JUMA LOKOLE AMLIPUA HAMISA MOBETTO / AMEACHWA NA KELVIN / ANA TABIA MBAYA ?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • MAZITO!!!! JUMA LOKOLE ATOBOA SIRI HAMISA NA KELVIN SIO WAPENZI /WASANII WANAIGIZA MAISHA

Komentáře • 65

  • @omarsakwa-zs2zy
    @omarsakwa-zs2zy Před 8 měsíci +5

    This lady knows..how to ask questions..congrats

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 Před 8 měsíci +4

    Juma punguza makasiriko , hamisa amekukaba koo katika ma EX wote alopita nao , 😂😂😂

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 Před 8 měsíci +3

    Juma anateseka sana watu wawili duniani. 1) Hamisa. 2) Harmonise. Hawa watu wanamyima saana ucngizi. Atakufa kwa wivu huyu.

  • @starlily07
    @starlily07 Před 8 měsíci +2

    Dotto Magari kashatuambia biashara unayofanya ni ya nyuma ya maumbile usidanganye watu, huo mtaji wa biashara ili uupate lazima upinde mgongo 😂 pole mwajuma lokole, umenunua gari kushindana na hamisa mobetto sasa unajuta, pole mke mwenza wa Hamisa na hutamfikia hata robo

  • @zainabhussein5542
    @zainabhussein5542 Před 8 měsíci +2

    Kama ameachwa basi Juma ni bora ukaolewe wewe Sasa manake hamisa alikua anakuumiza sana alipokua na huyo bwanake unaenda kuona hamisa akiharibikiwa hebu na wewe siku moja uyatoe na yako watu wayajue na sio kushinda ukitafuta mambo ya watu mwanaume mzima mbona ya kina zuchu na diamond huyasemi umeyafyata Ila Kazi kusema ya kina hamisa

    • @Sunflower001-xt3ou
      @Sunflower001-xt3ou Před 8 měsíci

      Zuchu gani,wewe huonagi huyi juma akimtukana na kumkejeli zuchu kila siku,juma hampendi zuchu hata dakika moja.hawapendagi aliyepo,mpaka atoke.

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Před 8 měsíci +1

    Mpitie na kwangu wapenzi... ❤

  • @rahmaabdulrahman5592
    @rahmaabdulrahman5592 Před 8 měsíci

    Leo juma nimekupenda. Hasa uliposema km kuhusu watt na wazazi

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Před 8 měsíci +1

    Juma❤️❤️❤️

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Před 8 měsíci +1

    Hakuna anaekulaumu maana ww ni shoga mbona wewe ulienda kuliwa nyuma ukapata gari aina ya renji na watu wanajua hawasemi na ndo maana doto kasema atakuja kumwaga mambo Yako yote

  • @priv524
    @priv524 Před 8 měsíci +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂Hamisa was inspired by Masha 😂😂😂😂😂😂 .....naked truth🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂😂

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen Před 8 měsíci

      🤔kwani kunaajabu gani mbona wewe chawa wake😏🤪

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 8 měsíci +1

    Hahaa, wapi ww juma, gari hilo umepindwa mgongo ukamilikishwa, unawadanganya Raia..👉👌

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 7 měsíci +1

    We unamcheka feyvan😂😂 eti unakuaje na mwanamke mfupi km kinu

  • @user-nj9hm6xd5u
    @user-nj9hm6xd5u Před 8 měsíci +2

    ❤️❤️❤️❤️❤️🤲🤲🤲💯💯💯

  • @David_keyan
    @David_keyan Před 8 měsíci

    Mtangazaji tunakupenda lakini badilisha nywele umefanya nazo interview nyingi mwambie boss wako manara akupe ela

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Před 8 měsíci +1

    Kama kalewa hakulewa kayataka na kayapenda usimtetee ukamponda harmonize

  • @saudamdoe
    @saudamdoe Před 8 měsíci +1

    Juma weee

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen Před 8 měsíci +2

    Huyo Hamisa yawakera Nini 😏 Next 🎥🎥🎥🎥tunasubiri shemeji mpya kuwachwa kuacha kawaida mwacheni mama yake fantasi🤔Juma wacha uongo uliringa nalo hilo fake Renger dotto magari anasema bado wadaiwa kikoba jumaaa🤪🤪

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 Před 8 měsíci +2

      Kweli ukimpenda mtu huoni baya lake .... yaani aendelee tu kuchunguliwa hamna noma...ndio maana huwa tunapenda angalau na sisi tuone CONNECTION zao TUCHUNGULIE....🤣🤣🤣

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc Před 8 měsíci +1

      😂unakichaa

    • @AfricaQueen
      @AfricaQueen Před 8 měsíci

      @@ismailmasoud6001 ndio hayooo😂🤣😂🤣🙌🙌🙌

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 Před 8 měsíci

    Juma anadimpoz inakuja na kupotea kama ya Zari na Muna 😂😂😂

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 8 měsíci +1

    Juma bila kumsema Misa hana raha.

    • @Zuu673
      @Zuu673 Před 8 měsíci

      Waandishi wa habari wenu ndo wanapenda izo Mambo sio juma

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 8 měsíci

    Juma leo umekazana kama mwanamme hujajisahau

  • @user-yh2gy1lp7w
    @user-yh2gy1lp7w Před 8 měsíci

    Nataka kujua kwaza uyo juma lokore nimwanaume awo???

