MKUTANO MKUU YANGA | Serikali yaridhia Yanga kujenga uwanja, yaipa masharti
Vložit
- čas přidán 8. 06. 2024
- MKUTANO MKUU YANGA: “Tumepokea maombi na tumeridhia kuyaingiza katika mpango wa uendelezaji wa eneo hili la Jangwani” maneno ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa akijibu ombi la Yanga SC kuhusu eneo la ujenzi wa uwanja wao.
Ni Mkutano Mkuu wa Yanga unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
#YangaAGM2024 #YangaSC2024 #YangaSC #AGM2024 #MkutanoMkuuYanga #MkutanoMkuuYanga2024 - Sport
Hiii Mungu awabark sana serikal
Yang yang bingwa tenaa
Mungu awalinde serikali na hongera uongozi wa Yanga
Hakika waziri, umesema kweli
Jemedari ataharisha uchungu
Yanga SC ni Bingwa tena
👏🏽👏🏽good newssss
Naitwa Stanford brown mwaipopo wa mbezi malamba ma wiki nataka kujua kama kweli kizumbi amesajiliwa yanga au amesajiliwa na timu gani maana mpaka sasa sirlewi mara amesajiliwa yanga mara timu nyingine naomba ufafanuzi wa kina Mimi ni yanga ya hers said nawathamini wachambuzi wote hongerebi kwa KAZI nzuri na mungu awabariki
Kwa mfumo huu mashabiki wanatakiwa wawe na kadi ili wachangie timu yetu
😊😅
Valentin j massawe
Uyu jamaa ni mtu makin sana lkn km umjui utais km kvuli" pambana kiongoz!
Kila mtu bingwa
😅
Assalaamalaikum mimi naishi Dubai ni Rafiki wa mtangazaji wa kabumbu wa R T D Mr SALIM MBONDE kama kuna mtu anaye mjua huyo rafiki yuko wapi anitumie msg kwenye hiyo e mail yangu na kama Ana namba yake ya mobile tafadhali anytime AHSANTE