Jumba La Kifahari Lafurumishwa Na Bomoa Bomoa Dar

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Nyumba zaidi ya 20 zimebomolewa katika Manispaa ya Kinondoni kufuatia operesheni ya bomoabomoa jijini Dar.

Komentáře • 147

  • @zulekhaponti9353
    @zulekhaponti9353 Před 2 lety +2

    siyo vizuri ! wakisubiri watu kutoa vitu vyao ! na kuwapa haki ia.

  • @ibrahimbutera201
    @ibrahimbutera201 Před 7 lety +3

    aisee! pole sana mamaangu

  • @anthonympemba8262
    @anthonympemba8262 Před 6 měsíci

    Mh waziri kazi nzuri mungu akulinde karibu mwanza kuna nyumba nyingii ambazo zimejengwa kwenye viwanja visivyo harari. Nyumba zibomorewe nazo

  • @maryamsinganomaryamsingano7938

    mungu atawahukumu nyie imani zenu nidhaifu mungu awatie imani familia hiyo

  • @linahsemindu9575
    @linahsemindu9575 Před 4 lety +1

    dah sitojenga maishani kwangu kote 😭😭😭😭😭😭nahis kama ni mm ningekufa kwa.plesha.kbc milion.500

    • @evaemil856
      @evaemil856 Před 6 měsíci

      Wivu na dhuluma vimewazidi

  • @nurujuma1897
    @nurujuma1897 Před 5 lety

    Hongeren Sana mlobomoa pole mwanamke mwrnzang Allah yupo

  • @kamazimaishengoma5464
    @kamazimaishengoma5464 Před 7 lety +2

    Pole sana hakika hii ndo Tz yetu

  • @boniphacejoseph3389
    @boniphacejoseph3389 Před 7 lety +1

    Ni hasara kubwa sana kwa viongoz kukosa hekma na busara hii ni dhuruma ....serikali haiheshim mahakama ....haya mambo ya kubomolewa nyumba yasikie tu kwa mwenzio.

  • @doramwantingo801
    @doramwantingo801 Před 7 lety +3

    Munguanguu mbona dhambi kubwa sana bila hata chembe ya huruma kiasi hiki...

  • @MaryamMaryam-nt5so
    @MaryamMaryam-nt5so Před 7 lety +2

    aah africa yangu kweli nitatamani kurudi ikiwa hali ndio hiyo slali mchana wa ucku kwa kutafuta aah😢😢😢cyamin

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji Před 7 lety +3

    Afrika kupata maendeleo tusahau.
    Nina masuali2 .
    1.Sawa kavamia,jee kibali cha kujengea kakipata wapi?
    2.Tangu alipoanza ujenzi serikali ilikua wapi? Wizara na sheha wa eneo wanafanya kazi gani.

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před 6 měsíci

    Mungu amehukumu tayari, bora angeshauriwamwenye chake amlie kiasi😮

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb Před 6 měsíci

    Mungu mkubwa Allah Akbar huruma huzaa upendo na upendo huleta Amani viongozi kuweni na hekima kujenga kugum kama ni haki yenu basi Mwenyezi Mungu atakua na nyinyi

  • @omarymwigula5479
    @omarymwigula5479 Před 7 lety +2

    Hii sijui namba ngapi tunayo isoma ccm oyeeeeeee

  • @ashanziku3498
    @ashanziku3498 Před 5 měsíci

    Safi sana

  • @missmuunasharifu2323
    @missmuunasharifu2323 Před 7 lety +2

    subuhannallah hivyo ndivyo wanyonge tunavyosaidiwa asanten sana hata kutoa vitu vyake khaa aende wap akaish kaaaaaaaa!

    • @missmuunasharifu2323
      @missmuunasharifu2323 Před 7 lety

      mapesa yote hayo ya ujenz jmn sikufuru hiyo jmn yote hiyo wanyonge wavunjiwa sababu ya kujengwa viwanda sasa wawekezaji wana thaman kwa sasa kuliko wananch tena waliokupigien na kura bado.Hizo ndio shukran zenu za dhat kwa wananch mnazitoa asanten sana sana saaanaaa.

