#LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • #LIVE : THE SWITCH MUSIC COVER NDANI YA WASAFI FM - OCTOBER 09, 2020

Komentáře • 1,1K

  • @Enjeri
    @Enjeri Před rokem +11

    Still listening to this in 2023❣️❣️❣️ mob love from 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Před 3 lety +321

    Kama umeona hassan mapenz ana kipaji kikubwa gonga like hp

    • @salmaluhombero8466
      @salmaluhombero8466 Před 3 lety +4

      Ni balaaa hilo hili omg mpaka mwili umenisisimka ni kwenye damu hiki kipaji ahhhhhh omg sijawahi ona one in million

    • @zubedaseif2950
      @zubedaseif2950 Před 3 lety +3

      Tatizo hajui kutunga

    • @johnsilima1629
      @johnsilima1629 Před 3 lety +5

      @@zubedaseif2950 hilo sio tatizo kuna wasanii kibao wanaandikiwa na ni wakubwa sanaa

    • @user-un3df1sl2h
      @user-un3df1sl2h Před 3 lety +1

      Anajua uyu jamaa

    • @johnsilima1629
      @johnsilima1629 Před 3 lety

      @@user-un3df1sl2h kabsa

  • @aminaalli2287
    @aminaalli2287 Před 3 lety +5

    Kama unaamini nyota ya hassan imewaka gonga like nyingi hapa....wakati wake umefika sio uongo almasi hiyo mashaallah kila mja ana wakati wake wa kupata riziki yake

  • @geroldmwinuka6411
    @geroldmwinuka6411 Před 3 lety +19

    kama ume play zaidi ya mara moja gongo like twende sawa

  • @bamzy2033
    @bamzy2033 Před 3 lety +113

    waah ooh my goshh diamond this talent not a joke , make a plan for young man kama unamkubali huyu boy nipe like hapo.

  • @DjEricTheBaddest
    @DjEricTheBaddest Před 3 lety +11

    Have Listened For This Like 1000 times.... 2021 From Kenya 🇰🇪

  • @ibrahimsaidychawage4534
    @ibrahimsaidychawage4534 Před 3 lety +205

    wcb ndy anafaa hassan mapenz wngap mpo kwa ajili ya hassan mapenz

  • @abasialimussa5372
    @abasialimussa5372 Před 3 lety +34

    Hii kweli almasi mchangani kwa kuwa imeingia mjini tusubiri wadau waisafishe👏👏👏👏

  • @suleshm4627
    @suleshm4627 Před 3 lety +37

    Kipaji unacho bro, unaweza 🇧🇭🇹🇿🇰🇪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @flownmagnifico5188
    @flownmagnifico5188 Před 3 lety +31

    Huyu jamaa anatudanganya Sana , unaweza sema Muzik ni rahis, so talented 📣📣📣

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 Před 3 lety +85

    This bruuuu gat talent not a joke.. Diamond do something for this fellow 🤔🤔🤔🤔🇰🇪🇰🇪

    • @hassanmapenzi6188
      @hassanmapenzi6188 Před 3 lety +6

      Mnisaidie kubonyeza picha iliyo kushoto na kusbribe kwa channel yangu ya hassan mapenzi kwa mengi mazuri

    • @mw3850
      @mw3850 Před 3 lety +1

      @@hassanmapenzi6188 kipaji unacho kaka....nakutakia kila la heri

    • @hassanmapenzi6188
      @hassanmapenzi6188 Před 3 lety +1

      @@mw3850 asante nitaweka bidii hili niwe kwa mikono salama mniombee hili nifike mbali zaidi na niwaletee mambo mazuri makubwa

    • @chrispinchrisant1540
      @chrispinchrisant1540 Před 3 lety

      @@hassanmapenzi6188 wee ni balaa.ni hatari sanaa

    • @saida.muhsin2187
      @saida.muhsin2187 Před 3 lety

      @@hassanmapenzi6188 nimekubali na ninakukubali sana

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 Před 3 lety +43

    ❤️🔥🔥🔥👌👌👌👍👍👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙌.. Mapenzi hayana commando.

