TAZAMA WAWANAWAKE WA SHADHILY WAKIFANYA ZIARA, MKE WA SHEIKH MAHMUD ATOA HISTORI YA MAKABURI - 2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Follow Us On:
    INSTAGRAM: / miladu_tv
    FACEBOOK: / babdeo miladu/
    TIKTOK: www.tiktok.com...
    CZcams: / @babdeomiladu

Komentáře • 43

  • @abdukherykhamis73
    @abdukherykhamis73 Před 7 měsíci

    Mashallah ❤, kwetu pande imspendeza kwa kweli,Hao wanaosema ushirikina Masikini mtu Ata kitabu cha babu hajapita,upumbavutu ulowajaaa,kasome

  • @AllyAhmad-zg2yp
    @AllyAhmad-zg2yp Před 8 měsíci +1

    Ikiwa hakufanya mtume wetu na maswahaba ibada hio ninyi mashadhily mtakua mafedhuly, allah awaongoze

  • @user-ql2om7qj3v
    @user-ql2om7qj3v Před 8 měsíci

    Hi sio dini yetu ya kislamu. Mama muogope mungu

  • @Familianjema
    @Familianjema Před 8 měsíci

    Assalam alaykum, Unaweza kupata masomo ya familia huku kwenye CHANNEL YETU. JAZAKALLAH KHEIR KWA SUPPORT YENU

  • @SHEIKHMWAIPOPOTV
    @SHEIKHMWAIPOPOTV Před 8 měsíci +1

    Na hata huyo babdeo Hana akiri kabisa kurusha vitu kama hivo

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Před 8 měsíci

    😢😢😢😢 sikiza kuanzia 9:00 hadi 9:50 wakati huyo babdeo akijitambulisha kuwa walivokuja hapo wamenusurika ajali hawajaumia eti kwa kuwa amekuja kwa mabwana wakibwa kuna mmamaa maskini akasema abal hassan ana nguvuu!!!!!! Shirki kwa masufi ni kwao

  • @AminaAhmed999
    @AminaAhmed999 Před 8 měsíci +1

    Allah awaongozeni muachane na ibada ya makaburi

    • @niwezeshe5907
      @niwezeshe5907 Před 8 měsíci

      Kwani kabur nila bibiako au la shehe wetu acheni unafiki nyinyi

  • @SHEIKHMWAIPOPOTV
    @SHEIKHMWAIPOPOTV Před 8 měsíci +1

    Huyo mama ni jhahiri mkubwa sana yAni ni aibu sana anasema yeye ni mke wa sheikhe kama mke wa sheikhe jhahiri hivo wanawake wengine watakuaje yani ni aibu kubwa anasema hiyo ni sehemu tukufu kapata wapi kitabu gani kinasema hapo ni sehemu patakatifu

    • @mbjunior166
      @mbjunior166 Před 8 měsíci

      Hao ndio masufi bwana😀😀😀

    • @omarimasimba4663
      @omarimasimba4663 Před 7 měsíci

      Nilichogundua wengi tuliomo humu elimu zetu zina mashaka Mambo mengine mbona ni ya kawaida tu mpaka utukane ndo usikie Raha Aya ulivyo sema jahili umefaidika na Nini mbona Jambo lenyewe la kawaida alafu linaeleweka tu ata kwa macho , ila muombe Allah akufanye uwe unazielewa elimu ambazo aziafikiani na fikra zako usitumie fikra KwAni hapo hapawezi kuwa patakatifu au unapananisha hapo na haramu ya maka utakwama Sana hapo huenda pakawa Pana watakatifu wamehifadhiwa huwezi jua alipo lazwa mchamungu hiyo sehemu pia ni takatifu ndo maana mtume akasema makaburi ni mashimo miongoni mwa mashimo ya pepo huenda kuna pepo ipo hapo na haujui Sasa nikuulize kuna pepo itakayo ingiwa na wasio watakatifu acha hawaa njoo tukusomeshe

  • @Exotic_nurdin
    @Exotic_nurdin Před 8 měsíci

    ma sha Allah

  • @user-tw4nf6bv8b
    @user-tw4nf6bv8b Před 8 měsíci

    Mungu awaongoze duuuu Shirk hii jmn

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 Před 8 měsíci +1

    Ndio stara ya Wanawake munayo fundisha wake zenu hizo nyie Masufi wa kishadhuli

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Před 8 měsíci

    Hana haya eti viwanja vitakatifu!!!!! Jaahilatun mirakkabatun

  • @idrisamhunga
    @idrisamhunga Před 8 měsíci

    Una Hali ya kujitenga maana ufaham wako wa kielim nimdogo pole sana

  • @user-ye5cr2xt9b
    @user-ye5cr2xt9b Před 8 měsíci

    Kama hupend naelim huna uctizame

  • @user-ls4ih7hz8s
    @user-ls4ih7hz8s Před 8 měsíci

    Masufi acheni shirk Kwanza wanawake wamekatazwa kuzuru makaburi katika hayo makaburi hamna walii hata mmoja Sufi hawezi kuwa walii wa Allah

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Před 8 měsíci

      Ilikuwaje ukawa unaangalia video ya Wanawake?

