HUKMU YA NDOA NA MUME YUKO MBALI KIKAZI,KUPOTEA AU JELA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 101

  • @innocentjay5844
    @innocentjay5844 Před 5 lety +9

    Sheikh elezea mada zako vizuri minaona wewe wawapunguzia subra wake zetu. Na sisi twasafiri kuwatafutia wao maisha mazuri na hatutaishi Nje daima.mda ukiisha na malengo yakitimia twarudi nyumbani kwa family yetu

    • @mutomubaya
      @mutomubaya Před 5 lety +1

      katika baadhi ya familia huwa kuna shida ya mapato na hasa siku hizi ambapo maisha yasemekana ni magumu. Je ikiwa mna watoto?

    • @changchuma9256
      @changchuma9256 Před 5 lety +1

      Faida ya mysmaya mbuzi maalim Yusuf

    • @changchuma9256
      @changchuma9256 Před 5 lety +1

      Shekh Yusuf

    • @ramangadu6451
      @ramangadu6451 Před 4 lety +2

      Anachozungumza nisheria nakawaida yasheria Haimtazami MTU. Tuchukue natujifunze.

    • @ayushachidau6758
      @ayushachidau6758 Před 4 lety

      Ndowa nikuaminiana mana ata mke ana safiri lkn waume was sasa awana subra+254

  • @nnbb8402
    @nnbb8402 Před 5 lety +4

    Shukran sheikh Allah akuzidishie elmu na Allah atuzidishie nyoyo za iman Inshaa Allah

  • @lacicam8119
    @lacicam8119 Před 6 lety +8

    Allah akuhifadhi ustadhi Izudin uzidi kutuelimisha

  • @shaukatmohamed4187
    @shaukatmohamed4187 Před 6 lety +3

    Alhamdulillah twashkuru ndugu yetu kwa elimu nzuri

  • @aliomar612
    @aliomar612 Před 3 lety +1

    Shukran sheikh jazaka Allah kulu kheyri

  • @najma3268
    @najma3268 Před 6 lety +2

    Mashallah allah aendelee kukuweka

  • @mowanaalmowana6126
    @mowanaalmowana6126 Před 4 lety +1

    Maasha Allah

  • @neziali6992
    @neziali6992 Před 6 lety +2

    Asnte shehe kw mawaidha yko Mungu akuweke kwnye milango ya pepo biiznillah

  • @muniramohamed8887
    @muniramohamed8887 Před 5 lety +1

    Mashallah Allah akuzidishiee elimu yenyee manufaa uziidii kutuelimisha amin

  • @ahmedmubareq3228
    @ahmedmubareq3228 Před 4 lety +1

    Shukran sheikh jazakAllah kheri

  • @hamdukhamis2903
    @hamdukhamis2903 Před 4 lety +1

    Masha Allah

  • @zuwenaabdillahzanzibar5670
    @zuwenaabdillahzanzibar5670 Před 5 lety +11

    kweli hawezi kukaa mwaka mimi najiona huku Oman tayari hicho kiungo kishaleta ishara

  • @shabanisaidi8827
    @shabanisaidi8827 Před 5 lety +1

    Mwenyezi mungu akulipe kila la kheri

  • @user-dv2um9cf8p
    @user-dv2um9cf8p Před 10 měsíci

    Shukran shekh

  • @fahmiabubakar5654
    @fahmiabubakar5654 Před 5 lety +8

    Tatizo wanawake wasiku hizi wataka pesa nyingi n subra hawana so wanaume tuna mitihani sana

  • @abullahkabaka8774
    @abullahkabaka8774 Před 4 lety +1

    MASHALLAH ALEIK

  • @fatimasaid4193
    @fatimasaid4193 Před 6 lety +1

    Shukran wajazakallahu Kheri

  • @yusufidarus2951
    @yusufidarus2951 Před 6 lety +1

    Jazakallah kheir

  • @nimoibrahim4235
    @nimoibrahim4235 Před 6 lety +2

    ManshaAllah

  • @lailahaillallah4020
    @lailahaillallah4020 Před 6 lety +2

    Inshallah...mungu azidi..kukuongezea..elimu ...nzuru .

  • @saidswaleh9126
    @saidswaleh9126 Před 3 lety +1

    Twayyib shekh

  • @asahidbahjaj6739
    @asahidbahjaj6739 Před 2 lety +1

    Je mume mumeowa lkn hamujawah kuonana YY yupo Oman kikaz na mm tnz je hili mwalizungumziaje

  • @hassanambarakmbarak8759

    Hicho hicho kiungo shekhe chawaumiza wengi maisha sasa nimagumu.watuwengi tuko nje tufanye nini.itabidi kila tukirudi tutafute viungo vingine Khatari tupu haya mawaidha leo

  • @iddimiraji7760
    @iddimiraji7760 Před 5 lety +2

    Unatupa elimu ambayo wengi tulikua hatuijui allah akulipe katika hilo

  • @msangsmsangi6535
    @msangsmsangi6535 Před 5 lety +2

    Mm nawez kukaa hata miaka mitatu sina hizi hisia kalii mpka nishindwe kujizuia je ninatatizo, mm ni mwanamke.

