JUMA LOKOLE AMUWASHIA MOTO BABA LEVO KISA NYUMBA YA MWIJAKU / ANAMUONEA WIVU / NYUMBA YAKE NZURI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • MTANGAZAJI WA WASAFI FM NA WASAFI TV JUMA LOKOLE AMUWASHIA MOTO BABA LEVO KISA NYUMBA YA MWIJAKU NA KUMTETEA MWIJAKU / ANAMUONEA WIVU NYUMBA YAKE NZURI TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
    #manaratv #jumalokole #diamondplatnumz #mwijaku #babalevo

Komentáře • 46

  • @meereggfd5574
    @meereggfd5574 Před 7 měsíci +8

    Leo juma kaongea ukweri kbx❤❤❤❤

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 7 měsíci +5

    Nimejikuta nampenda juma leo

  • @baoussenesombair8007
    @baoussenesombair8007 Před 7 měsíci +6

    Juma 2024 vou a sistir suas intervista . Gud big juma na mwaka u wew jumy.

  • @caissemalatinho252
    @caissemalatinho252 Před 7 měsíci +5

    Leo Juma uko sahi

  • @songakulwajames642
    @songakulwajames642 Před 7 měsíci +10

    Leo juma umeongea vizuri sana

  • @elizamapunda6043
    @elizamapunda6043 Před 7 měsíci +13

    Umeongea ukweli juma kwako ni kwako atapaweje

  • @abuumkumbalu9123
    @abuumkumbalu9123 Před 7 měsíci +20

    Akuna baba mwenye gari ila siku zote kuna baba mwenye nyumba kwa mtu mwenye akili timamu lazima aanze na nyumba kwanza then after unaweza nunua gari

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 Před 7 měsíci +2

      Mawazo yko binafsi nayakubali

    • @kelvsss3824
      @kelvsss3824 Před 7 měsíci +2

      Baba mwenye nyumba kama unapangisha mzee kama unakaa na familia yako n baba tu

    • @belak999
      @belak999 Před 7 měsíci +1

      Hela ya gari haijengi, hayo ni mawazo ya asie na nyumba wala gari

    • @Bahati_francois
      @Bahati_francois Před 7 měsíci

      😂😂 labda gari za kibongo 😅😅​@@belak999

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 Před 7 měsíci +1

      @@kelvsss3824 ukihitaji gari ya dhamani gharama yk yawezekana kujenga nyumbani ni mtazamo na pendekezo lako

  • @abelnegomakata-vf2qb
    @abelnegomakata-vf2qb Před 7 měsíci +6

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před 7 měsíci +2

    Juma umenifurahisha mno Leo

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Před 7 měsíci +13

    Hapo juma umeongea ukweli mwenye chake tumupe hongera hata kama ni kidogo

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel Před 7 měsíci +1

    Wah mupitie na kwangu wapenzi ❤❤❤

  • @Alli-ol3lv
    @Alli-ol3lv Před 7 měsíci +3

    ❤❤

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před 7 měsíci +1

    Juma umeongeya point kubwa sana una uelewa mapana sana

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu Před 7 měsíci +1

    Juma umenena ukweli 🎉

  • @harrishussein6992
    @harrishussein6992 Před 7 měsíci +13

    Kwa mara yakwanza juma nimekukubali umeongea fact akili kubwa sana

  • @MCNgakungaJunior
    @MCNgakungaJunior Před 7 měsíci +3

    Nyumba inategemea ni ya sh ngapi?Je gari unayoendesha inaendana na gharama ya nyumba unayotamani kumiliki?unaweza kumiliki gari kurahisisha mambo yako the ukawa unajenga.

  • @johasaeed391
    @johasaeed391 Před 7 měsíci +3

    Jumaa umeongea kweli kabisa ila gari isiwe ya kutembelea tu iwe ya kukuingizia pèsa

    • @mohamedally5225
      @mohamedally5225 Před 7 měsíci

      Wabongo wengi hawana akili uwe na gar kwanza Kisha ndo nyumba hizo akili matope nyumba ndo muhim kuliko gar

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 Před 7 měsíci +1

      @@mohamedally5225 alafu gari alilo nalo la kutembelea kaongea vitu vingine vya maana ila nyumba mwanangu aisee mimi ndo inanitesa mpaka sasa ningrkilia gari zamani sana ningekuwa nalo niliwaza ntaishi kwa nani nyumba ya kupanga 😄🤣 nikakakataa lol nalizia kajumba kangu kisha gari itafuaata tena ya kuniingizia pesa kila siku

  • @halimaoman8726
    @halimaoman8726 Před 7 měsíci

    Juma umependa ulivyosema maswala ya jumba ya mwijaku kweli unachokisema alicho nacho anacho ata kama kidogo ni chake

  • @peterdavid4230
    @peterdavid4230 Před 7 měsíci +1

    Shoga promax😂

  • @goodluckSanga-
    @goodluckSanga- Před 7 měsíci +2

    Kuna mda juma kama unaongeaga vitu vya msingi ivi

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před 7 měsíci +2

    Kijana umeongea vizuri sana.kijana mwijaku kafanya vizuri sana hata kama ni kibanda cha wakala.wanaoongea waonyeshe vya kwao.

  • @marsfouad7224
    @marsfouad7224 Před 7 měsíci

    Kwenye gari mwanzo umefeli, lakini kwenye mwijaku kujitahidi ni jambo na kukubali hapo ume ongea point, hata kama ni ni 50 by 50 plot but ni chako na ni lazma kujivunia

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 Před 7 měsíci +1

    Kumbe Juma una watoto na walitoka ndani yako😮😮😮

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat Před 7 měsíci

    Mimi bora nijenge kwanza usafiri nitapanda daladala😂😂😂😂 mpaka nipate gari inshaallah

  • @bukuruhassan9751
    @bukuruhassan9751 Před 7 měsíci +1

    Uyu jamaa juma lokole nimekuwa simkubali Ata kidogo ila leo ameongeya kama mwanaume

  • @user-nm4yt1of7t
    @user-nm4yt1of7t Před 7 měsíci

    Ujamaa mjinga sana we unaweza kulala kwenye ngari 😂😂😂

  • @violethbosha1666
    @violethbosha1666 Před 7 měsíci

    Juma kumbe wakati mwingine zimo

  • @zamzanimakundi2546
    @zamzanimakundi2546 Před 7 měsíci +2

    Tukisha kuona na gari ufahamu wako ni mkubwa?huna akili jinga ww!

  • @armandoleonardo6966
    @armandoleonardo6966 Před 7 měsíci

    Hoje Juma deixou de ser gay e falou a verdade. Congratulação pra juma🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Před 7 měsíci +3

    Maimatha anakaa kisemvule

  • @user-zi9zt5dj8n
    @user-zi9zt5dj8n Před 7 měsíci +6

    kumbe huyu jamaa anakuaga anakilii cku mojamoja

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 Před 7 měsíci

      Namwijaku aliambiwa hivo kumbe anaakili

    • @adaboychibu1659
      @adaboychibu1659 Před 7 měsíci

      Huwa akikosaga uboo tuu ndo huwa mwehuu

  • @alexkalonga5323
    @alexkalonga5323 Před 7 měsíci +1

    Uyu dogo bwege Sana, hasa we una kazi gani ambayo itakufanya upumzike

  • @zainabuhamisi576
    @zainabuhamisi576 Před 7 měsíci

    Kuna muda kichwa chako kinachaji

  • @baoussenesombair8007
    @baoussenesombair8007 Před 7 měsíci +1

    Juma 2024 vou a sistir suas intervista . Gud big juma na mwaka u wew jumy.