Psalm 27:1-4 David confesses how his enemies are all around him. Notice that David said nothing about getting even with his enemies. Instead, he focuses on God and not on his enemies…He conclude in verse 14 by encouraging us to wait on the Lord! Our Help comes from the Lord… Oh Hallelujah
Watesi wangu na aduwi zangu warijikwaa wakaanfuka,Jeshi lijapo kupugana Nami moyowangu hautaogopa,bwana ni nulu yangu nawokovu wangu nimuogope nani bwana ningome ya uzimawangu ni muofu nani?from Burundi 🇧🇮 ♥️ ❤️ 🎶 👌 💖
Psalm 27:1-4 David confesses how his enemies are all around him. Notice that David said nothing about getting even with his enemies. Instead, he focuses on God and not on his enemies…He conclude in verse 14 by encouraging us to wait on the Lord! Our Help comes from the Lord… Oh Hallelujah
Alleluia
Been looking for this song for YEARS, and I finally found it! Glory to God! Atukuzwe Mwenyezi-Mungu!!!
Atukuzwe milele
Bwana ni ngombe ya uzima wangu
Naamini Kanisa Katolika.
Tuna vipaji sio siri
Watunzi wetu big up sana.
Jeshi lijapo kupigana nami,moyo wangu hautaogopa.Asante Mungu
Tarehe 9/6/21 nani yupo pamoja nami hapa?
Im muslim but ilove this song❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
thanks
Blessed
Amen
Hakika bwana ni kila kitu kwangu, barikiwa mtunzi na waimbaji wote, mbarikiwe nanyi nyoot
This song is so uplifting 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Bwana Nuru yangu,mwanadamu hawezi nitisha na kitu chochote,maana nilishabatizwa na kumpokea yesu kitambo Santa,sijui wewe mwenzang upo vipi
Bwana ni Nuru yangu hata ktk mahangaiko na mateso yangu yote pia ni mtetezi wangu popote niwapo nipo nae.
Nyimbo ya wokovu..nzuri xana
wimbo mzuri sana,Mungu awape nguvu,tumefarijika na umejiamini
Bwana ndio kila kitu kwangu,, asanteni waimbaji
Mubarikiwe vijana💪🏿
Bwana ni Nuru ya uzima wangu,na ktk maombi yangu yote ninayomuomba anitendee.
Mimi ni mwlisilamu ilanafisiyangu inapenda yesu
ubarikiwe sana rafiki, Yesu akutie nguvu
Njoo kwa yesu home ndo jibu la maisha yako
Nice song.God bless you.
Asanteni kwa Wimbo mzuri umenibariki kwa kiitikizano Cha SoMo la Jtatu ya kwanza juma kuu❤❤🎉
Bwana ni ngome ya uzima wangu nimuhofu Nani.
Beautiful and amazing voices. Love this song. God bless you
💗💗💗💗
Bwana ni ngome ya uzima wangu nimhofu nani?❤🙏
Mungu yupamoja nami pia mungu awabariki wakatoriki wote
Wimbo wa zaburi ya ushindi
Nakumba kipindi nabatizwa huu wimbo
Ucz
Bwana ni nuru yangu na wokovu nimwogope nani?! Bwana ni ngome ya uzima wangu nimhofu nani?!
Bwana ni ngome ya uzima wangu, nimhofu nani?
Bwaninuru yanga wimbo mzuri sana
Bwana ni nuru yangu na wokovu wangu nimwogope nani
Wimbo mtamu sana
Haya sasa 2024......tupo hapa
Nimungope nani nipo na mungu Wangu sitaongopa penye himani kila kitu kinawezekana
Nyimbo nzuri Sana zinafarij
Gosto muito dos vossos cânticos mesmo não intender a língua.
Desejo - muita saúde e paz
2024 Bwana ni nuru yangu huu ni mwaka wa baraka sana
Amina
Nice song congratulations, may God strengthen your faith to countiue priseing.
thanks
Haleluya Bwana in ngome yangu na uzima wangu siogopi chochote
Lovethis
Nice
AMEEN♥️♥️♥️
Tunabalikiwa
Awesome tune..
Nice song
What a song kindly share the Music Notes.
Bwana ni ngome ya uzima wangu nimhofu nani?🙏🏻🙏🏻
BWANA AKIWA UPANDE WETU NI NANI ALIYE JUU YETU.......? HAKUNA
Barikiwa
Pro trick : you can watch series on flixzone. I've been using them for watching lots of of movies during the lockdown.
@Imran Kasen yea, I've been using Flixzone for since december myself =)
good song to every lestern
nice music
Amen amen 🙏❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️❤️
Tukiwa na Bwana lazima tutembee ktk nuru
Very inspiring
Bwana Ni Nuru Yangu Wimbo Mzur Sana Mbarikiwe !!
Ok
Ok my name is Uzziel
We have no i8
I alkways think so will be friends
watesi wngu na adui zngu walipojipanga kupigana na mi walijikwaa na kuanguka
Vyiza cane
bwana nin'gome yauzima wangu nimhofu nani???asante mungu
Kipindi natumikia hizi nyimbo zinanikumbusha mbali
Parokia ya Mt Joseph Nzovwe Jimbo kuu la Mbeya 😒
Bwana nitete
Safi kupitiliza. Sauti ziko mwaaa
Nyimbo zanipa falaja
Amina,tubarikiwe sote.🙏🙏🙏🙏
Sina wa kunitisha akiwa upande wangu
Hakika wewe bwana utubadilishe katika mapito yetue
Wow😅🤣
Zab 27:1-4
Amina amina 🌹🌼
Utabaki kua bwana milele
Bark sana
kweli bwana ni nuru yangu mama jj kisongo
Nzuri
🙏🙏🙏🙏
Bwana ni Nuru yang nimuogope nani
nice song bwana ni nuru na wokovu wngu nimuogope nani
Amen
Good
Asante
🥰🥰🥰🥰
Nyumbani kwa BWANA YESU nikae siku zote za maisha yangu
Amina sana dadangu
Amen
amina
nimuofu nani
X
Nice song
Hili liwe neno la kwangu leo