MAZINGE AFUNGUKA KWA NINI MABALAA YALIWAKUTA MAHAKIMU MAPOLISI WOTE WALIOMFUNGULIA KESSY MIAKA HIYOO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2024
  • Saimu Gwao Online Tv ni chanell inayojihusisha sana na vipindi vya dini vyenye mafunzo kwa jamii na matukio tofauti yenye manufaa Tunapatikana Masjid Mtoro Jijini Dar Es salaam. Kwa mawasiliano zaidi 0713471090

Komentáře • 47

  • @kassimjuma6151
    @kassimjuma6151 Před 26 dny +11

    Moja kati ya masheikh wanao lingania Dini ya Allah ambae na mpenda kwa moyo wangu wa dhati juu ya hili basi ni sheikh Mazinge Allah amuhifadhi

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 Před 24 dny +2

    Mashallah Mazinge kofia mzuri akonaroho safi Allah akueke akufungulie yakheri na baraka Inshallah na nyote mulokuwa pamoja twa mpenda kwa Ajli ya Allah

  • @user-vi8sz5zo4d
    @user-vi8sz5zo4d Před 27 dny +2

    Nakupenda sheikh Mazinge kwa ajili ya Allah. Nakusukiliza from Cairo Egypt. Nakuombeya Allah muweza akubali dua yako na uende kuhiji.

  • @AliJuma-go4rc
    @AliJuma-go4rc Před 26 dny +2

    Allah akupe umri mrefu Sheikh Habib Mazinge ❤❤❤❤

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Před 24 dny +1

    Sheikh Mazinge yupo vizuri sana kwa kazi ya dini

  • @MamaP-ro2xw
    @MamaP-ro2xw Před 26 dny

    Assalaam aleikum mashekhe wetu ma shaa Allah mungu awastiri awajaalie jannatul firdaus ,sheikh mazinge njoo mombasa uwanja wa tononoka uwafunze hawa ndugi zetu kwa adam njia ha yaki na ya kweli mbele ya Allah shukran

  • @planetanimals9547
    @planetanimals9547 Před 26 dny

    Mashallah sheikh mazinge Allah akupe umri mrefu na afya njema

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo Před 20 dny

    Babu Babu nakupenda kwajili ya mungu

  • @zaharanituwano6615
    @zaharanituwano6615 Před 25 dny

    Namlingania shekh Mazinge aachie ndevu asizinyoe ndivyo 2me amrishwa na Mtume we2 s.a.w. nakuvuga ndevu ni (Wajibu)lazima nime shafikisha nanyi mkishieni..

  • @user-np1bf6me4u
    @user-np1bf6me4u Před 27 dny +1

    Saimu masuali yako nimependa sana ila huyo ust mazinge akitumiwa pesa kidogo anaidharau mimi na mpenda na fatilia sana mapambano yake napenda ila hakuna alokosa kasoro

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo Před 20 dny

    Yahata mpe 2)13 Tito daa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @allyway999
    @allyway999 Před 26 dny

    Mazinge Allah amekupa IQ kubwa mno Allah akupe kila lakher wallahi

  • @jaystrongmagaboy1633
    @jaystrongmagaboy1633 Před 23 dny

    Sheikh Mazinge nakupenda bure.

  • @zingzong3928
    @zingzong3928 Před 22 dny

    Maashallaah maashallaah

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y Před 24 dny

    MASHALLAH SUBANALLAH ALLAH AKBAR ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jafarimtimkuu
    @jafarimtimkuu Před 25 dny

    Amaashaallah

  • @user-np1bf6me4u
    @user-np1bf6me4u Před 26 dny

    Kumbe kwenda hija ni millioni 10 tu 😮

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh Před 20 dny

    Professor hiyo kilemba au kofia😂😂😂😂mungu awape umri mrefu

  • @sharifahabsi5004
    @sharifahabsi5004 Před 25 dny

    Mashaallah

  • @user-gh4mg2wn8y
    @user-gh4mg2wn8y Před 26 dny +1

    Kaka mazinge ukianzisha account ya mchango wako wa kwenda hija mimi wakwanza kukuchangia takacho jaaliwa ili mradi tu nipate dua zako.

