HOTUBA YA RAIS ENG. HERSI KWENYE MKUTANO MKUU WA MWAKA 2024

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 06. 2024
  • #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
  • Sport

Komentáře • 123

  • @SaidAlly-zi1tv
    @SaidAlly-zi1tv Před 16 dny +16

    Hongera sana team yangu ya familia Babu yanga baba yanga mm yanga na kizazi changu chote yanga

    • @nayopamlimbatv1382
      @nayopamlimbatv1382 Před 13 dny

      Safi sana hii timu kubwa hata mimi babu yangu Yanga,baba yangu,na mimi ni Mwanachama kamili ninaelipia ada kabisa

  • @husseinbachwa8372
    @husseinbachwa8372 Před 16 dny +8

    Raisi wa mahana saana sana... Mi Simba saana ila siwezi kuacha kusema ukweli wewe ni kioo cha mtu yeyote mpenda maendeleo kuweza kujitazama na kujirekebisha...
    Hongera saana kaka, na mwenyezi akubariki saana..

    • @LupimoclinicBlogspotsanitarium
      @LupimoclinicBlogspotsanitarium Před 15 dny

      Hotuba ya mh Engeneer Heris rais wa Yanga,hotuba zako mara nyingi huwa zimeshiba, binafsi huwa najivunia sana kuwama.m/kiti kama wewe Mungu akutunze na Mungu ailinde Yanga yetu Ameen!

  • @bernardgervas768
    @bernardgervas768 Před 16 dny +10

    Tunakuombea maisha marefu rais wetu

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt Před 16 dny +8

    Mr President Engineer HERSI SAÏD YOUR ARE THE BEST 💛💚💯💥🌟💫⭐

  • @paraxedjoseph5174
    @paraxedjoseph5174 Před 16 dny +6

    Good speech from a brilliant president ❤

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před 14 dny +1

    MUNGU ni mwema hongera Sana Engineer Hers kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @user-cx5nf1jv1l
    @user-cx5nf1jv1l Před 16 dny +3

    Big presdar,hongeraaa sana sana hakika kaz yako inaonekana.keep it up bro!!.

  • @esterkibuta7330
    @esterkibuta7330 Před 15 dny

    Hongera raisi wetu wa yanga uko vizuri mbunifu mchapakazi busara nyingi da hongera sana tunzidi kukuombea ufanye zaidi ya hayo.

  • @EllyVicent-om6fz
    @EllyVicent-om6fz Před 16 dny +1

    Hongera sana timu ya udogon mwangu ha di sasa ni mtu mzima asante sana young africans

  • @HusseinBabuwakichina-xb1bu

    Kitengo cha habari mko vizuri kongole kwa Ally kamwe na jopo lako lote

  • @user-ix3tl2xj7t
    @user-ix3tl2xj7t Před 16 dny +1

    manara ndoanafaha kwenye kitengo hicho ata viwanja avijahe raisi wetu na tunafanya vzur manara washirikian na alikamwe tunawapenda ote🎉🎉

  • @KinanaManjura
    @KinanaManjura Před 16 dny +5

    Engineer Tunakuombea tufike mbali❤❤

  • @ErastoKibus
    @ErastoKibus Před 16 dny +3

    Mungu aibariki yanga

  • @SinzaRobert
    @SinzaRobert Před 13 dny

    Dah mungu atusaidie wana yanga

  • @MbeziAthumani
    @MbeziAthumani Před 14 dny

    Nakupongeza San injinia na mungu akulinde na WAbaya

  • @sumaidgasto4721
    @sumaidgasto4721 Před 16 dny +4

    Kumbe yanga ipo na watu nyuma yake

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 Před 16 dny +2

    Allaah Akbar

  • @YonahMwamanenge-hy7fe
    @YonahMwamanenge-hy7fe Před 16 dny

    Asante Rais Eng Hers Said huna baya endelea kuchapa ya kujitolea na Mungu atazidi kukubariki,

  • @ShomariHamisi-vn1xl
    @ShomariHamisi-vn1xl Před 14 dny

    Hongera Eng.Herisi kwa uongozi imara na mazubuti,yanga oyeeeeeeeee!!

