LISSU AKINUKISHA WAKATI AKITOA GARI POLISI ALILOPIGWA NALO RISASI, PLATE NAMBA YAKE APEWA MWINGINE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 05. 2024
  • #TANZANIA: Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu akiwasha wakati akitoa gari lake alilopigwa nalo risasi mwaka 2017, plate namba ya gari lake apewa mtu mwingine ambaye anadhaniwa kuwa Askari Polisi.
    Zaidi: • LISSU AKINUKISHA WAKAT...

Komentáře • 92

  • @user-ks9bz4nf2n
    @user-ks9bz4nf2n Před 20 dny +15

    Tz hakujawahi tokea mwanasiasa bora Kama TUNDU LISSU

    • @user-et9vf2ro2k
      @user-et9vf2ro2k Před 16 dny +2

      Nimekulaik illa t jua kuna bora wengine pia walio mtangulia na yeye kaka lissu ana jua hilo maana anamtangulizaa maaalim kuliko yeye na hili akitamka mara kazaa lissu

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 Před 20 dny +11

    Ningeshauri ipelekwe makumbusho moja kwa moja, bora uchangiwe gari nyingine

  • @user-cz4pu9py5s
    @user-cz4pu9py5s Před 20 dny +17

    Hiyo ipelekwe makumbusho ilivyo tuchangishane tununue nyingine ya kazi

  • @karamarwamugema3700
    @karamarwamugema3700 Před 20 dny +11

    Mlemavu ni bora kuriko mfu. Huwezi jua wanaweza kufa wote waliohusika ukiwa hai na ukishuhudia. Ndiyo sara yangu kwako

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 Před 20 dny +11

    Pole kaka Lisu, inanikumbusha tena uchungu, nilivyohuzunika kipindi hicho

  • @paschalmagai751
    @paschalmagai751 Před 20 dny +5

    Pole sana mwamba na nguli wa siasa Mh. TL, tupo pamoja kwenye mapambano kiongozi

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn Před 20 dny +8

    Pole sana cmde lissu. Mimi sina namna ya kukuchangia hata kama 1000. Labda ungetangaza ni jinsi gani tunaouguswa tungechangia katika madhira haya yaliyokupata lissu ambayo kibinadamu wala si kisiasa au vinginevyo, yanauma/yanatia simanzi.

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před 20 dny +8

    Inauma sana

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Před 20 dny +5

    Vielelezo vingi hupotea huko polisi... Kupotea kwa plate number ni ushahudi wa kupotea kwa vitu huko polisi..!

  • @lucasmatokeo
    @lucasmatokeo Před 2 dny

    Ubarikiwe sana kwakurudushiwa gari lako mungu aendelee kukutunz

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 Před 20 dny +6

    Pole sana

  • @steventeophil7775
    @steventeophil7775 Před 20 dny +5

    Mbeba maono hafi ni lazima yatimie

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 Před 20 dny +3

    Hakuna mwanasiasa nnaemwelewa Kama Lissu tokea 2015 nimchague Magu 2020 nilimchagua huyu baada ya kuona ujasiri wake kwenye siasa

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo2943 Před 20 dny +3

    Mungu iposiku ataingamiza CCM nikisema CCM sio Jina tu Hao ni watu ambao wapo tiari kuutoa uhai wamtu kwakulindwa vyeo vyao

  • @wilifredmollel9690
    @wilifredmollel9690 Před 20 dny +8

    Tunaomba namna ya kuchangia matengenezo kamanda

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Před 20 dny +2

    Hakika Mungu ni mwema 🙏🙏

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před 20 dny +5

    Hiyo namba ya gari,inatumiwa na nani,atajwe jina halaafu kesi akabidhiwe wakili Madeleka hadi ajulikane😢

  • @petershokolo9894
    @petershokolo9894 Před 16 dny

    Mimi nashauri lingepelekwa moja kwa moja kwenye makubusho isitumike tena mungu akupatie nyingine tu yakufanyia kazi hizo zulizopo mbele yako

  • @DatuDatu-rr4oj
    @DatuDatu-rr4oj Před 8 dny

    Pole baba utashinda kwanguvuza mungu

  • @user-fq2nu2fr2w
    @user-fq2nu2fr2w Před 20 dny +4

    Usilitengeneze litawekwa tu kwenye JUMBA LA MAKUMBUSHO Mwakani baada ya KUAPISHWA

