DUH! LISSU KIBOKO AMCHANA MAKONDA"HUYU MWANAUME MWENZANGU MBONA ANAWIVU MI SINA KAZI NAYE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 02. 2024
  • DUH! LISSU KIBOKO AMCHANA MAKONDA"HUYU MWANAUME MWENZANGU MBONA ANAWIVU MI SINA KAZI NAYE"
    🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
    🔘WhatsApp (+255 767 400402)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionline.com

Komentáře • 128

  • @This-f1k
    @This-f1k Před 6 měsíci +7

    Tajiri lisuuu.
    ...afu yupo tayari kulala gerezani, na dhahama nyingi tuu kwa ajili ya kukutetea ww mnyonge😂

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 Před 5 měsíci +1

    Nimecheka sna

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimu Před 6 měsíci +10

    DAWA NI NCHI IUZWE NDO MTAPATA AKILI KUWA LISU ANACHOKIONGEA KINA MAANA. AKILI ZENU MATOPE

    • @user-nn6zq1ok7i
      @user-nn6zq1ok7i Před 6 měsíci

      Iuzwe na Nani ss NDIO wenye Nchi

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 6 měsíci

      Lisu nijambazi la makinikia

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 5 měsíci

      Hakuna takataka nzito kama lisu, et mwanasheria gan alitetea wezi wa makin ikia?

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 5 měsíci

      Umeseahau magufuli anahangaika kukamata wezi wamakinikia harafu yy alisema tuwaache waendelee kuiba? Analosema hivo kwasababu alihongwa nawazungu akawa anapewa hela namwenzie zito Kabwe.tunajua sana

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 5 měsíci

      Lisu njaa yaurais hana njaa nyingine

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 Před 6 měsíci +6

    Wanasiasa wa Tanzania mnatuchezea lenu moja kutafuna nchi.

    • @RomanMwinyi
      @RomanMwinyi Před 5 měsíci

      We mbona una ongea bumba una vunja watu moyo lao Moja na nanii jitambue ww

    • @mkamamoris9415
      @mkamamoris9415 Před 4 měsíci

      Umeongea fact San aisee

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 Před 6 měsíci +1

    Hyu mzee bado sana

  • @Bizmind472
    @Bizmind472 Před 6 měsíci +4

    Kutoka Kenya nampenda Sana Paul makonda kazi nzuri brother achana na uyu abweke

    • @JoshuaSalimu
      @JoshuaSalimu Před 6 měsíci +4

      Makonda hawezi kumaliza matatizo ya Tzania Bali matatizo yetu yatamalizwa na katiba nzuri. Kw mwe Nye akili anaelewa

    • @geofreatumbo4543
      @geofreatumbo4543 Před 6 měsíci +1

      Wewe ni mtanzania Tena ccm mjinga wewe

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před 6 měsíci

      Kuma la mamako pambaneni na ukabila wenu huko kenya

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 6 měsíci

      Asante sana.makonda kwA sasa hata akisema anagombea urais hana wakumshinda.

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 6 měsíci

      Lisu ni tapeli wa kisiasa,aliwatetea wezi wa makinikia

  • @user-yv2gx9co1o
    @user-yv2gx9co1o Před 6 měsíci +8

    Yaan sisi tuandamane watoto wetu waumie was kwako wako USA 😊😊😊

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Před 6 měsíci +8

      Kwani wew unakuwa unaandamana masilahì ya nani niyawatoto wa tundu lisu au ni yakwako

    • @mohamededdi7527
      @mohamededdi7527 Před 6 měsíci

      ​@@rashidyusuphwewenimtotowam1761Jawabu zuri Sana.

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 Před 6 měsíci

      watoto wenu wanaumizwa na nini acha uzushi. Hata wewe unaruhusiwa kupeleka watoto wako nje kusoma kama huna uwezo kaa kimya

    • @jamessiame5169
      @jamessiame5169 Před 6 měsíci

      Kweli kabisa

    • @stevenghambi3471
      @stevenghambi3471 Před 6 měsíci

      Kwandamana ni kdai haki si familia

  • @chichahamis635
    @chichahamis635 Před 6 měsíci +5

    Mzee mihuni ya chadema hiyo milisu

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před 6 měsíci

      Makonda ana wivu sana nae si atafute mzungu wake tatizo ni nini? aache wivu wa kike

