NAFASI ya MAKONDA AMEPEWA AMOS MAKALLA - SASA KUWA KATIBU MWENEZI WA CCM BAADA ya KUTOLEWA U-RC...
Vložit
- čas přidán 2. 04. 2024
- NAFASI ya MAKONDA AMEPEWA AMOS MAKALLA - SASA KUWA KATIBU MWENEZI WA CCM BAADA ya KUTOLEWA U-RC...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Alie shindwa jiji la dar, Leo ataweza uenezi kweli???!
Ni vituo kwa kweli
Makonda hata wampeleke wapi yule ni mchapa kazi na moto wake Arusha mtauona mama anajua anachokifanya Arusha inataka mtu moto kama Makonda kila la kheri Makonda chapa kazi 💪💪💪💪💪
HBI Tv inawapa hongera
Unamtoa mtu anaye saidia wanyonge Kwa mda mfupi kazi ya makonda tumeona watanzania hawataisahau hata aende wapi
Acha uwongo amemsaidia nani!! Zaidi ya kuitia hasara serikali nakufanya siasa za maigizo!! Tatizo wa tz. Wengi bado ni vilaza!!!!
@@diegoshanga8184 wewe mdio kilaza
Alikuwa anafilisi chama na serikali kwa vikao ovyoo..kutaka sifa tu... hakuna mfumo,ni one man show
Hii Nchi mungu anawaona vibaraka ndio wafalme wa nchi hii nishida
Yaani sijui ni kigezo gani walichotumia kwa kumweka Makalla,.Hapo siyoooo
Mama hata ufanye nini Makonda alikuwa anekirudisha Chama vizuri sanaaaa alhamdullah Mama vipi mbona hueleweki
umeshamuita mama sasa ataelewekana je?wapi mwanamke ameongoza mambo ya kawa mazuri?
Unaelekea kwenye mchakamchaka wa uchaguzi unaweka mwenezi ambaye haeleweki yetu macho muda si mrefu namuona hapy akiwa mwenezi
Bora ingekuwa hivo
KAMUEKA BILIONIA MWEZNZAKE MAKAL MWIZI WA KUPINDUKIA
Mm anapelekwa pelekwa sana n'a washauri wake
Arusha zimeshaanza kupigwa vyuma.. olesendeka alikoswakoswa.. issue kubwa Arusha ni wamasaai wa ngorongoro (olesendeka), na siasa za chadema (lema)
Daaaa apo akuna kitu, anatakiwa mtu wa gwasma km makonda Rai s Wangu badilisha apo akuna kitu tengeneza Cha pamoja na wananchi, makonda jembe litumie kuihinya jamii.
Wschapa kazi ndiyo mnawabadilisha mama vipi washauri wako wa ajabu Unamtoa Joketi kwenye Uwtccm na Mskonda kwenye Uenezi ama kweli looooo maajabu gani haya hao uliowatoa ndiyo wachapa kazi umeleta mauzauza ndani ya Ccm Mama vipi
Mama Makonda alikuwa chuma umefanya nini Mama jamani eeeeeeere
Sema ccm wanategemea police jeshi kushinda uchaghuzi ndo kiburi chao ndo maana hata mrevi wanaweza wakamuweka madamu tu anamaslahi kwao lkn sio Kwa wananchi kama makonda aliekuwa upande wawananchi kuwasaidia
Makala mmechemka
Mtu kama sabaya utasikiabnae kapewa nafasi da huyu mama nibdrama tu kwenda mbele
Mmmmmmmm Makubwa haya
Mama umeharibu kumchagua makala. Hafai kabisa kuwa kiongozi huyo mnyanyasaji na mtesaji wa wananchi. Mbona kuna kuna watu wazuri tu. Makala ameficha makucha usiyojua mama. Wasikilize wananchi wako, ndio wanaojua ukweli
Wadudu waarusha na banging itapungua
Yaani uchaguzi ujao ndiyo mwaka ccm watakula kichapo ambacho hawajawahi kukipata toka chaguzi za vyama vingi vianze! Kwa maigizo hayaa!😢
Huyu mama itakuwa kawa mlevi yule mwingine hashuhuliki na wananchi kazi yake kumtembelea mzee makamba tanzania kichwa cha mwendawazimu
Kwa hiyo na magufuli nae alikuwa mlevi alivyo mtumbuwa makonda??
@@ibrahimally8073 kuwa na kumbukumbu makonda hakutumbuliwa.
CCM 2025 wata anguka kifo cha mende, watanzania hawa wa leo! Walopewa ujanja na magufuli! Sio watanzania wa enzi za mkapa na kikwete, watakua wako radhi, hata kumpa kura mrevi mboe, kuliko kumpa kura mtu kutoka ccm hii. Mnawanyamazisha akina makonda, na kuwainua utoporo ndani ya chama,,!
Alipomchaguwa makonda alicheza kama pele.... watu wakaanza kurudi kurejesha imani na CCM..... kamtoa saiz ameanza kucheza kama maguire, amakweli sikio la kufa
Haya nayo ni magazijuto ( ) / * + - =🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐🤐
😂😂😂😂😂
Huyu mama ni zero brain
Je na magufuli nae alikuwa zero brain alivyo mtumbuwa makonda? au ww ndio 0.0 brain ???
@@ibrahimally8073 Acha uzuzu kuacha nafasi ya mkuu wa mkoa na kugombea ubunge ni kutumbuliwa?
tena niziro na nimavi kabsa 😏😏
@@aishaalbalushaishabalush8291 Jamani msitukane basi
Magufuri hakuwahi kumtumbua Makonda, isipokuwa alikwenda kugombea ubunge!
Km wao walimweka hapo na wamemtoa kumuona afai kutokana na tabia za zarau kwa viongozi wenzie na uko pia patamshinda chezea Arusha wewe awajalala
ulaaniwe wewe na hao wahujumu wana nnchi
Wapishi wengi shida iko kwenye mchuzi mtamkumbuka makonda tena