Video není dostupné.
Omlouváme se.

MAAJABU: NDEGE ILIYOPOTEA ANGANI/ABIRIA 227/KIKUNDI CHA MAUAJI /WAHUSIKA WATAJWA/INATISHA..| EP 10

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 07. 2024
  • Ni makala yenye kuelezea kisa kilichojaa utata, na bado ni kitendawili cha ulimwengu mzima, ni baada ya tukio baya la kupotea kwa ndege ya abiria ya MALAYSIA AIRLINE MH370, ikiwa safarini kutokea katika taifa la MALAYSIA ikielekea katika taifa la CHINA ikiwa na zaidi ya abiria 200.
    Bado ni mtihani wako wapi watu hawa?, na maswali muhimu kama iko wapi ndege hii? na tukio hili ukweli wake ni upi?
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #makala #malaysia #dupamdupange

Komentáře • 25

  • @user-bq8rv7jm8v
    @user-bq8rv7jm8v Před měsícem +8

    Première commentaire naomba liké zakutosha jamani kama tunamukubali uyu mwamba✌️✌️✌️
    Dev ESINATI 🇨🇩🇧🇮 KAHILU

  • @user-pi3ge3yu5t
    @user-pi3ge3yu5t Před měsícem +1

    Kaka uko vzr san ktk uchambuz wahii stor maan weng wamesimulia hii stor ila hawakuchambua kam ww pia wale wot ambao hawaelew hii stor usikoment ujing wew kaush t maan hii stor haikuhus ww kaka piga kaz tunakufatilia san god bless you

  • @christiankambuga9338
    @christiankambuga9338 Před 22 dny +1

    Safii sana christian south africa 🇿🇦

  • @zainulahmed8206
    @zainulahmed8206 Před měsícem

    Uko vizuri Dupa unaenda kisomi sana nakukubali

  • @josephmwirigi7718
    @josephmwirigi7718 Před měsícem +2

    Kazi isonge kaka

  • @jumas3939
    @jumas3939 Před měsícem

    Ndugu yangu kbsa dupa.Unapiga vizuri sana hii kazi

  • @user-dg7wf6fg2j
    @user-dg7wf6fg2j Před měsícem +1

    Dupa usichoke unasikia kama hujachoka gonga like zinawasaidia nini 😢

  • @ShanceBose
    @ShanceBose Před měsícem

    Powa

  • @marrypius576
    @marrypius576 Před měsícem

    Ongera san naielewa sana hii story

  • @markmushi8940
    @markmushi8940 Před měsícem

    Niko italy nakufuatilia sana story ya hii ndege unajua sana kuadithia

  • @JosephGeorge-s1w
    @JosephGeorge-s1w Před měsícem

    Hiyo ndo mbaya iyooo..🎉🎉🎉🎉

  • @MairaAlly
    @MairaAlly Před měsícem

    Hadi mwisho

  • @mtupeacetz2589
    @mtupeacetz2589 Před měsícem +2

    😅😅😅KAMA UMEWAELEWA MASHUHUDA PIGA LIKE HAPAA😅😅😅😅😅

  • @FILBERTYONAMAILA
    @FILBERTYONAMAILA Před měsícem +2

    sasa dupa umeshindwa kutafsiri sehem ya ushuhuda na story yako haiiishi tu

  • @mtupeacetz2589
    @mtupeacetz2589 Před měsícem +6

    KAMA UJACHOKA KUFATILIA HII SIMULIZI GONGA LIKE HAPA.😊😊😊😊😊😊

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u Před měsícem

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏🙏

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před měsícem

    Hiyo ndege hayo mabaki ndio yake sema manyang'au wanakataa kwa sababu kutafuta c pesa nyingi wanapata hivyo serikali ya Malaysia akili zao zimelala wataliwa sana pesa

  • @ErickMkasas
    @ErickMkasas Před měsícem

    Bro Dupa naomb kuuliza kama ndo mabki ya ndege kwann mait za wale abiria azikuwai kuonekana...? Ili wapime DNA.

  • @user-uo6dy9qx2p
    @user-uo6dy9qx2p Před měsícem

    Malizia 😢kilasiku tunaruka tume😂

  • @paramaa5839
    @paramaa5839 Před měsícem

    Mm sahv siangalii mpaka umalize hii story sku nikirud xx nikubadilisha tu kama ep zakikorea😫😫☹️☹️😡😡😤😤Why Why whyyyyyyyyyyyy iiiii Between my sm u re passing through I hate uu uu uuuuuuuuuuuu!! 😋😏nyau kabsa, bora kula dagaa kwenye aman kuliko__________

  • @elmiaxmed6870
    @elmiaxmed6870 Před měsícem

    Huna lolote kuvuta stry ili upate views 2 unashindwa kumaliza stry bure kbsa

  • @mwanetu
    @mwanetu Před měsícem

    🦾