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 Před 6 měsíci

      Hayakusaidii hayo toa hoja tukuelewe

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Před 6 měsíci +1

    Atakuwa anakupenda hakuna siku ajakusema na mbaya sana alikukosa kupoka uhai wako

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 Před 6 měsíci +3

    Mfireni sana huyo Hana akili 😂😂😂😂 anaenda umama

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 Před 6 měsíci

      Wrwe je umesha acha hiyo tabia ..utaiona mbaya mbele

  • @user-ib1kp5ch4m
    @user-ib1kp5ch4m Před 6 měsíci +1

    Wapo marekani eeh

  • @godfreychaba9673
    @godfreychaba9673 Před 6 měsíci +2

    Hongera sana calvin nyanda kijana home boy wa old shinyanga

  • @user-nd6xm8tt3x
    @user-nd6xm8tt3x Před 5 měsíci

    Daaaaaar lisssu umenichekesha kweri ila kweri anaonaje wivu uyo sasa

  • @filbertkumburu8015
    @filbertkumburu8015 Před 6 měsíci +4

    Pumbavu kweli,yaani wewe kutafuta haki yako mpaka watoto wa lisu wawepo,ebo! Hawakosi mahisia ,je lisu mwenyewe asingekuwepo? Mi nashauri watu wasimhadili mtu bali ajadili juu ya maandamano kwako yanalipa au hayalipi,hoja iko hapo?

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před 6 měsíci

      nani aliyekulazimisha uandamane?? sisi tutaandamana wewe lala kwako..Tanzania na chadema itajengwa na wenye moyo

    • @samsonsamson7936
      @samsonsamson7936 Před 6 měsíci

      Ndo akili ya vilaza haangalii ukweli wa kinachoongelewa

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 6 měsíci +1

      Leta watoto na mkeo kuandamana

  • @mkamamoris9415
    @mkamamoris9415 Před 4 měsíci

    Kama nimeelew vizur huyu syo mtanzania ila anafanya kazi Tanzania na familia yake Iko marekan mke Yuko uberigij sas vp atakuw na machungu na vijana wa kitanzania

  • @AnnoyedFlowerPot-mr2ps
    @AnnoyedFlowerPot-mr2ps Před 4 měsíci

    Nenda kagombee huko huna chako tz

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před 6 měsíci +1

    LISU HANA NYIMBOOOO HUYOOOO.😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉😂🎉

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před 5 měsíci

    Sasa weee unataka urais wakati familia yako iko nje je inahusu mungu na akufundishe

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 5 měsíci

    Yaani Mimi
    Ningekuwa mm Ni?ngemrudia Mungu ningemrudia Mu ngu

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 Před 6 měsíci +4

    Lisu mhuni sana 😀😀😀😀

  • @JoshuaSalimu
    @JoshuaSalimu Před 6 měsíci +2

    DAWA YENU KODI IPANDISHWE NDO MTAKUWA NA AKILI TAZANIA

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 Před 6 měsíci

      Wabongo hawajawahi pata akili kwanza hawanaga akili wewe, hata auawe mamayake hapa bado ni zero

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx Před 6 měsíci

      Kuandamana UN huna ishu

  • @David-if6nk
    @David-if6nk Před 6 měsíci

    Daah kumbe wanasoma Marekani na ni wamarekani

  • @AlexAlex-kf1eg
    @AlexAlex-kf1eg Před 5 měsíci

    Makonda oooooyeeeeeee

  • @filbertkumburu8015
    @filbertkumburu8015 Před 6 měsíci +2

    Kaa nao tena wafungie kwenye kitundu cha nguruww au cha kuku giza la kukusa umeme uone litakufinya huko mpaka ukome, bei ya sikar bado, vibano vya tozo bado,hospitalini nadawa ghali itakufinya kuzani wenzako wanafanya ngonjela