  • @maryamalhinai3392
    @maryamalhinai3392 Před 8 měsíci

    Huyu Juma wivuuu tu
    Unamsumbua. Ndo Mana hafanikiwi

  • @user-un3xj4mx5n
    @user-un3xj4mx5n Před 8 měsíci

    Chizi uyu eti spotify wanatokea wapi

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q Před 8 měsíci

    Wee kuma toka lini ukamsifia harmo kwenda huko

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před 8 měsíci

    Kwa Ally kamwe ilikua kiki lkn kwa Kevin sio kiki

  • @fredericafredrick242
    @fredericafredrick242 Před 8 měsíci +1

    Diamond kacheza sana hivyo na Zuchu acha makasiliko na wivu

    • @firdaussheikh4817
      @firdaussheikh4817 Před 8 měsíci

      😂😂😂😂😂 kweli pia huyu zuchu tena deal aliambiwa ntakufanya successful but nikuchezee😂😂😂😂

    • @Sunflower001-xt3ou
      @Sunflower001-xt3ou Před 8 měsíci

      ​@@firdaussheikh4817yani akili za kimaskini mnadhani kila mtu malaya.zuchu kazi zake ndo zinamuweka mjini, alikuwa anapendwa hata kabla ya kuwa na simba kwa mahusiano.

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e Před 8 měsíci

    Hapo umeongea penzi la watu wafupi uwaga alivutiiii😂

  • @saidybhoky-lb7hg
    @saidybhoky-lb7hg Před 8 měsíci

    wivu utakufa nao maana hulali kwasabb ya hamonize na hamisa

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Před 8 měsíci

    Inter view leo paambee😂😂😂😂juma aki ww mbea sana unachokonoa chokonoa sanaaa😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 Před 8 měsíci

      Ndivyo walivyo wasenge hakuna cha ajabu hapo Mwajuma anafanya kazi yake.

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e Před 8 měsíci +1

    Mdogo wetu wema sepetu alikua anatoa ugari kachumbali dagaa bamia

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa Před 8 měsíci +1

    Huyu jamaa simuelewi na sijawahi kumpenda mm.
    Ni kichefuchefu yani💩

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 Před 8 měsíci

    Huyu mama Juma apenda sana kuingilia wanawake yupo na shida

  • @nasrimohamed7556
    @nasrimohamed7556 Před 8 měsíci

    Sema tuache masihara ile mapopo n hatar sn

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q Před 8 měsíci

    Na mondi anavyo nyonyana ulimi na zuchu hadharani hiyo imekaaje

  • @nellymtambo8432
    @nellymtambo8432 Před 8 měsíci

    Biashara ya mchele iliisha kumbe 😂sawa bhana

  • @hassanndauka9685
    @hassanndauka9685 Před 8 měsíci

    Yy mbona anatabia mbaya ya kupakatwa na ajisemei

    • @tiijuma795
      @tiijuma795 Před 8 měsíci

      Jaman ni kwel hii kitu ee??😮😮

  • @firdaussheikh4817
    @firdaussheikh4817 Před 8 měsíci +7

    Alimtukana tanasha na leo ako kwa diamond tena hamisa mobetto? Hamisa is very successful woman 😂. He's making watu wamchukie lakini hawezi bcoz hamisa alichukiwa sana na watu wa diamond but Allah anamenua juu. Ni vizuri kua na waadui😂😂😂🎉💃💃💃

    • @azizaissa4010
      @azizaissa4010 Před 8 měsíci +1

      Tanasha Yuko Kwa daimond Gani 😅😅😅

    • @BerthaModest
      @BerthaModest Před 8 měsíci

      Ajawai jum mkumtukn tanash never

    • @muhiaray1932
      @muhiaray1932 Před 8 měsíci

      @@BerthaModestwapi huyu alisemaka Tanasha alikua hajui kitu kitandani😂😂😂

    • @Sunflower001-xt3ou
      @Sunflower001-xt3ou Před 8 měsíci +1

      ​@@muhiaray1932 hawa ndo kazi yao wanawapenda wanawake wa simba baada ya kuachana naye, walikiwa wanamtukana zari,tanasha,hamisa na zuchu saa hii,sijui wanamtakaga simba wenyewe wapuuzi sana.

    • @MisttaFrankie
      @MisttaFrankie Před 8 měsíci

      Successful in changing men

  • @David_keyan
    @David_keyan Před 8 měsíci

    Namkubali huyo dada lakini tabia ya kuhoji mashoga aache

  • @saudamdoe
    @saudamdoe Před 8 měsíci

    Juma naomba nipeleke huko kwa mganga wako🤣 kuna toto la mtu nataka nikamuweke kwenye chupa🤣🤣

  • @fbr5113
    @fbr5113 Před 8 měsíci

    ILA YULE DADA NAE ANAJIDHALILISHA KILA SIKU KUTUBADILISHIA WANAUME NI KWELI ANA TATIZO MAANA KASHINDWANA NA MABWANA WENYE HELA MJINI HAPA KAMA MAJIZO ALIVYO MPOLE BASI TENA INABIDI AJIREKEBISHE SANA APATE MUME AOLEWE APATE HESHIMA

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q Před 8 měsíci

    Kajala angekuwa anamchukia konde angemtumia nauli mamaake konde ili aje amuombee msamaha choko wewe uongo tu fyuuuuuuuu

  • @LilianNyagali-zu5ex
    @LilianNyagali-zu5ex Před 8 měsíci

    M nakupenda juma unanipa raha umbea unauweza

  • @user-vv1te9fu8q
    @user-vv1te9fu8q Před 8 měsíci

    Una wazazi wewe wako wapi? Kenge wewe wazazi wako wanakula kimba wewe unajimwambafai mjini msenge baridi wewe fyuuuuu

  • @shirfadigubike7920
    @shirfadigubike7920 Před 8 měsíci

    Wanaume wa sasa wengi wanapeda kupita tu.sababu wazuli ni wengi😢

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Před 8 měsíci

    Huyu ni mwanamke sio mwanaume ni shoga tu kwaasie Jua ataona mwanaume uyu ni shoga