2016 vikao walikaa sana lkn yeye hakutaka chochote zaidi yakuendelea kuishi pale meisho hadi kwenye vikao vingine hakufika kabisaaa na serikali ilichukuwa sheria na ilivunjwa mmiliki akapewa haki yake ndo ivyo iyo ya miaka mingi ivyo walizungushana saaana ivyo wamemchoka hataki kushirikiana na wenzake
Wanaosema kua bora wangeongea kuliko kubomoa, HAPANA hii ndio haki. Maana mwenye nyumba kama ni kweli aliingilia kiwanja cha mwenzake kiubavu sio sahihi kabisaa. Katumia ubavu na yeye pia kapata wabavu, Safi sana
@@juliuskato5100 Hata kama ameuziwa Julius bado sio sahihi kujua kua umeuziwa eneo ambalo ni la mtu alafu ukaenda kujenga ulikua kabisa mtu kadhulumiwa. Kwanini usipbane na alie kuuzia. Ukadhulumiwa nawe ukadhulumu. Hapana
Safi sanaaa, kuna watu jeuri ya vihela vyao inawazidi wanasahau kuwa kuna MUNGU mtetezi wa wa nyonge.
Ongea machache mungu yupo
Duuu! Huyu mwenye gorofa angekaa tu aelewane na mwenye kiwanja
Asante sana Mkuu hakikisha unabomolea wote wanaovamia aridhi za watu.
Jmn hap sawa nimeewaelea viongozi kaz nzuri
Safi sana
fantastic 👏
Msiseme ni wanadamu wamebomoa! Hapo ni Mungu kabomoa.Asanteni Sn.
Weeeee Mungu ndo anaendesha tingatinga 😂😂😂😂
Lp1😊q@@SportsRaha¹
@@SportsRaha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamani ww
Kwa hasara hii, tukiona kiwanja kina mgogoro tusitishe ujenzi.
Kwakweli
Point mkuu
Kweli kabisa, tusijenge mpaka mahajana au serikali iamue hiyo kesi
Wakati inajengwa walikuwap?
@@alibachirofficial3939ushaambiwa Mama alikuwa anafatilia haki yake,kwa kipindi cha miaka 20 hadi kupata haki yake! Hivyo inawezekana kesi iko mahakamani,yeye bado anaendelea na ujenzi
Huyu si mtu bali ni malaika mlinzi katumwa dunian na MUNGU ❤🙏
SAFI SANA Wazir jer kila la kher kwako Bado Dodoma Jiji.
Nimempenda mbomoaji yuko vzr anabomoa palepale panapouma😅jamani Jerry ungeniuliza nikakuchagulia pakubomoa yani umebomoa panapouma😅❤❤❤❤
Nimekupenda bure
😅😅😅😅😅
❤❤😂
Hahaaaa lazima tu abomoe pale pale panapouma
Hongera sana Mh Jerry Silaa, kaza
Asante. Iwe fundisho Kwa matajiri wengine
Safi sana ,nataman hata mimi nifikiwe kwenyehili maana nimezibiwa hadi mlango sijui nipae ama ila naimani mungu atatenda kwa wakati
Asante baba mlezi, mkeo Bi. Hadija kafurahi mno kupata haki yake
Mungu akubariki waziri wenye hela wana dhulumu sana watu uku kisa pesa zao na ukipeleka kesi mahakamani hakuna ufuatiliaji wowote kisa kupewa rushwa 😢😢😢
Hongera sana iwefundisho kwa wengine,
Ahsante sana mkuu 🤝🤝
Toa namba yakukupata waziri,na ucheki na pugu kinyamwezi kuna matatizo mengi sana ya ardhi,shida ni mjumbe na mwenyekiti wanausika kwa uuzaji wa mara mbili mbili wa viwanja.kuna baadhi ya wenye viwanja wanashirikiana na hawa wenyekiti kufanya mambo sio,sababu watu wale wale wanasaini hati ya manunuzi,kwa kiwanja kilekile na kipo karibu na office ya serikali ya mtaa,na mjumbe anajua kasaini hati hiyo kwa mnunuzi wa kwanza na mnunuzi wa pili anasaini tena.
