Hata niwe na magumu kiasi gani sijawahi kukosa faraja kama nikisikiliza nyimbo zako,umekuwa faraja kwangu pale ninapohisi kushindwa kuendelea mungu akutunze Ambwene ♥️🙏
Naamini hii ndiyo faida ya kupata mke anayemjua Mungu wako unayemtumikia hakika ubarikiwe mno mke wa ambwene hujaizima hii nyota inayoangazia mioyo ya wengi pia ubarikiwe mno muimbaji usiyeharibu kipaji chako songa mbele
Nabarikiwe sana na nyimbo zako yaani za kitaratibu sana zimejaa kutafakari ule ukuu wa Mungu hakika Mungu atakaa nasi kama tukiamua kukaa nasi daima. Ubarikiwe sana mtu wa Mungu
Mungù naomba ukae nami nyakati zote! Hata katika hali yangu ya dhambi naomba unihuishe nafsi yangu... Naomba ubariki ndoto zangu , kazi ya mikon yangu! Na kila ninachomiliki.. Ukae nami BWANA! 😢stay with me ooh God.. I prophecy that as I listen this song may your holy spirit flow into my life... ukae namii🕊🚶🏽♂️🙏🏾
God be with you. Heavenly father, give us serenity and contentment in our soul. We are grateful for Ambwene's talent which gives us a message to contemplate about your presence in our life. THANK YOU AMBWENE MAY GOD BLESS YOU.
Mungu akubariki sana mtumishi yahan huwa nyimbo zako zinanifanya nitafakari ukuu wa Mungu maana nyimbo zako ni mahubiri tosha kwa atakayesikiliza kwa makini zinajenga na kuinua mioyo hiliyo inama
❤❤❤ love much from Canada 🇨🇦 Mtumishi barikiwa saan unaimbia Mungu alie hai😂🎉Upo kiroho endelea kusimama na Mungu alie hai atakukweza😂ilove you so much for this kind words that you us to share with us ❤❤
There was a man who was sent from God;whose name was John Mr Ambwene is that artist you'll keenly observe and say this a man sent from God to encourage,advice and comfort me#🇰🇪
Ambwene Ambwene Ambwene I call you Mr 3 times enough my brother enough enough enough wewe ni zaid ya tungo yenyewe hakika kila siku nasema hujawahi kosea katika tungo na nyimbo zako mtumishi nyimbo zako zina historia kubwa sana katika maisha yangu zimenijenga zimenifariji zimenipa nguvu ya kusonga mbele na mengine mengi tu mungu akulinde.❤❤❤❤
Ubarikiwe sana ndugu yangu mwimbaji mkubwa ambaye nabarikiwa kila naposikia nyimbo zake barikiwa kama unavyonibariki kwa uimbaji wako wenye utulivu na upako zaidi. Bwana Yesu akaye nasi sote.
Nyimbo za Mguso siku zote! Another Devotional Song!
Mungu Akubariki sana Ambwene.
Pasteur Lwamwasha
Hata niwe na magumu kiasi gani sijawahi kukosa faraja kama nikisikiliza nyimbo zako,umekuwa faraja kwangu pale ninapohisi kushindwa kuendelea mungu akutunze Ambwene ♥️🙏
Kama umesikiliza hii nyimbo ukapata Hali ya wokovu like tujuane🙏🌄
Naamini hii ndiyo faida ya kupata mke anayemjua Mungu wako unayemtumikia hakika ubarikiwe mno mke wa ambwene hujaizima hii nyota inayoangazia mioyo ya wengi pia ubarikiwe mno muimbaji usiyeharibu kipaji chako songa mbele
Daaah huyu baba mungu ambariki kwa baraka alizoamuru kumbariki🙏🏽🙏🏽
Leteni likes ❤ wapendwa. Yuuuuu. YESU KAA NAMI BABA YANGU. TUNAKUFUATA SAAAAAANA TUKIWA DRC. TUNAKUPENDA SAAANA MTUMISHI NA NABII WA MATAIFA
😭😭😭😭😭😭 nakupenda Bwana Yesu wangu Wewe ni Mzuriii
Unaenguna na AMBWENE kumuombea Mungu akae nawe. Likes zije hapa 🙏🏾🙏🏾🙏🏾💪🏾☺️
🔴#greencitytv
amen
AMBWENE OBADIAH MWASONGWE, nyimbo zako zina mguso mkubwa si upange muda ukuje nchi Kenya
MWAO
Haleluyaah !!
Kama umeguswa na hii nyimbo weka like hapo kwangu
Waoooh wimbo mzuri mno God bless you mtumishi wa MUNGU hakika nimebarikiwa😢😢🥺🥺
Ukae Nami eeeeeh Mungu🙏🙏🙏🙏 MUNGU azidi kukuinua Ili tuendelee kuoana utukufu Wa MUNGU
Ahsante sana kaka ambwene mwasongwe kwa zawadi hii nzuri ya faraja.
