Pongezi kwa juhudi nyingi mama kuiitangaza África na juhudi zake na waliotuanzilisha mataifa hakiwemo mwalimu juliasi kambarage nyerere,je hilo sanamu lipo mkoa gani uko Ethiopia.
Yaan kwakwel ajuae yote ni Muumba na ameweka siri kubwa sana ambayo hata muhangaike vp hamuez kuifaham, mtaweza kuunda masanam na vingnevyo ila kitu kimoja tu hamtokiweza,"hyo pumz ya uhai"
Huyo sio Nyerere
Tunaomba picha ya Hayati Makufuri iwekwe Njia panda Ubungo na Picha ya Samia Arusha au Dar.Maoni yangu lakini.
Hii mbona picha haifanani na mwalimu jaman au macho Yangu hayaoni vizuri
Huyo sio nyerere wetu angalieni vizuri nanyie
Mzee Nyerere hayuko ivyo sijui lakini labda macho yangu.
Kipofu na Kiziwi wamechukuana na sanamu Ethiopia .
Picha ni ya Tinubu jina ni la Nyerere.
Hii sanamu ya Nyerere bhana dah, acha tu nisiendelee kucoment😂😂😂😂😂😂😂
Hawafanani hata😢
Mtengenezaji akamatwe
Pongezi kwa juhudi nyingi mama kuiitangaza África na juhudi zake na waliotuanzilisha mataifa hakiwemo mwalimu juliasi kambarage nyerere,je hilo sanamu lipo mkoa gani uko Ethiopia.
Imezinduliwa wapi
Yaan kwakwel ajuae yote ni Muumba na ameweka siri kubwa sana ambayo hata muhangaike vp hamuez kuifaham, mtaweza kuunda masanam na vingnevyo ila kitu kimoja tu hamtokiweza,"hyo pumz ya uhai"
Waache kumdhihaki babu. Hakuwa hivyo. Hiyo sanamu wameangalia picha gani wakati wanaitengeneza?😢
Kaa! Ndiye nyerere huyo?😂😂
Hongera sana kwa umoja wa Africa kutambua juhudi za mwalimu nyerere
Hafanani
SASA MASANAMU YATAWASAIDIA NINI ? ETI NDIO VIONGOZI HAO NA AKILI ZAO MGANDO ZA MASANAMU👀👀😂😂
Mkoa gani imewekwa
Unaulizia mkoa wa Ethipia ?
Iko Ethiopia😊
Kwa nini Ethiopia?
AU pale makao makuu
Wewe unaakili kweli?