Raisi wa mahana saana sana... Mi Simba saana ila siwezi kuacha kusema ukweli wewe ni kioo cha mtu yeyote mpenda maendeleo kuweza kujitazama na kujirekebisha... Hongera saana kaka, na mwenyezi akubariki saana..
Hotuba ya mh Engeneer Heris rais wa Yanga,hotuba zako mara nyingi huwa zimeshiba, binafsi huwa najivunia sana kuwama.m/kiti kama wewe Mungu akutunze na Mungu ailinde Yanga yetu Ameen!
Jamani mimi sina kadi lkn ni kipenzi cha yanga tangu utotoni kwangu, nakumbuka nilinyimwa maandazi na kaka yangu kisa sikukubali kushabikia simba. Enzi hizo kijjn kulipata andazi hadi litoke mjini.
Hongereni sana wanainchi wa yangu kwa kufanya maturity kweny mkutano mkuu wa mwaka ila mimi sijafutiwa na rasi alivyo simama kwa wakati mrefu mimi Nanna ingependeza sana uwe na mwakilisha ili usimame kwa dakika za heshima japo kazi nzuri ila iwapo utakuwa na wakati mrefu ya kuzungumuza hataka Mazur kiasi gani. Tuatambua kuwa wewe ndio unaetenda ❤
Eng . Upo vizuri sana Ila tengeneza mfumo ya task force ya matangqzo kupitia TV,Radio,na kila siku ya match kuwepo na hamasa ya kusajiri wanachama wapya .
Next time anaechukua video aache kutumia hiyohiyo camera kupiga picha unaondoa mvuto kwenye video kukwamakwama wapo watu special Kwa ajili ya picha za mnato pls
EEEEE MWENYEZI MUNGU WETU BABA YETU WA MBINGUNI TUJAALIE SISI WAJA WAKO,TUWEZE KUWAONGOZA WANETU KUWA KWENYE TIMU YETU YA YANGA,WAPATE RAHA,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
Hongera sana team yangu ya familia Babu yanga baba yanga mm yanga na kizazi changu chote yanga
Safi sana hii timu kubwa hata mimi babu yangu Yanga,baba yangu,na mimi ni Mwanachama kamili ninaelipia ada kabisa
Raisi wa mahana saana sana... Mi Simba saana ila siwezi kuacha kusema ukweli wewe ni kioo cha mtu yeyote mpenda maendeleo kuweza kujitazama na kujirekebisha...
Hongera saana kaka, na mwenyezi akubariki saana..
Hotuba ya mh Engeneer Heris rais wa Yanga,hotuba zako mara nyingi huwa zimeshiba, binafsi huwa najivunia sana kuwama.m/kiti kama wewe Mungu akutunze na Mungu ailinde Yanga yetu Ameen!
Tunakuombea maisha marefu rais wetu
Nipo kagera ngara
Mr President Engineer HERSI SAÏD YOUR ARE THE BEST 💛💚💯💥🌟💫⭐
Good speech from a brilliant president ❤
MUNGU ni mwema hongera Sana Engineer Hers kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Big presdar,hongeraaa sana sana hakika kaz yako inaonekana.keep it up bro!!.
Hongera raisi wetu wa yanga uko vizuri mbunifu mchapakazi busara nyingi da hongera sana tunzidi kukuombea ufanye zaidi ya hayo.
Hongera sana timu ya udogon mwangu ha di sasa ni mtu mzima asante sana young africans
Kitengo cha habari mko vizuri kongole kwa Ally kamwe na jopo lako lote
manara ndoanafaha kwenye kitengo hicho ata viwanja avijahe raisi wetu na tunafanya vzur manara washirikian na alikamwe tunawapenda ote🎉🎉
Engineer Tunakuombea tufike mbali❤❤
Mungu aibariki yanga
Dah mungu atusaidie wana yanga
Nakupongeza San injinia na mungu akulinde na WAbaya
Kumbe yanga ipo na watu nyuma yake
Allaah Akbar
Asante Rais Eng Hers Said huna baya endelea kuchapa ya kujitolea na Mungu atazidi kukubariki,
Hongera Eng.Herisi kwa uongozi imara na mazubuti,yanga oyeeeeeeeee!!
This what we call mind focus. Eng. HERIS.
Mungu akuweke miaka mingi
Naipenda sana timu yangu🎉🎉🎉🎉
Mm ni Simba ila Hawa jamaa wamefika mbali, kzr Zaid mambo yanaenda Kwa weredi sana, duuu Simba yangu
😮Hongera sana kwa hotuba nzuri yenye matuini makubwa na maendeleo kwa timu yeti hongera sana raisi wa timu ya yanga
Mtu making sana
Najivunia Kia mwananchi 💚💚💚💚
Jamani mimi sina kadi lkn ni kipenzi cha yanga tangu utotoni kwangu, nakumbuka nilinyimwa maandazi na kaka yangu kisa sikukubali kushabikia simba. Enzi hizo kijjn kulipata andazi hadi litoke mjini.