Nahawa wenyeviti wa serikari za mtaa ni chanzo cha migogoro kabisa
huko anakujua sana alikuwa mkurugenzi wa jiji,akawa mbunge,akawa now waziri
Z😊Z😅zz😅😊D😊😅😅😅z😅Z😅😊😊😊zz😊z😊😊SXz😊zza😅@@😅😅😅-😅😅Xz😅Azs😊😅😅😊ds😅😊z😅😊z😅Ad😅😅aaaA°°Aaa•°X@☆☆22😊@~😅@😅@😊😊😊#😊😊😊○😊😊😊😊😊😊😊😊‐😊😊😊☆☆😅😊😊😅☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆☆##☆😊😊😊😊😊😊😊😊😊☆😊😊#😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊-------------------------------‐-------------😊☆☆☆☆☆☆-==☆😮☆😅😊😮○••😅😅😅😅😅😅☆☆•○•😅😅😅😊○☆○○😅😅▪︎~~▪︎~☆😊#№---@😅@@-😅@----😅☆😅😅😊😊•○😅@#-😊😅•-😅--@#-😅•@---😊#@😊☆••9@@user-mf9tu4yu3p
Hongela Sana mku malipo yako yapo kwamung
Daa nilivyoona linabomolewa moyo wangu uliumia sana kumbe huyu mtu ni mzulumaji ? Hongera wazir ww ndie Rais ujae big up
Mungu akulinde jerry slaa kazi nikubwa na njema
Nakubali Mr Operator 😅 kivunja vunja ni rahisi sana
Hongera waziri
Wenye pesa wengi wanakiburi safi sana.
Hongera Mh.Waziri nami nimevamiwa kiwanja changu Makole Dodoma Halmashauri ya Jiji la Dodoma wamepandikiza hati katika kiwanja cha mmiliki mwingine wakidai eti CDA ndo walompa na c kweli kwani CDA ilivunjwa mwaka 2017 na kiwanja hicho kilikuwepo hadi mwaka 2020.
Hapo kuna mianya ya Rushwa .
Mmmmh😢😢😢unaweza ukafa,Kwa Jin's ninavyofahamu gharama za ujenz
Hongereni San haki saw Kwa wote
Nimeipenda
safi sana mkuu wanyooshe wapumbafu wachache wanahalibu sifa ya Tanzania
WAZIRI NJOO MSUMI KUNA WAHUNI WAMEVAMIA SHMAB LA MTU NA KUJENNGA NGOME YA UHALIFU
Msumi sehemu gani boss
Safi sana. Wanasumbua. Sana na vihela vyao
Kwel kabisaa safi sanaaa
Asante Mama Samia Suluhu kwa kutugombania sisi wanyonge na kupata haki zetu
Kakugombia kwa kipi hapo
Ovyooo
Jamani si wange msettle huyo Naomi wamlipe...kweli mnavunja nyumba yote hiyo duh😢
Mungu akubariki waziri
Demolition siyo sawa kwani watoa hati ni watumishi ndani ya wizard yako
Shida Nini tena🎉😊
Kwa kweli wenye nguvu wametuumiza sana
Safi sana!! Waziri ,I see the return of JPM💪💪 ,Piga kazi Baba maombi yetu yako na wewe.
Jpm alivunja nyumba ngap
Tunamshukuru mh rais
👋👋👋👋👊👊safi sana waziri safi sana
Safi sana
Daaah siyo poa kbx aisee
Hongera wazir kumbuka pia uchawi upo afrika
Uchawi unadunda
Duh mungu awasimamie 🙌
Mungu/MUNGU sio mungu
Waaah! Sio poa walai
kwa hili Mungu akubariki maana MUNGU apendezwi na dhuruma na dhuruma ni nyingi katika ameneo ya nchi hii hasa watu wanyonge wanaonewa na wenye nacho
Safi sana kiongozi wetu sasa hivi hakuna tena janja janja
Kuna viboss uwa vinadhani pesa inafanya kila kitu Sasa kazi ndo hii hapa
Hawatosheki na halali halamu pia haitofaa
Haswaa awatoshekii
Msibomoe nyuma yanguu...😂😂😂 ole wake
Dah sio poa kabisa bro 😮
Mungu amemsikia mweny kiwanja chake
Pole kwa dhuruma
Jaman mama emmmy pole sana
Kwan broo hujaenda msibani
😂😂😂😂
Mungu mkali sana, hasiye haki hataishi eneo hilo, maana litakuwa mateso na laana, Maana Mungu ndiye anayemjua mwenye haki
Mh.Waziri Jerry Slaa Barikiwa sana kwa kutenda haki ,karibu Kata ya Kwembe mtaa wa Kwembe kati kuna madudu Wilaya ya Ubungo ninakusubiri kwa hamu asante Mkuu
Safi sana iyooooimeenda kabisa
Hio miak ishirin serikal ilikuw wapi kam sio rushwa zilikuw zinapita tu
Safiiii, nimefrahi sana,kuna watu wamedhulumiwa mali zao jamani 😢😢😢
Tunajua na wewe watakuuwa.lakini habali wameipata 👍
Habari mkuu tunaomba uje uku mtaa wa darajani.mikocheniA ccm Kuna mtu amejenga katikati ya njia anasema ni kwake na mahakama imempa na ni barabara ya maji mvua zikinyesha saizi mvua zikinyesha maji yanaingia majumbani kwetu..kisa ana ela.
