Ni hasara kubwa sana kwa viongoz kukosa hekma na busara hii ni dhuruma ....serikali haiheshim mahakama ....haya mambo ya kubomolewa nyumba yasikie tu kwa mwenzio.
Afrika kupata maendeleo tusahau. Nina masuali2 . 1.Sawa kavamia,jee kibali cha kujengea kakipata wapi? 2.Tangu alipoanza ujenzi serikali ilikua wapi? Wizara na sheha wa eneo wanafanya kazi gani.
Mungu mkubwa Allah Akbar huruma huzaa upendo na upendo huleta Amani viongozi kuweni na hekima kujenga kugum kama ni haki yenu basi Mwenyezi Mungu atakua na nyinyi
mapesa yote hayo ya ujenz jmn sikufuru hiyo jmn yote hiyo wanyonge wavunjiwa sababu ya kujengwa viwanda sasa wawekezaji wana thaman kwa sasa kuliko wananch tena waliokupigien na kura bado.Hizo ndio shukran zenu za dhat kwa wananch mnazitoa asanten sana sana saaanaaa.
kaka ndiyo hvo shukrani ya punda mateke hapo bado mamtu fulani ambayo hayajui uzito na kutafakari kuhusu hilo swala yanashabikia na kuipongeza serikali inayofanya madudu hayo na mengineyo
Samahani sana Mimi nauliza tu !! Hii nyumba haikuota kama uyoga ilianza kujengwa tokea msingi na kama kulikuwa na Malalamiko juu ya ujenzi na kesi ilikuwa mahakamani je kulikuwa hakuna agizo la kusitisha ujenzi na kuanzia mjumbe wa serikali ya mtaa Hadi manispaa walikuwawapi wakati ujenzi unaendelea ? Je ni nani WA kulaumiwa ? Na kama alivamia maeneo ambayo sio yake je wahisika walikuwa wapi mpaka nyumba inamalizika ?
Hii nchi imekuaje !?? mbona tunakua watumwa kwenye nchi yetu!! Aliyetoa agizo la kuvunjwa kwa nyumba hiyo bila hata yakutoa muda wa kutoa thamani za ndani alaaniwe , alaaniwe ,alaaniwe,
Wanachofanya Siyo vzr Niunyanyasaji huo sawaa Amejenga sehemu Siyo yake Je Alinunua? Nakama hakununua Alikipataje? Sasa Mnavyobomoa Nyumban za Watu Na vitu ndani hajahamisha Hapo Sikurudisha maendeleo ya Mtu Kama Kuna Kukubarian Mwenye Eneo Na Aliyejenga Nibora Kuzuia Kwa Gharama yoyote lkn Siyo kubomoa Nyumban ya Gharama hivyo eeeh Mungu Ingilia Kati Dunia Simama Nishuke
la haula walakuwata ila billah! nimebaki kinywa wazi machozi yanilenga lenga nahisi kama nyumba ni yangu! Loh! simgemrushia vitu nje ndo mkabomoa? 😬😬😬😢😢😢😢😢😢
Tanzania ni nchi ya ovyo sana tangu Magufuli afe kwakweli ni kasheshe mbona hawataki kumsikiliza huyo mama jaman usikute hao wanaobomoa hiyo nyumba hata kiwanja hawana hapa mjini pole sana ant
Ayoob Alqasmi Sasa lowassa ndoo angefanya nini? hao ni watu wawili wenye kugombea hicho kiwanja na sio serekari ya JPM, hebu watanzania wakati mwingine tukaacha ushabiki wa kisiasa tukaangalia uhalisia kamili,chakufanya kwa sasa ni kumpa pole huyo mvunjiwa lakini kama umeshawahi kujenga juu uchungu wa ujenzi anaeujua ni yule aliishawahi kujenga
+Ibrahim Butera serikal yake imevunja nyumba za watu kama maeneo ya kimara nk sasa sisi tunaona live ww unaleta siasa penye ukwel tuseme na ndo malipo ya wanyonge hayo watu wanalala nje na familia zao halafu ww unatetea uovu dah
Dah ni hasara kwa kweli hii nchi inatisha lazima ukiziwa kitu kuhakisha Serekal inashuhudia kwa macho mawili lasivo unakufa ukiwa mbich kwa shindikizo la damu
siyo vizuri ! wakisubiri watu kutoa vitu vyao ! na kuwapa haki ia.
