Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
🤔👀acha nami nione
Mbonge ya movie niya moto sana congratulations watu wangu
Mmkosea kidogo kwenye stori
ImeWeza. 👌For Real Mnajua.🔥🔥Watching From Kenya. 🇰🇪Mungu Awazidishie Na Kuwainua Zaidi na Zaidi.🙏
ASANTE SANTE NA AMIINA KWA DUA YAKO.TUTAZIDI KUFANYA ZAIDI YA HIV
Ume weza sana japo wausika wachache rakni mme chukua muda mwingi gizani
Sijawai ona movie ya watu wawili kali hivi
Wahusika wapo wengi ila km huna D mbili huwez kuelewaaa
Daaaah...! Kama mimi vile.......ni kali sana
Inafundisha tunasubiri nyingine nzuri
Kama ingekuwa na watu wengi ingekuwa kali mmtisha
Safi xn mabros movie ya w2 2 but imebamba xn💪🇰🇪
Kazi nzuri ila kuna scene imechukuwa muda mwingi sana kwenye kiza dah😂😂😂
tunaomba radhi kwahilo ila shukran kwa kufuatilia
Movie hata haieleweki kabisaa kiukweli wabongo wanazingua😂😂
Big up Kaz nzur japo mazingira magum ndo mwanzo. Five star for this guys
thanks
Daah mwanang panchaa we ni mgumu 😅💪
Bongowood kama hollywood yaan
Wah hii yenu nikali yan movie nzima watu wawili tu
Kuna movie moja inaitwa the wall mtu mbili mwanzo then anabakia mtu mmoja mpaka mwisho
Kitu mlichokosea huyu ameanza kama fundi Baiskeli sasa mbona hakuna wanakijiji wengine ambao alikuwa akiishi nao hizo hela alitengeneza baiskeli za nani !?
Napenda sana kazi zenu watu wangu,,,
Shukran sana...
Movie mtu mbili tu
😂😂😂😂
Mtu mbili do kusema nn😂😂sijaelewa
Watu wawili na sio mtu mbili umeelewa?
@@KageraTanzania wewe si kontawa aliekua kontawa kaelewa ninacho kimaanisha
Movie nzuriii ilàaaaa haioni mbonaaaa mlicheza usiku sana
Eze asante sana... Tutalifanyia kazi hilo on next project.... asante kwa ushauri mzuri..
Bonge la movie
Hongereni sana
Oya big muuza matikiti goba kaka yako 😅 mmefanana stelingi
nasubira part 2
movie iko fine
kwanini watu wengi ufanya
Hivi Sasa ndo vitu vyangu
Zuli kitindo
Watu wawili muvi usiku tu wapuuzi
MUNGU AKUJAALIE HEKIMA NDUGU YETU.
Mazingira ya wapi hayo nimeyapenda
Tanga
Usiku tunaona nn sasa
Huu mzigo hatar
Asanten
🤔👀acha nami nione
Mbonge ya movie niya moto sana congratulations watu wangu
Mmkosea kidogo kwenye stori
ImeWeza. 👌For Real Mnajua.🔥🔥
Watching From Kenya. 🇰🇪
Mungu Awazidishie Na Kuwainua Zaidi na Zaidi.🙏
ASANTE SANTE NA AMIINA KWA DUA YAKO.TUTAZIDI KUFANYA ZAIDI YA HIV
Ume weza sana japo wausika wachache rakni mme chukua muda mwingi gizani
Sijawai ona movie ya watu wawili kali hivi
Wahusika wapo wengi ila km huna D mbili huwez kuelewaaa
Daaaah...! Kama mimi vile.......ni kali sana
Inafundisha tunasubiri nyingine nzuri
Kama ingekuwa na watu wengi ingekuwa kali mmtisha
Safi xn mabros movie ya w2 2 but imebamba xn💪🇰🇪
Kazi nzuri ila kuna scene imechukuwa muda mwingi sana kwenye kiza dah😂😂😂
tunaomba radhi kwahilo ila shukran kwa kufuatilia
Movie hata haieleweki kabisaa kiukweli wabongo wanazingua😂😂
Big up Kaz nzur japo mazingira magum ndo mwanzo. Five star for this guys
thanks
Daah mwanang panchaa we ni mgumu 😅💪
Bongowood kama hollywood yaan
Wah hii yenu nikali yan movie nzima watu wawili tu
Kuna movie moja inaitwa the wall mtu mbili mwanzo then anabakia mtu mmoja mpaka mwisho
Kitu mlichokosea huyu ameanza kama fundi Baiskeli sasa mbona hakuna wanakijiji wengine ambao alikuwa akiishi nao hizo hela alitengeneza baiskeli za nani !?
Napenda sana kazi zenu watu wangu,,,
Shukran sana...
Movie mtu mbili tu
😂😂😂😂
Mtu mbili do kusema nn😂😂sijaelewa
Watu wawili na sio mtu mbili umeelewa?
@@KageraTanzania wewe si kontawa aliekua kontawa kaelewa ninacho kimaanisha
Movie nzuriii ilàaaaa haioni mbonaaaa mlicheza usiku sana
Eze asante sana... Tutalifanyia kazi hilo on next project.... asante kwa ushauri mzuri..
Bonge la movie
thanks
Hongereni sana
Oya big muuza matikiti goba kaka yako 😅 mmefanana stelingi
nasubira part 2
movie iko fine
kwanini watu wengi ufanya
Hivi Sasa ndo vitu vyangu
Zuli kitindo
Watu wawili muvi usiku tu wapuuzi
MUNGU AKUJAALIE HEKIMA NDUGU YETU.
Mazingira ya wapi hayo nimeyapenda
Tanga
Usiku tunaona nn sasa
Huu mzigo hatar
Asanten