  • @nzobakuranaasman8802
    @nzobakuranaasman8802 Před 5 lety

    jazakallah khaira

  • @saidmohd5090
    @saidmohd5090 Před 5 lety +2

    Asalam alykum warhmtullh wabarqat shekhe Naomba no yako

  • @naslamgollo6405
    @naslamgollo6405 Před 6 lety +2

    Naomba namba Oki nipate ushauri kutoka hii mada tafadhwal

  • @jusphermobibo5278
    @jusphermobibo5278 Před 6 lety +2

    wanimaliza kabisa na mawaidha yako

  • @batiyahmalrashdi2224
    @batiyahmalrashdi2224 Před 4 lety +1

    Nini hukumu ya ndoa za mbali maisha. Mume au mke Uarabuni au Ulaya mke au mume Tanzania. Mmoja tu kuweza kusafiri kwa mwaka mwezi au mara mbili kwa mwaka kukaa week au week mbili na nini HAKI ZAO?

  • @faudhiayasinibakarifaudhia9505

    Assalam Aleykum warhamatullah wabarakattuh shekhe naomba namba zako Kuna Jambo nataka nikuulize shekhe tafadhali 🙏🙏🙏🙏

  • @jibabahbah5188
    @jibabahbah5188 Před 4 lety

    Assalam'alaikum warahmatullahi wabarakatuh sheik ss tupo wake wawili saudia mwenzangu yupo anafanya makkah mm niko nae jeddar pomoja yule hupewa ruhusa mara mbili kwa mwezi lakini hulala njee na ni nisimuulize kwa simu yake napata msg za wanawake zaidi ya wawili kisha anakata sheikh nimevumilia mwisho akaenda kwa kampuni ya simu ya zain akapata msg zote zile nilizo kua nazijua sasa eti yuwaomba msamaha yani amenichafulia jina sana kwa hawo hawara zake kila nikiona hizo msg moyi waniuma sana yy si wakumwambia hawara zake mambo yetu yani mpaka yuwaniita mm mkorifi amwambia hawara kisha mm namsamehe nn huyu

  • @bashirjabiri503
    @bashirjabiri503 Před 6 lety +1

    Kwasheriahiyo, nahakihizo ,naamini wengiwetu ,doazilikwishakufasikunyingi, kilichobaki ni tunazißnianabilaya kujua

    • @halimabindo5756
      @halimabindo5756 Před 5 lety

      Sheh mada imenigusa tafadhal ifafanue uzur tupate kuelewa.

  • @mammykaso4136
    @mammykaso4136 Před 6 lety +1

    Jee mume kama hakushuhulikii kwa chochote lakini yachumbani tuu ndoyuwaishuhulikia jee nifanyeje naomba jibu shkhe

    • @nadhlfasalmazena7444
      @nadhlfasalmazena7444 Před 5 lety

      hiyo niyakwangu kabisa
      ananiikeeeera hadi basi ,we sheikh nishaikua namba take IPO siku nota muuliza maswali sana
      NaEndelea kuvukilia yakinishinda nakfaata inbox

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 Před 3 lety

      Na nyinyi msiwape kama hawawaudimii sasa mkiwapa nguvu mtapata wapi🤣

  • @abasishaaban6643
    @abasishaaban6643 Před 6 lety

    uko vizur

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Před 6 lety +5

    Wanaume wa kusafiri wanawapa mitihani wake zao

    • @rahmafataki2584
      @rahmafataki2584 Před 6 lety +1

      steve wanga tena utakuta mwanamme anakwambia hawezi kukaa peke yake na wameruhusiwa kuowa lakini chakustaajabisha anaweza kupiga karibu na mwaka au akaja kwa mwaka mwezi moja halafu akataka uwe ok tu with that je hapo mwanamke akitafuta mwanamme nje nayeye anamakosa

    • @mutomubaya
      @mutomubaya Před 5 lety

      @@rahmafataki2584 Lakini baadhi ya wanawake wataka watafute mwanamme na bado hawajavunja ndoa, ili waruhusiwe kuingia katika ndoa nyengine. Je ikiwa mna watoto?

