MAAJABU: NDEGE ILIYOPOTEA ANGANI/ABIRIA 227/KIKUNDI CHA MAUAJI /WAHUSIKA WATAJWA/INATISHA..| EP 12

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Ni makala yenye kuelezea kisa kilichojaa utata, na bado ni kitendawili cha ulimwengu mzima, ni baada ya tukio baya la kupotea kwa ndege ya abiria ya MALAYSIA AIRLINE MH370, ikiwa safarini kutokea katika taifa la MALAYSIA ikielekea katika taifa la CHINA ikiwa na zaidi ya abiria 200.
    Bado ni mtihani wako wapi watu hawa?, na maswali muhimu kama iko wapi ndege hii? na tukio hili ukweli wake ni upi?
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #makala #malaysia #dupamdupange

Komentáře • 18

  • @Malo-o3p
    @Malo-o3p Před měsícem

    Dupa mamboo
    Appreciate you
    Big up bro
    From Kenya

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk Před měsícem +1

    Marekani ana vibaraka kila kona hapo Holland ndio vibaraka wakubwa wa Marekani..Hiyo ndege ni kiini macho hayo mabaki yaliyopatikana bado hamuamini? Hapo wanachofanya ni yale makumpuni ya utafutaji yaendelee kula pesa za bure lkn ndege imeshaanguka habari ndio Hiyo

  • @kimechajr
    @kimechajr Před měsícem +1

    Leo mmezingua Sana hakuna kitu mmefanya

    • @PaulLawrance-m1v
      @PaulLawrance-m1v Před měsícem

      Huyu mwamba anazingua sna ..! Unangoja wiki nzima kwaajili ya Dakika 18 as if tunaongeza Damu

  • @godlizengodayo1048
    @godlizengodayo1048 Před měsícem +1

    Ongeza ata siku basi za kipindi iwe walau ata na j5

  • @MairaAlly
    @MairaAlly Před měsícem

    Hadi mwisho

  • @DevsnsDevsns
    @DevsnsDevsns Před měsícem +1

    Wakwanza tena Leo 😂😂😂

  • @Malo-o3p
    @Malo-o3p Před měsícem

    Nime kuelewa 15:42

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 Před měsícem +1

    😅😅😅 hili likipindi kumanyoko kila siku haliishi

  • @jaffarytwaha5744
    @jaffarytwaha5744 Před měsícem

    Waliotumwa wamepotea na waliopotea (wamepotea)

  • @Malo-o3p
    @Malo-o3p Před měsícem

    Nime kuelewa

  • @budodiun6269
    @budodiun6269 Před měsícem

    Dupa kiukweli leo umezingua.. dk 18 unasimulia free scale semiconductor tu since last week.. hebu summarise topic iishe..

  • @yohanakashinje1548
    @yohanakashinje1548 Před měsícem

    Waiting

  • @Bextystore
    @Bextystore Před měsícem

    Hujasema kampuni ya mwisho kwenye chain iko wapi

  • @user-pi3ge3yu5t
    @user-pi3ge3yu5t Před měsícem

    Tunakufatilia san tangia mwanz had mwisho capten dupa 👮

  • @dinosmack
    @dinosmack Před měsícem

    Dupa mdupange

  • @budodiun6269
    @budodiun6269 Před měsícem

    Dupa kiukweli leo umezingua.. dk 18 unasimulia free scale semiconductor tu since last week.. hebu summarise topic iishe..