Uchimvi maana yake ni nini? Na kama ni tusi basi tutahadhari kuwatusi Waislamu. Mtume amesema, Kumtukana Muislamu ni UFASIKI. Na kama lengo la kusema uongo kwamba kazi yake ni hiyo ili kumuabisha, Allah ana uwezo wa kumsitiri, kwa kuwa wapo wengi wanao mfahamu kwamba yeye ni kiongozi wa kijamii. Anaongea ili kuwaongoza jamii yake kwenye upeo wa ki mawazo wapate kuelewa kwamba njia ya kufaulu ni kwa kufuata maongozi ya Kitabu cha Alllah na Sunnah. Kwa hivyo tusiongee yasiyokuwa kweli.Tukumbuke madhara ya kuongea uwongo.
Allah akupe kauli thabit shekhe nyundo pamoja na waisilam wote
Mwenyezi mungu akupe kauli thabiti
Ardhi inatafuna jamaniii...
Inna lillaah wa Inna ilayh raajiun
Nyundo baba napenda sn vitu unavotoa...mungu akizidishie
Allah akuzidishie sheikh Nyundo
Baaraqallahu fiyq yaa Sheikh
Mashallah
hongera shehe nyundo
Maashaallah
silazima kuwa na wake wengi kama huna uwezo. napia kama uadilifu huna.
MàashaaAllah
MashaAllah jadha ka Allah kheir
Swadakta
Pasua nyundo
Nimependa Sana kweli mawaida yako 😂😂😂
swadaqta ya Cheickh , sema ukweli
Hahahaha
good
sema ukweli
lakini ikiwa hana uwezo
Hanuna Rashid
huyu sheikh kazi yake uchimvi tuuu
Uchimvi maana yake ni nini? Na kama ni tusi basi tutahadhari kuwatusi Waislamu. Mtume amesema, Kumtukana Muislamu ni UFASIKI. Na kama lengo la kusema uongo kwamba kazi yake ni hiyo ili kumuabisha, Allah ana uwezo wa kumsitiri, kwa kuwa wapo wengi wanao mfahamu kwamba yeye ni kiongozi wa kijamii. Anaongea ili kuwaongoza jamii yake kwenye upeo wa ki mawazo wapate kuelewa kwamba njia ya kufaulu ni kwa kufuata maongozi ya Kitabu cha Alllah na Sunnah. Kwa hivyo tusiongee yasiyokuwa kweli.Tukumbuke madhara ya kuongea uwongo.
Mossy Ahmada hahaà jmnii
Maana yake ww mwenyewe mchinvi
😂😂😉😂😂😂😂😂😂😂
Hahahaha
Aslm alailum