  • @user-xy7yc4qp6o
    @user-xy7yc4qp6o Před 6 měsíci +1

    Lisu bwana

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 Před 6 měsíci +2

    Toka ameukubali ushoga,mm nimemkataa kutoka moyon Tindu Lissu

    • @mvukiedavid4332
      @mvukiedavid4332 Před 6 měsíci +2

      Akili huna Bwege,wapi aliukubal ushoga mBwa Wewe

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m Před 6 měsíci +1

      Mbona papa humsemi unafata mkumbo tu na uhakika huna

    • @user-qn8pb9er6c
      @user-qn8pb9er6c Před 6 měsíci +2

      Huna akili yawezekana wewe ndo shoga unatafuta wanaume hawapo wa hivyo

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 Před 6 měsíci +1

      Aliukubali wapi ...tueleze au dishi lime hrza

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 Před 6 měsíci

    Hiki kichwa ni hatari sana

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 Před 6 měsíci

    Hizo fedha umepata wapi ya kuwasomesha marekani

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Před 6 měsíci

      Ww umekosa pesa unafikiri kila mtu ndio hana?😂😂😂

  • @chaleslwenje3047
    @chaleslwenje3047 Před 6 měsíci

    Wanasheria toeni elimu hivi maandamano ni vurugu mbona majuzi hata sisimizi hakukanyagwa na yalifanyika

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d Před 6 měsíci +2

    Tuandamane sisi watoto wako marekani duh

    • @melch3097
      @melch3097 Před 6 měsíci +3

      Umelazimishwa, Kalale unenepe

    • @1961nungwi
      @1961nungwi Před 6 měsíci +2

      Dah, huyu Jamaa kumbe aliwahi kufanya kazi Marekani! Dah kweli Dunia hii ametembea

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 6 měsíci +3

      Kwani unadhani viongozi wa CCM watoto wao wanasoma Tanzania?

    • @alphoncewilliam4325
      @alphoncewilliam4325 Před 6 měsíci

      Ningefurai kusikia kwenye maandamano yao ile ela ya ruzuku wagawe kwa wanao hamasisha kuandamana

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 6 měsíci

      @@alphoncewilliam4325 Hivi hayo mav8 na matumizi mabaya ya kodi wakati kila kitu ni hovyo hakuna chenye unafuu huoni umeshupalia ruzuku what is rong with Tanzanias special you are you made !

  • @dionizkipanya2355
    @dionizkipanya2355 Před 6 měsíci

    Hahahaha Mwamba Ban

  • @geey7893
    @geey7893 Před 6 měsíci

    Huyu Lissu sdhani kama hakuliwa Ubelgij. Mbona hatak kuhana uko😂

  • @omarkapula588
    @omarkapula588 Před 6 měsíci +4

    Mnamsikia huyu watoto wako marekani mama ubelgiji huku anadai maandamano hana familia hapa atoke ni muomgo watu huwa wanapanga wapi wazae ameamua akazae marekani

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 6 měsíci +1

      Shida tulizokuwa nazo je zinahusiana na familia yake

    • @mvukiedavid4332
      @mvukiedavid4332 Před 6 měsíci +1

      Kapula ni Kapula kwel

    • @kareemsanga5952
      @kareemsanga5952 Před 6 měsíci +2

      Kwani kakwambia wewe upeleke wanao?

    • @MubinaRoshan
      @MubinaRoshan Před 6 měsíci

      Yeye mke hayupo tz watoto hawspo anataka kuharibu kws wenzake

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před 6 měsíci

      @@MubinaRoshan kati ya mke wake watoto wake na wako wapi wanamaisha magumu elimu duni sukari shida umeme shida na uongozi mbovu wa CCM hivi nani kawaroga nyinyi.

  • @mzalendomtokambali6551
    @mzalendomtokambali6551 Před 6 měsíci

    Na huku unahamasisha familia za wezako kufanya mahandamano

    • @user-fr7jj1bo7y
      @user-fr7jj1bo7y Před 6 měsíci

      nani aliyekulazimisha uandamane?? sisi tutaandamana wewe lala kwako..Tanzania na chadema itajengwa na wenye moyo

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in Před 6 měsíci

    😂😂😂😂Mke yupo ubelgiji watoto wapo marekan c tunaandama Tanzania....Nyau kabisa wewe

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Před 6 měsíci +5

    Watoto wa masikin waandamane wakwako wapo marekani mbwa nini

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 Před 6 měsíci +2

      Maandamano ni haki ya mtanzania masikini wanyonge sio matajili wala mtoto wa lisu sis masikini ndo tunahangaiķa mfano jana nmaa anagombana na konda kisa 200 halafu konda andai haki yake

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 Před 6 měsíci

      Maskini nikina nani acha kudanganya watu. Mmejificha kwenye hilo chaka kutudanganya muendelee kutuibia

