🔴
Vložit
- čas přidán 9. 04. 2021
- 🔴#LIVE: RAIS SAMIA AKUTANA NA WAZIRI WA KENYA, ALIYELETA UJUMBE WA RAIS KENYATTA...
Leo April 10, 2021 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepokea ujumbe maalum kutoka kwa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta uliowasilishwa na waziri wa michezo tamaduni na urithi wa Kenya Balozi Amina Mohammed.
Wakiwa katika Ikulu ya Jijini Dar es salaam, Rais Samia amefanya mazunguzo na Balozi Amina juu ya dhamira ya Tanzania na Kenya kuendeleza na kukuza zaidi uhusiano wake katika Nyanja za kiuchumi na kijamii.
Aidha Rais Samia amemuhakikishia Rais wa kenya kuwa serikali anayoiongoza ipo tayari kuendeleza mambo mazuri yote yaliyokuwa yakifanywa na mtangulizi wake Hayati Dkt. John Magufuli, sambamba na kutatua changamoto zote zilizopo kati ya Kenya na Tanzania.
Rais Samia amewataka Mawaziri na wataalam wa Tanzania na Kenya wanaounda kamati ya Ushirikiano wa pamoja (Joint Permanent Commission - JPC) ambao hawajakutana tangu mwaka 2016 kukutana mara moja ili kufanyia kazi masuala mbalimbali ya kuimarisha uhusiano wao.
Kwa upande wake Rais wa Kenya Uhuru kenyata kupitia ujumbe huo, amemwalika Rais Samia kufanya ziara rasmi nchini Kenya ili kukuza zaidi uhusiano na ushirikiano.
Rais Kenyatta amemhakikishia Rais Samia kuwa Kenya ipo tayari wakati wote kushirikiana Tanzania kwa kuendeleza na kukuza zaidi ushirikiano kati ya nchi hizo.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Karibu sana TZ Mh..Amina..Ahsante sana kwa kuongea Kiswahili..Safi sana..
Thank you Rais Samia for being a good example for a Muslim women. Our Amina never saw it right until she knocked on your door and would have felt out of place without at least a modest headcover
Asante Kenya kwa mapenzi yenu na uhusiano wenu na si,,, Mungu ibariki Afrika,,,
Kagame, Museveni,... mpo?
Hakuna cha mapenzi apo n self interest tu hio nakujionyesha
@@hassanwanje7373 ww nawe
@@aliyahkhamis7472mm nn tena jamen
@@hassanwanje7373 Sawa vile umefikiria lakini dini yetu imetukataza dhana
Wonderful! Remarkable move, Asante Mheshimiwa Rais Uhuru Kenyatta kwa ujumbe wako! Ni muhimu wa Afrika tukaungana kuijenga Afrika na kujenga na kujitegemea.
Ni kweli kabisa it's such a remarkable move indeed, jiulize mfano issue ya Corona africa to present hawajawaza hata kukaa as a continent kuangalia namna ya kuja na vaccination yao ndo kwanza tunangojea ikhasani ya magharibi
@@fahadfaraj6474 Bora tuvumbue chanjo zetu wenyewe, humu humu Afrika.
@@heraldloshi1864 na inawezekana tatizo tumejiona tegemezi sana
@@fahadfaraj6474 Ni kweli, pamoja na kutojiamini.
@@heraldloshi1864 itatufanya milele tuburuzwe wenzetu wa asia wengi ambao miaka ya uhuru tulifanana nao kiuchumi leo hii wako mbali sana, cha kushangaza mpaka leo katika nchi zetu uhuru wa kiuchumi bado kabisa
Akukumbukaye wakati wa shida, ndiye rafiki wa kweli. Go EAC go.
Baba ameondoka, they're moving in now, they know she's venerable, Mama watch out for them snakes. R.I.P king Magufuli.