    • @geckoniarobben3588
      @geckoniarobben3588 Před 7 lety

      kaka ndiyo hvo shukrani ya punda mateke hapo bado mamtu fulani ambayo hayajui uzito na kutafakari kuhusu hilo swala yanashabikia na kuipongeza serikali inayofanya madudu hayo na mengineyo

  • @rahmaabdullah4538
    @rahmaabdullah4538 Před 7 lety +1

    Kesho kwa Allah kuna mengi mno subhana llah

  • @shimoneycashtalk9176
    @shimoneycashtalk9176 Před 6 měsíci +1

    Kipindi anajenga mlikuwa wapi kwanini hamku tumiya nguvu ya kumziwiya mungu atawalipa😢

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 Před 6 měsíci +1

    Watanzania acheni dhuruma na janjajanja..haki ya mtu haipoten inacheleweshwa tu

  • @salehally1082
    @salehally1082 Před 5 měsíci

    Samahani sana Mimi nauliza tu !! Hii nyumba haikuota kama uyoga ilianza kujengwa tokea msingi na kama kulikuwa na Malalamiko juu ya ujenzi na kesi ilikuwa mahakamani je kulikuwa hakuna agizo la kusitisha ujenzi na kuanzia mjumbe wa serikali ya mtaa Hadi manispaa walikuwawapi wakati ujenzi unaendelea ? Je ni nani WA kulaumiwa ? Na kama alivamia maeneo ambayo sio yake je wahisika walikuwa wapi mpaka nyumba inamalizika ?

  • @zuhuradmbonde3532
    @zuhuradmbonde3532 Před 7 lety +1

    Dah!inaumiza sana hii

  • @shaabanramadhan5402
    @shaabanramadhan5402 Před 7 lety

    Yaaan inauma inauma inauma inauma inauma inauma inauma inauma tena Sanaa lkn hyu Jamaa aliye pewa jukumu lakuvunja nyumba zawatu Sijui km ataachwa salama

  • @kenyomarion5605
    @kenyomarion5605 Před 7 lety +2

    Hii nchi imekuaje !?? mbona tunakua watumwa kwenye nchi yetu!! Aliyetoa agizo la kuvunjwa kwa nyumba hiyo bila hata yakutoa muda wa kutoa thamani za ndani alaaniwe , alaaniwe ,alaaniwe,

  • @nafisamohamad3182
    @nafisamohamad3182 Před 7 lety +1

    Dah, huruma kwa kweli mwanamke wa watu kaingia hasara kisawasawa

  • @user-oo2fx8nk5r
    @user-oo2fx8nk5r Před 6 měsíci +1

    Wanachofanya Siyo vzr Niunyanyasaji huo sawaa Amejenga sehemu Siyo yake Je Alinunua? Nakama hakununua Alikipataje? Sasa Mnavyobomoa Nyumban za Watu Na vitu ndani hajahamisha Hapo Sikurudisha maendeleo ya Mtu Kama Kuna Kukubarian Mwenye Eneo Na Aliyejenga Nibora Kuzuia Kwa Gharama yoyote lkn Siyo kubomoa Nyumban ya Gharama hivyo eeeh Mungu Ingilia Kati Dunia Simama Nishuke