    • @agathaanyango2366
      @agathaanyango2366 Před 3 lety

      Ako sawa bsa 👌👌👌👌👌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯🔥🔥💯💯💯💯💯💯🇰🇪

  • @osmanmohammedosman5493
    @osmanmohammedosman5493 Před 3 lety +30

    Anajua sana huyu mwamba🇨🇩🇨🇩imeisha iyooo

  • @mtokambali2320
    @mtokambali2320 Před 3 lety +63

    Narudia tena “Huyu kijana akae kwanza kwenye Band. Huko Ndio future yake ilipo” solo kwa sasa hapana

    • @raphaelmramba4573
      @raphaelmramba4573 Před 3 lety

      Wangapi walio kaa kwenye Band wakatoboa Wote wanalia njaa kazi yao kurogana alafu ww unamuombea akakae uko kweli jaman

    • @gladysngamimakau7099
      @gladysngamimakau7099 Před 3 lety

      Solo ako sawa coz song inatolewa na wakatiwake interview mob siku moja anaweza sana ata stage peke yake yuko poa chezea vocals juu chinina aangani 1love from kenya

    • @davisjumb458
      @davisjumb458 Před 3 lety

      Anajua sana aisee

  • @dullahmudy2464
    @dullahmudy2464 Před 3 lety +134

    Wakwanza leo naombeni likes zenu😍

  • @theresiajohn8407
    @theresiajohn8407 Před 3 lety +37

    Yn nimeludialudia mara 💯 huyu mjinga anajua 😍

  • @aymanabushiri516
    @aymanabushiri516 Před 3 lety +153

    Yaani mchozi umenitoka kwa furaha huyu kijana anaimba jamani

  • @johnsilima1629
    @johnsilima1629 Před 3 lety +85

    Wangapi tumerudia kipande anachoimba

  • @gracekaniki789
    @gracekaniki789 Před 3 lety +39

    Yaani anaimba kwa hisia sana big up Hassan

  • @sulleymagelanga4354
    @sulleymagelanga4354 Před 3 lety +65

    Duuh huyu jamaa htr!! Wakat namsikiliza yaan nilisahau kama kuna wasanii wengine Tz

  • @happinessmartini8567
    @happinessmartini8567 Před 3 lety +18

    Sijajutia mb zangu kabisa kijana anaweza mno

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 Před 3 lety +41

    Big gara b. Big up Hassan mapenzi we mkal mwanangu. Unajua sana🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😄😄😄🤙🤙🤙🤙.

  • @officialmrtop1018
    @officialmrtop1018 Před 3 lety +35

    Aje huku WCB hao kina Ommy Dimpoz hawana lolote

  • @cr9builder792
    @cr9builder792 Před 3 lety +78

    Huyu Jamaa Ana Unyama Ndan yake Respect 🔥🔥🔥

  • @deodatusnchimbi7633
    @deodatusnchimbi7633 Před 3 lety +31

    mtaftieni kipindi MC GARA B apoooooo mnyamwezi saanaaaa vokooo ina kaa sana kweny mc

  • @gabrielkilonzo5702
    @gabrielkilonzo5702 Před 3 lety +36

    We call this Mugithi in Kenya. This dude is fiiiiiiiiiine, BUT he should capitalize on this space, get a good band , perform other musicians songs live with his touch, mash up ile, He will be fireee.

  • @nansikilovele1424
    @nansikilovele1424 Před 3 lety +115

    Wasafi tushakusafisha ukikichafua utajua mwenyew! Imeisha hiyo!!!!

  • @kimsamson6149
    @kimsamson6149 Před 3 lety +21

    daah jamaa ni firee motooo likes kwake Allah akufungulie njia

  • @clementlupatu1642
    @clementlupatu1642 Před 3 lety +24

    Kaka kwa mara nyingine nakuambia nyie mna kipaji sana natamani hapo mungekuwa wote waone munavyo kinukisha

  • @tangaboymedia3124
    @tangaboymedia3124 Před 3 lety +17

    Talent Never Get Faked - He Got Real Talent
    Big Up Kaka @ HassanMapenziOfficial 🧡🧡🧡

  • @alexkyando3622
    @alexkyando3622 Před 3 lety +12

    diamond platinum please push this talent of Hassan to the next level

  • @ivonafrans1245
    @ivonafrans1245 Před 3 lety +12

    Jamn kaka unatabasam hadi raha mungu akufikishe pale alikopanga yey......
    Sauti yako jmn daaaaaah mashallah
    Wasaf tumekuswitch na kukusafisha ukiloga utajua kaka mola akulinde
    Umefanana na davido sanaaa kaka

  • @elnabilbentaleb7008
    @elnabilbentaleb7008 Před 3 lety +44

    Jamaa Hana Makuu Hajifanyi anajua jua Vitu He is So Real keep up Bro 🔥✌

  • @stevenmasato5787
    @stevenmasato5787 Před 3 lety +12

    jamaaa huyu ni fireeeeee anatisha sanaaaa, ni balaaa mjini huyu duh!!!

