So painful 😢😢😢😢 but take heart my dear sister hivo ndivyo mambo yalivyo unaye mpenda naye anampenda mtu mwingine ❤ kelvin ❤️❤️❤️❤️❤️kazi nzuri sana ACHA mungu akubariki wewe pamoja na familia Yako
Mimi kutoka Burundi.ninapenda movie zako Wewe n'a timu Yako kwasababu movi zako zinamafunzo kwa mtu yeyote Mungu awabariki muendelee kuwa n'a mafanikio katika kazi zenu 🎉🎉🎉
James ananichekesha eti wanawake Wana vituko wakiwapamoja anamwambia ni mrefu kama lingoti wakiachana anamwambia ni mfupi kama nyundo 😂😂😂😂😂James na huyo mapenzi wako😂😂😂
dah kelvin hii muvi ni balaa sana maana navyoona ni Kali sana ila kaka ukijua Rashid anatembea mke wakonmtarajiwa sijui itakuaje haya ngoja tuo.nice job kaka
Tina nlikuona mtu poa umetulia sio kama Lina mwenye tamaa na udanganyifu mwingi kumbe tofauti yenu ni herifu ya kwanza ya majina yenu ila tabia ni zile zile😊😊, naenjoy sana hii series mwanzo mwisho Kenya 🇰🇪 iko locked
Kama unahurumia kelvi drop your like apa❤❤❤from i am KENYA
Pole kaka kelvin na mchumba wako ni chakula Cha wote am from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tujuwane aki kwa like.
Ila napenda mnavyoigiza jamn sitak hata like zenu embu tuwapongeze Hawa wanavyoigiza
Kweli sana
Jaman team Kevin 🇺🇬🇺🇬🇺🇬 weken hapa like za donta tv
meilleur films inafanya vidéo kwetu congo🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
So painful 😢😢😢😢 but take heart my dear sister hivo ndivyo mambo yalivyo unaye mpenda naye anampenda mtu mwingine ❤ kelvin ❤️❤️❤️❤️❤️kazi nzuri sana ACHA mungu akubariki wewe pamoja na familia Yako
Wakenya kusanyikeni hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tuko hapa
tupo mamaa
Tupo
Tupoooo🎉💥💥
Mimi nawakubali kinoma kwani mafunzo yenu Kwa jamii ni makubwa sana japo kasoro yenu moja ni pale mnapochelewesha kazi ila tunawasamehe ktk hilo
Mimi kutoka Burundi.ninapenda movie zako Wewe n'a timu Yako kwasababu movi zako zinamafunzo kwa mtu yeyote Mungu awabariki muendelee kuwa n'a mafanikio katika kazi zenu 🎉🎉🎉
Subhallah hi story yani Liza sana
Mutoto wa boss atakufa n'a presha ya wivu kwa Kelvin pole sana binti
Leo nina furaha sana najua ukweli utaumbuka tu ka Rashid jipange 😅😅 nawapenda Bure team donta
James ananichekesha eti wanawake Wana vituko wakiwapamoja anamwambia ni mrefu kama lingoti wakiachana anamwambia ni mfupi kama nyundo 😂😂😂😂😂James na huyo mapenzi wako😂😂😂
Mshangazi oyeee😂😂😂😂pole Tina ndio titi kwa tati watwaa pesa kwa James wapeleka kwa lachidi haya ona ss lachidi atoka na shemegie 😂😂😂
Jemsi nae anatoa pesa kwa mshangaz 😂😂😂 mapenz haya mmh , hapana
Na huyo James nae anaongwa ni nani hizo pesa ama ni 😂😂zake
@@rukiahassan7001yan wanachanganyana ad siyo pw mshangazi ananibamba kweliii❤😂😂😂😂😂
@@user-dn3sn2fk9v pesa zinarudi tuh kwa rashidi na kelvin
Mm wa kwaza nipeni like zagu nikiwa kenya garissa county
Kwamb hatuon ww xio wa kwanz, hayaa
Congratulations boss kwa kufaa sura ya kazi 😂😂😂❤tunawapenda sana 🇰🇪
Pole kelvin bora upite na boss maana wife mtarajiwa saahii anapepewa hewa na mzee mzeekaa.pole na ongera kwa kazi nzuri na team yko yte🎉🎉❤❤❤
Jaman leo wa kwanza nipe like zangu kwa team ndota tv
Hongeren San
Thanks
Toka nianze kufuatilia donta cjawah kujutia nawapenda san❤🎉😊
Jamani wangap wanaona mama anavyojua kuigiza hapanaua yake 🎉🎉🎉🎉
Wapi like za kelivin much love from Kenya guys like back❤❤
Yan huyo Maman ni noma sana🤣🤣🤣ana moto weeeeee!!