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Před 8 měsíci

    Ushirikina maskini mama zetu wanapotezwa hawajui llt. Wakiropokea tuu. Watu wa bidaa ni watu waovu sanaaa

  • @tigerroar3545
    @tigerroar3545 Před 8 měsíci

    Hii mnaoita "ibada" kipindi cha mtume ilifanyika ? Acheni kutukuza makaburi ambao hao walolala hali zao wanazijua wenyewe huko barzakh

  • @abuurayaan3902
    @abuurayaan3902 Před 8 měsíci +1

    Duh kumbe mashekhe wenu ndio wanazushia izo ibada
    Kuna siku maalum mumewekewa kwenda kuomba makaburi duh Sasa si shirki Eti sehemu takatifu

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Před 8 měsíci

      Siku Maalum ya Ziara ya Maulid.

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Před 8 měsíci

      Hiyo tarehe ni Maalum kwa ajili ya Ziara ya Maulid.

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 Před 8 měsíci

      @@groundtrader173
      Nani alianzisha ibada hiyo
      Alafu kwa Ushahidi upi ni sehemu takatifu??

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Před 8 měsíci

      @@abuurayaan3902Ni siku ya Maulid. Kuhusu ardhi Takatifu. Ni utumiaji wa Kiswahili.

    • @abuurayaan3902
      @abuurayaan3902 Před 8 měsíci

      @@groundtrader173
      Mche ALLAH na uwache kutetea Uzushi Hadharani Kila mtu Alie ona video hiyo anashuhudia huyo mwana mama alicho kizungumnza sasa naona waleta falsafa kutaka kuficha ukweli ulio wazi
      Ndio tunapo waambia acheni itikadi hizo za kishirikina mashukio yake ni mabaya munasema munatukanwa
      Kweli Usufi ni ulemavu wa Akili
      Leo ya dhihiri alio sema Imam shafii ALLAH amrahamu

  • @eng.saalim8646
    @eng.saalim8646 Před 8 měsíci

    Utafkiri ngoma za kimasai. Majaahilaat

    • @abdukherykhamis73
      @abdukherykhamis73 Před 7 měsíci

      Weye unajua maneno yalotajwa hapo ,kasome

    • @eng.saalim8646
      @eng.saalim8646 Před 7 měsíci

      @@abdukherykhamis73 uzur wa maneno hauhalalisha uovu wa vtendo

  • @brendagregorymndeme109
    @brendagregorymndeme109 Před 8 měsíci

    Hii imenifanya nijitenge na shadhli aisee Allah nisameh

    • @user-jy4lc4wh9s
      @user-jy4lc4wh9s Před 7 měsíci

      Wanachofanya ni kitendo cha kufuru kabisa sema tukisema tunaitwa ma Wahhabi. Allah awaongoze katika njia ya sawa.

  • @abuuuyaynah8801
    @abuuuyaynah8801 Před 8 měsíci

    Hyu kijana wa kiume hana tawhid kabisa

  • @HajiSimba-ni8kc
    @HajiSimba-ni8kc Před 8 měsíci

    SHIRKI HIZO MNAFANYA

  • @abuuuyaynah8801
    @abuuuyaynah8801 Před 8 měsíci

    Huu uislamu wa wapiiiiiiiiiiiiiii hivi nyinyi mashekh wa twariqa hamuoni hawa wapo uchi hii ni dini gani

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Před 8 měsíci

      Wewe ilikuwaje ukawa unaangalia video za Wanawake?

  • @HajiSimba-ni8kc
    @HajiSimba-ni8kc Před 8 měsíci

    BIDAA TUPU. TSHADHARINI NYIE KINA MAMA

    • @groundtrader173
      @groundtrader173 Před 8 měsíci

      CZcams pia Bid’a. Mbona unatumia?

    • @user-jn3jh7yp3w
      @user-jn3jh7yp3w Před 8 měsíci

      ​@@groundtrader173hahahaha mashindano ya kuhifadhi qur,an pia mtume hakufanya ila hawayasemi kuwa ni bidaaa😂😂😂

    • @mhrmahir3756
      @mhrmahir3756 Před 8 měsíci

      3:28 mkiambiwa masufi masufi tatizo adabu na uislam hamna eti mashino ya qur an sjui nin nyinyi mnaaakil lakin washirikina nyie em angalie muyafanyayo allah akuongozeni

  • @idrisamhunga
    @idrisamhunga Před 8 měsíci

    Kasome utajua Nini uchi

  • @Allymbaruku991-lj1om
    @Allymbaruku991-lj1om Před 8 měsíci

    Ma Sha Allah