Najiuliza mie mbona toka baba yetu atutoke wanao jitokeza wengi kutaka upendo nasi
Hehehehehe so funny
Magufuli was stupid. Magufuli alikuwa kinjinkitile ngwale ambaye hakuielewa dunia ya sasa
@@daishajumanne5990 yaani Acha tu
@@ezekielmburu3418 You know I don't like the way you call our President that name, I have noticed you frequently naming that name, between Uhuru and late Magufuri who is stupid?? and you think Uhuru anajua sana Dunia ya sasa? kwa kukumbatia westerners au? so please watch your mouth!! if you use language like that you better shut up your mouth, the one you call stupid has made us proud today and we respect him so much to his Grave!! so please please.
This time amejitanda mashaAllah
Banae amejua ataaibika coz mwenzie n raisi na anajitanda kma dini ilivomtaka
@@hassanwanje7373 huyo tumemzoea hajitandi maisha yake nashangaa kumuona hivyo
May Allah bless mama Samia she has let Minister Amina to cover her hair
Mama suluhu Allah amlipe kila LA kher ingekua n mwengne angetoa hijab angeitupilia mbal
Tunashukuru sana ila kuwa makini wasi wasi ndio akili kuwa makini na mwaliko maongezi yawe ya kujenga sio kubomoa wale mabeberu hiyo pia nia Yao
Majirani zety kwa kuiga bwana, huwawezi. South Africa waliiga benders yetu na wimbo wa taifa, Kenya naona wanatuiga gender. Sisi ni kikwelikweli, we are serious, wao ni ema kuiga au mbwembwe.
Amina kakua waziri toka 2013.
Waooo ahsante waziri wa Kenya
Wakenya tulikopeshwa lugha za ya kiingerenza tukaacha kuzungumza lugha yetu ya kiswahili sasa waziri amina he is not comfortable kuzukumza kiswahili lkn hata hivyo amejaribu kama angeletwa waziri Rachael omamo hakuna mtu angeeliekewa ni lugha gani alokua akiizungumza pengine balozi dan kazungu ingembidi amtafsirie rais samia na waandishi.
Amina my dear hope huo mtandio ndio umefika hautashuka tena mamangu u look beautiful
Mashallah she look good this time wazir
Baba alisema tutamkumbuka Kwa Wema sio Kwa mabaya. Mungu ailaze mahalapema Roho ya MAGUFULI🙏🏽🙏🏽
Had never seen her na kitambaa...madam cs Amina Mohammed ,I thought she is a christian,kumbe ni muislamu na hafungi hijab🙄
Maashaalah
Very nice WOMEN POWER 💪🙏
Salam kwa embercende danny kazungu
Waziri Amina huyo, Mtoto mwache tu level yake ya kielimu ni ile ya bi Fatma Karume...Masha Allah Raisi mpenzi Bi Suluhu Hassan, Allah akulinde Mtoto wa watu
Sasa unafananisha level ya elimu ya Amina na Fatuma! Elimu zao tofauti kabisa, vitendo vyao tofauti kabisa, maisha yao tofauti kabisa. Ujinga wetu sisi Watanzania tunapima elimu za watu kwa kiingereza kwasababu hatuilew. Fatuma Jamani alifeli mitihani yote pamoja na baba yake kumpeleka Ulaya. Kizungu anavyoongea mtu yeyote anaweza kuongea akiishi Ulaya. Amina ni mama na heshima zake. Fatuma mtu mzima lakini anaishi kama musichana teenager hajui anataka nini na miaka inaenda.
Wengi wanaelimu lakini wanaongoza nchi kwa rushwa na kwa ubadhirifu serikalini licha ya elimu zao sasa elimu sio kigezo cha uwongozi
@@murattywamuratty9778 Ni kweli 👍🏽
Bali uwongozi ni hekma na Busara za mtu mwenyewe hata kama huna elimu ukiwa na vitu ivo wewe unafaa kusikilizwa mana wangapi leo wana elimu lakin hawana hekma za uwongozi kazi rushwa na wizi tu serikalini so tusiangalie mtu elimu yake tuangalie nini anafanya kwenye taifa lake.
