NAFASI ya MAKONDA AMEPEWA AMOS MAKALLA - SASA KUWA KATIBU MWENEZI WA CCM BAADA ya KUTOLEWA U-RC...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 04. 2024
  • NAFASI ya MAKONDA AMEPEWA AMOS MAKALLA - SASA KUWA KATIBU MWENEZI WA CCM BAADA ya KUTOLEWA U-RC...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 46

  • @user-wh2mm1eq2x
    @user-wh2mm1eq2x Před 3 měsíci +5

    Alie shindwa jiji la dar, Leo ataweza uenezi kweli???!

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 Před 3 měsíci +4

    Makonda hata wampeleke wapi yule ni mchapa kazi na moto wake Arusha mtauona mama anajua anachokifanya Arusha inataka mtu moto kama Makonda kila la kheri Makonda chapa kazi 💪💪💪💪💪

    • @HBI-TV
      @HBI-TV Před 29 dny

      HBI Tv inawapa hongera

  • @user-tm3dx2ey7j
    @user-tm3dx2ey7j Před 3 měsíci +6

    Unamtoa mtu anaye saidia wanyonge Kwa mda mfupi kazi ya makonda tumeona watanzania hawataisahau hata aende wapi

    • @diegoshanga8184
      @diegoshanga8184 Před 3 měsíci

      Acha uwongo amemsaidia nani!! Zaidi ya kuitia hasara serikali nakufanya siasa za maigizo!! Tatizo wa tz. Wengi bado ni vilaza!!!!

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před 3 měsíci

      ​@@diegoshanga8184 wewe mdio kilaza

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před 3 měsíci

      Alikuwa anafilisi chama na serikali kwa vikao ovyoo..kutaka sifa tu... hakuna mfumo,ni one man show

  • @user-ys3xx4nb7z
    @user-ys3xx4nb7z Před 3 měsíci +1

    Hii Nchi mungu anawaona vibaraka ndio wafalme wa nchi hii nishida

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 Před 3 měsíci

    Yaani sijui ni kigezo gani walichotumia kwa kumweka Makalla,.Hapo siyoooo

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 měsíci +2

    Mama hata ufanye nini Makonda alikuwa anekirudisha Chama vizuri sanaaaa alhamdullah Mama vipi mbona hueleweki

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 3 měsíci

      umeshamuita mama sasa ataelewekana je?wapi mwanamke ameongoza mambo ya kawa mazuri?

  • @ngisamakaranga
    @ngisamakaranga Před 3 měsíci +3

    Unaelekea kwenye mchakamchaka wa uchaguzi unaweka mwenezi ambaye haeleweki yetu macho muda si mrefu namuona hapy akiwa mwenezi

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui Před 3 měsíci +2

    KAMUEKA BILIONIA MWEZNZAKE MAKAL MWIZI WA KUPINDUKIA

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6op Před 3 měsíci +1

    Mm anapelekwa pelekwa sana n'a washauri wake

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před 3 měsíci

    Arusha zimeshaanza kupigwa vyuma.. olesendeka alikoswakoswa.. issue kubwa Arusha ni wamasaai wa ngorongoro (olesendeka), na siasa za chadema (lema)

  • @user-uy3uk2ul5b
    @user-uy3uk2ul5b Před 3 měsíci +1

    Daaaa apo akuna kitu, anatakiwa mtu wa gwasma km makonda Rai s Wangu badilisha apo akuna kitu tengeneza Cha pamoja na wananchi, makonda jembe litumie kuihinya jamii.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 měsíci +1

    Wschapa kazi ndiyo mnawabadilisha mama vipi washauri wako wa ajabu Unamtoa Joketi kwenye Uwtccm na Mskonda kwenye Uenezi ama kweli looooo maajabu gani haya hao uliowatoa ndiyo wachapa kazi umeleta mauzauza ndani ya Ccm Mama vipi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 měsíci +1

