LISSU AKINUKISHA WAKATI AKITOA GARI POLISI ALILOPIGWA NALO RISASI, PLATE NAMBA YAKE APEWA MWINGINE
Vložit
- čas přidán 16. 05. 2024
- #TANZANIA: Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu akiwasha wakati akitoa gari lake alilopigwa nalo risasi mwaka 2017, plate namba ya gari lake apewa mtu mwingine ambaye anadhaniwa kuwa Askari Polisi.
Zaidi: • LISSU AKINUKISHA WAKAT...
Tz hakujawahi tokea mwanasiasa bora Kama TUNDU LISSU
Nimekulaik illa t jua kuna bora wengine pia walio mtangulia na yeye kaka lissu ana jua hilo maana anamtangulizaa maaalim kuliko yeye na hili akitamka mara kazaa lissu
Ningeshauri ipelekwe makumbusho moja kwa moja, bora uchangiwe gari nyingine
Hiyo ipelekwe makumbusho ilivyo tuchangishane tununue nyingine ya kazi
Akili huna hiyo aliyoitoa alinunua au mlimchangia au alipewa na serikali?
@@emmanuelmlowe-ew7gxAlinunua mwenyewe!
Mlemavu ni bora kuriko mfu. Huwezi jua wanaweza kufa wote waliohusika ukiwa hai na ukishuhudia. Ndiyo sara yangu kwako
Pole kaka Lisu, inanikumbusha tena uchungu, nilivyohuzunika kipindi hicho
Pole sana mwamba na nguli wa siasa Mh. TL, tupo pamoja kwenye mapambano kiongozi
Pole sana cmde lissu. Mimi sina namna ya kukuchangia hata kama 1000. Labda ungetangaza ni jinsi gani tunaouguswa tungechangia katika madhira haya yaliyokupata lissu ambayo kibinadamu wala si kisiasa au vinginevyo, yanauma/yanatia simanzi.
Inamaana huku hanging tangu miaka yote?
Inauma sana
Vielelezo vingi hupotea huko polisi... Kupotea kwa plate number ni ushahudi wa kupotea kwa vitu huko polisi..!
Ubarikiwe sana kwakurudushiwa gari lako mungu aendelee kukutunz
Pole sana
Mbeba maono hafi ni lazima yatimie
Hakuna mwanasiasa nnaemwelewa Kama Lissu tokea 2015 nimchague Magu 2020 nilimchagua huyu baada ya kuona ujasiri wake kwenye siasa
Mungu iposiku ataingamiza CCM nikisema CCM sio Jina tu Hao ni watu ambao wapo tiari kuutoa uhai wamtu kwakulindwa vyeo vyao
Tunaomba namna ya kuchangia matengenezo kamanda
Hili liende makumbusho ya CDM tumchanginengar jipya
Wewe ni mwizi unataka kutengeneza hela kukifanya unachangia hela kwaajili ya lisu
@@rogathesarwatt mwizi wewe mbona mwenyekiti hamjamchangoa gari
Jichangie wewe kwsnza
Hakika Mungu ni mwema 🙏🙏
Hiyo namba ya gari,inatumiwa na nani,atajwe jina halaafu kesi akabidhiwe wakili Madeleka hadi ajulikane😢
Mimi nashauri lingepelekwa moja kwa moja kwenye makubusho isitumike tena mungu akupatie nyingine tu yakufanyia kazi hizo zulizopo mbele yako
Pole baba utashinda kwanguvuza mungu
Usilitengeneze litawekwa tu kwenye JUMBA LA MAKUMBUSHO Mwakani baada ya KUAPISHWA
Hakika
Hakika 🤝
Weka makumbusho hiyo na utangaze mchango tukununulie nyingine new brand
Good bless you Mr TUndulisu
Inatia uchungu sana
Nchi ya mizaha kwenye maisha ya watu😪
Mwenyezi Mungu azidi kumlinda na kumbariki Tundulisu
Acha mungu aitwe mungu
Mwenyezi mungu akufanyie wepesi
Pole sana kamanda tutazidi kukuombea kama kuna madhaifu yoyote kwenye mwili wako mungu atakufanya upya uendelee kutupigania watanzania
Hilo gari lisitengenezwa litakuwekwa makumbusho ya Taifa mara tu baada ya kushinda uchaguzi 2025 na kuapishwa kuwa Rais
Akiamua Raisi nife Mimi na wanangu wote au wewe usomae hii sms anawapigia simu chawa wake ni within no time napotea....