Hamna lolote sifa za bure tu ana elmu gan kma akiwa na rasi na viongozi wengne dini anaitupilia mbal? Ndo elimu hio
Ahsanteni sasa akina Mama viongozi
🤣🤣🤣🤣 Samia, Amina, Liberata Mulamula...
Huyu ni m Tz kabisa
👍🏾
Mlima Kilimanjaro uko Tanzania na Madini ya Tanzanite yako Tanzania.
Naona wamekuja kumuomba Rais watangaze kuwa ni vyao kwa sente kidogo.mama kaishasema atawazingua
@@beatricehenry6776 ha ha ha aibu kama unafikiria kama mtu hajasoma haiko Kenya tutasemaje n yetu wewe uko n roho mbaya Sana
Bi mkubwa dodoma ndo basi!
😄😄😄😄 Unaona haganduki yupo dar tu ataenda dodoma, ucjali
Bi raisi Pole kwake
Wakenya ni wanafiki
Walizuia mahindi yetu mpakan wakasema yana sumu
Wakenya ni vibaraka wa wazungu, so one should be very careful.
@@zinbormdan9813 Pia mkasema nyie hamna Corona, madereva wenu wakapimwa last year mkadhani ni dharau ama. Mahindi yana sumu ya Aflatoxins, na kuna sheria za ukaguzi wa bidhaa before importation.
@@zinbormdan9813 Pia mkasema nyie hamna Corona, madereva wenu wakapimwa last year mkadhani ni dharau ama. Mahindi yana sumu ya Aflatoxins, na kuna sheria za ukaguzi wa bidhaa before importation. Ilikua ikaguliwe, si ati yalikua na sumu.
@@jameskariuki9308 msije bas kaeni kwenu
Nacheka nikiona Comment kuwa huyu Waziri Amina alikuwa hajitandi sasa amejitanda. Hahahaha.
Mm nashanga na watu wengine Kenya wametowa mtu kutowa pole wengine walalamika shenzi
Ni ujinga huo,,, Inapaswa waelimishwe,,,
Hatutaki wakae huko kwao wajirockdown wala rushwa wakubwa na watu wao wa chini wanateseka
@@beatricehenry6776 Kwani iko nini?? Kula rushwa ni lazima. Ama ni namna gani my friend?
@@claudinemaxime936 la sivyo. Kila mtu na maoni yake, na Mungu ni wetu sote!
@@beatricehenry6776 Sema wewe ndio hautaki Rais Samia akikataa ndio tutakubali lakini wewe sio kitu
Tuko pamoja Mheshimiwa Rais wetu Mama Samia
taarabu
Mama Samia Omba Mungu akupe macho na masiklo ya Kiroho ili usikie kutoka kwake kuhusu Maratiki wa kweli usije ukawekwa Box
Maigizo
Incompetent hajui hata jina la rais wa Tanzania alafu eti ni deplomat kutoka kenya shame on you Kenyans .Rais anaitwa Samia Suluhu Hassan sio eeeeee,eeeeee pumbavu.😒😒
Jamani Peter...
Msamehe tu...
@@dianamkita6571 😀
🤭🤭
The lady is from Oman..and now she is the president of tanzania ....tuwasamehe wakenya ...watuona si maskini ndo maana hata majina hawajali.🇹🇿🇹🇿
@@mosesnmousa5558 likenya limoja linalojifanya li tz
At list for the first time Amina amejitanda.unacheza na mama Samia ukimzingua atakuzingua pia.hapa kazi tu.
🤭🤭🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣
Kiswahili cha Kenya 🤣🤣🤣 Kiswahili waachie Watanzania!!!
Asnt
Watanzania ni shemechi wetu wakenya. Ugomfi wanini.
Hiyo ni loan uhuru anataka maana kenya kwa mikopo. Mama samia kuwa makini maana kenya siwalipaji.
