🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 04. 2021
  • 🔴#LIVE​​​: RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZIRI WA KENYA, ALIYELETA UJUMBE WA RAIS KENYATTA...
    Leo April 10, 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta uliowasilishwa na waziri wa michezo tamaduni na urithi wa Kenya Balozi Amina Mohammed.
    Wakiwa katika Ikulu ya Jijini Dar es salaam, Rais Samia amefanya mazunguzo na Balozi Amina juu ya dhamira ya Tanzania na Kenya kuendeleza na kukuza zaidi uhusiano wake katika Nyanja za kiuchumi na kijamii.
    Aidha Rais Samia amemuhakikishia Rais wa kenya kuwa serikali anayoiongoza ipo tayari kuendeleza mambo mazuri yote yaliyokuwa yakifanywa na mtangulizi wake Hayati Dkt. John Magufuli, sambamba na kutatua changamoto zote zilizopo kati ya Kenya na Tanzania.
    Rais Samia amewataka Mawaziri na wataalam wa Tanzania na Kenya wanaounda kamati ya Ushirikiano wa pamoja (Joint Permanent Commission - JPC) ambao hawajakutana tangu mwaka 2016 kukutana mara moja ili kufanyia kazi masuala mbalimbali ya kuimarisha uhusiano wao.
    Kwa upande wake Rais wa Kenya Uhuru kenyata kupitia ujumbe huo, amemwalika Rais Samia kufanya ziara rasmi nchini Kenya ili kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano.
    Rais Kenyatta amemhakikishia Rais Samia kuwa Kenya ipo tayari wakati wote kushirikiana Tanzania kwa kuendeleza na kukuza zaidi ushirikiano kati ya nchi hizo.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 175

  • @dianamkita6571
    @dianamkita6571 Před 3 lety +8

    Karibu sana TZ Mh..Amina..Ahsante sana kwa kuongea Kiswahili..Safi sana..

  • @godanaadhi8058
    @godanaadhi8058 Před 3 lety +3

    Thank you Rais Samia for being a good example for a Muslim women. Our Amina never saw it right until she knocked on your door and would have felt out of place without at least a modest headcover

  • @claudinemaxime936
    @claudinemaxime936 Před 3 lety +4

    Asante Kenya kwa mapenzi yenu na uhusiano wenu na si,,, Mungu ibariki Afrika,,,

  • @jayzeem14
    @jayzeem14 Před 3 lety +4

    Wonderful! Remarkable move, Asante Mheshimiwa Rais Uhuru Kenyatta kwa ujumbe wako! Ni muhimu wa Afrika tukaungana kuijenga Afrika na kujenga na kujitegemea.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 3 lety

      Ni kweli kabisa it's such a remarkable move indeed, jiulize mfano issue ya Corona africa to present hawajawaza hata kukaa as a continent kuangalia namna ya kuja na vaccination yao ndo kwanza tunangojea ikhasani ya magharibi

    • @heraldloshi1864
      @heraldloshi1864 Před 3 lety

      @@fahadfaraj6474 Bora tuvumbue chanjo zetu wenyewe, humu humu Afrika.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 3 lety +1

      @@heraldloshi1864 na inawezekana tatizo tumejiona tegemezi sana

    • @heraldloshi1864
      @heraldloshi1864 Před 3 lety

      @@fahadfaraj6474 Ni kweli, pamoja na kutojiamini.

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před 3 lety +1

      @@heraldloshi1864 itatufanya milele tuburuzwe wenzetu wa asia wengi ambao miaka ya uhuru tulifanana nao kiuchumi leo hii wako mbali sana, cha kushangaza mpaka leo katika nchi zetu uhuru wa kiuchumi bado kabisa

  • @hashimmohamed3215
    @hashimmohamed3215 Před 3 lety +5

    Akukumbukaye wakati wa shida, ndiye rafiki wa kweli. Go EAC go.

  • @augustuss4503
    @augustuss4503 Před 3 lety +14

    Baba ameondoka, they're moving in now, they know she's venerable, Mama watch out for them snakes. R.I.P king Magufuli.

