Ng'wana Kang'wa - Nalhi Nsukuma (Official Video 4k)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Nalhi Nsukuma Official Video
    Directed by ‪@MigeraStudio‬
    Produced By Mostone
    Drone Shots By ‪@ayubudrones‬
    Follow Me On
    Facebook
    / ntemiomabala
    Instagram
    / ngwanakangwa_
    DOWNLOAD AND STREAM #NALHINSUKUMA ON ALL DIGITAL PLATFORMS
    onerpm.link/72...
    BTM AFRICA 4LIFE
    #nalhinsukuma #ngwanakangwa #btm4life

Komentáře • 438

  • @benjagaspar5304
    @benjagaspar5304 Před 3 měsíci +87

    Wasukuma tujuane like moja tu inatosha💚💚🇹🇿🔥

    • @user-nf7kt6wp6s
      @user-nf7kt6wp6s Před 3 měsíci +3

      Mimi hap musuma lakini nipo Kenya

    • @amosipetermiraji8059
      @amosipetermiraji8059 Před 3 měsíci +6

      Mimiapa ngosha the Don nae njoyi nikiwa congo Kinshasa nitabaki kuwa msukuma mpaka nazumaleke nduhu kuleka asali yane🎉🎉🙏🇹🇿🇹🇿🇨🇩💪💪

    • @benjagaspar5304
      @benjagaspar5304 Před 3 měsíci

      @@user-nf7kt6wp6s jambo jema tuko pamoja

    • @benjagaspar5304
      @benjagaspar5304 Před 3 měsíci

      @@amosipetermiraji8059 naona unasukuma mitikas washile na congo

    • @Rashidy200
      @Rashidy200 Před 2 měsíci +1

      Uhakika

  • @sarahmarko7755
    @sarahmarko7755 Před 3 měsíci +15

    bwana kang'wa wewe ni msanii mzuri sana napenda kazi unayoifanya napenda kufuatilia kazi yako kila siku mimi sio msukuma lakini nawapenda wasukuma ninajua kuongea kisukuma najua mila za kisukuma nimeishi na wasukuma kwa sasa hivi mimi niko china lakini siwezi kuacha kufuatilia wewe ninakupenda sana wewe ni msanii mzuri hata kama nikiwa china lazima nikufuatilie 🔥🔥🥰🥰🇹🇿🇨🇳

  • @Mkemia..Kirigiti
    @Mkemia..Kirigiti Před 3 měsíci +12

    Mimi sio msukuma ila napenda sana kusikia lugha ya kisukuma😄👍👍👍. From today i'm your good fun, all the way from Indonesia 🇮🇩🇮🇩

  • @lucasathanasbi.i419
    @lucasathanasbi.i419 Před 3 měsíci +13

    Ng'wana kang'wa huu wimbo mkali sana, hapa unanikumbusha nyumbani chona

  • @ZabronHermanNgasa
    @ZabronHermanNgasa Před 3 měsíci +18

    Wasukuma wa hapa UDOM tunajivunia sana kuwa na msanii kama wewe tunataka ngoma kama hizi

  • @djkmantz
    @djkmantz Před 3 měsíci +34

    Wasukuma mko wapi tumsapoti Mwana Sasa maana hii kazi ni 🔥🔥

  • @malingomediaofficial
    @malingomediaofficial Před 3 měsíci +47

    Haya Sasa Kazi Ya Kisuma Yenye Maadili Poa Hiii Hapa
    Hiiii Inatoka Kwake
    Mwamba NTEMI
    Kama Unamkubali Ng'wana Kang'wa Like Sasa
    Usipo Like Utakua Una Ukimwi

  • @user-qv2fe3hy2x
    @user-qv2fe3hy2x Před 3 měsíci +6

    Kaka utakumbukwa kwa mengi kwa nyimbo nzuri kama hizi hakika wewe ni mshindi kazi nzuri sana❤❤❤❤