    • @nabimanyafesto5014
      @nabimanyafesto5014 Před 6 měsíci

      Kwani alipo andamana alikua ni kivuli

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 Před 6 měsíci

    Mke yupo uberigiji alafu kinataka kutuletea fujo huku hata tukikupa nchi ww ndio rahisi kituuza

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Před 6 měsíci +3

    Ndo maana anaukubali ushoga 😂😂😂

    • @mohddelo
      @mohddelo Před 6 měsíci

      Ndio mashoga wenzio

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 Před 5 měsíci

    TUSI HILI JAMANI, YANI MAANAAKE MAKONDA ANAMUONEA WIVU MZUNGU AU? NDIO MAANA LISSU ANASEMA MAKONDA YEYE NI MWANAUME 😂😂😂😂😂

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před 6 měsíci

    Lisu hafai tena hatufai lbs

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 Před 6 měsíci

    Wewe pandikizi,unahamasisha wetu wagome wako wanaishi marekani nenda kadanganye wazungu

  • @BahameJuke-wp5cs
    @BahameJuke-wp5cs Před 6 měsíci

    Ivi nyinyi mnaomsifia makonda hakiri zenu matako kabisa mutu jambazi,muuanzi,mporaji

  • @salehwaziri5062
    @salehwaziri5062 Před 6 měsíci

    Mpuuzi kamawapuuziwengine

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 Před 6 měsíci

    Kwakweli tundu ww mtu wa hovyo sana

  • @user-ly2tv5og1n
    @user-ly2tv5og1n Před 6 měsíci +2

    Kumbe huyu jamaa si mwenzetu !!!

  • @Masige_fm
    @Masige_fm Před 6 měsíci +3

    Lissu aliishi USA miaka mitatu, na watoto wake wawili wakazaliwa huko ndani ya hiyo miaka mitatu.

    • @melch3097
      @melch3097 Před 6 měsíci

      Shida iko wapi

    • @alexwambura9103
      @alexwambura9103 Před 6 měsíci +1

      Kwani ndani ya miaka mitatu huwezi kuwa na watoto wawili mkuu?

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před 6 měsíci +2

    Lisu nimtoa tarifa sio mtendaji ni muhuni tu

  • @mariosigala8760
    @mariosigala8760 Před 6 měsíci +4

    Huna maono na nchi Yako makonda humuwez Tanzania imeuelewa MAMA

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 Před 6 měsíci +2

    Makonda ndo Rais wako

  • @merckmdamu2942
    @merckmdamu2942 Před 6 měsíci +4

    Tuandamane wewe familiayako iko malekani😂😂😂😂😂😂😂

    • @mvukiedavid4332
      @mvukiedavid4332 Před 6 měsíci +2

      Kuandika hujui,huwez kujua sabab au maana ya kuandamana kudai haki yako

    • @user-gr9wc7bc2m
      @user-gr9wc7bc2m Před 6 měsíci +3

      Wewe kaa nyumbani kwako uendelee kununua sukari 5000 na kuhangaika na umeme

    • @merckmdamu2942
      @merckmdamu2942 Před 5 měsíci

      @@user-gr9wc7bc2m Nenda barabarani ss sukari5000? Kwani inaurazima🤣🤣🤣

    • @merckmdamu2942
      @merckmdamu2942 Před 5 měsíci

      @@user-gr9wc7bc2m Nenda barabarani ss sukari5000? Kwani inaurazima🤣🤣🤣

    • @merckmdamu2942
      @merckmdamu2942 Před 5 měsíci

      @@mvukiedavid4332 Hakiyako niwewe namaisha yako kaka haukna rais atakaekuja kukuletea majumba magar napesa nyumbanikwako. Atahuyo anaekusihi uandamane akichukua madaraka bado utaenderea kumkosoa. Chakukushaur pambana namaishayako pigakazi kwabidii na ukimtanguriza mungu. Utafanikiwa. Achana na siasa siasa inawenyewe broo,, 🤣🤣

  • @ricklandennis
    @ricklandennis Před 6 měsíci

    Lisu kuwa raisi bado sana una chuki za ndani

  • @This-f1k
    @This-f1k Před 6 měsíci

    Tajiri lisuuu.
    ...afu yupo tayari kulala gerezani, na dhahama nyingi tuu kwa ajili ya kukutetea ww mnyonge😂

  • @kamalissabig4631
    @kamalissabig4631 Před 6 měsíci +3

    Mfireni sana huyo Hana akili 😂😂😂😂 anaenda umama