  • @kerosenealimasi8019
    @kerosenealimasi8019 Před 22 dny

    Safi

  • @ismailsoud3634
    @ismailsoud3634 Před 26 dny

    Waislamu, tukumbushane kuwa tunapo zungumza mguso wa maswala ya DINI hapatakiwi mzaha. Rejeleeni aya ndani ya kitabu kitukufu Qur'an na maelekezo ya Mtume Muhammad s.a.w. huto ona penye ucheshi. Mazinge na Gwao. Maswala yanayo husu DINI hapatakiwi mzaha. Simulizi zote tulizo achiwa na Mtume, hakuna za kuchekesha the same kwenye Qur'an. Amesema Mtume kuwa. hakika mini Muhammad ni mfano wa Qur'an na matendo yangu, ukifuata matendo yangu utakuwa umeifuata Qur:an na ukiifuata Qur'an utatenda ninavyo tenda mimi. Muda umekaribia hebu angalieni ile nyota inayo andamisha mwezi je ipo?

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z Před 26 dny

    Mazinge

  • @BuruhaniAdamWawa
    @BuruhaniAdamWawa Před 26 dny

    Professor DD, Tupo Maidha

  • @franciscomtambakuluca2830

    Ndacha bado yupo tz

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 Před 27 dny

    🤣🤣🤣🤣🤣 masha'allah sheikh wetu mpendwa

  • @MisheckSiame-si1yo
    @MisheckSiame-si1yo Před 20 dny

    Babu Babu bwana

  • @Chemba67
    @Chemba67 Před 26 dny

    GWAO, MAZINGE HAITAJI KUANGALIA CAMERA KWAKUA MAZINGE NI MMOJA TU AFRIKA NA SAUTI YAKE INATOA TASWIRA YAKE HALISI NA INATOSHA.

  • @taurehassan7399
    @taurehassan7399 Před 26 dny +1

    Ww waambiea umekwenda hijjah lakn unamuhoji mazinge kifitna mambo ya Pete yahusu Nini ni hyo mada mnayoiongelea?mbona cc waislamu Bdo tuko nyuma?kw stayle hii hatufiki na hatutofika,mnapandikiza chuki wa wahadhiri na masheikh na waumini acheni hii tabia uislam usogee hta kidogo

  • @user-yj5on8cz3e
    @user-yj5on8cz3e Před 27 dny

    😂😂shekhe mazinge hiyo baraka shee au soksi ya kuchujia chai😂😂😂😂😂

  • @mirzah117
    @mirzah117 Před 25 dny

    Kwenye uchawa ndio mnaharibu

  • @fauzishabani2622
    @fauzishabani2622 Před 27 dny

    Bendera chuma mlingoti chuma . Ccm

  • @sautikuu212
    @sautikuu212 Před 27 dny

    Sheikh mazinge analeta mambo ya uchawa

    • @user-np1bf6me4u
      @user-np1bf6me4u Před 26 dny

      Hana mambo hayo kabisa huyo labda humjui vizuri huyo ukimpenda atakupenda naukimuudhi anakurarua bila chenga

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Před 26 dny

      @@user-np1bf6me4u acha kutetea ujinga, sasa hivyo anavyofanya kuna tofauti gani na mwijaku anayewasifia watu ili anufaike?

    • @SaleheAmiry-mx1yn
      @SaleheAmiry-mx1yn Před 26 dny

      Acha maneno machafu wewe

    • @HajiMasmenti
      @HajiMasmenti Před 26 dny

      We ndo chawa bwege ww

    • @sautikuu212
      @sautikuu212 Před 25 dny

      @@HajiMasmenti mapenzi yenu yasiyotumia akili kwa sheikh Mazinge yanawafanya muwe vipofu msiione hata haki, mtu anakosea lakini hamuoni. Hatari sana hii

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 Před 27 dny

    hata salam hajui, ....wabarakatihi. endelea kujifunza

    • @user-mf2ll7nz5g
      @user-mf2ll7nz5g Před 27 dny

      Salamu gani we hasidi

    • @nailaomar4810
      @nailaomar4810 Před 27 dny

      Subahna Allah binadamu mungu atuhidi

    • @user-np1bf6me4u
      @user-np1bf6me4u Před 26 dny

      Huyo profesa eti hajui Salam wewe unamapungufu sibure

    • @sadathboutique6253
      @sadathboutique6253 Před 25 dny

      Acha ujuaji kwani wewe ujawai kukosea matamshi,we ni kajinga

    • @aliakrabi8321
      @aliakrabi8321 Před 25 dny

      @@sadathboutique6253 ukikosea kama una elimu unajirekebisha hapohapo, acha matusi