    • @daishajumanne5990
      @daishajumanne5990 Před 3 lety +5

      Najiuliza mie mbona toka baba yetu atutoke wanao jitokeza wengi kutaka upendo nasi

    • @christabelmahero5071
      @christabelmahero5071 Před 3 lety +2

      Hehehehehe so funny

    • @ezekielmburu3418
      @ezekielmburu3418 Před 3 lety +2

      Magufuli was stupid. Magufuli alikuwa kinjinkitile ngwale ambaye hakuielewa dunia ya sasa

    • @tanzaniatouristsattraction1622
      @tanzaniatouristsattraction1622 Před 3 lety +1

      @@daishajumanne5990 yaani Acha tu

    • @timbukwa9771
      @timbukwa9771 Před 3 lety +5

      @@ezekielmburu3418 You know I don't like the way you call our President that name, I have noticed you frequently naming that name, between Uhuru and late Magufuri who is stupid?? and you think Uhuru anajua sana Dunia ya sasa? kwa kukumbatia westerners au? so please watch your mouth!! if you use language like that you better shut up your mouth, the one you call stupid has made us proud today and we respect him so much to his Grave!! so please please.

  • @asumaniali4023
    @asumaniali4023 Před 3 lety +7

    This time amejitanda mashaAllah

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 Před 3 lety +1

      Banae amejua ataaibika coz mwenzie n raisi na anajitanda kma dini ilivomtaka

    • @asumaniali4023
      @asumaniali4023 Před 3 lety +1

      @@hassanwanje7373 huyo tumemzoea hajitandi maisha yake nashangaa kumuona hivyo

  • @cabdiqanidahir1860
    @cabdiqanidahir1860 Před 3 lety +4

    May Allah bless mama Samia she has let Minister Amina to cover her hair

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 Před 3 lety

      Mama suluhu Allah amlipe kila LA kher ingekua n mwengne angetoa hijab angeitupilia mbal

  • @djdj3urj88
    @djdj3urj88 Před 3 lety +6

    Tunashukuru sana ila kuwa makini wasi wasi ndio akili kuwa makini na mwaliko maongezi yawe ya kujenga sio kubomoa wale mabeberu hiyo pia nia Yao

  • @lgffumbuka183
    @lgffumbuka183 Před 3 lety +4

    Majirani zety kwa kuiga bwana, huwawezi. South Africa waliiga benders yetu na wimbo wa taifa, Kenya naona wanatuiga gender. Sisi ni kikwelikweli, we are serious, wao ni ema kuiga au mbwembwe.

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl Před 3 lety +3

    Waooo ahsante waziri wa Kenya

  • @jumajay8496
    @jumajay8496 Před 3 lety +1

    Wakenya tulikopeshwa lugha za ya kiingerenza tukaacha kuzungumza lugha yetu ya kiswahili sasa waziri amina he is not comfortable kuzukumza kiswahili lkn hata hivyo amejaribu kama angeletwa waziri Rachael omamo hakuna mtu angeeliekewa ni lugha gani alokua akiizungumza pengine balozi dan kazungu ingembidi amtafsirie rais samia na waandishi.

  • @michiali9814
    @michiali9814 Před 3 lety +3

    Amina my dear hope huo mtandio ndio umefika hautashuka tena mamangu u look beautiful

  • @ashrafbwana6392
    @ashrafbwana6392 Před 3 lety +2

    Mashallah she look good this time wazir

  • @latifamkulazi8378
    @latifamkulazi8378 Před 3 lety +1

    Baba alisema tutamkumbuka Kwa Wema sio Kwa mabaya. Mungu ailaze mahalapema Roho ya MAGUFULI🙏🏽🙏🏽

  • @dellekim1828
    @dellekim1828 Před 3 lety +1

    Had never seen her na kitambaa...madam cs Amina Mohammed ,I thought she is a christian,kumbe ni muislamu na hafungi hijab🙄

  • @marianelmi6168
    @marianelmi6168 Před 3 lety

    Maashaalah
    Very nice WOMEN POWER 💪🙏

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 Před 3 lety +3

    Salam kwa embercende danny kazungu

  • @tahiraabdul1701
    @tahiraabdul1701 Před 3 lety +3

    Waziri Amina huyo, Mtoto mwache tu level yake ya kielimu ni ile ya bi Fatma Karume...Masha Allah Raisi mpenzi Bi Suluhu Hassan, Allah akulinde Mtoto wa watu

    • @gracemima5234
      @gracemima5234 Před 3 lety +2

      Sasa unafananisha level ya elimu ya Amina na Fatuma! Elimu zao tofauti kabisa, vitendo vyao tofauti kabisa, maisha yao tofauti kabisa. Ujinga wetu sisi Watanzania tunapima elimu za watu kwa kiingereza kwasababu hatuilew. Fatuma Jamani alifeli mitihani yote pamoja na baba yake kumpeleka Ulaya. Kizungu anavyoongea mtu yeyote anaweza kuongea akiishi Ulaya. Amina ni mama na heshima zake. Fatuma mtu mzima lakini anaishi kama musichana teenager hajui anataka nini na miaka inaenda.

