Kazi nzuri napenda kazi kama hizi. Zimetulia unavutiwa na unachokisikia. Vocals nzuri instruments zipo level. Hongereni pro... Kazi za aina hii ndio tunataka lakini unaweza kuta mtu anaponda. Mara hiki kimekua hivi mara vile. Leta chako basi ulichofanya tuone nawew. Niwape hongera saaaana pro studios.. Keep it up
Huu wimbo Wana Pro mmeutendea haki kweli. Umetulia vyema kabisa na mkatoa video inayo inayotoa picha kamili ya Kristo Mnyenyekevu aliyejitoa kufa kwa ajili ya dhambi zetu. Hongereni sana na mbarikiwe sana kwa kuzidi kutubariki kwa sauti zenu taamu. Kujitolea kwenu kukawazalie Matunda.
AKAWA MCHII HATAAAA MAUCHI NAAM MAUCHI YAAMSALABA, lugha ya kiswahili itamkwe kwa ufasaha ili kuepusha haya. Uzungu kwenye lugha ya kiswahili tuuache, unatuchafulia ujumbe.
Tatizo watu mmekalili. Mbona audio mnasikiliza? Alafu kumbuka hizi nyimbo hazihitaji mambo mengi. Niwapongeze pro studios. Keep it up. Hivi vitu ndivyo tunapenda. Leteni vitu
Kazi nzuri napenda kazi kama hizi. Zimetulia unavutiwa na unachokisikia. Vocals nzuri instruments zipo level. Hongereni pro... Kazi za aina hii ndio tunataka lakini unaweza kuta mtu anaponda. Mara hiki kimekua hivi mara vile. Leta chako basi ulichofanya tuone nawew. Niwape hongera saaaana pro studios.. Keep it up
"Kristu alijinyenyekeza", Kazi nzuri watu wa Mungu, always the best.
Aisee hiii ndo ijumaa kuu Asantee Sana Wana wa Mungu..pro.juuuuu
Safi sana na hongereni sana.Akawa mtii hata mauti naaam mauti ya msalaba🎉🎉🎉🎉
Well done! Hii kweli kwaresma imetulia inapendeza.
Huu wimbo Wana Pro mmeutendea haki kweli. Umetulia vyema kabisa na mkatoa video inayo inayotoa picha kamili ya Kristo Mnyenyekevu aliyejitoa kufa kwa ajili ya dhambi zetu. Hongereni sana na mbarikiwe sana kwa kuzidi kutubariki kwa sauti zenu taamu. Kujitolea kwenu kukawazalie Matunda.
Amina
Tunakuahukuru saaana
Hongereni sana pro Studios wimbo safi sana,..ishi sana kaka agrey
Asante saaana ndugu yangu. Ubarikiweeee
Guuud Work ❤
Amina ...Tubarikiwe sote katika kutafakari Mateso ya ukombozi wa Mwanadamu
Perfect Tempo, Mpo vzur wazee Congrats. Hizi ndo ngoma za IjumaaKuu sasa
Shukrani saana. Karibu
Good song keep up good work
Kazi safi sana Nairobi twafurahia sana kazi zenu
Tunashukuru saaana mkuu. Siku moja tutakuja huko
Safi sana
Safi sana❤
Good..
Hongereni sana
superb
🙏🙏
💪
Hongereni sana🎉
AKAWA MCHII HATAAAA MAUCHI NAAM MAUCHI YAAMSALABA, lugha ya kiswahili itamkwe kwa ufasaha ili kuepusha haya. Uzungu kwenye lugha ya kiswahili tuuache, unatuchafulia ujumbe.
Kalluh nadhani anasikitika huko aliko, hakulenga hayo mliyoimba. Waalimu na mafundi tujitahidi kuzingatia hilo, bila hilo kosa ingekuwa tamu mnooo.
Mawasiliano yenu pls
0783481918
hongereni sana ila naona video zenu nyimbo zinafanana upande wa video rangi ya back ground kila wimbo ndio hiyo hiyo......
Za kwako zipo wapi wakati unakosoa za wenzio??watu tunazingatia ujumbe.
Tatizo watu mmekalili. Mbona audio mnasikiliza? Alafu kumbuka hizi nyimbo hazihitaji mambo mengi. Niwapongeze pro studios. Keep it up. Hivi vitu ndivyo tunapenda. Leteni vitu
@@EmanuelPaulo-nd8mekweli kabisa atuoneshe zake. Wengine hatupendi mambo mengi. Hii ni sawa kabisa. Kazi nzuri ujumbe ndio jambo la muhimu...
Hii studio uko wap
Nzuri ila audio imekuwa na makelele Audio disrtotation
Wew unatumia nini kusikiliza ndugu??
😂😂 kwamba hali hii naisikia mmi