  • @GodfreyMidello
    @GodfreyMidello Před 7 dny

    This what we call mind focus. Eng. HERIS.

  • @ZenaisKimario-dp1ox
    @ZenaisKimario-dp1ox Před 16 dny +3

    Mungu akuweke miaka mingi

  • @AnnastaziaDominick
    @AnnastaziaDominick Před 16 dny +3

    Naipenda sana timu yangu🎉🎉🎉🎉

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 Před 16 dny +1

    Mm ni Simba ila Hawa jamaa wamefika mbali, kzr Zaid mambo yanaenda Kwa weredi sana, duuu Simba yangu

  • @user-ce6un5ew7n
    @user-ce6un5ew7n Před 16 dny

    😮Hongera sana kwa hotuba nzuri yenye matuini makubwa na maendeleo kwa timu yeti hongera sana raisi wa timu ya yanga

  • @user-nl6je3px7b
    @user-nl6je3px7b Před 16 dny +5

    Mtu making sana

  • @FurahaGolden
    @FurahaGolden Před 16 dny +4

    Najivunia Kia mwananchi 💚💚💚💚

  • @jumamustapha8254
    @jumamustapha8254 Před 16 dny +1

    Jamani mimi sina kadi lkn ni kipenzi cha yanga tangu utotoni kwangu, nakumbuka nilinyimwa maandazi na kaka yangu kisa sikukubali kushabikia simba. Enzi hizo kijjn kulipata andazi hadi litoke mjini.

  • @LemomoRiano
    @LemomoRiano Před 16 dny

    Hongereni sana wanainchi wa yangu kwa kufanya maturity kweny mkutano mkuu wa mwaka ila mimi sijafutiwa na rasi alivyo simama kwa wakati mrefu mimi Nanna ingependeza sana uwe na mwakilisha ili usimame kwa dakika za heshima japo kazi nzuri ila iwapo utakuwa na wakati mrefu ya kuzungumuza hataka Mazur kiasi gani. Tuatambua kuwa wewe ndio unaetenda ❤

  • @MossesKasanie
    @MossesKasanie Před 15 dny

    Hongera xana team yanga ya family Babu yanga baba yanga mam yanga na kizazi changu chote yanga

  • @user-ce6un5ew7n
    @user-ce6un5ew7n Před 16 dny

    Yanga tutachukuwa makombe miaka kumi mfululizo mpaka mokolo waseme poooo raisi wetu umefanya kazi kubwa sanaaaa hongera sanaaa

  • @RamadhaniIghondo
    @RamadhaniIghondo Před 16 dny +3

    Safii sana

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Před 15 dny

    Bi Fatma Karume 🎉❤❤❤

  • @maxwellmarko7007
    @maxwellmarko7007 Před 16 dny +3

    Uyu ni rais asee

  • @user-ee1ek7uu2r
    @user-ee1ek7uu2r Před 15 dny

    hongereni chama la wana👍👍👍👍👍

  • @JafetiTngogoNgogo
    @JafetiTngogoNgogo Před 16 dny +4

    good

  • @remidiuswilliam7494
    @remidiuswilliam7494 Před 16 dny +1

    Hakika Uongozi tunao,,ila wanachama tunazingua tuamke tuko nyuma sana

  • @user-lb1wo6ch1p
    @user-lb1wo6ch1p Před 14 dny

    Nice speech...

  • @chisongastephen7299
    @chisongastephen7299 Před 16 dny

    Tuna Imani na wewe Rais wetu ya kwamba utatufikisha Inchi ya AHADI

  • @user-xo5nv4go2e
    @user-xo5nv4go2e Před 16 dny

    Mungu akubaliki rais wewe unatifaa

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před 15 dny

    ❤❤❤❤jongera sana yanga ❤❤

  • @michaelmabula7444
    @michaelmabula7444 Před 16 dny

    Eng .
    Upo vizuri sana
    Ila tengeneza mfumo ya task force ya matangqzo kupitia TV,Radio,na kila siku ya match kuwepo na hamasa ya kusajiri wanachama wapya .