Ndio maana bora ule; ugali na mchicha
aisee! pole sana mamaangu
Mh waziri kazi nzuri mungu akulinde karibu mwanza kuna nyumba nyingii ambazo zimejengwa kwenye viwanja visivyo harari. Nyumba zibomorewe nazo
mungu atawahukumu nyie imani zenu nidhaifu mungu awatie imani familia hiyo
dah sitojenga maishani kwangu kote 😭😭😭😭😭😭nahis kama ni mm ningekufa kwa.plesha.kbc milion.500
Wivu na dhuluma vimewazidi
Hongeren Sana mlobomoa pole mwanamke mwrnzang Allah yupo
Pole sana hakika hii ndo Tz yetu
Ni hasara kubwa sana kwa viongoz kukosa hekma na busara hii ni dhuruma ....serikali haiheshim mahakama ....haya mambo ya kubomolewa nyumba yasikie tu kwa mwenzio.
Munguanguu mbona dhambi kubwa sana bila hata chembe ya huruma kiasi hiki...
aah africa yangu kweli nitatamani kurudi ikiwa hali ndio hiyo slali mchana wa ucku kwa kutafuta aah😢😢😢cyamin
Afrika kupata maendeleo tusahau.
Nina masuali2 .
1.Sawa kavamia,jee kibali cha kujengea kakipata wapi?
2.Tangu alipoanza ujenzi serikali ilikua wapi? Wizara na sheha wa eneo wanafanya kazi gani.
Mungu amehukumu tayari, bora angeshauriwamwenye chake amlie kiasi😮
Mungu mkubwa Allah Akbar huruma huzaa upendo na upendo huleta Amani viongozi kuweni na hekima kujenga kugum kama ni haki yenu basi Mwenyezi Mungu atakua na nyinyi
Hii sijui namba ngapi tunayo isoma ccm oyeeeeeee
Safi sana
subuhannallah hivyo ndivyo wanyonge tunavyosaidiwa asanten sana hata kutoa vitu vyake khaa aende wap akaish kaaaaaaaa!
mapesa yote hayo ya ujenz jmn sikufuru hiyo jmn yote hiyo wanyonge wavunjiwa sababu ya kujengwa viwanda sasa wawekezaji wana thaman kwa sasa kuliko wananch tena waliokupigien na kura bado.Hizo ndio shukran zenu za dhat kwa wananch mnazitoa asanten sana sana saaanaaa.
kaka ndiyo hvo shukrani ya punda mateke hapo bado mamtu fulani ambayo hayajui uzito na kutafakari kuhusu hilo swala yanashabikia na kuipongeza serikali inayofanya madudu hayo na mengineyo
Kesho kwa Allah kuna mengi mno subhana llah
Kipindi anajenga mlikuwa wapi kwanini hamku tumiya nguvu ya kumziwiya mungu atawalipa😢
Watanzania acheni dhuruma na janjajanja..haki ya mtu haipoten inacheleweshwa tu
Samahani sana Mimi nauliza tu !! Hii nyumba haikuota kama uyoga ilianza kujengwa tokea msingi na kama kulikuwa na Malalamiko juu ya ujenzi na kesi ilikuwa mahakamani je kulikuwa hakuna agizo la kusitisha ujenzi na kuanzia mjumbe wa serikali ya mtaa Hadi manispaa walikuwawapi wakati ujenzi unaendelea ? Je ni nani WA kulaumiwa ? Na kama alivamia maeneo ambayo sio yake je wahisika walikuwa wapi mpaka nyumba inamalizika ?
