Majina Yote Mazuri lyrics by Dedo Dieumerci ft. Naomi Mugiraneza ( nikupee jina gani)🙏🏼
Vložit
- čas přidán 31. 01. 2023
- Live A Life Of Contentment- www.digistore24.com/redir/445...
High Converting Meditation/Spirituality Offer -www.digistore24.com/redir/367...
365 Manifestation Power- www.digistore24.com/redir/378...
Swahiliwoshipmusic
majinayotemazuriniyako
majina Yote
lyrics
Bwana Mungu wa Wokovu wangu
Umenipigania Yesu!!!
Umenipigania nakuita Jehova
Nisi Bendera ya Ushindi wangu
Umenipigania!!!!!
Umenipigania nakuita Jehova
Nisi Bendera ya Ushindi wangu
Usifiiiiweee!!!
Usifiwe ewe bwana MUUMBA
Wangu na Nuru yangu
Wema wako wanijaza Moyoni…
Wewe ndiwe Mchungaji wangu
Tena Kiongozi wa Maisha yangu
Wanitazama kama mboni ya jicho lako
Usifiwe ewe bwana MUUMBA
Wangu na Nuru yangu
Wema wako wanijaza Moyoni…
Wewe ndiwe Mchungaji wangu
Tena Kiongozi wa Maisha yangu
Wanitazama kama mboni ya jicho lako
Usifiwe ewe bwana MUUMBA
Wangu na Nuru yangu
Wema wako wanijaza Moyoni…
Wewe ndiwe Mchungaji wangu
Tena Kiongozi wa Maisha yangu
Wanitazama kama mboni ya jicho lako
Umenifanyaaaa!!
Umenifanya kuwa kielelezo cha walio barikiwa
Zaidi ya yote ukanifanya kuwa Baraka
ili nami nibariki
Nimekupata wewe nami nikaridhika
Wewe ni yote ndani ya yote
Usifiwe ewe bwana MUUMBA
Wangu na Nuru yangu
Wema wako wanijaza Moyoni…
Wewe ndiwe Mchungaji wangu
Tena Kiongozi wa Maisha yangu
Wanitazama kama mboni ya jicho lako
Amin usifiwe Jehova shalome good song mbarikiwe sana naisikiliza nikiwa IRAQ 🇮🇶 kurdistan alipo zaliwa nabii Ibrahim
Nahisi uwepo wa mungu kupitia kwa uhu wimbo
Nafurahi kuona,kuna watu wanamuabudu Mungu kwa roho na kweli,mbarikiwe Sana,pia kututia Moyo.
To everyone going through hard time trust God will make way even if it seems impossible
Amen
Amen🙏
2024 still grateful to My Lord JESUS
Wimbo ni Mzuri Sana wanivutia Sana, na unanibariki saaaaana. Mungu azidi kuwalinda na kuwabariki saaaaana mliouandaa Wimbo huu.
Amen may God bless you huu wimbo hunitoa machozi na kunitia nguvu😊
Jina ambalo ukiliita ....miungu yote inatetemeka duniani🙏Mungu utabaki kuwa Mungu
Mimi binafusi nimeguswa na mungu kupitia wimbo huuuu😭😭😭😭🙏🙏🙏
Ki ongozi ya maisha yangu ni wewe mungu ,wewe ni yote ndani ya yote🙌🙌🙌🙌🙌
Wimbo huh unipa nguvu ya kumtukuza mwenyezi mungu wa mbinguni
Najisikia fraha na aman katika moyo wangu ninaposikiliza wimbo huu
Mungu ni mwema kwa wote ambao wamekuwa wakifanya kazi ya Mungu
Atukunzwe Mungu aliye kupa huduma nabarikiwa na nyimbo zako
Hakika wimbo huu unafundisha na kutukumbusha nguvu tunazopata Toka kwa Mungu muumba wetu Mbarikiwe sana waimbaji
❤
For sure majina yote mazuri ni yake Mwenyezi Rabana
Mbarikiwe sana Waimbaji,Mungu wetu anastahili sifaa
Hakika majina yote mazuri ni yako jehova barikiweni sana waimbaji
enyewe hakuna jina lingine zaidi ya jina lako mungu,uinuliwe milele
❤❤❤ when am down uwa inanibariki sana
Hakika majina yote ni yako Bwana Yesu mbarikiwe wote mlioimba wimbo huu
Wimbo unagusa maisha yangu, unanibariki sana, mbarikiwe mlioimba, Mungu aziidi kuwainua viwango vingine.
