KISA CHA NABII MUSSA NA FIRAUNI //SHEIKH OTHMAN MAALIM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 08. 2023
  • FIRAUNA alikua mtu ambaye hata aone haki basi alishindwa kuifuata.
  • Zábava

Komentáře • 105

  • @rashidbagazi6904
    @rashidbagazi6904 Před 9 měsíci +11

    Sheikh Othman mungu akulinde akujalie heri inshAllah

  • @mwatimaabdalla5832
    @mwatimaabdalla5832 Před 11 měsíci +7

    MASHA ALLAH ALLAH AKUJAALIE MWISHO MWEMA NA MSIMAMO WA KHEIR

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 11 měsíci +8

    Allahu Akbaru. Shukran sana Shekhe

  • @AbuubakarHamadAbdalla
    @AbuubakarHamadAbdalla Před 11 měsíci +13

    Sheikh Othman Maalim Allah akulinde na kila shari

  • @user-nu2jz8wx2k
    @user-nu2jz8wx2k Před měsícem

    Shekhe Othman mwenyezi mungu akujalie Maisha malefu uendelee kutufundisha

  • @user-ux4js8tn4u
    @user-ux4js8tn4u Před 6 měsíci +3

    Mashaaallah Allah akupe umri mrefu na wenye barka ndani yake🙏🙏🙏

  • @AdjiamaniNura
    @AdjiamaniNura Před 2 měsíci +1

    Alhamdulillah, Allah akujaaalie kila la heri kutokana na niya njema

  • @BraysonWilson-e9z
    @BraysonWilson-e9z Před měsícem

    Allah atakulipa kheri inshallah maana watoa daawa ya kueleweka mashallah ❤❤

  • @RajabRajab-yx8rq
    @RajabRajab-yx8rq Před 15 dny

    Mansaha allah, mwenyezi mungu akujaarie afya njema.

  • @mrsab303
    @mrsab303 Před 11 měsíci +5

    MashaAllah ❤❤❤

  • @BarakatiMussa
    @BarakatiMussa Před 2 měsíci

    Sh.othman MwenyeziMungu akupe umri mrefu

  • @suleimankagobe8812
    @suleimankagobe8812 Před 10 měsíci +1

    ALLAH awalinde masheikh wote na kila shari na ALLAH awabashirie pepo

  • @FahadNassor
    @FahadNassor Před 11 měsíci +4

    Maashaallah

  • @HamidaNahama
    @HamidaNahama Před 3 měsíci

    Sheikh othumani Allah akuhifadhi

  • @MariamMohamed-bw8xf
    @MariamMohamed-bw8xf Před 3 měsíci

    Mashaallah mashaallah swadaktaa ❤️ ❤❤❤

  • @user-fs9wi4zs8h
    @user-fs9wi4zs8h Před 6 měsíci +1

    Asante sana kwa kutupa elimu hii

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Před 11 měsíci +1

    Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.

  • @FatumaMasoud-yn8lp
    @FatumaMasoud-yn8lp Před 4 měsíci

    Inshaalah Allah Karim atujaalie wote tuwe waja wenye kusujudu na kumtegemea Mwenyezi Mungu Aaaamin Yaarabilaalamiin.

  • @zubedaalice8172
    @zubedaalice8172 Před 7 dny

    jazakAllah kheir

  • @user-iu8os2xj7b
    @user-iu8os2xj7b Před 4 měsíci +1

    Sheikh Napenda nasaha zako sana mungu akujaalie inshallah

  • @HamidaOmary-hu2eo
    @HamidaOmary-hu2eo Před 4 měsíci

    Mashaalah Allah akulinde

  • @1958mos
    @1958mos Před 11 měsíci +1

    Sheikh othman jazakallah kher

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv Před 11 měsíci +2

    MASHA ALLAH 🇰🇪💚💚💚💚

  • @SwedyKatuga
    @SwedyKatuga Před 4 měsíci

    Maashaalah

  • @aishaadamu6881
    @aishaadamu6881 Před 11 měsíci

    Mashaallah shukurani kwanasah nzuri tu ustadhi

  • @user-fh8dz7wv2m
    @user-fh8dz7wv2m Před 11 měsíci

    Shukra jazakallahu kheir sikujua hizo phenomena zote ni hiyo tu ya majoka waallahi allah barik