  • @andrewIzdory-sk4cu
    @andrewIzdory-sk4cu Před 20 dny +3

    Weka makumbusho hiyo na utangaze mchango tukununulie nyingine new brand

  • @user-jk3hu7nz3f
    @user-jk3hu7nz3f Před 9 dny

    Good bless you Mr TUndulisu

  • @nkolemuya9283
    @nkolemuya9283 Před 20 dny

    Inatia uchungu sana
    Nchi ya mizaha kwenye maisha ya watu😪
    Mwenyezi Mungu azidi kumlinda na kumbariki Tundulisu

  • @antidiusalfred4686
    @antidiusalfred4686 Před 20 dny +3

    Acha mungu aitwe mungu

  • @NeemaChacha-ly2ug
    @NeemaChacha-ly2ug Před 20 dny +1

    Mwenyezi mungu akufanyie wepesi

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před 17 dny

    Pole sana kamanda tutazidi kukuombea kama kuna madhaifu yoyote kwenye mwili wako mungu atakufanya upya uendelee kutupigania watanzania

  • @kirariwilanya1850
    @kirariwilanya1850 Před 20 dny +2

    Hilo gari lisitengenezwa litakuwekwa makumbusho ya Taifa mara tu baada ya kushinda uchaguzi 2025 na kuapishwa kuwa Rais

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před 20 dny +2

    Akiamua Raisi nife Mimi na wanangu wote au wewe usomae hii sms anawapigia simu chawa wake ni within no time napotea....
    Hii nguvu ya kuwa Mungu mtu, Raisi aipata kwenye katiba yetu.
    Mabadiliko ya katiba tuyapiganie!!

  • @marcodominico9503
    @marcodominico9503 Před 20 dny +1

    Survived to tell the talle.
    Kwa mara ya kwanza namuona Lissu ana " lengwa " na machozi. Inauma sana Wallah

  • @mariopeter140
    @mariopeter140 Před 20 dny +1

    Mungu ni mwema sana ,

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 Před 20 dny +1

    poleeh mkuu

  • @eduardomala150
    @eduardomala150 Před 11 dny

    Tanzania ilikuwa kwenye nafisi ya juu sana kama nchi salama na inayodumisha amani. Lakini, kwa tukio hili na mengineo, inayowakabili baadhi ya raia ambao wanatumia uhuru wa kufikiri tofauti na wengine, basi nchi imeshuka daraja. Ni swala linalohitajika kubadilishwa na vizazi vipya. Itawawezekana tu, mungu ni mwema.

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Před 20 dny +3

    Nimeumia sana, machozi yamenitoka. Magufuli mmmmh

  • @horizongroup-tanzania6363

    Ukiangalia matundu ya risasi ndipo unajua Neno Moja tu tunapaswa kumwogopa Mungu kwani ndiye pekee anayeweza kuangamiza mwili na roho!

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 19 dny +1

      Kweli umenena vema, uhai na hatuna ya maisha yetu yamo mikononi mwa Muumba wetu!

  • @moseskyaman9323
    @moseskyaman9323 Před 20 dny +1

    Sitakufa bali nitaish na nitayasimulia matendo ya bwana

  • @jaanjaan111
    @jaanjaan111 Před 20 dny +1

    Hapana muheshimiwa hio gari iwe makumbusho isitumike tena sisi tuko tayari kuchanga na kununua nyingine

  • @NoelChambo
    @NoelChambo Před 20 dny +1

    Natumaini waliokufanyia hivyo wengine walishaondoka wewe Mungu akakulinda

  • @hassanswaleh8720
    @hassanswaleh8720 Před 20 dny +1

    Sioni media kubwa kubwa tz bwana hakuna democracy

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před 14 dny

    Da! Kashapata ilemavi tundulisu

  • @SedekiaIsrael
    @SedekiaIsrael Před 20 dny +1

    Ila tundu lissu

  • @salama1113
    @salama1113 Před 20 dny +1

    acha mungu aitwe mungu

  • @thediplomat6165
    @thediplomat6165 Před 9 dny

    Kama ni Kenya ungepata mabati bila miguu, engine na taa

  • @johnvenus7507
    @johnvenus7507 Před 9 dny

    Gari ina tundu Kama jina lake

  • @SaidMaanjumati
    @SaidMaanjumati Před 17 dny

    Wew Emmanuel kuma ya mamaako unaongea ujinga huna uninadam yaani mtu ajipige risasi kichwani kwa dhumuni gani angekua babaako ungecoment ujinga