  • @shivalonso8277
    @shivalonso8277 Před 2 lety +1

    Inauma sana aisee askwambie m2

  • @mushxwaggz5258
    @mushxwaggz5258 Před 7 lety +1

    soo fair ata kabis af uyu Magu huw anamaamuz magum xana

  • @user-tm3jl4yx9f
    @user-tm3jl4yx9f Před 5 měsíci

    Hii serikali jamani

  • @shababygirlshambuwa8388
    @shababygirlshambuwa8388 Před 7 lety +3

    huuu ni ukatili ila mwenyezimungu atawalipia hawajatenda haki

  • @user-mg2fb1to9j
    @user-mg2fb1to9j Před 5 měsíci

    Hili zoezi liendelee uku arusha wapo

  • @MartinsAgufana
    @MartinsAgufana Před 7 lety +1

    Waafrika tunapenda maendeleo lakini hatutakubali kushiriki kufuata sheria

  • @summanelson3718
    @summanelson3718 Před 7 lety

    Yaani huu ni unyama. Ule utu tuliokuwa nao watanzania unaanza kupotea. Hata kama kajenga mahali pasiporuhusiwa wangempa notice at least miezi mitatu.

  • @user-mg2fb1to9j
    @user-mg2fb1to9j Před 5 měsíci

    Wapo isitoshe wanadhulumu hata yatima njoo arusha

  • @andrewnyumayo9306
    @andrewnyumayo9306 Před 6 lety

    poleni wahanga Mungu atawapa haki yenu.

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Před 5 měsíci

    FIDDA HUSSEIN NI TAPELI WA NYUMBA ZA WATU

  • @ashanziku3498
    @ashanziku3498 Před 6 měsíci

    Hawa matajiri. Wanasumbua. Sana na vihela. Vyao

  • @mhandyeyoo6591
    @mhandyeyoo6591 Před 7 lety

    Duuuuuuuu hii chuki binafusi sasaaaaa, sheria hii wapiii? Mungu yu nasi kila jambo na wakati wakeeeee 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @muruanimhanga
    @muruanimhanga Před 6 měsíci

    apa kongo au Tz?

  • @deodadeo2016
    @deodadeo2016 Před 6 měsíci +1

    Ivi pindi watu kama hawa wanajenga, nyie mnaojifanya wakuu wa nchi mnakuwa wapi?

  • @lulujames5193
    @lulujames5193 Před 6 lety

    tunge. kuwa watanzania tunajierewa wote 2020 tusiipingie kula ccm ipate kula2 maana tuna onewa sana jamani hata baba wataifa hakuwa hivi

  • @aminatuabdhulahi8405
    @aminatuabdhulahi8405 Před 7 lety +1

    la haula walakuwata ila billah! nimebaki kinywa wazi machozi yanilenga lenga nahisi kama nyumba ni yangu! Loh! simgemrushia vitu nje ndo mkabomoa? 😬😬😬😢😢😢😢😢😢

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 Před 6 měsíci

    Tanzania ni nchi ya ovyo sana tangu Magufuli afe kwakweli ni kasheshe mbona hawataki kumsikiliza huyo mama jaman usikute hao wanaobomoa hiyo nyumba hata kiwanja hawana hapa mjini pole sana ant

  • @ilumvalameck1901
    @ilumvalameck1901 Před 2 lety

    Naweza nife kwa mawazo🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika

    Haya sasa kutiana umasikini tena mkubwa.. wangepata na kupata mhafaka.

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 8 lety

    duuuuuu!!!!! Subhanallah

  • @ayoobalqasmi3062
    @ayoobalqasmi3062 Před 8 lety +2

    ni bora mngemchagua lowasa kuliko huyo hivyo ndo maisha bora ya watanzania kweli

    • @ibrahimbutera201
      @ibrahimbutera201 Před 7 lety +1

      Ayoob Alqasmi Sasa lowassa ndoo angefanya nini? hao ni watu wawili wenye kugombea hicho kiwanja na sio serekari ya JPM, hebu watanzania wakati mwingine tukaacha ushabiki wa kisiasa tukaangalia uhalisia kamili,chakufanya kwa sasa ni kumpa pole huyo mvunjiwa lakini kama umeshawahi kujenga juu uchungu wa ujenzi anaeujua ni yule aliishawahi kujenga

    • @aboutpius1415
      @aboutpius1415 Před 7 lety

      +Ibrahim Butera serikal yake imevunja nyumba za watu kama maeneo ya kimara nk sasa sisi tunaona live ww unaleta siasa penye ukwel tuseme na ndo malipo ya wanyonge hayo watu wanalala nje na familia zao halafu ww unatetea uovu dah

