HERI YAKO WEWE- BY SIFAELI MWABUKA SKIZA CODE 5708286 TO 811
Vložit
- čas přidán 1. 06. 2020
- #calloffice255625444704#254799200738
SIFAELI MWABUKA-mwabuka media& Digital
Stream/download:SIFAELI MWABUKA-mwabuka media& Digital
Stream/ / sifaelimwabukaofficial...
Digital Distribution & Marketing by MKONONI LTD
Subscribe for more official content from Sifaeli:
/ sifaelimwabukaofficial...
Follow Sifaeli Mwabuka
Instagram: sifaeli mwabuka
Twitter:
Facebook: sifaeli mwabuka
Tiktok: sifaeli mwabuka
Listen to Sifaeli mwabuka
CZcams: / sifaelimwabukaofficial...
Audiomack: sifaeli mwabuka
Apple Music: sifaeli mwabuka
Spotify: sifaeli mwabuka
Boomplay: sifaeli mwabuka
The official youtube channel of Sifaeli Mwabuka.Subscribe for the latest music videos, performance,and more
For booking & more
Email.mwabukamedia@gmail.com
contact:+255625444704 Tanzania
Digital Distribution & Marketing by MKONONI LTD
Subscribe for more official content from Sifaeli:
/ sifaelimwabukaofficial...
Follow Sifaeli Mwabuka
Instagram: sifaeli mwabuka
Twitter:
Facebook: sifaeli mwabuka
Tiktok: sifaeli mwabuka
Listen to Sifaeli mwabuka
CZcams: / sifaelimwabukaofficial...
Audiomack: sifaeli mwabuka
Apple Music: sifaeli mwabuka
Spotify: sifaeli mwabuka
Boomplay: sifaeli mwabuka
The official youtube channel of Sifaeli Mwabuka.Subscribe for the latest music videos, performance,and more
For booking & more
Email.mwabukamedia@gmail.com
contact:+255625444704 call
+255719482223 Whatsapp - Hudba
Heri yako wewe uliyemwamini Yesu na kutubu dhambi zako
Heri kumwamini Yesu...
wow wow wow....i love everything about you from your sweet voice...be blessed
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu mungu akubariki sana kwa ujumbe mnzuri
Barikiwe Sana Mtumishi wa Mungu. Mungu azdi kuinua kipaji chako cha uimbaji.
hongera mtumishi
Heri yako wewe uliyetupu zambi na kumwamini yesu hallelujah Amen Mungu tusamehe zambi
Barikiwa sanaaaaaa Mungu akubariki sanaaaaaa tunapenda nyembozako us
Amen Asante sana nakushukuru
Ni funzo kubwa kwa kila mmoja kujihoji na kulitii neno la Mungu
Wimbo uko na nguvu ya kipekee injili tosha barikiwa mtumishi wa Mungu Sifaeli mwabuka
Hakika inanibariki Sana Mtumishi wa Mungu! Natamani na Mimi kumuimbia Mungu Kama wewe kaka yangu
Heri wenye moyo safi Maana hao watamuona Mungu .Heri Yangu niliyemwamini Yesu nimechagua njia njema
Amen Asante sana nakushukuru
Heri yako wewe uliyemwamini Yesu hakika
Heri yangu mimi 👌👌napenda sana nyimbo zako mtumishi wa mungu keep it up 💪💪
Like serious nyimbo za huyu sifaeli hubariki roho yangu😭😭😭😭 yaani siwezi kabisa toka kwa nyumba asubuhi kwenda kibarua kama sijaskiza nyimbo zako😭😭 be blessed man of God, God is using you to encourage many sometimes huskiza hadi nalia tu
Amen Mwenyezi Mungu akujarie upeo wakuimba kwaya nzurii kama hizi
Amina Ubarikiwe sana
Kheri yangu mimi nilie mwamin Yesu
Watu WA Mungu, tuwe wepesi WA kutubu dhambi nakumurudia Mungu maana tunaishi nyakati za mwisho, Pastor Sifaeli Mungu akuinuwe tu sana
Heri yako wewe uliyemwamini Yesu
Amina 👏👏👏kaka sifaeli mungu awe nawe kila wimbo unaoutowa akuongoze yeye tunaye mwamini mungu mkuu
Amen Asante sana nakushukuru
ubarikiwe sana mtumishi wa mungu kwa ujumbe wenye kuponya nafsi zetu hakika HERI YANGU MIMI
Sifaeli mwabuka Mungu akubariki Sana mtumishi wa Mungu
Heri yako ww unaye mwamini Yesu bariwa sana mtumishi kwa ujumbe
Amen Asante sana nakushukuru
Amen
Ndugu nyimbo Sako hunibariki Sana mungu atusaitie na akufungulie milango, ni Martin wekesa kutoka webuye
Amen Asante sana nakushukuru
Heri yako wewe uliye mwamini Yesu🙏🙏
Kazi Swafi sana napenda nyumba zako na za msaada kwangu
Amen Asante sana nakushukuru
@@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL karibu ndugu
Amina, nakualika roho mtakatifu rohoni mwangu unitawale na kuniongoza. Nimebarikiwa sana nikiwa kenya
Amen Asante sana nakushukuru
Kama wangesema ugombanie tuzo ungekuwa wa kwanza kupata tuzo ya mwimbaji Bora tanzania
Wimbo konk saana my brother hongera kwa goma kabambeee heri yangu Mimi nilieokokaaa nina heriii
Amen Asante sana nakushukuru
Halleluyah Mtumishi wa Mungu endelea hivyo na upako wa Yesu.Amen
Amen Asante sana nakushukuru
@@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL Barikiwa sana pia wewe Mtume wa Yesu kupitia nyimbo.