  • @JanjaTz-fu1bs
    @JanjaTz-fu1bs Před 2 měsíci

    Jazaqallahu kher

  • @HamisMagambo-gw6ti
    @HamisMagambo-gw6ti Před 4 měsíci

    Maasha-Allah shekh wangu napenda sana jinsi unavyoisoma Quran nilikuwa nataka pia quran tukufu urushe mtandaoni

  • @twalibinamyolo
    @twalibinamyolo Před 4 měsíci

    Alhamdulilah mungu akujalie afya njema shkhe

  • @user-be2ft9dx7k
    @user-be2ft9dx7k Před 4 měsíci

    Amina dhuma amina mungu atupe mwisho mwema sote

  • @user-gu1xf3zc7z
    @user-gu1xf3zc7z Před 4 měsíci

    Allah akulinde

  • @zahraalbaloochi2841
    @zahraalbaloochi2841 Před 10 měsíci

    MashaAllah May Allah bless you Ameen

  • @salimkombora919
    @salimkombora919 Před 10 měsíci +1

    Mashaallah

  • @MuniraRamadhani-iq4mu
    @MuniraRamadhani-iq4mu Před 4 měsíci

    Jazaka llahu kher shekh

  • @maase2023
    @maase2023 Před 10 měsíci

    Jazakaallah kheir al habib

  • @MbwanaRajabJuma-rh8rz
    @MbwanaRajabJuma-rh8rz Před 11 měsíci

    Mashallah Jazakalah kher

  • @user-nt2vm6lq8d
    @user-nt2vm6lq8d Před 4 měsíci

    Mashaallah shekhe othumani

  • @faridaikussi
    @faridaikussi Před 11 měsíci +14

    Subhaanallah walikuwana roho ngumu mno eewee Allahu tunusuru wajawako Allahumma Amiiin

  • @SophiaMumbe-jm6kb
    @SophiaMumbe-jm6kb Před 10 měsíci

    Allhamdullillah shukran mungu akubariki inshaallar

  • @YusufJuma-w3j
    @YusufJuma-w3j Před 25 dny

    Ya Allah niepushe na matamanio ya dunia

  • @ibrahimyakubu5162
    @ibrahimyakubu5162 Před 10 měsíci +1

    MASHAALLAH

  • @MariamMishari
    @MariamMishari Před 11 měsíci +1

    Mashallah❤

  • @user-zb4py9rl9c
    @user-zb4py9rl9c Před 4 měsíci

    ALLAHU AKBAR ❤SUBHANALLAH ❤AS❤

  • @hamadiomari7804
    @hamadiomari7804 Před 11 měsíci

    Mashallah mungu akupe afya njema

  • @pilimakundalongoilongoi3386
    @pilimakundalongoilongoi3386 Před 11 měsíci +1