  • @stonebwoe7621
    @stonebwoe7621 Před 3 lety +20

    Uuu ndo tunasemaga utashaaa uyu jamaa mtasha yaani mtaaramu

  • @ibrahke2859
    @ibrahke2859 Před 2 lety +1

    Eeih this keeps on remembering me my late dad who loved this man hassan mapenzi

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před 3 lety +7

    Mwenye kukopi wimbo ameimba vizuri kuliko mwenye wimbo waoo that's Talanta 🤝👍👌🏿

    • @julianayesayamwailolo8240
      @julianayesayamwailolo8240 Před 3 lety

      Mwenye nyimbo ni nani Amina

    • @aminanamoyo83
      @aminanamoyo83 Před 3 lety

      @@julianayesayamwailolo8240 angalia vizuri mpendwa interview then atagundua kwanini nimeongea hivyo.❤

  • @callmerex_5494
    @callmerex_5494 Před 3 lety +54

    Kama umeangalia More than Once_👊

  • @bilalbizimana980
    @bilalbizimana980 Před 3 lety +13

    He is so talented, all the best Hassan Mapenzi

  • @alexanderraphael5537
    @alexanderraphael5537 Před 3 lety +37

    Daaah! We jamaaa ni 🔥🔥 even i can not explain

  • @heriholder1625
    @heriholder1625 Před 3 lety +50

    Jamaa anajua lakini inabidi awe chini ya wcb kwa kipindi cha miaka 4 ndio tumsaini wasafi maana hatutaki kukurupuka wasafi.

    • @officialmrtop1018
      @officialmrtop1018 Před 3 lety +2

      Hilo linajulikana lakini pia inatokana na uwezo umri wa mtu mwenyewe pia

    • @eddyevarist2593
      @eddyevarist2593 Před 3 lety +3

      sio lazima akae miaka4 ukiona mtu kawekwa muda mrefu ujue uwezo wake bado wanataka wajihakikishe zaid ila uyu anahitajika kuingia studio moja kwa moja

    • @watakaniitaje1215
      @watakaniitaje1215 Před 3 lety

      @@eddyevarist2593 hapana ujue wcb chuo pale kwanzA afundishwe kujicontrol alafu na nidhamu

    • @ammiebowden7354
      @ammiebowden7354 Před 3 lety

      Utamsaini wewe na nani?😂😂😂

    • @negaboy497
      @negaboy497 Před 3 lety +1

      @heri holder unajiona mondi mzee

  • @tangaboymedia3124
    @tangaboymedia3124 Před 3 lety +22

    Live No Sound Effects But He Kill go Murder da Game .........

  • @ntawundabawillyfullpowerwi481

    Hummm uyo jamaa siyo mtu wakawaida amenipeleka mbali sana kwa style yake anastahili saaaana kuitwa Msanii 🤔🤔🤔🇨🇭🇨🇭🇨🇭🇨🇭 suisse

  • @abrahamwanaswa1631
    @abrahamwanaswa1631 Před 3 lety +10

    Much love from +254 , the guy is talented

  • @emmanueljanuary8112
    @emmanueljanuary8112 Před 3 lety +6

    Brother god bles you mi unanifuraisha unarivaa sana jina lako m unanifuraisha unajua sana kuishi na watu

  • @ongidijuniour2348
    @ongidijuniour2348 Před 3 lety

    DUH NAMKUBALI SANA HUYU DOGO SANTI GERA B KULETA TALENT,NIPO KENYA MI PRODUCER NAPENDA KUFANYA KAZI NA HUYU DOGO

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 Před 3 lety +12

    Anafanana n Davido na anakipaji mm n shabiki wak

  • @Officalnaph
    @Officalnaph Před 3 lety +74

    DIAMOND TAFADHALI SANA MCHUKUE HUYU KIJANA TAFADHALI SANA MCHUKUE HUYU KIJANA, NAKUOMBA TAFADHALI

  • @risperladee5718
    @risperladee5718 Před 3 lety +12

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Whaaaaaaaaaaaat whaaaaaaat.. Kununua CD you make me mis my ex like crazzzzzyyy!

