Kwa jina naitwa sospeter tibezuka napenda kutuo maon kwenye wimbo huu, kiukweli umenigusa sana hivyo hongoren kwa wimbo mzuri nawapenda sana Mungu awabariki sana
The bassist (mr kazire ) asee u guy ufike mbinguni aseee i hv repeating this album the improvisation n arrangement are too epic for bass lovers God bless u essence of worship 🥲❤️🔥
This is not music, it's an art of ministering and hence should be taken to archives for remembrance. If you're watching this in 2080, know Essence of Worship saved us from depression in our times.
Always a joy seeing young people having fun as they praise God. This is beautiful. The lead singers, the instrumentalists, the audience ... It's electric!
Nani Kama wewe Mungu! Tunakutukuza, tunakuinua maana hakuna Kama wewe!!! Baba unastahili sifa na utukufu!!!! Mungu awabariki watumishi kwa kumwinua Mungu wetu, Haleluya!
Essence Essence Essence nimewaita Mara 3 hii ni zaidi ya baraka kuwa na kundi kama lenu Tanzania nawapenda sana na I hope one day tutakutana katika huduma hizi za kusifu na kuabudu
Quick analysis. You have 155,000 subscribers, 230,000 viewers within four hours. Imagine how big is you audience. This is super church. Keep on doing it, God will reward you.
thannkyou much for igniting my soul with a nice melody of praise i wish you will minister live in Nairobi for aday is coming am a staunch follower and fan of essence of worship 🙏🙏🙏🙏@essenceofworship
Essence you such a blessing to many and specifically me and the way you guys inspire my daughter with your songs.....I feel like travelling all the way to Tanzania just to be in that presence......much love from Kenya🇰🇪....I love you guys...baraka
The song is about the God praise “ Tunakuza”=we bless you “Tunakuinua”= we lift you “Wewe ni mwema kwetuuu”= you are so good to us So the full verse is like this “We bless you, We lift you, You are so good to us” “Wewe ni mwema baba heee”= you are so good father hee Now sing😂
Wewe ni mwema Mungu wa Abraham, Mungu wa Isaac na Mungu wa Jacob. Asante kwa baraka, wema na fadhili zako. Mungu awabarikiwe na kuwalinda watumishi🙏🏿❤🇹🇿🇬🇧
Kwa jina naitwa sospeter tibezuka napenda kutuo maon kwenye wimbo huu, kiukweli umenigusa sana hivyo hongoren kwa wimbo mzuri nawapenda sana Mungu awabariki sana
😅😅😅😅weeeeeh one word to the drummer and the bassist men🔥🔥🔥
DRC musicians are the best ouf thanks for sharing your talent
A moment of silence to honor the drummer. Bless you
Ameeen....heard some bass progression from Deborah lukalu 😊😊🔥🎸🎸
May God bless you all whoever reads this comment may God open your doors ...Tunakutuza bwana
Hallelujah
Amen Amen
Amen amen i receive in Jesus name
Ameeeen
Amen,I receive it in JESUS NAME
Anyone reading this comment fight the good fight keep the faith and let's make sure we meet in heaven where such worship will be our norm shalom
The bassist (mr kazire ) asee u guy ufike mbinguni aseee i hv repeating this album the improvisation n arrangement are too epic for bass lovers God bless u essence of worship 🥲❤️🔥
Huyu baba mliefanya nae kollabo anavocal nzuri mno yenye upako salute to musicians too🔥🙌🏽
This is not music, it's an art of ministering and hence should be taken to archives for remembrance. If you're watching this in 2080, know Essence of Worship saved us from depression in our times.
Ingawa bdo wengine hawajaelewa lkn amini , usiamini kumtumikia MUNGU mwenye VYOTE ni RAHA SNA moyoni na mwilini.... Safi SNA essence of worship..
I thinks Africans will be leading especially Praise in Heaven. 😊
Mungu azidi kuwainua na Vipaji vyenu Essence of worship nafatilia Kila wimbo Wapiga vyombo yaan Munaupiga mwingi hongeraa💪💪
Malaika ndo anapiga mana sio kawaida
Oooooh!NANI KAMA YESU SIMBA WA KABILA LA YUDA 🔥🔥🔥🔥
UTUKUZWE MILELE
African praise is in another level
Always a joy seeing young people having fun as they praise God. This is beautiful. The lead singers, the instrumentalists, the audience ... It's electric!