👏👏
Hakika Majina yote Mazuri ni yako Jehova...this song always moves me away for sure. Mbarikiwe waimbaji
Umenipigania Bwana na kunipa ushindi pokea sifa na utukufu❤
Ni kweli mungu pekee anaestahili sifaa na utukufuu
Majina yote mazuri ni yakwako eeeeeh Bwana ❤🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Marina you yako bwana
Hakika wimbo huu unatisha
Huu ni wimbo mzuri sana Kila neno lanipa nguvu ndani ya maisha yangu,
Hiyo wimbo uko sawa napenda praise the lord every day❤❤❤❤
Nimebarikiwa na wimbo huu
Hakika Majina yote mzuri yako nakupena Bwana wang Yesu uliye nifia mimi Frank ♥️ u Yesu wang. Nakupenda xana
I have been listening to this song daily and was sobbing by the rememberance of the battles God has fought for me and my family.Kweli umenipigania na kuita Jehova Nissi bendera ya ushindi wangu.God has ,is and will be my all in all.
umenipigania bwana Yesu 🙏. Majina yote mazuri ni yako🙏.
Wimbo mzuri sna Mungu awatangulie kwa kila jambo
Umenipigania nakuita jehova nissi bendera ya ushindi wangu
Hakika majina yote maziri niyako Yesu zaidi ya yote ukanifanya baraka ili nami nibariki
Yl
Hakuna aliye kama bwana,muumba vyote❤❤❤
Ahsante kwa uinjilishaji wako kwa kipaji chako....haki atukuzwe mungu....
NAHISI UWEPO WAK BWAN WANGU .YEHOVA UMENITETEA BILA WEW SIWEZ BWAN.
ubalikiwe sana mtushi mungu azidi kukupa nguvu na kuwa imara katika kuzitenda kazi zake 🎉🎉
Ndiyo Bwana majina yote mazuri ni yako ,niguse nami
"Wewe ndiwe mchungaji wangu tena kiongozi wangu,wanitazama kama mboni..."❤❤❤.
Majina yote mazuri ni yako. Amen 🙏🙏🙏🙏 🙏🤲🤲
H
Uinuliwe juu mungu wangu ulie binguni. Be blessed for blessing me singer
Asante Yesu Kristo kwakuendela kuni pigania kila iitwao leo
When i listen this song i become more powerful spiritually
All
Yes
Kwa Jina la Yesu kila Goti litapigwa na kila ulimi litakiri Jina lake POWERFUL AND MYSTERIOUS NAME JESUS CHRIST
Mungu amenipigania.Yeye ndiye bendera ya ushindi wangu.Amenifanya kuwa kielelezo Cha waliobarikiwa.🎉🎉
❤❤
Amen 🙏
❤@@mashutiyambali9772
@@mashutiyambali9772stuff
Good one
This amazing song brings energy to heartbroken people. Very congratulations 👏👏👏
Exactly
Amen 🙏 God is so faithful
Sure😢
Exactly amen
Amina. Nikwali Mungu ni yote ndani ya yote
Aisee uwa nabalikiwa Sana na hui wimbo
Amen huu wimbo unanipa nguvu 💪🙏 much love from 🇰🇪👌💕👌💕
Wimbo huu hunibariki sana, Heko kwa mtunzi! ❤️🙏
Hakika wimbo ni mzuri sana Mungu awabariki Wapendwa
JESUS!!! this song is so powerful Nimekupata nimeridhika Ww ni Yote katika Yote 🙏❤️
Beautiful song, There's power in the name of the Lord.Majina yote mazuri ni yako Jehovah
Naupenda sana nasikia amanita ndani ya moyo wangu.