  • @MossesKasanie
    @MossesKasanie Před 15 dny

    Naipenda xana yanga ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @FurahiniMbise-cb6uf
    @FurahiniMbise-cb6uf Před 16 dny +1

    Big brain 💪

  • @LukasVakule
    @LukasVakule Před 16 dny

    🎉tupambane tujenge uwanja wetu yanga.mbele mbele.daima.

  • @RaphaelMayoro
    @RaphaelMayoro Před 16 dny

    Nipo pamoja nanyi asante

  • @KalsonLameck
    @KalsonLameck Před 16 dny

    Mungu awabariki viongozi wetu

  • @adrianobihabwa3464
    @adrianobihabwa3464 Před 16 dny +1

    Jamani yanga mtatuua 😂😂😂😂

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba7874 Před 15 dny

    ❤❤❤shere ilifana kweli

  • @user-wb5bh9hy1l
    @user-wb5bh9hy1l Před 16 dny

    YANGA HAPO HAIJAPATA HASARA SEMINI SERIKALI IMEPATA HASARA LAKINI HIYO SIYO ISHU ENDELEENI TU❤❤❤❤

  • @VelestinaElius
    @VelestinaElius Před 16 dny

    Wow❤❤❤

  • @rehemakotinjo7465
    @rehemakotinjo7465 Před 16 dny

    Yanga tamuuu💛💚🖤

  • @HofuLipamba
    @HofuLipamba Před 16 dny

    Yanga imenoga mpaka basi 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @aploniamichael
    @aploniamichael Před 15 dny

    Mungu ibarik yanga

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 Před 16 dny +1

    Kwani duniani kuna timu inayoleta raha kama Yanga?

  • @abdoulmaridadi4868
    @abdoulmaridadi4868 Před 16 dny

    Safi tupo pamoja eng

  • @unclegmihale455
    @unclegmihale455 Před 15 dny

    🔥🔥💚💚💛💛💪

  • @ImanueliMwakajinga-ry8ig

    Maisha marefu kwako Mr president

  • @dicksonmmary6140
    @dicksonmmary6140 Před 16 dny

    Mimi Dixon Mmary ni Yañga Lialía"

  • @paulnzilo7252
    @paulnzilo7252 Před 16 dny

    More 💕💕 engineer unastahili kuwa rais wa Taifa letu pia.

  • @flavianapeter494
    @flavianapeter494 Před 16 dny

    Injinia heri ya tumbo lililo kuzaaa🙏

  • @KennedyVorogwe
    @KennedyVorogwe Před 16 dny

    Mtu wa maana sana engineer

  • @user-tp7ui4df8j
    @user-tp7ui4df8j Před 9 dny

    Naomba timu ya wanawake,simba wanatamba sana malizani utawala wao kama kaka zao

  • @Charlesmaope
    @Charlesmaope Před 16 dny

    Safi sana

  • @AmtaB4cussAmtaB4cuss
    @AmtaB4cussAmtaB4cuss Před 16 dny

    Daima mbele Nyuma mwiko

  • @veredianamassawe4935
    @veredianamassawe4935 Před 15 dny

    👏👏👏

  • @MzeewaYanga-wj4tt
    @MzeewaYanga-wj4tt Před 16 dny

    🎉🎉🎉mr president

  • @HamisiAthumani-on4iw
    @HamisiAthumani-on4iw Před 16 dny +1

    ❤❤❤🎉

  • @DudeMtu2-dg1fs
    @DudeMtu2-dg1fs Před 15 dny

    ❤❤❤❤

  • @goodlucknzunda6949
    @goodlucknzunda6949 Před 16 dny

    hila yangaaaa🔥🔥🔥

  • @marianamontoedi1318
    @marianamontoedi1318 Před 16 dny +1

    🙏🙏🙏👏🏽👏🏽🇦🇺

  • @gollowrukata5504
    @gollowrukata5504 Před 16 dny

    Good

  • @innocentmmandago3029
    @innocentmmandago3029 Před 16 dny

    Congratulations!!