    • @murattywamuratty9778
      @murattywamuratty9778 Před 3 lety +1

      Wengi wanaelimu lakini wanaongoza nchi kwa rushwa na kwa ubadhirifu serikalini licha ya elimu zao sasa elimu sio kigezo cha uwongozi

    • @heraldloshi1864
      @heraldloshi1864 Před 3 lety

      @@murattywamuratty9778 Ni kweli 👍🏽

    • @murattywamuratty9778
      @murattywamuratty9778 Před 3 lety +1

      Bali uwongozi ni hekma na Busara za mtu mwenyewe hata kama huna elimu ukiwa na vitu ivo wewe unafaa kusikilizwa mana wangapi leo wana elimu lakin hawana hekma za uwongozi kazi rushwa na wizi tu serikalini so tusiangalie mtu elimu yake tuangalie nini anafanya kwenye taifa lake.

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 Před 3 lety

      Hamna lolote sifa za bure tu ana elmu gan kma akiwa na rasi na viongozi wengne dini anaitupilia mbal? Ndo elimu hio

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 3 lety +1

    Ahsanteni sasa akina Mama viongozi

  • @bernadinlesulie476
    @bernadinlesulie476 Před 3 lety +2

    Huyu ni m Tz kabisa

  • @darlingtonmoshi4372
    @darlingtonmoshi4372 Před 3 lety

    👍🏾

  • @kalundemedia242
    @kalundemedia242 Před 3 lety +2

    Mlima Kilimanjaro uko Tanzania na Madini ya Tanzanite yako Tanzania.

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 Před 3 lety

      Naona wamekuja kumuomba Rais watangaze kuwa ni vyao kwa sente kidogo.mama kaishasema atawazingua

    • @aliyahkhamis7472
      @aliyahkhamis7472 Před 3 lety

      @@beatricehenry6776 ha ha ha aibu kama unafikiria kama mtu hajasoma haiko Kenya tutasemaje n yetu wewe uko n roho mbaya Sana

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Před 3 lety +3

    Bi mkubwa dodoma ndo basi!

  • @adrushassan6348
    @adrushassan6348 Před 3 lety +4

    Wakenya ni wanafiki

    • @zinbormdan9813
      @zinbormdan9813 Před 3 lety +1

      Walizuia mahindi yetu mpakan wakasema yana sumu

    • @augustuss4503
      @augustuss4503 Před 3 lety

      Wakenya ni vibaraka wa wazungu, so one should be very careful.

    • @jameskariuki9308
      @jameskariuki9308 Před 3 lety

      @@zinbormdan9813 Pia mkasema nyie hamna Corona, madereva wenu wakapimwa last year mkadhani ni dharau ama. Mahindi yana sumu ya Aflatoxins, na kuna sheria za ukaguzi wa bidhaa before importation.

    • @jameskariuki9308
      @jameskariuki9308 Před 3 lety

      @@zinbormdan9813 Pia mkasema nyie hamna Corona, madereva wenu wakapimwa last year mkadhani ni dharau ama. Mahindi yana sumu ya Aflatoxins, na kuna sheria za ukaguzi wa bidhaa before importation. Ilikua ikaguliwe, si ati yalikua na sumu.

    • @zinbormdan9813
      @zinbormdan9813 Před 3 lety

      @@jameskariuki9308 msije bas kaeni kwenu

  • @historiazakweli
    @historiazakweli Před 3 lety

    Nacheka nikiona Comment kuwa huyu Waziri Amina alikuwa hajitandi sasa amejitanda. Hahahaha.

  • @mohamedmasoud6565
    @mohamedmasoud6565 Před 3 lety +2

    Mm nashanga na watu wengine Kenya wametowa mtu kutowa pole wengine walalamika shenzi

    • @claudinemaxime936
      @claudinemaxime936 Před 3 lety

      Ni ujinga huo,,, Inapaswa waelimishwe,,,

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 Před 3 lety +1

      Hatutaki wakae huko kwao wajirockdown wala rushwa wakubwa na watu wao wa chini wanateseka

    • @noahwamalwa4385
      @noahwamalwa4385 Před 3 lety

      @@beatricehenry6776 Kwani iko nini?? Kula rushwa ni lazima. Ama ni namna gani my friend?

    • @noahwamalwa4385
      @noahwamalwa4385 Před 3 lety

      @@claudinemaxime936 la sivyo. Kila mtu na maoni yake, na Mungu ni wetu sote!