Safi sanaMunguhakulinde
Jamani greda si mngeongea akawanunulia enjoy nyingine😢😢
safi jisafisheni ccm inchi imekua ya matajiri mwenye psa atishwi na sheria za leo ndio maana tunaitaji katiba mpya mihimili iwe imara kuriko leo kuna memo wana sema unanijua mimi nani?? sababu mtu wa ccm inakua shida kama huku kinondoni kuna mama anasumbuliwa na try agein kiwanja chake
Huu ni ujinga wa hali ya juu sana
Naumia 😢japo Hana haki😂
Mgeomba alipe pesa ya kiwanja ila sio kubomoa nyumba😢
Miaka karibia 20 anapigania haki yake kwa nini alijengaa kwenye kiwanja chenye matatizo
Ameshaambiwa amegoma
The power of Jesus❤ haki ya mtu ni ya mtu2
Hatimae shangazi yangu Naomi kwayu kapata haki yake .MUME wake ambaye ni MAREHEMU alinunua kiwanja MIAKA mingi mno .
Mungu akusaidie katika kutekeleza haki
❤viziri,,sana,❤❤❤❤
Mfalme suleimani aliomba apewe hekima,waziri angetafuta suruhu
Sasa na ww hapo kwa akili zako ulitaka afanyaje 🙄
Bado sijaona ghorofa la kifahari apo, sema nyumba ya ghorofa moja
Sawa tajiri!
Kwa ww mwenye pesa ndio huoni
Kwann wasingekubaliana akamlipa pesa kuliko kutiana hasara hivi
That's true"vitu vingine vinahtaji busara sio kukurupukaa
No .. alitumwa ajenge?? Alivamia kiwanja akatumia ubabe akajenga bila kibali wala kujali haki ya mwenzake .. na hapo saa hizi amesharaiwa sana pengine wayamalize kama wewe ulivyo shauri ila itakuwa ameendelea kuonyesha ubabe na kutotoa ushirikiano na kutishia watu maisha .. mwache alinywe alilolikoroga.
@@badmanno.1650 kwa upande mwngine ni sawa kabsaa
Hataki hela anataka eneo lake ili ajenge akae kwenye ardhi yake
Bomoa nyumba kama izo kabisa Mataji wanajifanya juu wako na pesa uyo masiki amepa haki 🙏🙏🙏
Mbona Tenesko hawajatoa nyaya za umeme....😂😂😂😂😂....uuwii
Ngoja kiwalambe
Umemewenyee umezima😂😂😂
Duh ningependa maridhiano kati ya aliyejenga na mwenye eneo Sijui Kama Mlitoa tangazo Kama serikal kwamba tofauti Kati ya mwenye eneo na mjengaji kwamba jengo lake litabomolewa asipokubalikuridhiana na mwenye eneo ndipo ichukuliwe hatua ya kubomoa (serikali iwe ni hakimu kwa pande mbili maana hawa wte ni WA Tanzania Kama amekataa kuridhiana na mwenye eneo ndiposa hatua ka hizo zichikuliwe wazir nashauri Sana kwa waziri pande mbili zenye mgogoro wa ardhi ni vyema kuwakutanisha hao watu na mwenye Haki akibainika bac asiyehaki aombwe kuridhiana na mwenye Haki akikataaa bac zichikuliwe hatua hizo making tukiona majengo yanabomolewa hatusikii vizur tunapenda maridhiano kuliko hatua hizo maridhiano yakishndikana bac serial ifanye yake
Inaonekana watakuwa walimpa taarifa alavyo inavyoonekana ndo tabia yake sehemu zote tatu
Hawawezi kuvunja nyumba bila kukaa meza Moja:huenda majeuri
Mimi nafikiri Kingę fantoma kitu kingine zaidi ya kubomoa nyumba hiyo, for economical reasons kuna mambo mengi yangefanwa, hiyo haikuwa right decision kabisa, solution ziko nyingi sana, kubomoa nyumba ya Ghana I kama hiyo ingekuwa last result. Ni ushauri tu
Kwanini ukajenge kwamtu alafu utake Suluhu
Na huyo mtu inaonekana ni kawaida yake.