  • @priscamaina4176
    @priscamaina4176 Před 3 lety +7

    Huyo jama sauti anyo, uuuu love from Kenya,

  • @khadijaomari9344
    @khadijaomari9344 Před 3 lety +50

    hasani katinga wasafi mungu amuongoze

  • @vunjabeisports8379
    @vunjabeisports8379 Před 3 lety +4

    Jamaa anasisimua sana, anajua mpaka yeye mwenyewe ajui kama anajua, he is so lit!

  • @sirabahendayussufu2862
    @sirabahendayussufu2862 Před 3 lety +53

    Sijawahi comment today na comment kwa huyu dude

  • @andekijanawawatu2067
    @andekijanawawatu2067 Před 3 lety +16

    Kama umemkubali hassan mpenzi gonga like ndugu zangu twende sawa

  • @evodykalala509
    @evodykalala509 Před 3 lety +31

    Zaidi ya kipaji

  • @malindianking3271
    @malindianking3271 Před 3 lety +1

    Kijana talent iko. CEO, MD, WASAFI PRESIDENT DANGOTE .#Simba.Muinue huyu kaka .Kipaji hicho kaka

  • @scorpiondastan1179
    @scorpiondastan1179 Před 3 lety +5

    Hasan Mapenz mwanangu 🦇 🦇🦇 unalaana ya kuimba vizuri respect for you 🦂🦂🦂

  • @nyotamy3678
    @nyotamy3678 Před 3 lety +17

    Hawa jamaa wa ivi wenye vipaji wako wengi sana.. ni ivo tu umetokea kumuona mchizi..
    Nafikiri Kama tunataka vitu vzr hasa media.. ni vema ziibue vipaji Kama hivi mikoani huku..

    • @maujanjatv24h41
      @maujanjatv24h41 Před 3 lety +1

      Nyota My3 kila mtu anainuka kwa wakati wake

    • @immanueljohn2672
      @immanueljohn2672 Před 3 lety

      Kweli brother kila kitu na wakati wake,ila pili tunaitji mtu wakutushika mkono ili tufike sehem fulani .

  • @ommybrain9607
    @ommybrain9607 Před 3 lety +56

    huyu jamaaa dah anafanya uone mziki ni mrahisi sana

  • @hassankasigwa477
    @hassankasigwa477 Před 3 lety +27

    Huyuu jamaa ni Jini sio mtu 100%🔥🔥🔥

  • @douglasslawrence7992
    @douglasslawrence7992 Před 3 lety +4

    Huyu lazima atakuwa ameimba sana kaswida wakati wa udogo.....i guess, he is so good

  • @fredyasante1115
    @fredyasante1115 Před 3 lety +5

    Mimi huwa sicoment ila this dude is really got power ✊

  • @innocentelphas438
    @innocentelphas438 Před 3 lety +36

    Afu kama vile anafanana na davido ..sura!!!

  • @maryludovick2538
    @maryludovick2538 Před 3 lety +15

    Jaman talent kubwa hii 💥💥 unajua mpk unaboaaa 😂😂😂😂😂😂

  • @arthurchengo5470
    @arthurchengo5470 Před 3 lety +23

    This is live and it's so melodious no sound effects. He is so good

  • @messaabbas8346
    @messaabbas8346 Před 3 lety +6

    The guy he’s so awesome wallah,,he have something for really 😍😍😍big up broo,,,am enjoying,,,oooh god ☺️☺️☺️,,moo love ❤️ one love ❤️from 🇰🇪👏🏻

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 3 lety +7

    Anajua bro... Anajua sana zaidi ya sana ... Hio sauti live bila instruments... One in a million voice...