Dah!inaumiza sana hii
Yaaan inauma inauma inauma inauma inauma inauma inauma inauma tena Sanaa lkn hyu Jamaa aliye pewa jukumu lakuvunja nyumba zawatu Sijui km ataachwa salama
Hii nchi imekuaje !?? mbona tunakua watumwa kwenye nchi yetu!! Aliyetoa agizo la kuvunjwa kwa nyumba hiyo bila hata yakutoa muda wa kutoa thamani za ndani alaaniwe , alaaniwe ,alaaniwe,
Dah, huruma kwa kweli mwanamke wa watu kaingia hasara kisawasawa
Wanachofanya Siyo vzr Niunyanyasaji huo sawaa Amejenga sehemu Siyo yake Je Alinunua? Nakama hakununua Alikipataje? Sasa Mnavyobomoa Nyumban za Watu Na vitu ndani hajahamisha Hapo Sikurudisha maendeleo ya Mtu Kama Kuna Kukubarian Mwenye Eneo Na Aliyejenga Nibora Kuzuia Kwa Gharama yoyote lkn Siyo kubomoa Nyumban ya Gharama hivyo eeeh Mungu Ingilia Kati Dunia Simama Nishuke
Inauma sana aisee askwambie m2
soo fair ata kabis af uyu Magu huw anamaamuz magum xana
Hii serikali jamani
huuu ni ukatili ila mwenyezimungu atawalipia hawajatenda haki
Hili zoezi liendelee uku arusha wapo
Waafrika tunapenda maendeleo lakini hatutakubali kushiriki kufuata sheria
Yaani huu ni unyama. Ule utu tuliokuwa nao watanzania unaanza kupotea. Hata kama kajenga mahali pasiporuhusiwa wangempa notice at least miezi mitatu.
Wapo isitoshe wanadhulumu hata yatima njoo arusha
poleni wahanga Mungu atawapa haki yenu.
FIDDA HUSSEIN NI TAPELI WA NYUMBA ZA WATU
Hawa matajiri. Wanasumbua. Sana na vihela. Vyao
Duuuuuuuu hii chuki binafusi sasaaaaa, sheria hii wapiii? Mungu yu nasi kila jambo na wakati wakeeeee 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
apa kongo au Tz?
Ivi pindi watu kama hawa wanajenga, nyie mnaojifanya wakuu wa nchi mnakuwa wapi?
tunge. kuwa watanzania tunajierewa wote 2020 tusiipingie kula ccm ipate kula2 maana tuna onewa sana jamani hata baba wataifa hakuwa hivi
la haula walakuwata ila billah! nimebaki kinywa wazi machozi yanilenga lenga nahisi kama nyumba ni yangu! Loh! simgemrushia vitu nje ndo mkabomoa? 😬😬😬😢😢😢😢😢😢
Tanzania ni nchi ya ovyo sana tangu Magufuli afe kwakweli ni kasheshe mbona hawataki kumsikiliza huyo mama jaman usikute hao wanaobomoa hiyo nyumba hata kiwanja hawana hapa mjini pole sana ant
Naweza nife kwa mawazo🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Haya sasa kutiana umasikini tena mkubwa.. wangepata na kupata mhafaka.