Wewe ni mwema baba hata katika maisha yangu nmekuona ukiwa mwema
Yesu utukuke ndani ya maisha yetu na uzidi kuongezeka saana
Nani Kama wewe Mungu! Tunakutukuza, tunakuinua maana hakuna Kama wewe!!! Baba unastahili sifa na utukufu!!!!
Mungu awabariki watumishi kwa kumwinua Mungu wetu, Haleluya!
Drum ziko sawaa congrats that guy
Essence Essence Essence nimewaita Mara 3 hii ni zaidi ya baraka kuwa na kundi kama lenu Tanzania nawapenda sana na I hope one day tutakutana katika huduma hizi za kusifu na kuabudu
Quick analysis. You have 155,000 subscribers, 230,000 viewers within four hours. Imagine how big is you audience. This is super church. Keep on doing it, God will reward you.
Waaah the girl and stephen duuuu mmeuaaa...May God bless you..Thanks essence kwa kutubariki
Ni mungu mwema mwema mwema Sana Sana mungu no mwema❤️ from 🇰🇪
Wimbo mzur sana
Wenye uwepo wa kusifu katika Roho
Mbarikwe sana watumishi wa Mungu daima moto wa madhabahu utawaka usizimike
Wimbo mzuri san barikiwa kwa huduma
thannkyou much for igniting my soul with a nice melody of praise i wish you will minister live in Nairobi for aday is coming am a staunch follower and fan of essence of worship
🙏🙏🙏🙏@essenceofworship
The bassist and the drummer. The whole arrangement. Woooow ❤❤. Blessings
Guys you realy bless me the spirit of God was in you were composing thi song
this song on another level the lady soloist
Wewe ni mwema kwetu, unatutendea makuu na ya ajabu. Tunakutuza, pokea sofa za mioyo yetu. Amen.
Akatutoa chini, akatuweka juu, ametutoa juu ametuweka kileleni.🙌🙌🙌🙌
Love from luo nyanza siaya wabarikiwa
Njonjonjo uelezeee usimulie
Great work instrumentalists. Glory to God❤🔥
Nyinyi ni wa Baraka sana Essence of Worship... organize one day you come with this drummer to Kenya
I would really like to know the name of this drummer and his social handles i am a drummer and i really love the way he plays
One of the all time seasonal praise songs to listen over and again❤
Nyimbo zenu zibanibariki sana Mungu aendelee kuwatumia
Fantastic, hongera mtumishi Malilo & the essence for the good praise 🙌
I pray one day you come to our church in Uganda
I missed the signature of this drummer. Amazing music spirit lifting
That servant of God up there 🥁.🔥🔥wow
#mutuashi Congolese groove 🥰🥰🥰
Tunakutukuza ,tunakuinua haleluyaaaa
Kwa Yesu sitokiiii 🇰🇪 imefika
Tunakutukuza mungu wetu
How I wish this would come to Doha
Tunamshukuru Mungu kwa kazi nzuri mnayofanya kulihubiri neno la Bwana kwa njia ya Nyimbo za kusisimua. Mungu awajalie viwango vingine.
Astahiliye kutukuzwa na kuinuliwa Mungu mwema kwenye maisha ya kila mwanadamu.
Hit after hit🔥🔥🔥
Hii august nayo tumefraaai.
God bless you fam 🇰🇪🇹🇿
Sebene haijawahi kumuacha mtu salama... 😀😀😇😇😇😇🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌.... Powerful song....
Essence you such a blessing to many and specifically me and the way you guys inspire my daughter with your songs.....I feel like travelling all the way to Tanzania just to be in that presence......much love from Kenya🇰🇪....I love you guys...baraka
Amen amen hakika tumtukuze pamoja nimepend sana mmebalikiwa essence of worship mungu azidi kuwa pandisha juu milele na milele amen
Woooh our best learder dr gwamaka and all essence of worship your so better
Hii imeweza sana GOD BLESS YOU ESSENCE OF WORSHIP MUNANIBARIKI SANA NA KUNIPA MOYO ZAIDI NA KUIMBA SONG ZENU 🎵
Perfect 'n creative voices🙏
Mmeinuliwa kiwango kingine.