    • @aliyahkhamis7472
      @aliyahkhamis7472 Před 3 lety

      @@beatricehenry6776 Sema wewe ndio hautaki Rais Samia akikataa ndio tutakubali lakini wewe sio kitu

  • @issazakaria863
    @issazakaria863 Před 3 lety

    Tuko pamoja Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia

  • @felicianmabepe3958
    @felicianmabepe3958 Před 3 lety +2

    taarabu

  • @victoriaowino2824
    @victoriaowino2824 Před 3 lety

    Mama Samia Omba Mungu akupe macho na masiklo ya Kiroho ili usikie kutoka kwake kuhusu Maratiki wa kweli usije ukawekwa Box

  • @robertmgore3653
    @robertmgore3653 Před 3 lety +1

    Maigizo

  • @simkotec3091
    @simkotec3091 Před 3 lety +4

    Incompetent hajui hata jina la rais wa Tanzania alafu eti ni deplomat kutoka kenya shame on you Kenyans .Rais anaitwa Samia Suluhu Hassan sio eeeeee,eeeeee pumbavu.😒😒

    • @dianamkita6571
      @dianamkita6571 Před 3 lety +1

      Jamani Peter...
      Msamehe tu...

    • @kasimkassam9565
      @kasimkassam9565 Před 3 lety

      @@dianamkita6571 😀

    • @dotahamad6640
      @dotahamad6640 Před 3 lety

      🤭🤭

    • @mosesnmousa5558
      @mosesnmousa5558 Před 3 lety

      The lady is from Oman..and now she is the president of tanzania ....tuwasamehe wakenya ...watuona si maskini ndo maana hata majina hawajali.🇹🇿🇹🇿

    • @simkotec3091
      @simkotec3091 Před 3 lety

      @@mosesnmousa5558 likenya limoja linalojifanya li tz

  • @mufamozmufash166
    @mufamozmufash166 Před 3 lety

    At list for the first time Amina amejitanda.unacheza na mama Samia ukimzingua atakuzingua pia.hapa kazi tu.

  • @claudinemaxime936
    @claudinemaxime936 Před 3 lety +1

    Kiswahili cha Kenya 🤣🤣🤣 Kiswahili waachie Watanzania!!!

  • @deobenedictakyoo3140
    @deobenedictakyoo3140 Před 3 lety

    Asnt

  • @cristalclear2499
    @cristalclear2499 Před 3 lety

    Watanzania ni shemechi wetu wakenya. Ugomfi wanini.

  • @leymanleyman7426
    @leymanleyman7426 Před 3 lety

    Hiyo ni loan uhuru anataka maana kenya kwa mikopo. Mama samia kuwa makini maana kenya siwalipaji.

    • @aliyahkhamis7472
      @aliyahkhamis7472 Před 3 lety

      Sasa mko n pesa gani ya kukopwa sisi hu deal n ma billion

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 Před 3 lety

    Muwe makini msifikiri Jpm msifikiri alikua dictatorship na mahusiono na nchi zingine hayakua mazuri ni uongo Jpm hakutaka hii nchi kuchezewa na majirani ambao waliifanya kua shamba la bibi na kuiba rasilimali huku wakiwaita watanzania wajing, hiyo nchi ya kenya inatumika kama uwanja wa kutushambulia, mmwe makini hatutaki kuchezea tena.

  • @mohamedasaid7910
    @mohamedasaid7910 Před 3 lety

    Kiswahili cha Wiziri wetu balaa.
    Anaishi Nairobi

  • @manyusiabubakar4370
    @manyusiabubakar4370 Před 3 lety

    Chungeni saana ma rais wetu .. ma bebelu wapo .. wasije wakatudunga vidore tena kwenye macho.
    Wa africans wote tumeumia . Kumpoteza rais wetu jpm

  • @rashidabdallah3253
    @rashidabdallah3253 Před 3 lety

    Social distancing nimeikubali hongereni viongozi kwakujali vigezo namasharti ya kinga dhidi ya ugonjwa wa covid-19.

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Před 3 lety

    Yusisahu LISSU amejenga Kenya anataka kutawala TZ kwa faida za mabeberu LISSU nimzungu kama wakenya hamjaelewa bado ?