😂😂😂
Congratulated all in this movie s
Kazi nzuri donta family najifunza sana kutoka kwenu ila nampenda sana daa tina❤❤
Jamani kazi nzuri sana ongezeni juudi wakubwa zangu nawapenda sana ❤❤ mupewe mauwa yenu🎉🎉🎉🎉
😂😂😂😂😂huku kila mtu ni WA kwanza jamani mwanifurahisha sana
Nakwamby na kuomba like kama chakula 😂😂😂😂😂
Km wafuatilia siku moja kabla ya ndoa like apa nawapenda saaana Wana hamamu 🇸🇦🇰🇪🥵💞💞♥️♥️
C baada, kabla😂😂
Ni kabla jmn😂😂
We umeharibu sema kabla ya ndoa nitatoboa screen nije nikukande 😂😂😂
@@makkamakka9171 🤣🤣🤣🤣🙌 sawa
@@judithpendo9985 🤣🤣❤️🥰
Neeelllyyyy,,kwema kabisa kazini,,, hahahaha. Hongereni San Donta Family kwa kazi nzuri.
Me hua nasema Kelvin hua unanifunza sana kupitia hizi move zako ila tina amemfokea sana nely much love from saudi but ninatokea kenya ❤❤❤
Sijachelew san jmn nawapend nyote mnaofatilia donta tv ❤
Ivi uyo madam na mfanyakazi wake mapacha au mbon wanafanana sana
James Leo nakupa maua 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 pokea watching from saudi Arabia team hammam vip
🥰🥰🥰👏👏👏
Uyo mshangaz unajua kupet pet 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila Kevin pole kwahayo yanayokukuta😢
Sanaa 😂😂😂😂
Mimi wakwanza Leo nipeni like zangu jameni❤❤❤❤❤❤❤
Hizo likes ni ugali kwani?????
Hongera sana kwa move yenu nzuri mungu awabariki ❤❤❤❤
Tina Tinaa umemuua mjomba ako kisa rashidi 😂😂 umetisha mapenzi kiboko😂😂😂
Najiona kabisa tabia zangu na za Rashidi hatuna tofauti maan hata mm shem akikaa vibaya kumla ni kawaida yangu😂😂
🙄
😢
Shenz
@@ZulekhaAmar-fy4pm 😢
@@user-px3ct3nq6r 😂
Good job 👍👍 bro alafu hii movie ingeitwa tu usaliti 😢
Kweli kabsa
Ukweli 😂
👍
😂😂😂
Huyu mtu anajua sanaa aiseee
Wanaume mko kazi kwel sahi hamtucheleweshi
Kunambi umenichekesha san 😅😅😅😅😅😅😅😅😊😊😊😊
Number one
Wanaume wa siku hizi hawashukulu Rashid nikupe nn wewe 😢nguo nanunua mm kila kitu lashidi 😢😢😢😢😢😢😢😢ila wanaume kweri mwaudhi pigeni mawe 😂😂😂
😂😂😂😂w kuuwawa kabisa
Wakenya in saudi arabia mko wapi nipeni likes zenyu
Waliotamani kumwona Vicki na episode ya Leo na hatukufanikiwa tujuaane
meilleur films inafanya vidéo kwetu congo❤❤❤
Ivi huyu Vai na boss mbn wanafanana
Kbs mapacha
Mngeandika wiki kabla ya ndoa sio siku moja
Me naona miezi sita 😂😂😂
Kuna msemo unassembled shemeji ni mboga hongera sana want DONTA TV kwa movi mzuri
Kelvin ujambo naulizia yule kijana muokota makopo na yule Mschana nimewasahau njina wako wapi naomba walete tuwaone plz
Wembe na Maura ❤
Sio
Mtu jiangali kwanz dipo ufanye jambo huyo demu asituvalie kipini jman hajaprndez kabisa
Dem gan😂😂😂
@@aminaabdalla-uo9zq kwel voh hem muangalie hakijampendeza hasaa bora tumuambie kuna pua za vipini jamani tusienge tu duh 🙄
@@aminaabdalla-uo9zq aaa jina lake sjui limenitoka pia mamii
🤣😂😂😂ashckia
Jamani ww 😂
Mm si wa kwanza laminitis naomba likes za wana donta tv❤❤❤❤❤from 🇰🇪
Kazi nzuri sana ❤❤❤
Watu wa Burundi njoni hapa tumupongeze Kevin dunga link hapa
dah kelvin hii muvi ni balaa sana maana navyoona ni Kali sana ila kaka ukijua Rashid anatembea mke wakonmtarajiwa sijui itakuaje haya ngoja tuo.nice job kaka
Kelv tunamtak loveness na nasra tuwaon umu
Ila boss yk vizur n majibu yak ya kukera👍
😀😀😀😀😀😂😂 Bosss na Kevin kimeumana + ndoa yaaaaniiii mmmh!