Hii nguvu ya kuwa Mungu mtu, Raisi aipata kwenye katiba yetu.
Mabadiliko ya katiba tuyapiganie!!
Survived to tell the talle.
Kwa mara ya kwanza namuona Lissu ana " lengwa " na machozi. Inauma sana Wallah
Mungu ni mwema sana ,
poleeh mkuu
Tanzania ilikuwa kwenye nafisi ya juu sana kama nchi salama na inayodumisha amani. Lakini, kwa tukio hili na mengineo, inayowakabili baadhi ya raia ambao wanatumia uhuru wa kufikiri tofauti na wengine, basi nchi imeshuka daraja. Ni swala linalohitajika kubadilishwa na vizazi vipya. Itawawezekana tu, mungu ni mwema.
Nimeumia sana, machozi yamenitoka. Magufuli mmmmh
Ukiangalia matundu ya risasi ndipo unajua Neno Moja tu tunapaswa kumwogopa Mungu kwani ndiye pekee anayeweza kuangamiza mwili na roho!
Kweli umenena vema, uhai na hatuna ya maisha yetu yamo mikononi mwa Muumba wetu!
Sitakufa bali nitaish na nitayasimulia matendo ya bwana
Hapana muheshimiwa hio gari iwe makumbusho isitumike tena sisi tuko tayari kuchanga na kununua nyingine
Natumaini waliokufanyia hivyo wengine walishaondoka wewe Mungu akakulinda
Sioni media kubwa kubwa tz bwana hakuna democracy
Da! Kashapata ilemavi tundulisu
Ila tundu lissu
acha mungu aitwe mungu
Kama ni Kenya ungepata mabati bila miguu, engine na taa
Gari ina tundu Kama jina lake
Wew Emmanuel kuma ya mamaako unaongea ujinga huna uninadam yaani mtu ajipige risasi kichwani kwa dhumuni gani angekua babaako ungecoment ujinga
Kiboko ya ma ccm
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Lissu chukua maua yako wewe ndiyo dume la mjini
Pole sana lisu
Siasa ni mchezo mchafuuu
Iweke MAKUMBUSHO kila mtu awe wanakuja kuitizama na kusema hii gari imekula RISASI 32 RISASI 16 zikaingia mwilini. NANI KAMA MUNGU. Iko siku Mungu atawaangamiza wote na vizazi vyao.
Wejamaaunaeongea hivyojiangarie iposikunaweweutatoborewa arafutusemeumejitobowa mwenyewe
Wewe Kama nani?
Makonda
Plate namba kapewa mwingine kivipi
Kesi imekwisha waliofyatua risasi wamefungwa?
😂😂😂 makumbusho 😅
Uchunguzi umekamilika?
Kuna comments nyingine huwezi amini kama watu waajabu bado wanaishi duniani. Kajipiga mwenyewe!!!!!???? Wewe mzima ndugu, usiombe yakukute
😏😏😏😏😏
Lisu ametoa kizibiti kilikuwa kikimuumbua maana gari limetobolewa kushoto yeye ametobolewa kulia kuonyesha alijitoboa mwenyewe na dereva wake ndio maana dereva amefichwa
Wewe unamatatozo kidogo ,angekuwa ndugu yako ungesema hayo?
mungu akupe Kansa na kisukali hili upitie maumivu
@@YassinRajabu wakiishi kwamatukio hadi kujitoboa ili waseme wamepigwa
Mbwa WEWE hauna ubinadamu
MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI NA KEJERI ZAKO ILA JUA MUNGU NI MWENYE HAKI
Alijipiga huyo mhuni
Wewe unaweza ukajipiga mwenyewe tujaribu kwako au ni we ni Magu group
Una ufahamu mdogo sana ujipige risasi ili ufe HALAFU kusudi lako liwe nini huu ujinga wa elimu una gharama sana
Halafu nani kakupa jina hili lenye maana nzito ulitakiwa uitwe shetani pamoja nawe siyo hilo la Mungu pamoja nanyi kabadilishe jina lifanane nawe
@@hisanieljosephmasaki8040 hujui kama hujui
Pole sana