Yaan ingekuwaga hv Kila siku. Watu wangeacha kudhurumu watu
Kweli
Hivi mbomoaji una mjengo kama huo😅😅😅
Msaada mimi nishaga poteza eneo la marehem mzee wangu huku mkoa wa shinyanga maeneo ya chembeli didia naomba msaada wenu niweze pata haki yangu pia mzee wangu aliwawa na watu miaka ya nyuma naomba msaada jamani please 😢😢
nasikia bunju, tegeta kasisitiza tena anarudi bunju na bado ila kinondoni lakini kwa sisi,huku mikoani hakuna😢😢😢
Safi waziri tenda haki usiangalie huyu nani wala anafedha kiasi gani
Kabla ya kuhukumu haki imetendeka je mnaujua ukweli? Si mnafurahia tu nyumba ya mtu inavunjwa kiufi WTZ wengi wanafurahia mtu pale anapo angushwa na anaposifiwa hawatoi pongezi kiukweli waziri angetumia busara busara ange ita pande zote mbili huwezi jua alojenga usikute nae kauziwa hivyo isifike hatua hii wangemalizana hata kwa kumlipa huyo mwenyewe
Mpaka kufika uamuzi huo ujue yote hayo yamefanyika. Usikute tajiri alileta dharau
Wa Israel wanasafisha mji wa gaza daah
Hongera sana Mhe.Waziri!
The Next president of Tanzania ❤SILAA
Binafsi nafikili kingesaminishwa kwa fedha na kumlipa huyo mama mmiliki halali sio kubomoa, bora hata iuzwe na pesa akapewa mmiliki halali. Maana mwishoni mwa siku hata huyo mama naamini atakiuza hawezi kukaa hapo kwahicho kinachoendelea, maana mtu anaweza kupanga kisasi cha ulimwengu huu wa mwili au ulimwengu wa giza. Dunia hii.
Sasa nani analipa?
@@Zuu673 Mmiliki aliyevamia amlipe mmiliki halali.
@user-rr8sd2gx2e yani hatua ya kuvunja kitu ni yamwisho kati ya zote ikiwemo na vikao vy maelewano na muhusik kuto ikubali hatma sheria zote zinafatwa,anko wangu kibosho alijenga kwenye shamba la watu tangu mwaka 2016 vikao walikaa sana lkn yeye hakutaka chochote zaidi yakuendelea kuishi pale meisho hadi kwenye vikao vingine hakufika kabisaaa na serikali ilichukuwa sheria na ilivunjwa mmiliki akapewa haki yake ndo ivyo iyo ya miaka mingi ivyo walizungushana saaana ivyo wamemchoka hataki kushirikiana na wenzake
Grodoza ni ZURI likiwa linachonga barabara ,lkn likiwa linavunja nyumba Yako KHAAA utakojoa
UYO DADA ANAVO; NGEA ANAFAA KUWA MUIGIZAJI RAMATA AJAMUONA😂
MBONA WAMESITA KUBOMOA...SIM MOJA TU
Awo wananyumba zaidi ya 20 ani apo ata plesha hana😂😂😂😂
Mama alivochanganyikiwa hivo, hata uwe na noti hiyo ni hasara.
Waziri ana mamulaka ayo ni mahakama pekee
Wanaosema kua bora wangeongea kuliko kubomoa, HAPANA hii ndio haki. Maana mwenye nyumba kama ni kweli aliingilia kiwanja cha mwenzake kiubavu sio sahihi kabisaa. Katumia ubavu na yeye pia kapata wabavu, Safi sana
Huyu aliuziwa sio mporaji ameuziwa
@@juliuskato5100 Hata kama ameuziwa Julius bado sio sahihi kujua kua umeuziwa eneo ambalo ni la mtu alafu ukaenda kujenga ulikua kabisa mtu kadhulumiwa. Kwanini usipbane na alie kuuzia. Ukadhulumiwa nawe ukadhulumu. Hapana
ndio maana tunashauri watu wanunue viwanja rejaa real estate
Huyo anaebomoa sasa😂
Njoo na kilombero huku. Kunadhuruma hvhv yaan wachaga 😢😢😢😢😢😢
Ongera Tanzania. Kenya kama hauna pesa utateswa mpaka utoroke 😂
Nakweli 😂😂
hiii serikali niya ajabu sana tena sana
Ulitaka nin kifanyike apa.
Migogoro ya viwanja jaman mh 😢
Hata kama lkn sio uzur hivyo