  • @johnsonmwakio8792
    @johnsonmwakio8792 Před rokem

    Nipo Kenya msa kongowea uku mambo kuntu kabisa ...mimi mchungaji ila kwa mambo kama hya ya talent mi hupenda sana ...sasa kwangu mimi nampa mia kwa mia Hassan huyu kaweza vibaya sana yani mnyama huyu....Platinums usichelewe mwanangu.....ivo yani.

  • @abdallamohamedabdalla5260

    Kenya Tushapitisha, Kazi Kwako SIMBA 🦁🦁🦁

  • @rahultv6173
    @rahultv6173 Před 3 lety +5

    Garab anafaa kuwa mtangazaji wasafi please fanya mpango

  • @harunmwatele6457
    @harunmwatele6457 Před 3 lety +5

    Njoo Kenya brother,uko juu.🔥🔥🔥🔥hii almasi mchangani.big up Sana 🤜

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 Před 3 lety +2

    Jamani kaka angu mungu akuinue kiukweli unajua sana sauti yako nzuri sana mungu akuinue kiukweli jamani nakuombea

  • @bakaribashiru7680
    @bakaribashiru7680 Před 3 lety +6

    Hamis bss cha mtoto yan broo Mungu azid kukubarki sana big up

  • @johnmagambo9231
    @johnmagambo9231 Před 2 lety +1

    Nimerudia zaidi ya mara 10 kwenye hicho kipande cha zilipendwa.duuh!!! Jamaa hatari na nusu

  • @nassebmaenjela4433
    @nassebmaenjela4433 Před 3 lety +5

    M
    Alipangalo mungu aliwezi kupanguliwa na mtu yeyote kaza dogo

  • @alexandermaziku1403
    @alexandermaziku1403 Před 3 lety +58

    kama naiona collabo ya hassanmapenz na mboso

  • @husnnytahir9539
    @husnnytahir9539 Před 3 lety +17

    Hello, Simba!! This is a real talent.

  • @derickdmaliganya4441
    @derickdmaliganya4441 Před 3 lety

    yaaaan anakipaj cha hali yajuuuuuuu sanaaaaaaaa hata mungu mwenyew anajua

  • @kamalissabig2429
    @kamalissabig2429 Před 3 lety +10

    We jamaa unikome we msenge unajua kinoma yan yan hauna mpinzani upo juu walah Jah bless Niger

    • @amissahassan495
      @amissahassan495 Před 3 lety

      Yani unamkubali mpaka unamuwa towa tusi Dhuuu😂😂😂😂🙌🙌

    • @najmagudeh203
      @najmagudeh203 Před 3 lety

      😂😂😂😂😂

    • @hassanmapenzi6188
      @hassanmapenzi6188 Před 3 lety

      Mnisaidie basi Ku subscribe kwa Chanel yangu kuna mengi yanakuja

    • @amissahassan495
      @amissahassan495 Před 3 lety

      @@hassanmapenzi6188 tuachie ujinga bwana wewe. Tushajuwa. Channel yake nipi sihiyo yako

  • @sarahbuthu7785
    @sarahbuthu7785 Před 3 lety +2

    Daaaah unaweza Sana Yani adi unabowa gudiiii hasani mapenzi upo njema sans

  • @selemanibididas3988
    @selemanibididas3988 Před 3 lety +17

    Eemungu nifanye diamond nichukue hiki kipaji

    • @antarsangali4456
      @antarsangali4456 Před 3 lety

      Watu wa music jifunzeni kuwa na uzalendo,roho nzuri kama za kina Simba Diamond na Bro GaraB

  • @fatmahassan2089
    @fatmahassan2089 Před 3 lety

    Duuuh yuko vizuli sana huyo Hassani mungu amuzindixhie kipaji

  • @rosedaud8376
    @rosedaud8376 Před 3 lety +6

    He made ma heart bust nice voice and talented🙌 ni fire

  • @irenewilbard2513
    @irenewilbard2513 Před 3 lety +1

    This guy jmni🔥🔥🔥🔥🔥🔥.. He got me smiling tuu Kila saa yani😊😊😘😘... unajua sanaaaa, mungu akubariki😍😍😍😍😘😘😘😘❤️❤️❤️

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe Před 3 lety +8

    Official song ya singeli inaitwaje, imeimbwa na nani?

