Kaka angalia viwes na coments zinapungua kila kukicha sababu unaonesha mapenzi na simba....kuwa neutral hata kama ni shabiki wa simba.......kwenye uchambuzi hutakiwi kuonesha mapenzi na timu
Hivyo vyote vinakuja usiwe na haraka...nikisema kila tukio nilitolee uchambuzi haraka sitoweza except nije na hoja nyepesi...kama ni uchambuzi ulioshiba basi unahitajika muda...lakini chambuzi za chama hadi sasa ni 4 subiri realises zake tu
Kaka upo vizuri kwenye review ya mchezaji, keep it up!!
Asante Sana kaka
Safi kaka kaz nzur
Unatoa uchambuzi mzuri kaka ulisha wahi kuongelea swala la kuondoka kwa chama ili kuboresha timu
Nakubaliiii
Kwani kaka azam tv bado hawajakuona??
Kaka angalia viwes na coments zinapungua kila kukicha sababu unaonesha mapenzi na simba....kuwa neutral hata kama ni shabiki wa simba.......kwenye uchambuzi hutakiwi kuonesha mapenzi na timu
Umeongea ukweli mtupu kabisa
Huyu jamaa ni shabiki wa yanga, kuna siku utamwelewa vizuri
Uyu ni Uto wa kutupwa alinitoa kwenye group lake la WhatsApp baada ya kumgundua kuwa uto
Uchambuzi Safi Unaokupa Picha Ya Simba Msimu Ujao.
Kaka unatoa madini ya viwango sana wewe ni tunu ya taifa👊
Good
Good
Huyu mchezaji n boora kabsa
Uko Juu sana
Mbona haujachambua kuhusu chama yanga...kaka wewe sio mchambuzi ila una mapenzi binafsi na simba
Hivyo vyote vinakuja usiwe na haraka...nikisema kila tukio nilitolee uchambuzi haraka sitoweza except nije na hoja nyepesi...kama ni uchambuzi ulioshiba basi unahitajika muda...lakini chambuzi za chama hadi sasa ni 4 subiri realises zake tu
Hivi mmewahi kuwa na nia ya kudhamini uchambuzi fulani kakataa kufanya hivyo?
Hizi chambuzi zinadhaminiwa!
Shida yako umeanza kurudia rudia uchambuz 🙄
Ww kurudia unashindwa
Kawaida mkuu... Huo uchambuzi ni kabla ya usajili,,, leo kasajiliwa, katangazwa...wanazengo wanatamani kumjua...