NYOTA YA BAHARI - Joseph Makoye: PRO STUDIOS CHOIR & KWAYA YA MT. DONBOSCO MONGOLANDEGE
Vložit
- čas přidán 27. 04. 2024
- MWEZI WA TANO NI MWEZI WA BIKIRA MARIA MAMA WA MUNGU. MWEZI WA ROZARI
NI MWEZZI WA KUFUNGA NA KUSALI ROZARI.
WIMBO: NYOTA YA BAHARIMTUNZI: JOSEPH MAKOYE
WAIMBAJI: PRO STUDIOS CHOIR & KWAYA YA MT. DONBOSCO MONGOLANDEGE
SOUND ENG: AGRIPINUS MUTONGORE
ASSISTANT SOUND ENG: MWITA ISACK
AUDIO & VIDEO: PRO STUDIOS
MAWASILIANO: 0783481918
0717414661 - Hudba
Kwa mara ya kwanza, wimbo huu ulirekodiwa na Kwaya ya Kigango cha Kariakoo (1992) chini ya walimu Kanuti na John Tchinyagile. Waliuimba vizuri sana. Tangu zama hizo, nimekuwa nasikia kwaya nyingine zikiuimba, lakini kwa kiwango cha chini sana.
Leo nimeona kwaya nyingine ambayo imeutendea haki utunzi huu wa Joseph Makoye. Mmeimba vizuri. Hongereni sana!!
Asante sana Ndugu yetu. Mwenyezi Mungu akubariki saana..
Huu uimbaji ndio unaotakiwa kwa dunia ya sasa,kwa wanaojua litrujia wananielewa vizuri.
Uko sahihi. Ubarikiwe sana
❤❤ Hakika mmemtendea haki Mama yetu Bikira Maria kwa uimbaji wenu uliotulia hongerenii saaanaaa
Hatari saana..❤ Bikira Maria Nyota ya Bahari utukinge nayo mawimbi yavumayo kasi. 🙏🙏
ubarikiwe sana
Hongereni sana, bikira Maria utuombee.🎉🎉
Aminaa😊
nawatakieni utume mwema, kuimba ni kusali mara mbili
Jamani huu wimbo mmeniwahi naupenda sana ❤❤❤nipo naimba kwa sauti ya pili
Asanteni Sana 🙏
Ubarikiwe saana saaaaana
Namba mawasiliano
@@elizeusernestmutahungurwa567 0783481918
Ahsanteni sana naupenda huo wimbo na Mungu awabariki sana katika utume huu wa uimbaji namuimbia Bwana katika sauti ya Nne
Karibu sana na hongera
Hongera sana kazi nzuri. Asanteni. 🎉🎉🎉
tunashukuru saana
Kazi nzuri sana Mungu awabariki sana
Amina sana
Nice, Super aiseeeeee
Waaaaaaaaaaaaaaaooh❤😊 waaaacha buwana weeeeeee... Namuona Maria hapo akimwimbia Maria mwenzake kwa umakini mkubwa sana
Hahahaha Hakika yuko makini kweli kweli hahahah
🥰💕❤️🌹👌🔥🔥🔥🎙️🎙️
Safi sana , kazi nzuri 👏👏👏👏👏
asante sana
Mary Mother of God......pray for us🙏
Nzuri sana hongereni waimbaji mmeutendea haki
Oliva my classmate i see you❤
Thanks so much
Well done Pro studio...hatuna zinasonga... Nidhamu ya kazi iendelee kuwafanya muwe bora zaidi ya mlivyo sasa.....
utunzi mzuri sana huu, hakika hongereni.
Waoooh.. kazi nzuri saaana.. keep it up 🎉👏👏
Thanks so much
betha mama,Shem wake Chukueni maua yenu
So nice and good for meditation. May our Blessed Mother of God intercede for us.
Absolutely!
Safi sanaaa
Umetisha sana Broh 🎉🎉🎉
Asante sana ndugu yangu. Ubarikiwe
Mungu awabariki sanaa kwa uinjilishaji
Tunashukuru sana
iko poa sana hongeren
Mungu awabariki sana, naupenda sana huu wimbo ❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Ubarikiwe sana tuuuu
Waooo kazi nzuri hongereni sana
Marie Stella Maris pray for us❤❤❤❤❤❤❤❤❤
This song touches my heart every day
A beautiful solemn song. Keep up the great work
Excellent message
Mungu awabariki sanaa
Hongeren sanaaa
Asante sana
Mzee mwita yaani Asante kwa Mungu
Hongera san kwa kumsifu bwan unasali mara mbili,oliva Mungu kubark upo vzr ❤❤
🙏🙏🙏❤
Mbarikiwe sana
Nice song na well harmonized voices 🎉❤
Mbarikiwe🙏❤️
Lovely
🎉
So nice
Thanks
🔥🔥🔥🙏🙏
❤🎉
❤❤❤❤❤❤❤