  • @latifa7358
    @latifa7358 Před 3 měsíci +6

    Asantee sana msukuma mwenzetu unawakilisha vyema asili yetu , maua yako chukua 🎉🎊....❤, ngoma iko vizuri mnooo ✌ nasikiliza nikiwa🇸🇯

  • @LeticiaPunguja
    @LeticiaPunguja Před 3 měsíci +6

    Najivunia kuwa msukuma,,, hongera sanaa umenifurahisha mno

  • @ogabc5444
    @ogabc5444 Před 3 měsíci +3

    I'm currently in Denmark, I think this song dedicated to me!!! Nale nsukuma gete, thanks @ng'wana kang'wa ,,wabheja sana

  • @SalomeJohn-ps8yl
    @SalomeJohn-ps8yl Před 3 měsíci +6

    Abashina bugale na basuka mabele 🥰🥰🥰🥰 kazi nzur

  • @masanjawacha6077
    @masanjawacha6077 Před 3 měsíci +6

    Wewe hbagosha ngwanakangwa hapo sawa kaka endelea kutumixha kisuma

  • @PeterMalima-fc4tf
    @PeterMalima-fc4tf Před 3 měsíci +9

    Nyanda kwenye kitengo cha misosi yupo vizuri😀😀😀

  • @User255tv
    @User255tv Před 3 měsíci +6

    Lyimbo lya wiza no Ntemi Omabala. Nigasegage ama Masanva utunge mimbo gangi masoga guti linili. Nali obabinza, guko nagashige unene, ibize mang'hwani, mabulaya nulu ng'wisho ya welelo; nali nsuguma du!

  • @denischarles6409
    @denischarles6409 Před 3 měsíci +5

    Dàààààh umetumia ubunifu mkubwa kaka asante xana endelea kutuelimisha❤❤❤❤

  • @silasjidaha7184
    @silasjidaha7184 Před 3 měsíci +6

    Dah huu wimbo nimesikiliza kwa hisia kali sana mpaka nimepanga kusafiri kwenda nyumbani kwanza

    • @silasjidaha7184
      @silasjidaha7184 Před 3 měsíci +1

      Nyanda kabundi namuona kama kawaida malibhoto na mashono😂😂

    • @user-gv8yn9lg1i
      @user-gv8yn9lg1i Před 2 měsíci +1

      Hata mimi nimekumbuka kwenda nyumbani, nyimbo za asili zinavuta hisia sana. Brother ametisha.

  • @maduhumanyangu1544
    @maduhumanyangu1544 Před 3 měsíci +10

    Mwana kang'wa piga kazi kote kote ni huduma tu usijali mtu mara aku judge eti Harusi.
    Mie nafikiri hata Nyimbo za harusi ni Fani kubwa sana...anayekujudge nyimbo za harusi ujue hajaelewa maana ya Sanaa inanzia wapi na kuishia wapi.
    Pga kaz mwamba..Bigup my Fellow

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj Před 3 měsíci +4

    Kahama big boss wa kisukuma pongezi ulipotoka mbali toka Kwa juma mpaka Leo upewe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤ Yako.

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 Před 3 měsíci +3

    Sanaa ndiyo inatakiwa uwe mbunifu sanaaa. Unajitahidi sana kubuni na jamii inapata burudani zenye radha tofauti tofauti. Hongera sana kijana unajitahidi sana👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @paulinaernest
    @paulinaernest Před 3 měsíci +4

    Umetisha wa kokaya wimbo mzurii sana na nimeshaudanilod

  • @auleusmuyamba4208
    @auleusmuyamba4208 Před 3 měsíci +4

    Kazi nzr kaka 💯💯💯Nakumbuka Kuna Rafk yangu nmesoma nae shule ya msingi, anaitwa Kang'wa...