    • @gaboonviper9705
      @gaboonviper9705 Před 3 lety

      😁😆huko Tanzania lazima tuingie sasa,,polepole tu tutaelewana tu

  • @victoriaowino2824
    @victoriaowino2824 Před 3 lety

    Huo mwaliko uvalie miwani ya Kiroho na ufunge siku arobaini kabla ya kukubali kona watu na Viatu Duniani

  • @williamkavuta8066
    @williamkavuta8066 Před 3 lety

    Wamefanana....ndo mana kamtuma!

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari1614 Před 3 lety

    Huyu balozi mbona hajiaminiii

  • @manyusiabubakar4370
    @manyusiabubakar4370 Před 3 lety

    Are very dangerous those mabeberu .. africans we have to do something please!

  • @jameskariuki9308
    @jameskariuki9308 Před 3 lety +2

    Kiswahili yetu yote ndo iyo, Kiswahili waachie watanzania. Napendezwa na Rais wenu sana, uhusiano wetu na Tanzania ulikua umedorora, lakini sasa utakua mzuri zaidi. Uongozi uko ndani yake. She's a very humble President, mkarimu, mwenye heshima, anaheshimika. Rais mstarabu sana. I will be happy akiwa mwenyekiti wa jumuiya la Afrika Mashariki after Uhuru Kenyatta.

    • @husseinmkanga7794
      @husseinmkanga7794 Před 3 lety +1

      Ngojeni muuwane tena 2022 achana na Tanzania.

    • @timbukwa9771
      @timbukwa9771 Před 3 lety +2

      Uhuru is a Good guy natamani siku moja nije niywe nae konyagi

    • @claudinemaxime936
      @claudinemaxime936 Před 3 lety +2

      Uhusiano wa Tz na Kenya ulikuwa unadorora ? I don't think so,,, Hayati Magufuli alikuwa akisimamia vizuri diplomasia na nchi jirani,,,

    • @claudinemaxime936
      @claudinemaxime936 Před 3 lety +3

      @@husseinmkanga7794 Kwa nini unajibu hivyo? Na bado Waafrika sisi ni ndugu!!!

    • @heraldloshi1864
      @heraldloshi1864 Před 3 lety

      @@timbukwa9771 😂😂😂 Konyagi!

  • @khadijaali3688
    @khadijaali3688 Před 3 lety

    Balaa hawajazoweya kuongea kiswahilii jamani duh

    • @marymnyazimaitha2186
      @marymnyazimaitha2186 Před 3 lety

      Kiswahili kigumu jamani😂😂

    • @halley807
      @halley807 Před 3 lety +1

      Wakenya kiswahilli hawajui ila amejaribu. Tumupe pongezi. Lol

    • @noahwamalwa4385
      @noahwamalwa4385 Před 3 lety

      @@halley807 amejaribu sana! Ila usimzingue, maanake utazinguliwa wewe..

  • @zuhurasuleiman434
    @zuhurasuleiman434 Před 3 lety +2

    Ni kweli hao ni wachafuzi Mimi ni mkenya najua

  • @bongobongo1755
    @bongobongo1755 Před 3 lety

    Mafisadi wamekuja! Mahindi sumu vipi? Imeisha! Bull shit

    • @beatricehenry6776
      @beatricehenry6776 Před 3 lety

      Wanafiki sanaaaa ruhusu mahindi basi

    • @bongobongo1755
      @bongobongo1755 Před 3 lety +1

      @@beatricehenry6776 wamekuja kumuingiza mama king mafisadi no 1 kenya

  • @sarahnyambaka5885
    @sarahnyambaka5885 Před 3 lety

    hakuna salamu hapo ni kukopa

    • @leymanleyman7426
      @leymanleyman7426 Před 3 lety

      😂😂😂😂😂😂 wanataka loan. Maana kenya kwa kukopa mikopo. Mama kuwa makini maana si walipaji hao

    • @aliyahkhamis7472
      @aliyahkhamis7472 Před 3 lety

      @@leymanleyman7426 mko n nini Sasa y kukopwa

  • @busnaoman9981
    @busnaoman9981 Před 3 lety

    Inatakiwa umakin san hp mh mialiko mingin isifurahiw t naukiangalia saiv rais mwanamk bas nivyovyot t wakiamua mkumbuk libya kule ninin kinaendelea bdl ya kumuua gadaf☹️☹️☹️☹️☹️

  • @sarahnyambaka5885
    @sarahnyambaka5885 Před 3 lety

    mama samia .when the deal his too good think twice.kiswahili kigumu aisee si uongee kizungu

  • @sarahnyambaka5885
    @sarahnyambaka5885 Před 3 lety

    mama samia kasimamie hiyo africa mashariki aliepo sahihi utakopa mwisho kenya itauzwa kabisa