    Mama Makonda alikuwa chuma umefanya nini Mama jamani eeeeeeere

  • @JeremiahMwalukosya-eh5nf
    @JeremiahMwalukosya-eh5nf Před 3 měsíci +1

    Sema ccm wanategemea police jeshi kushinda uchaghuzi ndo kiburi chao ndo maana hata mrevi wanaweza wakamuweka madamu tu anamaslahi kwao lkn sio Kwa wananchi kama makonda aliekuwa upande wawananchi kuwasaidia

  • @pascalmakondo7976
    @pascalmakondo7976 Před 3 měsíci +2

    Makala mmechemka

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Před 3 měsíci

    Mtu kama sabaya utasikiabnae kapewa nafasi da huyu mama nibdrama tu kwenda mbele

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 3 měsíci +1

    Mmmmmmmm Makubwa haya

  • @gracejohnpallangyo4257
    @gracejohnpallangyo4257 Před 3 měsíci

    Mama umeharibu kumchagua makala. Hafai kabisa kuwa kiongozi huyo mnyanyasaji na mtesaji wa wananchi. Mbona kuna kuna watu wazuri tu. Makala ameficha makucha usiyojua mama. Wasikilize wananchi wako, ndio wanaojua ukweli

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 3 měsíci +1

    Wadudu waarusha na banging itapungua

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 Před 3 měsíci

    Yaani uchaguzi ujao ndiyo mwaka ccm watakula kichapo ambacho hawajawahi kukipata toka chaguzi za vyama vingi vianze! Kwa maigizo hayaa!😢

  • @user-tz9nb8tx9j
    @user-tz9nb8tx9j Před 3 měsíci +1

    Huyu mama itakuwa kawa mlevi yule mwingine hashuhuliki na wananchi kazi yake kumtembelea mzee makamba tanzania kichwa cha mwendawazimu

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před 3 měsíci +1

      Kwa hiyo na magufuli nae alikuwa mlevi alivyo mtumbuwa makonda??

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 3 měsíci

      @@ibrahimally8073 kuwa na kumbukumbu makonda hakutumbuliwa.

  • @martinisadru
    @martinisadru Před 3 měsíci

    CCM 2025 wata anguka kifo cha mende, watanzania hawa wa leo! Walopewa ujanja na magufuli! Sio watanzania wa enzi za mkapa na kikwete, watakua wako radhi, hata kumpa kura mrevi mboe, kuliko kumpa kura mtu kutoka ccm hii. Mnawanyamazisha akina makonda, na kuwainua utoporo ndani ya chama,,!

  • @gregory6165
    @gregory6165 Před 3 měsíci

    Alipomchaguwa makonda alicheza kama pele.... watu wakaanza kurudi kurejesha imani na CCM..... kamtoa saiz ameanza kucheza kama maguire, amakweli sikio la kufa

  • @Ambeniwatano
    @Ambeniwatano Před 3 měsíci

    Haya nayo ni magazijuto ( ) / * + - =🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐

  • @ezekiakiwovele7794
    @ezekiakiwovele7794 Před 3 měsíci

    😂😂😂😂😂

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Před 3 měsíci +1

    Huyu mama ni zero brain

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 Před 3 měsíci

      Je na magufuli nae alikuwa zero brain alivyo mtumbuwa makonda? au ww ndio 0.0 brain ???

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 3 měsíci

      @@ibrahimally8073 Acha uzuzu kuacha nafasi ya mkuu wa mkoa na kugombea ubunge ni kutumbuliwa?

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 Před 3 měsíci

      tena niziro na nimavi kabsa 😏😏

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 3 měsíci

      @@aishaalbalushaishabalush8291 Jamani msitukane basi

    • @chrissamani7921
      @chrissamani7921 Před 3 měsíci +2

      Magufuri hakuwahi kumtumbua Makonda, isipokuwa alikwenda kugombea ubunge!

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e Před 3 měsíci

    Km wao walimweka hapo na wamemtoa kumuona afai kutokana na tabia za zarau kwa viongozi wenzie na uko pia patamshinda chezea Arusha wewe awajalala

  • @peterdaimon-ug6fd
    @peterdaimon-ug6fd Před 2 měsíci

    Wapishi wengi shida iko kwenye mchuzi mtamkumbuka makonda tena