  • @agneskigeme1197
    @agneskigeme1197 Před 7 lety

    Inaumiza sana jamani pole sana mama

  • @kibatishasanaissa8225
    @kibatishasanaissa8225 Před 8 lety

    mmhh yauzunishaa sanh pole mama

  • @stephanoyusuph1256
    @stephanoyusuph1256 Před 4 lety

    Loooh Tanzania tumchague lisu

  • @user-mg2fb1to9j
    @user-mg2fb1to9j Před 5 měsíci

    Iwe fundisho kwa wengine

  • @dinatalib2616
    @dinatalib2616 Před 8 lety

    Dah ni hasara kwa kweli hii nchi inatisha lazima ukiziwa kitu kuhakisha Serekal inashuhudia kwa macho mawili lasivo unakufa ukiwa mbich kwa shindikizo la damu

  • @haithamjuma6686
    @haithamjuma6686 Před 7 lety

    mtihani duh

  • @Ezekiel_abel
    @Ezekiel_abel Před 7 lety

    Cku moja MUNGU ATAIDHIHIRISHA IPI ULIKUWA N HAKI NA IPI NI LAANA

  • @user-zo8ub3tl9g
    @user-zo8ub3tl9g Před 5 měsíci

    Iko kiwanja kinadhamani Gari? Ni bora wangefidiana tu

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 Před 7 lety +2

    mm kwa mtizamo wangu bora angeambiwa atoe vtu

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa Před 6 měsíci

    Ila sirikali iangaliye ni kurudishana kimaendeleo kama ni kiwanja cha mtu na kurudishana garama kuliko kubomowa ka visa vile watanzania

  • @user-tr3bi1ry6t
    @user-tr3bi1ry6t Před 5 měsíci

    Hii imeenda

  • @rosesilio9008
    @rosesilio9008 Před 6 měsíci

    Da imeniuma

  • @carriebfunny3885
    @carriebfunny3885 Před 6 měsíci

    😢😢😢😢😢😢

  • @ramadhanimohamed4190
    @ramadhanimohamed4190 Před 6 měsíci

    Ni kwel inauma ila ukisikia kiwanja kinamgogoro basi unatakiwa kuchukua taadhari mapema na sio kutumia pesa

  • @JoasMsaki-ol9fn
    @JoasMsaki-ol9fn Před 6 měsíci

    Waliojenga kwakodiza wanachi haiwaumi,

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 6 měsíci

    Wewe tuliza mshono dhulma ina mwisho

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před 6 měsíci

    Hivi hii awamu ya sita mbona hawana huruma, na wananchi, RIP JPM

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 Před 7 lety

    mliipenda wenyewe

  • @joshuaenock7953
    @joshuaenock7953 Před 7 lety +1

    noma

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 6 měsíci

    Mwisho wa dhuluma nimbaya

  • @MeckyLanyer
    @MeckyLanyer Před 6 měsíci

    Kwel bongo nyoso

  • @sarahidrisa50
    @sarahidrisa50 Před 8 lety

    ukatili huo

  • @coyoluo
    @coyoluo Před 6 lety

    Badala ya kubomoa mbona wasielewane na mwenye shamba ili umuzie lilo jengo?

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před rokem

    Eeeee Mungu tusaidie nautupitishe salama kwenye hya mapito magumu na yenye maumivu makubwa yakuuumiza moyo.

  • @allyflavour8005
    @allyflavour8005 Před 4 lety

    Yaaani mnajibu mtu hivyo simtu ambaye anaweza ones huruma mtu khaa

  • @Rugemalilatv1994
    @Rugemalilatv1994 Před 7 lety

    Serikali hii sio

  • @feiz3180
    @feiz3180 Před 7 lety

    Yaani hata kam amejenga hapo hakuna haja kuibomoa namna hii. Serikali hii inafanya mambo hayaeleweki lakini iko siku.