Ila tuko pamoja sako kwa bako kama tigo na bando
Kwani hawa wanaume huwa wanataka nn jamani likes zangu wapedwa
Tina nlikuona mtu poa umetulia sio kama Lina mwenye tamaa na udanganyifu mwingi kumbe tofauti yenu ni herifu ya kwanza ya majina yenu ila tabia ni zile zile😊😊, naenjoy sana hii series mwanzo mwisho Kenya 🇰🇪 iko locked
Jamani haya mapenzi shikamo mapenzi
Keviny jamani mzuri ukiachana na uigizaji wake nampenda sana huyu kaka ❤❤❤❤
Safin sana tuu hendele hivo hivo episodes 7
Ww boss nawe unamatatizo makubwa sana hata kama mtu unampenda kwa ukali huo na kibur atakukubali
Sasa madam boss s uende tu moja kwa moja kuliko kumwimbia nyimbo ndeefu Kelvin wetu
Nimejaribu kufwata filamu zako zote alafu mpaka nikafurahiya, am from Uganda.
Am the fast. One today like at a tatu
Mshangaz anajua kuigiza jmn 😂😂 n kibenten wake wananifuraisha❤️❤️
Kelvin kelvin kelvin mwanamke akijiona asali muache ajilambe kk ya nini kuutesa moyo huyo Victoria hakufai kbxaaa.............,.............,,
Tina nyamaza yametukuta wengi
Doctor Calvin inatisha my Braza God bless you
Aki kutoka nifutilie donta tv imenifunz mambo mengi kuishi kwa ndoa atleast ata nikiingia kwenye mausiona sitateseka walai
Jishangazi kwa kudeka sasa
Wakutane kp na kelvin kwenye tamthilia moja
Mko vizuri sana
Hongera, uko vizuri kevi najifunza mengi❤❤❤
Nipeni liké zangu jamani sija chelewa sana
Yaani mm namuonea sana huruma kelvin
Ahaaahaaa ooooyaaaaeeeee mshangazi yuko vzuriiii
Kazi nzuri sana❤️❤️❤️❤️ Ina mafunzo kwa jamii
Nakuru county nipeni likes zenu,moto unawaka jamani 😄
Nawapenda mamake lihna na kibebenteni wake😂😂😂 wanajua kucheza part
Heshima kwa Kelvin ❤ twa kupenda saaana
Pore sana kervi mimi ni muburundi napenda kazi yako ❤❤❤❤
Vai uko sawa hongera sana
Pole sana kipenzi changu siku ingine usiingize na hao wanakutesa ingiza na mimi
🎉🎉🎉nmejalibu leo
Pole kelvin uyo mchumba wako ni hovyo.🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Hii movie inaonyesha vile wanadada wa hii karne wako ,kupitia kwa linah ,we are learning a lot ...wanawake ni kama shetani tu..Kenya niko ndani
Boss wa hii movie n wa moto sana,
Kelvin mwambie sawa naacha kazi uone kama hatakubembeleza
Leo nipeeni likes nimefika mapema kidogo🇸🇦🇰🇪
😅😅😅Unamliwaz mtu ukijua ana mattzo kumbe mtu katendwaa hko
Nimechekaa Sanaa 😂😂😂😂😂
Kila unaempenda nae anae wake anampenda had raha 😂
Kelvin basi nawe humukubaliye boss waku ❤❤❤❤❤
nami nawapenda pia
Hahaaa😅😅 na mimi nataka mishangazi jamn
Jamani timu ya kelvin, uyo bibi ajishikilie😢😢😢😢😅
Tina leo analia mapenz shikamoo
Master j wako poa sana mimi ninawaombea waende mpaka watimize ndoto zao,
Wow congratulations ila boss wa Kelvin 😂😂😂😂
Nimekuwa ni mewamiss jameni izi kazi zawarabu nazo nihatari kbs