Nabarikiwe sana na nyimbo zako yaani za kitaratibu sana zimejaa kutafakari ule ukuu wa Mungu hakika Mungu atakaa nasi kama tukiamua kukaa nasi daima. Ubarikiwe sana mtu wa Mungu
Mwenye amebarikiwa Kama Mimi na kukosa cha kusema gonga like 🙏🏽🤣❤️
❤asante mungu nakupenda sanaaa nyimbo zakoo nazipenda saanaa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nahisi ni nyimbo nzuri kabla hata sijaisikiliza kiongozi be blessed 🙏🙏🙏🙏
Be blessed more for your holy gospel song message to us❤
Nimesikiliza kidogo tu nasikia kulia😢nikitafakari
GOD is God of mercy
Mungù naomba ukae nami nyakati zote! Hata katika hali yangu ya dhambi naomba unihuishe nafsi yangu...
Naomba ubariki ndoto zangu , kazi ya mikon yangu! Na kila ninachomiliki..
Ukae nami BWANA!
😢stay with me ooh God.. I prophecy that as I listen this song may your holy spirit flow into my life... ukae namii🕊🚶🏽♂️🙏🏾
Mwimbaji wang bora wa injiri wa muda wote Mungu akupe maisha malef na akupe hitaj la moyo wako🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙏🙏🙏
pamoja na ipyana kibona
Am from listening to Karibu Yesu and I just wanted to listen to another song like it.. this one is a master piece ... thank you🙏 much love from Uganda
Kila unaesoma hii comment Mungu akae na wewe
Amen
amen
amen
Amen
Amina
Ukae nami Bwana
Nyimbo inagusa sana imeimbwa kipekee sana
Mungu akubariki sana ila naomba tena,, tuwekee CZcams ile nyimbo ya HAKUNA WA KUFANANA NAYE
Asante sn Abwene Kwa kuyagusa Maisha yangu kwa nyimbo zako zote , Mungu Akubariki tena na tena❤❤❤🙏🙏🙏
Barikiweni nyote
God be with you. Heavenly father, give us serenity and contentment in our soul. We are grateful for Ambwene's talent which gives us a message to contemplate about your presence in our life.
THANK YOU AMBWENE MAY GOD BLESS YOU.
Aiseee
Ukae NAMI
Bwana Wangu maana Mimi siweze mwenyewe
Kaa NAMI kweli ❤🙏
Eeeeeh bwana ukae nami,maana mida mingine tunapitia magumu Pengine yanayoweza kutoa Ata uhai wetu,very emotional song❤❤
Kweli kabisa Yesu akae nasi
Barikiwe mtumishi,, ukae nami daima Mungu🙏🙌
Asante .......unaimba kile kitokacho moyoni mwako....ndo maana wewe ni halisi
Bwana ukae nami nakuhitaji Yesu. Kwa kila hatua yangu kaa Nami. Mungu akuinue zaidi na zaidi Ambwene
Am so touched with this song God bless you ambwene 🙏🙏🙏 ukae nami bwana glory to the almighty God
mwandishi anaesafiri kule nyimbo zinakoandikiwa kule nyimbo zinakoandikiwa. #ukaenami
Ukae nami
Bwanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah
Kila hatua yangu
Kila pumzi yangu bwana ukae nami
Ubarikiwe mtumishi kwa huduma nzuri....
Wao❤❤❤ kaka ambwene mwasongwe wewe ni zawadi ya Tanzania kwa nyimbo za Kiroho
Ndugu Katika Kristo nakusalimu sana. Hongera sana kwa uimbaji huu endelea kusonga mbele na Yesu kamwe usichoke.
Hallelua hallelua hallelua hallelua hallelua hallelua
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kaa NAMI Bwana wangu naomba misuli ya Imani nikuoendeze siku zote.
Mwalimu, Mungu akubariki sana
Mungu akuongezee kipawa zaidi ya apa, na utukumbuke katika maombi yako
Super super super Bravo Bravo ❤❤❤❤
Naamini nchi nzima umekuwa muimbaji asiye na makandokando ulindwe na utume huu
AMEN,,, akae nami BWANA
Mungu akubariki sana mtumishi yahan huwa nyimbo zako zinanifanya nitafakari ukuu wa Mungu maana nyimbo zako ni mahubiri tosha kwa atakayesikiliza kwa makini zinajenga na kuinua mioyo hiliyo inama
Ashukuliwe Mungu aliye kupa uwezo huu wa kuhubir kwa njia hii ya uimbaji
Mungu akubariki kaka 🙏
Mapenzi yako yatimizwe kwangu YHWH
Mtumie kijana wangu awe unachotaka awe Jahweh
Bwana Mwenye Enzi kuu Yehova kaa nami [ nasi] 🙌
Ubarikiwe kwa wimbo mzuri ambwene
Kwa hakika akae nasi daima 💖.