  • @lubingakayeba5364
    @lubingakayeba5364 Před 3 lety +1

    kama umehona hasani mapenz anakipaji gonga like

  • @michaelmnkai1741
    @michaelmnkai1741 Před 3 lety +3

    Wazo langu asibadilishe styles chakufanya atunge nyimbo za Aina hiyo hiyo sema Aimbe mpya asifanye cover bali atunge mpya ili zuku iendelee isife ss wazee wagambe ndo ngoma zetu

    • @fatimahaji396
      @fatimahaji396 Před 3 lety

      Anaimba kama ataki ametulia uyu ndio msani sio unaimba mpaka povu linatoka Muigeni Hassani kiboko yenu

  • @aminathaabubakarmasoud565

    I play back so many times this show it's amazing💯👍🥰😘😘💃💃💃💃💃

  • @juliusjaliwa9887
    @juliusjaliwa9887 Před 3 lety +14

    Daaaaaa kusema mwimbaji njo sasa hapo nahapo aija oshwa ndani yaviombo kabisa, yaani naona Chistiabela wapili huyu. Na kwahushauri wangu kwa Record label kama vile wasafi kipaji kama hichi kilikuwa kinakosekana pale yaani nilikua najiuliza kila siku hata nilikua na comment but isn't answer for that but finally naona kwambali kama inaanza kuja vile please Diamond try this guy and utapata something from him, wish you all the best Mr Hassan

  • @judithgeorge1756
    @judithgeorge1756 Před 3 lety +5

    This is amazing sana kaka safi congratulations

  • @ezekielraymond8749
    @ezekielraymond8749 Před 3 lety +9

    This is the real and huge talent 🔥

  • @Presenterodiplatform
    @Presenterodiplatform Před 2 lety +1

    watching all the way from kenya..............

  • @mansourrukaka3061
    @mansourrukaka3061 Před 3 lety +3

    dah jamaa ni fundi jaman yan mpaka unakosa cha kusema🔥🔥🔥💯

  • @djsililaog1820
    @djsililaog1820 Před 3 lety +2

    Dah ujamaa anajua had anakera nlikutana nae na msanii wangu mmoja alitufunka hatari

  • @doreenmkingi3117
    @doreenmkingi3117 Před 3 lety +4

    This what we call talent... Big up hassan mwenye mapenzi ake

  • @obestone1188
    @obestone1188 Před 3 lety +4

    Jamaa anajua. Utamu wa music unaufeel kabisa .dahh hich kipaji

  • @abbybrave8839
    @abbybrave8839 Před 3 lety +1

    Oyooo wazeee wa malove love jamaa anajua bhana like kwake👍

  • @perfectinnocent1875
    @perfectinnocent1875 Před 3 lety +36

    Jamaa anajua sana tena sana yaani hapo hajaandika popote lakini anatema cheche kiasi hiki??? Hivi ndo vipaji tunavyovitaka Tanzania sio akina Hbaba na babalevo

    • @mahmoudaziz4717
      @mahmoudaziz4717 Před 3 lety +3

      Bora babalevo anajua kuliko uyo hbaba😄😄😄🇹🇿.

    • @SaidSaid-bq6mk
      @SaidSaid-bq6mk Před 3 lety +1

      Broo umewahi kumfatilia vizuri baba levo ww baba levo ni bonge la msanii sio umemjua kwa kua yupo wasafi hem mfatilie ngoma zke za nyuma utajua km b levo fundi manyumba mtaalam jamaa anajua vbya

    • @perfectinnocent1875
      @perfectinnocent1875 Před 3 lety

      @@mahmoudaziz4717 afadhali wewe

    • @perfectinnocent1875
      @perfectinnocent1875 Před 3 lety

      @@SaidSaid-bq6mk Nimemjua tangu kitambo sana kabla hata hajaja wasafi, ko uwezo wake wa kupiga kelele anao

    • @veeJesus
      @veeJesus Před 3 lety

      We baba levo humjui wew kana upo u tube kaangalie ngoma zake

  • @sharinv8864
    @sharinv8864 Před 3 lety +1

    Gai this young boy knows hw to sing jameni yuko na kipawa anaimba exactly the thing ukweli kabisa mapenzi hayani macho. Msimuche

  • @saladaniel9274
    @saladaniel9274 Před 3 lety +56

    Yaani unajua mpk unakera😂