  • @patrickngalya5884
    @patrickngalya5884 Před 16 dny

    Next time anaechukua video aache kutumia hiyohiyo camera kupiga picha unaondoa mvuto kwenye video kukwamakwama wapo watu special Kwa ajili ya picha za mnato pls

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 Před 16 dny

    Pre season spain hiyo

  • @MbeziAthumani
    @MbeziAthumani Před 14 dny

    Siwezi kupata kadi la uwanachama wayanga kupita oiln

  • @AmaniJulius-np2zx
    @AmaniJulius-np2zx Před 16 dny

    Sisi km washabiki wa yanga tunaenjoi tunapenda kazi mnayofanya

  • @ZaituniAlmas
    @ZaituniAlmas Před 16 dny

    Yanga raha mpka inakera

  • @DervishBaba
    @DervishBaba Před 16 dny +1

    Naona ccm watupu sasa huu ni mkutano wa yanga au ni mkutano wa ccm kasoro raisi

    • @user-ed5cx2vn3x
      @user-ed5cx2vn3x Před 16 dny

      Chuki binafsi hiyo itakuwa wewe ni kolo fc kwendaaa

  • @bahiyalumelezy3016
    @bahiyalumelezy3016 Před 16 dny

    👏👏👏👏👏👍

  • @user-rf7ni6tr2o
    @user-rf7ni6tr2o Před 16 dny

    😮iriiii kutanooo duuu rakimataaaifaaa sanaaaaa😅😅😅😅😅😅

  • @petromilanzi3219
    @petromilanzi3219 Před 12 dny

    🎉

  • @DervishBaba
    @DervishBaba Před 16 dny

    Na mbona mambo yenu hayaingiliwi lkn simba mambo yao munawaingilia na kuwachafuliya roho mbaya tu

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před 16 dny

    simba wa nalala wakiona ivi

  • @athumanyusuph1099
    @athumanyusuph1099 Před 16 dny

    Rais wa yanga

  • @salimurashidi-gx1id
    @salimurashidi-gx1id Před 16 dny

    state sana yanga

  • @DervishBaba
    @DervishBaba Před 16 dny

    Na mbona mambo yenu hayaingiliwi lkn simba mambo

  • @johnmgalilwa9136
    @johnmgalilwa9136 Před 16 dny +1

    💪💪💪💪💪🔰🔰🔰🔰🔰

  • @user-gu1qt9uh7q
    @user-gu1qt9uh7q Před 10 dny

    Huna baya raisi

  • @JacksonMahende-ho2wb
    @JacksonMahende-ho2wb Před 16 dny

    Hayo ni maono mazuri waige haya mazuri

  • @user-kz6pb9ii6k
    @user-kz6pb9ii6k Před 16 dny

    Eee mora endelea kutufanya wenye furaha zaidi afrika

  • @godlistengodlisten7552

    EEEEE MWENYEZI MUNGU WETU BABA YETU WA MBINGUNI TUJAALIE SISI WAJA WAKO,TUWEZE KUWAONGOZA WANETU KUWA KWENYE TIMU YETU YA YANGA,WAPATE RAHA,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @ImanueliMwakajinga-ry8ig

    Our president 🫶🏼🙌🏽

  • @user-tg7xh5tt1m
    @user-tg7xh5tt1m Před 16 dny

    Mimi nachukua card yangu kesho!!!

  • @user-no1xc9tv5z
    @user-no1xc9tv5z Před 16 dny

    Mipili.oyyeeeeee

  • @DismasBasili
    @DismasBasili Před 16 dny

    Pongezi Kwa Raid wetu. Wana wa jangwani tumupe maua yake🎉🎉🎉

  • @halidmauga96
    @halidmauga96 Před 16 dny

    Mmmh yanga kiboko hawana dogo

  • @HasnaNassoro
    @HasnaNassoro Před 16 dny +1

    Sisi mikoan amtuthamin,kad tunaitakaaaa

  • @yohanaally4544
    @yohanaally4544 Před 16 dny

    Ila yanga

  • @ZuberHamza-pj4jw
    @ZuberHamza-pj4jw Před 16 dny

    Wananuna makolo

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 Před 16 dny

    Akili kubwa kwa engineer anajua majukumu yake.