Huduma yako naipenda sn,Yesu akutetee ktk kila pito lako,twayaweza yote ktk yeye atutiaye nguvu,barikiwa mtumishi wa Bwana.
Amen Amen in might name of Jesus
Amina mtumishi wa Mungu aliye hai
Ubarikiwe mtumishi wa MUNGU
UBARIKIWE MNO NA KUZIDI SANA MTUMISHI WA BWANA.
UKAE NAMI BWANA 🙏🙏🙏
Ukae nami BWANA 🥰❤️🙏
Mtumishi ubalikiwe
Mimi ni muimbaji naomba msaada wako
Nyimbo zangu 2 zipo you tube natumia jina la Jorebe Danny please help me
Be blessed
👏👏👏👏
❤❤❤ love much from Canada 🇨🇦 Mtumishi barikiwa saan unaimbia Mungu alie hai😂🎉Upo kiroho endelea kusimama na Mungu alie hai atakukweza😂ilove you so much for this kind words that you us to share with us ❤❤
Heleluya kaanami Jehovah 🙏🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe mtumishi kwa wimbo mzuri
Blessed sana mtumish
Kila nyimbo ni bora ameen🙏
Ukae nami milele Bwana Yesu
Saffiiii. Ambwene!
There was a man who was sent from God;whose name was John
Mr Ambwene is that artist you'll keenly observe and say this a man sent from God to encourage,advice and comfort me#🇰🇪
Amen,God bless you my brother.
Ubarikiwe sana mtumishi, nyimbo zako hua zinafundisha sana🙏🙏🙏
Ambwene Ambwene Ambwene I call you Mr 3 times enough my brother enough enough enough wewe ni zaid ya tungo yenyewe hakika kila siku nasema hujawahi kosea katika tungo na nyimbo zako mtumishi nyimbo zako zina historia kubwa sana katika maisha yangu zimenijenga zimenifariji zimenipa nguvu ya kusonga mbele na mengine mengi tu mungu akulinde.❤❤❤❤
Amina🙏, barikiwa sana.
Ubarikiwe sana ndugu yangu mwimbaji mkubwa ambaye nabarikiwa kila naposikia nyimbo zake barikiwa kama unavyonibariki kwa uimbaji wako wenye utulivu na upako zaidi.
Bwana Yesu akaye nasi sote.
such a wonderful worship song
Bwana ukae nami 🙏🙏🙏
Burundi tuna kusikiriza Kira siku
Amen mbarikiwe sana ila Next time andika Kila siku sio kira mpendwa……Barikiwa sana
Ukae nami ❤bwana
shikamo Baba Ambwene.mimi naitwa Gabriel toka Congo GOMA.Nabarikiwaga sana ba nyimbo zako
Ukae nami🎉 nàpenda nyimbo zako
Hallelujah ❤️
Mungu azidi kukuinua mno. Mungu amekuchangua utufariji na safari tuliyo nayo ya wokovu
Mungu aendelee kukaa nawe mtumishi ambwene ila tuendelee kubarikiwa na tungo zako zilizojaa nguvu za mungu
MUNGU AKAE NAS TUKITANE ASUBUH NJEMA MBINGU MPYA NA NCH MPYA...TUSIISHIE DUNIAN AMEN
Mtumishi wamungu 😍
Kukaa na bwana ndio tamaa yangu
Mm napata ammani kila ninapo imba na kusikiliza nyimbo zako baba
Yesu kaa nami katika majira ya jua hili, maana nikali nisije nyauka, wewe uwe kivuli changu.
Bro Ambwene siku zote nyimbo zako huwa na ujumbe wenye kuponya sana Mungu akuinue zaidi
Sifa kwa bwana 🙏🙏
Barikiwa sana kwa huduma hii
Wewe nimkali Baba ubarikiwe
Am3n brother ❤
MUNGU Akubariki asante sana kwa wimbo mzuri naakulinde akupe mahisha marefu.
Wimbo mzuri sana una nguvu za MUNGU ndani yake.
MUNGU akubariki sana mtumishi Ambwene
Kaa nami Bwana. Nakuhitaji maishani mwangu
Nabarikiwa na hii nimbo
Amina mungu kaa nami
Hallelujah Hallelujah 🙏
Mungu akubariki mtumishi wake azidi kukuinua juuuuuuuuuuuuuuuuu mnooo
Amen,kaa nami Bwana
Mungu akubariki sana
Mtumishi huduma yako ni njema,Mungu aendelee kukupa hekima sikuzote