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 Před 7 lety

    Tafazali huruma itendeke wakati anajenga hiyo nyumba wahusika walikuwa wapi?

  • @doctorbuhayagroupdoctor3507

    Selikali ya Tanzania Inafanya VITU kwa sifa kubwa sana
    hongera Sana mliobomoa malipo hapa hapa dunian

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Před 6 měsíci

    Huu ujinga kwann msiwape mda watoe vitu vyao?

  • @rahmaabdullah4538
    @rahmaabdullah4538 Před 7 lety +1

    Si uungwana wala si ubinaadam

  • @MaryamMaryam-nt5so
    @MaryamMaryam-nt5so Před 7 lety +2

    jamani twatiana umaskini

  • @beieieih9179
    @beieieih9179 Před 6 lety

    Laanatuاللهx10000000000000000 heee uonevu tu loooooh

  • @estheroscar6520
    @estheroscar6520 Před 5 měsíci

    Hapo ndo mnawakomesha wanaochukua viwanja vya watu

  • @ARFIddy
    @ARFIddy Před 7 lety

    pole xana

  • @salumuhamissi3492
    @salumuhamissi3492 Před 4 lety

    Ccm ooyeeeeeee

  • @aminanzeyimana3676
    @aminanzeyimana3676 Před 7 lety

    jamani mbona mngempa siku za kutoa vyombo vyake jamani naumia mno

  • @ayoobalqasmi3062
    @ayoobalqasmi3062 Před 8 lety

    ati hivyo ndo rais wa maana

  • @sirenderharoney7139
    @sirenderharoney7139 Před 8 lety +2

    Tuliwambia tubadili matokeo mmepotezea

  • @adiliwasanga4521
    @adiliwasanga4521 Před 7 lety

    Duuu selekali hiii mmmmh cjui

  • @shimoneycashtalk9176
    @shimoneycashtalk9176 Před 6 měsíci

    Inge kuwa mi ndio mwenye kiwanja ninge omba fidiya

  • @perrychicken5876
    @perrychicken5876 Před 7 lety

    Ufisadi tu na choyo

  • @sylviamoisso7132
    @sylviamoisso7132 Před 7 lety

    Oooh my god hawa wabomoaji kama sio binadamu duuu

    • @stevemwandambo587
      @stevemwandambo587 Před 2 lety

      Hawana makosa wanatimiza wajibu wao c unajua kil mtu analinda kibarua chake ila kuomba MUNGU tu atusaidie maana afadhali ata walio sudani na congo

  • @NeemaMlay-jb6zj
    @NeemaMlay-jb6zj Před 6 měsíci

    Hatari

  • @dickmkweji9068
    @dickmkweji9068 Před 7 lety

    biko

  • @StAr-yu3vz
    @StAr-yu3vz Před 2 měsíci

    Rakini sio angetoa vitu vyake

  • @brunoalex6702
    @brunoalex6702 Před 7 lety +1

    unadhani ni kwa nini mvua hazinyeshi??!

  • @sylviamoisso7132
    @sylviamoisso7132 Před 7 lety

    Huyu mvunja nyumba za watu hata kama anapewa order lazima usiku akilala atakua anaweweseka sana

  • @othmanothmanabdulrahman3636

    jamani tujifunze kuptia hilo dah tunsahau km tunpita dunia kumtia zik mwenzio

  • @elijahthomas7855
    @elijahthomas7855 Před 7 lety

    aise Tanzania

  • @sadamosses9763
    @sadamosses9763 Před 8 lety +2

    mambo ya rushwa hayo, babu kubwa

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 6 měsíci

    Vitu viyadhuluma havifai mtu akijiona anapesa afanye anachotaka

  • @tichamichaek2206
    @tichamichaek2206 Před 6 lety

    Nyokoooooooooo

  • @ayoobalqasmi3062
    @ayoobalqasmi3062 Před 8 lety

    hana lolote huyo magufuli mwenyewe duuh