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l Před 19 dny

    Kiboko ya ma ccm
    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
    Lissu chukua maua yako wewe ndiyo dume la mjini

  • @SamwelNyamanga-dd9xn
    @SamwelNyamanga-dd9xn Před 19 dny

    Pole sana lisu

  • @Laizer3
    @Laizer3 Před 15 dny

    Siasa ni mchezo mchafuuu

  • @janeshija6638
    @janeshija6638 Před 19 dny

    Iweke MAKUMBUSHO kila mtu awe wanakuja kuitizama na kusema hii gari imekula RISASI 32 RISASI 16 zikaingia mwilini. NANI KAMA MUNGU. Iko siku Mungu atawaangamiza wote na vizazi vyao.

  • @emmanuelmakorere4835
    @emmanuelmakorere4835 Před 20 dny +1

    Wejamaaunaeongea hivyojiangarie iposikunaweweutatoborewa arafutusemeumejitobowa mwenyewe

  • @gressbanda7094
    @gressbanda7094 Před 17 dny

    Wewe Kama nani?

  • @eliajimmy95
    @eliajimmy95 Před 20 dny +1

    Makonda

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Před 19 dny

    Plate namba kapewa mwingine kivipi

  • @abdallahabdu8194
    @abdallahabdu8194 Před 19 dny

    Kesi imekwisha waliofyatua risasi wamefungwa?

  • @gressbanda7094
    @gressbanda7094 Před 17 dny

    😂😂😂 makumbusho 😅

  • @valencegustav1378
    @valencegustav1378 Před 20 dny

    Uchunguzi umekamilika?

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Před 19 dny

    Kuna comments nyingine huwezi amini kama watu waajabu bado wanaishi duniani. Kajipiga mwenyewe!!!!!???? Wewe mzima ndugu, usiombe yakukute

  • @maryammussa2835
    @maryammussa2835 Před 14 dny

    😏😏😏😏😏

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 20 dny +1

    Lisu ametoa kizibiti kilikuwa kikimuumbua maana gari limetobolewa kushoto yeye ametobolewa kulia kuonyesha alijitoboa mwenyewe na dereva wake ndio maana dereva amefichwa

    • @stanleyalfredy1938
      @stanleyalfredy1938 Před 20 dny

      Wewe unamatatozo kidogo ,angekuwa ndugu yako ungesema hayo?

    • @YassinRajabu
      @YassinRajabu Před 20 dny +2

      mungu akupe Kansa na kisukali hili upitie maumivu

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 20 dny

      @@YassinRajabu wakiishi kwamatukio hadi kujitoboa ili waseme wamepigwa

    • @user-sy2mp7mm8u
      @user-sy2mp7mm8u Před 20 dny

      Mbwa WEWE hauna ubinadamu

    • @user-fq2nu2fr2w
      @user-fq2nu2fr2w Před 20 dny +2

      MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI NA KEJERI ZAKO ILA JUA MUNGU NI MWENYE HAKI

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 20 dny

    Alijipiga huyo mhuni

    • @RutinikiGosbert
      @RutinikiGosbert Před 20 dny

      Wewe unaweza ukajipiga mwenyewe tujaribu kwako au ni we ni Magu group

    • @hisanieljosephmasaki8040
      @hisanieljosephmasaki8040 Před 20 dny

      Una ufahamu mdogo sana ujipige risasi ili ufe HALAFU kusudi lako liwe nini huu ujinga wa elimu una gharama sana

    • @hisanieljosephmasaki8040
      @hisanieljosephmasaki8040 Před 20 dny +1

      Halafu nani kakupa jina hili lenye maana nzito ulitakiwa uitwe shetani pamoja nawe siyo hilo la Mungu pamoja nanyi kabadilishe jina lifanane nawe

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 19 dny

      @@hisanieljosephmasaki8040 hujui kama hujui

  • @SadickMbalawata
    @SadickMbalawata Před 4 dny

    Pole sana