    • @rahmafataki2584
      @rahmafataki2584 Před 5 lety +1

      @@mutomubaya tatizo wanaume wengine hukufanyia vituko hadi ikafika time roho yako haimkubali tena nambio mbio ataenda kutafta mwanamke mwengine aseme anawake wawili au more halafu na kukuacha hataki vile vile hii ndio problem nawao wakitaka kutafta wanawake wengine hawajali watoto wala kufkiria watoto tena wengine wakishakuowa huwa hawajulii watoto hata hali wala kutaka kujua watoto wanaendeleaje

    • @mutomubaya
      @mutomubaya Před 5 lety +1

      @@rahmafataki2584 Ni kweli lakini Waislamu wakifuata mafundisho ya Qur'an wataona kuna njia za kurekebisha matatizo. Ukimpata mwenza na hatia ya uzinifu hakikisha umepata ushahidi wa watu wasiopungua wanne. Na kabla ya kuingia kwenye ndoa Mtume, swalla Allahu alayhi wa sallam, amefundisha kuhakikisha kwamba mwenza ni MchaMungu.

    • @rahmafataki2584
      @rahmafataki2584 Před 5 lety +1

      @@mutomubaya kweli lakini ndoa siku hizi ni mtihani kweli yaani unaowa au kuolewa kwa kubahatisha hata kama umetulia sometimes unapata mtu inakua kama mtihani kwenye maisha yako hadi unaingia uwoga wa kuingia kwenye ndoa nyenginge yaani unajikuta toka wewe umeolewa au umeowa ndo furaha yako yote imeondoka na matatizo hayaishi

  • @umayraseeb3357
    @umayraseeb3357 Před 5 lety +2

    A.alykum naomba hii vdeo ntaipataje

    • @mwambirekwamboka9525
      @mwambirekwamboka9525 Před 5 lety +1

      Copy hii link kwa youtube kisha toka nenda chrome andika online video downloader then paste ile link kisha download

    • @hajielmi7518
      @hajielmi7518 Před 5 lety +1

      download

  • @ibrahimabdulaziz3330
    @ibrahimabdulaziz3330 Před 6 lety +4

    Je yamfaa kumramba mke wako kwa sehemu ya siri?

  • @yunusmagimba4928
    @yunusmagimba4928 Před 3 lety

    Assalam alaykum naombeni jibu kuto mwingilia mkeo kwa muda wa miezi 3 nitalaka?

  • @kulthumsalim7070
    @kulthumsalim7070 Před 5 lety

    Assalam aleikum warahmatullah wabarakatuh,naomba kuuliza sheikh...na kama mume yuko mbali(ughaibuni)akatuma wazazi wake nyumbani kwa mke atakae muoa...je anaweza kuozeshwa kupitia simu au ndoa itakua haipo?please msaada ustadh bado hatujapata jibu.mke amerudi Kenya mume bado contract yake kuisha akirudi mke waeza kukutana huko huko kazi(ughaibuni)...Shukran

    • @salumalawi3434
      @salumalawi3434 Před 5 lety +1

      Kulthum Salim mwanangu haifai kwasababu 1 ili ndoa ikamilike lazima wapatikane watu watano (5) muoa na shahidi wake mmoja,(1) na sheikh anaefungisha hio ndoa na muolewa (bibi kharusi ) na walii wake na ,sasa km huo shahidi atashuhudia kitu kwakukiskia je itakua anaoushahidi hapa kamili mama kuludhumu SALIM ? kwahio lazima arudi kwanza ughaibuni ndipo afunge ndoa .shukran .

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 Před 5 lety +1

      @@salumalawi3434 kumuolea mtu inaruhusiwa, usitoe hukumu bila ya elimu

    • @aishaarusha894
      @aishaarusha894 Před 3 lety

      @@mhogomchungu7168 ndio

  • @assleeali2302
    @assleeali2302 Před 4 lety

    Je mke akizaa nje ya ndoa wakati mumewe yupo jela je wtt wanahaki ya kurithi?

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 4 lety

      Asslee Ali Mtoto siku zote ni halali kwa baba ILA kama baba atamkataa huyo mtoto ni atomatic na huyo mke amechika. Huwezi kukataa mtoto akachukuwa mke. Uvikibali vyote au uvikatae vyote.

  • @khadijamuhammed6900
    @khadijamuhammed6900 Před 5 lety

    Assalam alykum shekh naomba no yako maana mambo mengine niyasir

  • @abdulmoez2423
    @abdulmoez2423 Před 5 lety

    Asalam alaykum shekhe naomba namba yako

  • @khadijakamus2850
    @khadijakamus2850 Před 6 lety

    Asalam aleikum ustadh naomba namba kumuuliza maswali

    • @saidmohd5090
      @saidmohd5090 Před 5 lety

      Khadija ulipata Ile no kama umepata nipe na mimi