(Video safi)(wimbo safi) (sifael safi sanaaaaa!
Hero ya wale waliotubu dhambi zao... Barikiwa Sana kakangu +254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Heri kwa wale wanaomcha bwana kwa maana watamwona bwana. Nilazima kumutumikia katika haki na kweli.
NABARIKIWA SANA NA HUDUMA YAKO MUNGU AKUBARIKI SANA NA AKWINUWE KATIKA VIWANGO VYAA JUU SANA.
Amen Asante sana nakushukuru
Heri kweli 'sermon on the mountain' mtumishi Mungu akubariki 'baba tunakuombea'wimbo wetu waja pia
Amen Asante sana nakushukuru
Ubarikiwe Sana Kaka yangu kwa wimbo mzuri heri yangu niliye mwamini yesu ubarikiwe sana sana nakwaminia sana
Amen Asante sana nakushukuru
Bonge la message yenye upako
nyimbo zako unibariki sana akh,mungu akubariki sana.
Wewe ni mwimbaji wa tofauti Sana mtumishi unahitaji pongezi kazi zako zoote ziko na baraka mno
Mtumishi Wa Mungu nyimbo zako za fariji nakumpa mtu tumaini
Barikiwa mtumishi wa Mungu Asante kwa ujumbe huu mkubwa mno
My brother sifael mwabuka Mungu akuinue viwango vingine
Amen Asante sana nakushukuru share na wengine watumie vile uwezavyo ujumbe wa nyimbo hii uwafikie🙏🙏🙏🙏God bless you
Heri tumwamini yesu
heri we ulie tubu dhambi imenibaliki sanaa
Jameni jameni yaani tu, shukrani sana na ubarikiwe kaka kwa wimbo mtamu.
Napenda nyimbo zako Sana uwa za ni bariki sana
Amina zidi kubarikiwa
Hakika umebarikiwa mtumishi nyimbo nzuri video ndio usiseme nzuri mno
Barikiwa mtumishi kwa wimbo mzuri
Amen barikiwe sana
Hogera sana mtumish wa mungu,,bwana akubariki na akuogezee kibali
Iime
Ubarikiwe.kwa kweli nyimbo zako.zinatuongezea imani yetu na kutupa mafundisho juu ya ufalme wa mbinguni.
Heri yetu sisi tuliopata neema kumwamini Yesu Asante mtumishi kwa ujumbe mzito kwelikweli
Ubarkiwe sana mtumishi wa MUNGU.ni Kwer wenye moyo safi ndio watamuona MUNGU.
Hi nikwe mungu asaidiye taifalake👍🤝🤝🙏🙏🙏🙏🙏
Wewe ni mwimbaji namba moja Tanzania mwenye uwezo wa juu Sana sauti nzuri,jumbe zako nzuri, mpangilio wa uimbaji ndio usiseme nakupenda Sana Sifaeli mwabuka nakufuatilia Sana pamoja na uislam wangu lakini nimetokea kuguswa na nyimbo zako tu mwenyezi Mungu akubariki Sana
Kheri yako mungu ujumbe mzuri Sana unabariki Mungu akutie nguvu unapoendelea kubariki watu na nyimbo hizi Amen
Amen Asante sana nakushukuru
Jomon wimbo mzr mungu akutie nguvuu
Barikiwa mtumishi HERI YAKO WEWE unayemtumikia Mungu
Heri yangu mimi nilie mwamini yese 🙏🙏🙏🙏asanta sana
Sio Yese Ni Yesu Huyo Yese ni Mwizi Sugu Huku Mtaani kwetu😂
Amazing 👌
Atukuzwe Mola mweza yte,,Amina kazi hii sio yko unaguza mioyo mingi barikiwa nko Kenya juja
asante sana nakushukuru kwa kuwa pamoja nami,thanks for your support subuscribe my chanel and share to others
Wow wimbo mzuri Sana na wenye baraka asante Sana mtumishi
Amina
Yani naupenda sana wimbo wa her yako we so Sili unajua kuimb nakuombea uzid zaid ya apa
amen barikiwa sana
Heri yako wew ulimwamini Yesu
Umetisha baba kamanda Wa jeova barikiwaaa sana
Amen Asante sana nakushukuru
hallelujah that's true amen hallelujah amen wonderful song ❤❤❤
Be blessed
Nahitaji kumuona Mungu, Ee Bwana nisaidie niendelee kutubu dhambi zangu, God Bless you pastor, am Phanice Okongo.