(Apst Vincent Kibege. South Sudan)
From Nigeria🇳🇬 Please add the lyrics as subtitles and the translation in English
The song is about the God praise
“ Tunakuza”=we bless you
“Tunakuinua”= we lift you
“Wewe ni mwema kwetuuu”= you are so good to us
So the full verse is like this
“We bless you,
We lift you,
You are so good to us”
“Wewe ni mwema baba heee”= you are so good father hee
Now sing😂
@@nicromezb 🤣🤣🤣
I love you,I wish I could join you
Waooh big up mate Stephen Malilo!!🙏🏼🙏🏼 God bless you brother
Wow haki nimewapenda mungu awatendee mema mabarikwe kwakumtukuza mungu wabinguni
Good job. More grace to you.
Amen Tunakutukuza tunakuinua wewe ni mwena Yesu
How many times am I gonna listen to this🥺🔥🔥🔥
Nimebarikiwa na huu wimbo jamani yaani nahisi furaha nikiskiza
Mbarikiwe🙏nanyi pia nawapenda 💙💙
Top at de top
Allelluyah ,,, Kamwe Simwachi Mungu wa Mbinguni kwa upendo wake kwetu kila siku
Powerful praise song love it
Wow! Kenya is celebrating you guyz. Keep on going.
Wewe ni mwema Mungu wa Abraham, Mungu wa Isaac na Mungu wa Jacob. Asante kwa baraka, wema na fadhili zako. Mungu awabarikiwe na kuwalinda watumishi🙏🏿❤🇹🇿🇬🇧
Diana Mungu azidi kumtumia kana anavotaka huyu dada..ananibariki mno
Tunakutuza bwana... Wewe ni mwema 🙌
Yes yes more grace ministers of the Lord. Keep the fire burning 🔥. From 🇰🇪
I'm blessed and I'm representing 🇰🇪. I can c we are so many here. 🙏👏👏👏
From Europe - originally
from Kenya.. Now in Netherlands loving and enjoying and being so so much blessed... Yesu anaweza yote.. amen and Amen 🙏 🙌 ❤️
lets worship HIM who lives forever
Amen nyimbo Sana ipo Vizuri Sana sana
God bless you team 💥 what's a nice song..... Tunakutukuza
Wow am blessed with the worship
From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 may the lord bless and lift up your ministries....
czcams.com/video/1vQ1Hp6fJ7g/video.html
Utukufu apewe Mungu, mbarikiwe sana
Wooow 🔥🔥🔥🔥
Mbarikiwe Sana kwa kutubariki.
Kwa Yesu sitokiii kwa Raha hiii.
Woow..the basist is on another level..to God be the glory
im blessed too thats for the glory of the most high God.
Hallleluuuujah 👏👏👏👏👏 kwa Yesu sitoki🔥🇰🇪
The bassist at 11:51🙌🙌🙌💥💥
13:18
You picked that part too from Deborah Lukalu’s song 😊😊
Can't get of the essence of worship, every time Songs that give attribute to our God.
Amen
U Guys make my morning every day,may God continue blessing this Choir
ni God manzy
Mmejua kunibatki jamn,Mungu aendelee kuwawezesha.
My all time favorite worship and praise team.Much love from Kenya 🇰🇪😘😘😘😍😍😍❤️❤️❤️
Song limetulia,big up to the bassist,he knows how to play the song,not good,but to the best
Mbarikiwesana kikundi hichi cha uimbaji nawaombea kwamungu mfikishe subscribe 10M ili kazi ya bwana ipate kuendelea mbele
Mungu awabariki vijana Hawa wapate subscribe 10M
Sio Siri dav 🥁🥁 duh anapiga poa saana
NICE MUSIC 🎶
Just listened again and am blessed woooow 👏👏👏
Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya Hareruya
Amîna sana!! Nafulahia hiii choir,mbalikiwe!!
Bro Stephen Malilo🙏the voice is lit
Glory be to God
Tunakutukuza ewe bwana... Wewe ni mwema kwetu... Really amazing masterpiece.... Much love from USA
czcams.com/video/1vQ1Hp6fJ7g/video.html
Tunakutukuza 🥳🥳🥳 beariful song
Sitoki kwa YESU...
Thank you for enriching & edifying my heart through this masterpiece✨. So much all the way from Kenya 🇰🇪.
czcams.com/video/1vQ1Hp6fJ7g/video.html