duuuuuu!!!!! Subhanallah
ni bora mngemchagua lowasa kuliko huyo hivyo ndo maisha bora ya watanzania kweli
Ayoob Alqasmi Sasa lowassa ndoo angefanya nini? hao ni watu wawili wenye kugombea hicho kiwanja na sio serekari ya JPM, hebu watanzania wakati mwingine tukaacha ushabiki wa kisiasa tukaangalia uhalisia kamili,chakufanya kwa sasa ni kumpa pole huyo mvunjiwa lakini kama umeshawahi kujenga juu uchungu wa ujenzi anaeujua ni yule aliishawahi kujenga
+Ibrahim Butera serikal yake imevunja nyumba za watu kama maeneo ya kimara nk sasa sisi tunaona live ww unaleta siasa penye ukwel tuseme na ndo malipo ya wanyonge hayo watu wanalala nje na familia zao halafu ww unatetea uovu dah
Inaumiza sana jamani pole sana mama
mmhh yauzunishaa sanh pole mama
Loooh Tanzania tumchague lisu
Iwe fundisho kwa wengine
Dah ni hasara kwa kweli hii nchi inatisha lazima ukiziwa kitu kuhakisha Serekal inashuhudia kwa macho mawili lasivo unakufa ukiwa mbich kwa shindikizo la damu
mtihani duh
Maisha ya unyanyasaji hayo
Cku moja MUNGU ATAIDHIHIRISHA IPI ULIKUWA N HAKI NA IPI NI LAANA
Iko kiwanja kinadhamani Gari? Ni bora wangefidiana tu
mm kwa mtizamo wangu bora angeambiwa atoe vtu
Ila sirikali iangaliye ni kurudishana kimaendeleo kama ni kiwanja cha mtu na kurudishana garama kuliko kubomowa ka visa vile watanzania
Hii imeenda
Da imeniuma
😢😢😢😢😢😢
Ni kwel inauma ila ukisikia kiwanja kinamgogoro basi unatakiwa kuchukua taadhari mapema na sio kutumia pesa
Waliojenga kwakodiza wanachi haiwaumi,
Wewe tuliza mshono dhulma ina mwisho
Hivi hii awamu ya sita mbona hawana huruma, na wananchi, RIP JPM
mliipenda wenyewe
noma
Mwisho wa dhuluma nimbaya
Kwel bongo nyoso
ukatili huo
Badala ya kubomoa mbona wasielewane na mwenye shamba ili umuzie lilo jengo?
Eeeee Mungu tusaidie nautupitishe salama kwenye hya mapito magumu na yenye maumivu makubwa yakuuumiza moyo.
Yaaani mnajibu mtu hivyo simtu ambaye anaweza ones huruma mtu khaa
Serikali hii sio
Yaani hata kam amejenga hapo hakuna haja kuibomoa namna hii. Serikali hii inafanya mambo hayaeleweki lakini iko siku.
Tafazali huruma itendeke wakati anajenga hiyo nyumba wahusika walikuwa wapi?
Selikali ya Tanzania Inafanya VITU kwa sifa kubwa sana
hongera Sana mliobomoa malipo hapa hapa dunian
Huu ujinga kwann msiwape mda watoe vitu vyao?
Si uungwana wala si ubinaadam
jamani twatiana umaskini
Laanatuاللهx10000000000000000 heee uonevu tu loooooh
Hapo ndo mnawakomesha wanaochukua viwanja vya watu
pole xana
Ccm ooyeeeeeee
jamani mbona mngempa siku za kutoa vyombo vyake jamani naumia mno
ati hivyo ndo rais wa maana
Tuliwambia tubadili matokeo mmepotezea
Duuu selekali hiii mmmmh cjui
Inge kuwa mi ndio mwenye kiwanja ninge omba fidiya
Ufisadi tu na choyo
Oooh my god hawa wabomoaji kama sio binadamu duuu
Hawana makosa wanatimiza wajibu wao c unajua kil mtu analinda kibarua chake ila kuomba MUNGU tu atusaidie maana afadhali ata walio sudani na congo
Hatari
biko
Rakini sio angetoa vitu vyake
unadhani ni kwa nini mvua hazinyeshi??!
Huyu mvunja nyumba za watu hata kama anapewa order lazima usiku akilala atakua anaweweseka sana
Sylvia Moisso kweli kabisa
jamani tujifunze kuptia hilo dah tunsahau km tunpita dunia kumtia zik mwenzio
aise Tanzania
mambo ya rushwa hayo, babu kubwa
mungu aitie nguvu famlia hiyo.
Wasiopenda maendoleo ni wengi kweli wivu huyo,pole sana dada yangu.
Vitu viyadhuluma havifai mtu akijiona anapesa afanye anachotaka
Nyokoooooooooo
hana lolote huyo magufuli mwenyewe duuh