Sasa mko n pesa gani ya kukopwa sisi hu deal n ma billion
Muwe makini msifikiri Jpm msifikiri alikua dictatorship na mahusiono na nchi zingine hayakua mazuri ni uongo Jpm hakutaka hii nchi kuchezewa na majirani ambao waliifanya kua shamba la bibi na kuiba rasilimali huku wakiwaita watanzania wajing, hiyo nchi ya kenya inatumika kama uwanja wa kutushambulia, mmwe makini hatutaki kuchezea tena.
Kiswahili cha Wiziri wetu balaa.
Anaishi Nairobi
Kajitahidi
Yote heri twaomba salama
Chungeni saana ma rais wetu .. ma bebelu wapo .. wasije wakatudunga vidore tena kwenye macho.
Wa africans wote tumeumia . Kumpoteza rais wetu jpm
Social distancing nimeikubali hongereni viongozi kwakujali vigezo namasharti ya kinga dhidi ya ugonjwa wa covid-19.
I'm glad she admits Corona is real.
Yusisahu LISSU amejenga Kenya anataka kutawala TZ kwa faida za mabeberu LISSU nimzungu kama wakenya hamjaelewa bado ?
😁😆huko Tanzania lazima tuingie sasa,,polepole tu tutaelewana tu
Huo mwaliko uvalie miwani ya Kiroho na ufunge siku arobaini kabla ya kukubali kona watu na Viatu Duniani
Wamefanana....ndo mana kamtuma!
Huyu balozi mbona hajiaminiii
Are very dangerous those mabeberu .. africans we have to do something please!
Kiswahili yetu yote ndo iyo, Kiswahili waachie watanzania. Napendezwa na Rais wenu sana, uhusiano wetu na Tanzania ulikua umedorora, lakini sasa utakua mzuri zaidi. Uongozi uko ndani yake. She's a very humble President, mkarimu, mwenye heshima, anaheshimika. Rais mstarabu sana. I will be happy akiwa mwenyekiti wa jumuiya la Afrika Mashariki after Uhuru Kenyatta.
Ngojeni muuwane tena 2022 achana na Tanzania.
Uhuru is a Good guy natamani siku moja nije niywe nae konyagi
Uhusiano wa Tz na Kenya ulikuwa unadorora ? I don't think so,,, Hayati Magufuli alikuwa akisimamia vizuri diplomasia na nchi jirani,,,
@@husseinmkanga7794 Kwa nini unajibu hivyo? Na bado Waafrika sisi ni ndugu!!!
@@timbukwa9771 😂😂😂 Konyagi!
Balaa hawajazoweya kuongea kiswahilii jamani duh
Kiswahili kigumu jamani😂😂
Wakenya kiswahilli hawajui ila amejaribu. Tumupe pongezi. Lol
@@halley807 amejaribu sana! Ila usimzingue, maanake utazinguliwa wewe..
Ni kweli hao ni wachafuzi Mimi ni mkenya najua
Hapana si hivyo hataa.. Uchafuzi ni wewe!
Sisemi kitu langu jicho
Mafisadi wamekuja! Mahindi sumu vipi? Imeisha! Bull shit
Wanafiki sanaaaa ruhusu mahindi basi
@@beatricehenry6776 wamekuja kumuingiza mama king mafisadi no 1 kenya
hakuna salamu hapo ni kukopa
😂😂😂😂😂😂 wanataka loan. Maana kenya kwa kukopa mikopo. Mama kuwa makini maana si walipaji hao
@@leymanleyman7426 mko n nini Sasa y kukopwa
Inatakiwa umakin san hp mh mialiko mingin isifurahiw t naukiangalia saiv rais mwanamk bas nivyovyot t wakiamua mkumbuk libya kule ninin kinaendelea bdl ya kumuua gadaf☹️☹️☹️☹️☹️
mama samia .when the deal his too good think twice.kiswahili kigumu aisee si uongee kizungu
mama samia kasimamie hiyo africa mashariki aliepo sahihi utakopa mwisho kenya itauzwa kabisa
Itauzwa na ww