    tabaraka allah

  • @alwardimedia2806
    @alwardimedia2806 Před 11 měsíci

    Allah akuhifadhi shekh wetu

  • @stevensmawi6749
    @stevensmawi6749 Před 11 měsíci +1

    Ameeen

  • @lailahumaid2011
    @lailahumaid2011 Před 11 měsíci +1

    Subhanallah mtihani huo

  • @user-qr7et3vl5z
    @user-qr7et3vl5z Před 4 měsíci

    Mashallah Allah akbar

  • @mhandomhina5503
    @mhandomhina5503 Před 4 měsíci

    Sheikh O.Maalim hakika ya muujiza lazima huendane na asili(nature) Uislam Ni dini ya maumbile pia. Bahari Ina kupwa na kujaa kwa maji pia bahari Ina milima,mabonde,tambarare n.k. Hivyo kunyoosha fimbo(hata njozini fimbo Ni alama ya uongozi. ) baharini iikuwa Ni maagizo ya kuwaongoza wafuasi wake kikamilifu ktk njia za bahari hata kwa maji ya ugoko au kongo mbili za miguu wavuke kabla maji kujaa mbele ya Firauni .Baada ya kitambo kidogo jioni Firauni na wafuasi wake walipofika ufukweni waliingia na kuwafuata watangulizi wao waliowaacha umbali mrefu Kisha wakiwa umbali bahari kutoka ufukweni maji yalianza kujaa kiasi zile njia hawakuziona ikiwa Musa as) na umma wake wakiwa sehemu salama kuvuka huku nyuma maji yaliyojaa na kuzidi yaliwasomba akina Firauni. Hii ndio falsafa ya asili inayopatikana ktk Qur'an na Islam na siyo simulizi za alfu hureira na hadithi za mama na mwana RTD eti bahari inachanuka Kama chanuo njia 12 Kisha panakuwa kweupe pee sijui pakavu Kisha panajifunga laa hasha hakuna ujuha huu Kwenye Islam hii Ni Hali au simulizi zisizowashawishi wale ambao wanadai hakuna huwepo wa mungu. Uislam Ni mantiki na haupingani na kanuni za maumbile na asili. Mwenyezi mungu ameweka angalizo kitabuni hatobadili kanuni zake .

  • @user-tz1jc8gv3t
    @user-tz1jc8gv3t Před 7 měsíci

    Ma sha Allah

  • @ezironewilliam4900
    @ezironewilliam4900 Před 9 měsíci

    Masha Allah

  • @user-zb4py9rl9c
    @user-zb4py9rl9c Před 4 měsíci

    AS ❤SUBHANALLAH

  • @kakamama5104
    @kakamama5104 Před 4 měsíci

    Mashallah

  • @user-bt7np1sm8n
    @user-bt7np1sm8n Před 11 měsíci +5

    Shukran sana sheikh kwa ukumbusho allah akubarik inshaallah pamoja na waislam wote

  • @amour-hs7hb
    @amour-hs7hb Před 5 měsíci

    mashallah ❤❤❤❤

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 Před 11 měsíci

    Masha ALLAH

  • @user-gf8db3rj9p
    @user-gf8db3rj9p Před 4 měsíci

    Mashaallah akulipe kinachostahili

  • @MuniraShughuli-kc7vj
    @MuniraShughuli-kc7vj Před 10 měsíci

    Alhamdhulillah

  • @aliswalehsalim3037
    @aliswalehsalim3037 Před 11 měsíci

    Mashaa Allah Sheikh Athman Allah Akujaalie Umri Wenye Afya Njema Uzidi Kutuelimisha.Ameen

  • @ahmedhamdan8526
    @ahmedhamdan8526 Před 10 měsíci

    ❤ mashallah

  • @bachus57
    @bachus57 Před 11 měsíci

    Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar

  • @MeddTz-yn6ku
    @MeddTz-yn6ku Před měsícem

  • @AsaniOmari-xp5qs
    @AsaniOmari-xp5qs Před 9 měsíci

    Alauakbar ❤

  • @user-fl3yl4or3e
    @user-fl3yl4or3e Před 6 měsíci

    SubuhanaAllah

  • @melishamp4983
    @melishamp4983 Před 4 měsíci

    💯

  • @alafajafari8145
    @alafajafari8145 Před 11 měsíci

    Maashallah kisa kizuri

  • @bintsuleman915
    @bintsuleman915 Před 6 měsíci

    Mashallah kisa kizuri muno san

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 11 měsíci +1

    Masha Allah ❤️❤️❤️

  • @apexmombasa6809
    @apexmombasa6809 Před 11 měsíci

    Ma Sha Allah Sheik Othman Maalim

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 Před měsícem

    ❤❤❤🌷🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @JumahAShabani
    @JumahAShabani Před 4 měsíci

