Video není dostupné.
Omlouváme se.
LIVER STEW/KUPIKA MAINI MATAMU
Vložit
- čas přidán 6. 02. 2020
- Hey Dears,
Video hii nimewaonyesha namna ya Kupika Maini
VIDEO ZINGINE
-Mihogo ya Nazi • ROSTI LA MUHOGO/ KUPIK...
-Barafu za ubuyu • BARAFU ZA UBUYU😋Swahil...
-Tambi za sukari • TAMBI ZA SUKARI 2019
SOCIAL MEDIA
instagram @ikamalle
snapchat @ika_malle
Email: phenomenalika@gmail.com
mapishirahisi kupikamaini
enjoy,ika
Napenda mapishi yako. They are so simple hauna ingredients nyingi 👍🏿
Napenda main na tambii jmn😋😋
Napenda kula na Ugaliiii....ahsante nmejifunzaa
Mi napenda kwa ndizi yakukaanga iliyokaribia kuiva,sijui kwanini najitamanisha😋😋😋😋
Napenda sn mapishi yako yamenifanya niwe na ujuzi zaidi,asante sn dada.
That nice and delicious sis.
Thanks for your help.
Eti,kamaji kadogo....It's nice
Nakupenda huna makorokoro mengi tofaut na wengine wanatuchanganya tu wengine hatujui viungo vingi
waooh umenipa idea kesho ntapika maini
Waoh, mapishi mazuri kweli..I wouldn't mind having you in my life
favorite channel
Maini na ugali.
Asante kwa pishi zuri.
Mboga nnayoipenda ni maini😋
Napendelea Sana maini na ugali😋😋😋
😋😋
I love it Maa Shaa Allah
Maini na Chapati bana 🙌🙌🙌
Ahsante dada maini nimatamu napenda maini na wali
Kwa ugaaaaaliiiiii 💃💃💃
Maini hatuchemshi pembeni
Kazi nzuri sana
Asante 🥰
Ty my dear for the awesome lovely liver recipe n supper results I'm pleased and happy watching ur post from Tanga Tanzania Wow.
Thank you so much
Daaah umeamua kutuwekea maoni asubuhi hii 😢😢😢😢😢😢 napenda maini na ugali kwa lunch
Hahahha Dada nilikua na kupa Idea ya cha kupika Leo 😋😋🥰🥰
Na ndizi na kukaanga au kuchomwa.. Yummy yummy
Pishi rahis sana hongera
Mashaallah 😚
Yummy yummy nakula huku naangalia video 😋🤪
# Kwa Maswali!
Napenda kula na chapati
Nimepika chapat maini🤤🤤🤤🤤recipe nzur mno
Perfect
Mboga ninayoipenda sana jamani, umenitamanisha sana my dear😋😋😋 Inavutia sana👌👌👌 Maini na Wali au Chapati🔥🔥🔥
😋😋😋😋
@@ikamalle my dear huna insta ac?
Insta @ikamalle
@@ikamalle ok dear
Main na maandaz we ulisikia wap na chapati bhana😂
Thanks sz
Na sima...utamuuuu
Napenda Sana maini😋😋kwa ugali au wali🙌
😋😋😋
Woow!yummy yummy,hivi dania wanauzaje fungu dadaa na black pepper kikopo kama iko bei gan
Dania fungu 100 huku kwetu.... hiki kikopo nilinunua 6000
Ahsante mama
Na ugali🤗
Team maini na chapati😋😋😋
Ulioshaje maini yako? Na maziwa au maji? How😊?
Mashaallah
Fantastic 👌👌👌👌
Napenda na wali
Inakaa tamu sana😋
Napenda recipe zako 🇰🇰🇪🇪
Asante 🥰
Napenda kula main na chapati Au maandazi
Mate yananitoka
Mm napend naugali mashaallah
😋😋😋
Mashallah 😋😋
Wali
Salam alekum nitakula na mandazi
Chapati
Ugali
Na ugali😍
Mpk rah mnafunza mengi
Mpka nimepata njaa
Sasa Nenda Ukale Mercy 🥰🥰
Kesho naipika
Maini unayachemsha kwanza au huchemshi??
Hil nalo neno
Kwa ugali jmn doh
Napenda kula na ugali naomba namba zako
Na ugali
Na ndizi na kukaanga au kuchomwa.. Yummy yummy
Nakujua dada
Perfect
Napenda kula na chapati
Mashaallah
Chapati
Wali
Chapati