JOSHUA MUTALE "BUDO": NI USAJILI SAHIHI SIMBA? JIBU HILI HAPA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 30. 06. 2024
  • Sport

Komentáře • 22

  • @jameskayunguya7824
    @jameskayunguya7824 Před 24 dny

    Kaka upo vizuri kwenye review ya mchezaji, keep it up!!

  • @revoojuma1883
    @revoojuma1883 Před 24 dny +1

    Asante Sana kaka

  • @saidothman4527
    @saidothman4527 Před 24 dny

    Safi kaka kaz nzur

  • @FLORIANFLAVIAN
    @FLORIANFLAVIAN Před 23 dny

    Unatoa uchambuzi mzuri kaka ulisha wahi kuongelea swala la kuondoka kwa chama ili kuboresha timu

  • @japhethKerenge-rw3li
    @japhethKerenge-rw3li Před 24 dny

    Nakubaliiii

  • @user-ro8rm4kd8c
    @user-ro8rm4kd8c Před 22 dny

    Kwani kaka azam tv bado hawajakuona??

  • @mussamakatani7366
    @mussamakatani7366 Před 24 dny +2

    Kaka angalia viwes na coments zinapungua kila kukicha sababu unaonesha mapenzi na simba....kuwa neutral hata kama ni shabiki wa simba.......kwenye uchambuzi hutakiwi kuonesha mapenzi na timu

    • @fadhiligasper4067
      @fadhiligasper4067 Před 24 dny

      Umeongea ukweli mtupu kabisa

    • @johnjoseph9596
      @johnjoseph9596 Před 24 dny

      Huyu jamaa ni shabiki wa yanga, kuna siku utamwelewa vizuri

    • @captainenough681
      @captainenough681 Před 22 dny

      Uyu ni Uto wa kutupwa alinitoa kwenye group lake la WhatsApp baada ya kumgundua kuwa uto

  • @ricardomichael5065
    @ricardomichael5065 Před 24 dny

    Uchambuzi Safi Unaokupa Picha Ya Simba Msimu Ujao.

  • @israelmunuo7938
    @israelmunuo7938 Před 24 dny

    Kaka unatoa madini ya viwango sana wewe ni tunu ya taifa👊

  • @johnjoseph9596
    @johnjoseph9596 Před 24 dny

    Good

  • @wambulamatale-ch5wj
    @wambulamatale-ch5wj Před 24 dny

    Huyu mchezaji n boora kabsa

  • @husseinpetro8615
    @husseinpetro8615 Před 24 dny

    Uko Juu sana

  • @mussamakatani7366
    @mussamakatani7366 Před 24 dny

    Mbona haujachambua kuhusu chama yanga...kaka wewe sio mchambuzi ila una mapenzi binafsi na simba

    • @SoccerData.
      @SoccerData.  Před 24 dny

      Hivyo vyote vinakuja usiwe na haraka...nikisema kila tukio nilitolee uchambuzi haraka sitoweza except nije na hoja nyepesi...kama ni uchambuzi ulioshiba basi unahitajika muda...lakini chambuzi za chama hadi sasa ni 4 subiri realises zake tu

    • @ummymuya.2060
      @ummymuya.2060 Před 24 dny

      Hivi mmewahi kuwa na nia ya kudhamini uchambuzi fulani kakataa kufanya hivyo?
      Hizi chambuzi zinadhaminiwa!

  • @samponews1689
    @samponews1689 Před 24 dny

    Shida yako umeanza kurudia rudia uchambuz 🙄

    • @MusaMkembela-ex6ev
      @MusaMkembela-ex6ev Před 24 dny

      Ww kurudia unashindwa

    • @SoccerData.
      @SoccerData.  Před 24 dny +1

      Kawaida mkuu... Huo uchambuzi ni kabla ya usajili,,, leo kasajiliwa, katangazwa...wanazengo wanatamani kumjua...