    💐💐💐

  • @user-uf8pp3hd4b
    @user-uf8pp3hd4b Před 4 měsíci

    سلام عليكم

  • @user-dc9cx2mn6u
    @user-dc9cx2mn6u Před 10 měsíci

    Jazakalah haira

  • @jumaomar8419
    @jumaomar8419 Před 11 měsíci

    Tuleteeni kisa cha Mussa AS na Khidhir

  • @abdulfattahnguyu7429
    @abdulfattahnguyu7429 Před 11 měsíci

    Masha Allah 😢so much love yaaah sheikh 🤲🏿

  • @maryamjumah
    @maryamjumah Před 10 měsíci

    Niwe mcha mungu kweli kweli cha ajabu kusali cjui ni uxito gani upo kwangu nikianza kusali mara nasixia nasahau nilifikia wapi

    • @allymarijani6869
      @allymarijani6869 Před 9 měsíci +1

      Jitahidi kupenda kufanya Ibadan utakuta mwili mzima unahitaji Ibada na kisajau kunatoka bila kupenda

    • @wm9669
      @wm9669 Před 8 měsíci

      Allah akusaidie

  • @user-xv2jw9on6x
    @user-xv2jw9on6x Před 10 měsíci

    Mungu akulinde na 👹👹👹👺👺👺

  • @maryamjumah
    @maryamjumah Před 10 měsíci

    Maalim mm naomba msaada

  • @samoramussa5336
    @samoramussa5336 Před 11 měsíci

    Shehe naomba kuuliza kwani wakati huo wafiruni na musa uisillam ulikuwepo? Mbona uisilam umeanza mwaka miasitaa baada ya muhamadi kuwepo?

    • @jihadishabani4158
      @jihadishabani4158 Před 9 měsíci +1

      Ndiyo uislamu ulikuwepo na ndo maana Allah alimtuma Nabii mussa kwenda kumlingania fir auni na watu wake wawe waislamu yaani wanynyekee kwa Allah pekee na kuhusu kwa mtume muhammadi yeye aliletwa kuja kuendeleza uislamu uliokuwa upo kwa karne za waliopita kwahiyo uislamu haujaanza kwa mtume muhammadi Bali ulikuwepo enzi na enzi

    • @samoramussa5336
      @samoramussa5336 Před 9 měsíci

      @@jihadishabani4158 walitumia rugha gani wakatihuo kitangaza dini hiyo? na musa nikabila gani au niwanchi gani?

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 Před 6 měsíci

    nchi ya kwanza ni qatar foreigner wakiondoka jeuri zao kwisha ,,,,maana hawataki kufanya kazi wao ni maboss 😂😂

    • @AshaLove-jn5ru
      @AshaLove-jn5ru Před 4 měsíci

      Nchi za zote za kiarabu Mana wanatutuma vibaya 😅😅tukiondoka kitamramba

  • @TikTokwin-xi8cd
    @TikTokwin-xi8cd Před 8 měsíci

    Amina Amina

  • @OthmanMaulid-sx2mu
    @OthmanMaulid-sx2mu Před 10 měsíci

    Mashaallah

  • @alifaki4651
    @alifaki4651 Před 7 měsíci

    Mashallah

  • @LastdayJesu4153
    @LastdayJesu4153 Před 9 měsíci

  • @maryamjumah
    @maryamjumah Před 10 měsíci

    Natamani moyo wangu ukinai na vitu vya dunia

  • @RizikiMabrouck
    @RizikiMabrouck Před 9 měsíci

    Mashallah

  • @user-bh3sm3ul4s
    @user-bh3sm3ul4s Před 11 měsíci

    Mashaallah

  • @user-mn5oi9em2u
    @user-mn5oi9em2u Před 11 měsíci

    Mashaallah

  • @hamadiomari7804
    @hamadiomari7804 Před 11 měsíci

    Mashallah

  • @cabylake2320
    @cabylake2320 Před 11 měsíci

    Mashaallah