Hongereni sana wanainchi wa yangu kwa kufanya maturity kweny mkutano mkuu wa mwaka ila mimi sijafutiwa na rasi alivyo simama kwa wakati mrefu mimi Nanna ingependeza sana uwe na mwakilisha ili usimame kwa dakika za heshima japo kazi nzuri ila iwapo utakuwa na wakati mrefu ya kuzungumuza hataka Mazur kiasi gani. Tuatambua kuwa wewe ndio unaetenda ❤
ukasimame wew
Hongera xana team yanga ya family Babu yanga baba yanga mam yanga na kizazi changu chote yanga
Yanga tutachukuwa makombe miaka kumi mfululizo mpaka mokolo waseme poooo raisi wetu umefanya kazi kubwa sanaaaa hongera sanaaa
Safii sana
Bi Fatma Karume 🎉❤❤❤
Uyu ni rais asee
hongereni chama la wana👍👍👍👍👍
good
Hakika Uongozi tunao,,ila wanachama tunazingua tuamke tuko nyuma sana
Nice speech...
Tuna Imani na wewe Rais wetu ya kwamba utatufikisha Inchi ya AHADI
Mungu akubaliki rais wewe unatifaa
❤❤❤❤jongera sana yanga ❤❤
Eng .
Upo vizuri sana
Ila tengeneza mfumo ya task force ya matangqzo kupitia TV,Radio,na kila siku ya match kuwepo na hamasa ya kusajiri wanachama wapya .
Naipenda xana yanga ❤❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Big brain 💪
🎉tupambane tujenge uwanja wetu yanga.mbele mbele.daima.
Nipo pamoja nanyi asante
Mungu awabariki viongozi wetu
Jamani yanga mtatuua 😂😂😂😂
❤❤❤shere ilifana kweli
YANGA HAPO HAIJAPATA HASARA SEMINI SERIKALI IMEPATA HASARA LAKINI HIYO SIYO ISHU ENDELEENI TU❤❤❤❤
Wow❤❤❤
Yanga tamuuu💛💚🖤
Yanga imenoga mpaka basi 🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu ibarik yanga
Kwani duniani kuna timu inayoleta raha kama Yanga?
Safi tupo pamoja eng
🔥🔥💚💚💛💛💪
Maisha marefu kwako Mr president
Mimi Dixon Mmary ni Yañga Lialía"
More 💕💕 engineer unastahili kuwa rais wa Taifa letu pia.
Injinia heri ya tumbo lililo kuzaaa🙏
Mtu wa maana sana engineer
Naomba timu ya wanawake,simba wanatamba sana malizani utawala wao kama kaka zao
Safi sana
Daima mbele Nyuma mwiko
👏👏👏
🎉🎉🎉mr president
❤❤❤🎉
❤❤❤❤
hila yangaaaa🔥🔥🔥
🙏🙏🙏👏🏽👏🏽🇦🇺
Good
Congratulations!!
Next time anaechukua video aache kutumia hiyohiyo camera kupiga picha unaondoa mvuto kwenye video kukwamakwama wapo watu special Kwa ajili ya picha za mnato pls
Pre season spain hiyo
Siwezi kupata kadi la uwanachama wayanga kupita oiln
Sisi km washabiki wa yanga tunaenjoi tunapenda kazi mnayofanya
Yanga raha mpka inakera
Naona ccm watupu sasa huu ni mkutano wa yanga au ni mkutano wa ccm kasoro raisi
Chuki binafsi hiyo itakuwa wewe ni kolo fc kwendaaa
👏👏👏👏👏👍
😮iriiii kutanooo duuu rakimataaaifaaa sanaaaaa😅😅😅😅😅😅
🎉
Na mbona mambo yenu hayaingiliwi lkn simba mambo yao munawaingilia na kuwachafuliya roho mbaya tu
simba wa nalala wakiona ivi
Rais wa yanga
state sana yanga
Na mbona mambo yenu hayaingiliwi lkn simba mambo
💪💪💪💪💪🔰🔰🔰🔰🔰
Huna baya raisi
Hayo ni maono mazuri waige haya mazuri
Eee mora endelea kutufanya wenye furaha zaidi afrika
EEEEE MWENYEZI MUNGU WETU BABA YETU WA MBINGUNI TUJAALIE SISI WAJA WAKO,TUWEZE KUWAONGOZA WANETU KUWA KWENYE TIMU YETU YA YANGA,WAPATE RAHA,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
Our president 🫶🏼🙌🏽
Mimi nachukua card yangu kesho!!!
Mipili.oyyeeeeee
Pongezi Kwa Raid wetu. Wana wa jangwani tumupe maua yake🎉🎉🎉
Mmmh yanga kiboko hawana dogo
Sisi mikoan amtuthamin,kad tunaitakaaaa
Upo mkoa gn
Ila yanga
Wananuna makolo
Akili kubwa kwa engineer anajua majukumu yake.