MUNGU akubariki Sana mtumishi wa Mungu barikiwa
Mungu akujalie mtumishi nazidi kubalikiwa nanyimbo zako🙏🙏🙏🙏🙏
Amen Asante sana nakushukuru
@@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL Amina kubwa
Mi asia napenda sana nyimbo zako
Kati ya waimbaji ambao naweza kuwazungumzia kwa ujasili wangu kuwa wako vizuri bila mashaka wewe Ni mwimbaji Bora tanzania na sio tanzania tu Africa kwa utunzi,sauti,pia uwezo wa kufikiri kile unakifanya Mungu akubariki Sana mtumishi Sifaeli mwabuka
Amen Asante sana nakushukuru
Amina mtumish Ubarikiwe sana Bwana akuzidishe sana
Amen Asante sana nakushukuru
Aminah sana bro unanibaliki sanah napenda sana uimbaji wako God bless you.
Heri wenye Moyo safi maana watamwona Mungu.... Barikiwa Sana Kaka
barikiwa saaaana mtumishi kwan imetubarik na kutufundixha nyimbo nzur video nzur.
Amina Asante
@@SIFAELIMWABUKAOFFICIAL kiukwel nyimbo zako zinatubariki na kutuponya Mungu azid kukupandisha viwango vikubwa sana.
amen wonderful song may God bless you my brother ❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏
Thanks for your support. Be blessed. Don't forget to subscribe, comment and share
Powerful penda wewe sana endelea kutubarika
Amina nakushukuru sana
Hongera mtumishi wimbo safi
Huwa unanibariki sana na nyimbo zako mdogo wangu. Mungu azidi kukuinua zaidi na zaidi. Barikiwa
Amen Asante sana nakushukuru
Heri anayemwamini YESU . Asante kwa wimbo mzuri wenye mafundisho Mungu akuzidishie neema hiyo
amen asante kwa support yako please sabuscribe my chanel and share to others
Heri yetu tunaomtegemea MUNGU Mwenyezi,,Neema ya MUNGU iwe pamoja nawe mwana wa MUNGU🇰🇪🇰🇪
Amen Asante sana nakushukuru
Tiba ni tiba toka kwa mungu. Tumwamini atatuponya hakika . Daktar i ayeye na gharama wala kuweka miyadi ya kumwona. Asante Yesu
amen asante kwa support yako please sabuscribe my chanel and share to others
Wimbo wenye upako mwafaka.ubarikiwe
🤍
Wow i like it. Heri yangu Mimi. Baraka tele brother
Nashukuru sana kwa wimbo wote ni merikiwa sana mungu awazidishia tena ufahamu zaidi nawatamani kuwaona bwana akipenda tutanana aksanti,ni wenu maman Rhodefaida kutoka, Kinshasa
hakika nimebarikiwa na nazidi kubarikiwa wimbo mtam mno
HERI YAKO WEWE uliyemwamini Yesu kristo wimbo umetukuka
Amen Mungu azidi kukubariki wimbo mzuri Sana
Amen Asante sana nakushukuru
Nimebarikiwa😭
Amen Asante sana nakushukuru
I love ur music brother.zinabariki moyo wangu sana.hombi langu kwako nikwamba mungu wauzima naazidi kuwa nawe Asante.
Nmebarikiwa Sana mtumishi was mungu,Asante Sana kwatutia moyo, ubarikiwe pamoja na family yako
Nyimbo zako Zina nibariki San. Mungu akunue viwango vya juu kbs
Nice song god bless you SIFAELI MWABUKA nice work excellent work.
full of message and the video too is very attractive. heko mtumishi
Wengine wanasema... Hakuna hukumu... Ni sawa tumekuelewa...
I love this song... Reminds me that here am not permanent
Tamu sana bana ...yabariki. .. vyombo, sauti... poa sana
Zidii Kubarikiwa..Mtukuzee Mungu Tuu
Hakika wimbo mzuri sana
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Kwa kweli sifa na utukufu zimludie Mungu pekee maana hata Sasa anatupenda
God bless you bro🙏🙏
Napenda sana nyimbo zako. God bless you🙏.
Amen Asante sana nakushukuru
Umejua kuanifurahisha
Hahahahaah asante
Amen Asante sana nakushukuru share na wengine watumie vile uwezavyo ujumbe wa nyimbo hii uwafikie🙏🙏🙏🙏God bless you
Amen mungu akubariki saana 🙏🙏
Kabisa good job 👏
Ujumbe umefika Mkuu ahsante
Amen Asante sana nakushukuru
Amen kaka ubarikiwe sana kwa wimbo na ujumbe.
Mungu akubariki kazi nzuri
Mungu akubariki Sana kwa huduma nzuri ya kumtukuza Mungu na kazi zake
Amen Asante sana nakushukuru
HERI WEWE KAKA KWA UJUMBE MWEMA KUTOKA KWAKE MUNGU .AMEN
Amen asante sana nakushukuru kwa kuwa pamoja nami kwenye huduma yangu ya uimbaji,please subscribe my channel and share to others and God bless you