Hakika majina yote mazuri ni yako Asante Mungu🙏
Kabisa yeye ndio muweza wa yote
I love this song🙏🙏 may jesus intercede for everyone listening to this song🙏🙏❤🌄🌌
Amen
Ameen ❤❤
Nyimbo ina nifanya nilie mno jaman MUNGU akubaliki wewe uliye tunga nyimbo hii eeh MUNGU pokea manukato haya
Hahika MUNGU wetu majina yote mazuri ni yake kuinuluwa kunatupasa
Hii muimbo imenipe hamu kabisa ya kuisikilize mara wingi kwa baraka yake mungu
Kweli sifa na utukufu ni kwako yesu🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Majina yote mazur niyako baba🙏
😅😅😅😅
Kweli majina yote n yako may he guide me🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Daaaaaa kweli mungu niyote zaidi yayot❤❤❤❤
Wimbo huu ni maombi tu kamili
WImbo ni tamu
Amina, Mungu amenioioaw a namwluita bwana mungu wa wokovu. wangu
Daah mwenyezi mungu tujarie tuwe na nwisho mwema
Hakuna jina lingine ila Jehovah
Kweli majina yote mazuri niyako mungu
Nahitaji wimbo huu
Aki I really love this song🙏🏽🙏🏽
Wimbo unanipa nguvu ❤🇰🇪
Hakika majina yote mazuri ni Yako Jehovah
Sina jina lingine ilah JEHOVAH
Ni song mzuri kwa my mwenye baptaiziwa
Niisikiapo nyimbo hii moyo wangu unajawa na furaha
hata mim jamani
Am blessed with this song and I He going to make me a victor in the situation am passing through
amen
This song is just a blessing to me whenever am feeling low it lifts me up 💥 may This song be of blessings to many of the human races
Amen
Baby shark
Amen
Amen
Amen
Mungu naomba Neema juu ya familiar yang🙏🙏🙏
Akika wewe ni Baba yangu wastahili sifa
ilove this song very much keep up
I shed tears when I listen to this song and think about the goodness of God.
youtu.be/WIFCYipe
AMEN
Kweli majina yote mazuri ni yake Mungu mwenyezi,barikiwa mtunz
Nabarikiwa sana,,ameen
Ni wimbo ambao unanipa ujasiri sana🙏🙏
Wimbo mzuri sana mbarikiwe mno na muendelea kuwa watumishi wa MUNGU
For true
Our God deserves praise for what he has done in our lives
Very inspiring',yeye ni bandera ya ushindi wangu'am blessed.
Mungu awabariki kwa kazi hii kweli unanibariki sana wimbo huu🙏🙏🙏🙏🙏
Nikikumbuka alivyo teswa naumia
U are realy blessing my heart ❤
Amen ❤❤ Asante mpenzi wangu Yesu ❤️🔥❤️🔥
Hakika ww n Mungu zaidi akuna kama ww❤❤
Hakika unastahili MUNGU mwenye nguvu
Amen,this song plays on my working computer every morning,it amazingly lifts my soul to👏👏 my creator, you are a great blessing to us.
Amen and Amen. Lord am waiting for you
@@carolinawanjiku1783h7h7hhh7h
Indeed majina yote mazuri ni yako🙌🙌🙏🙏
Amen. Majina yote mazuri ni yake mungu wetu
In every situation God must be involved because he is the creator and protector of our life it is touching song put him in everything you do to guide you the right way and keep burning
😊
Thank you God for the day of today
Amen, mungu anipe mwisho muzuri
Wimbo mzuri unanipea advice asante
Wimbo huu hunanibariki sana hunasabicha roho yangu