  • @mashashpastory7467
    @mashashpastory7467 Před 3 měsíci +25

    Sukuma kings gonga like tuuenzi mziki wetu👍🏽🔥🔥🇹🇿

  • @user-be6vz6kq2r
    @user-be6vz6kq2r Před 3 měsíci +4

    Wasanii wa nyimbo za asili wapo wengi ila mwana kang'wa ni Mmoja tu 👏👏🤝🤝

  • @AdamHamis-sg6zz
    @AdamHamis-sg6zz Před 3 měsíci +2

    waooooooo nimeuonaaaa wabheja sana bhung'ando Nalhi nsukuma getee

  • @RejinaSilvesta
    @RejinaSilvesta Před 2 měsíci +2

    Mimi sio msukuma nimeishi usukumani sana wakalimu sana hadi sasa hivi najua kisukuma kushinda kabira rangu penda sana wanamaadili sana hata watoto wao hongereni

  • @ManjiNzobheNzobhe
    @ManjiNzobheNzobhe Před 3 měsíci +4

    Hiii kazi umetoa ndug yang. Nipo 🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲 nimeipata

  • @issaLamadhan
    @issaLamadhan Před 2 dny +1

    Uhakika kaka maua ako 🎉🎉🎉🎉🎉 hiii Ngoma ya taifa

  • @Makolo_Rob
    @Makolo_Rob Před 3 měsíci +4

    Here we go ✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿🇺🇸🇺🇸✌🏿✌🏿🇹🇿🇺🇸✌🏿🇹🇿 from
    USA we get you✌🏿

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  Před 3 měsíci +2

      Thank you @sukuma_cowboy ,wabheja sana
      #nalhinsukuma

  • @JustineAloyce-lu8ux
    @JustineAloyce-lu8ux Před měsícem +5

    ALIYEMUONA NYANDA KABUNDI GONGA LIKE

  • @SabinaCharles-ub2ec
    @SabinaCharles-ub2ec Před 3 měsíci +3

    Kazi nzuri sana wasukuma jamanii raha sana najivunia kuwa msukuma

  • @leonardmtemi2026
    @leonardmtemi2026 Před měsícem +1

    Tulagaaa milimoo ntale kutoka Northern IRELAND 🇮🇪🇹🇿 kazi nzuri 🙌🙌🙌🙌🙌

  • @user-jr1qx1sj8t
    @user-jr1qx1sj8t Před 3 měsíci +3

    Nimeuelewa sana huu wimbo ntemi amejitahid sana huu wimbo

  • @NanyambatcLaboratory
    @NanyambatcLaboratory Před 20 dny +1

    Daaaa. Bhagoshaaaaa. Nakumbula kayaaaaaaa. Big up sana kaka Kwa wimbo mtamu. Mwezi ujao naenda nyumbn aisew

  • @Adelinaemily-p5x
    @Adelinaemily-p5x Před měsícem +2

    Asante sana ntemi always your in top position to all musicians. Very nice

  • @MipandaKali-ij1yp
    @MipandaKali-ij1yp Před 3 měsíci +3

    Asili ndani ya btm zipo zimelewa hongera kiongozi

  • @mazikumange9130
    @mazikumange9130 Před 3 měsíci +3

    Hizi ni za wachache wewe! Hatari ogopaa!! I'm proud of my tribe Nahli Nsukuma 🔥🔥🔥

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x Před 3 měsíci +3

    Msandawe mie nimekuja kusikiliza wimbo wa kisuma😊😊

  • @alphonceehumba8907
    @alphonceehumba8907 Před 3 měsíci +4

    Chene gete oongw'ise ❤❤

  • @GraceJKibomola
    @GraceJKibomola Před 3 měsíci +3

    Wasukuma 🔥🔥🔥

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 3 měsíci +8

    Ingawa naelewa kwa shida kidogo ila nafurahi kuangalia tu , mkuu karibu mno Dodoma

  • @massanja221
    @massanja221 Před 3 měsíci +6

    Hiv ndo vitu wasukuma tunataka sio kila siku za kwenye harus 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před 3 měsíci

      Haufatilii tu mbn nyingi tu huwa anatoa sio za harusi. Lugendo unaijua ww..?..

    • @massanja221
      @massanja221 Před 3 měsíci

      @@thefactbook...1607 sasa si ya mwaka jana hiyo idadi kubwa ya mashabiki hawapendi nyimbo za kuimbia watu kwa mwaka unakuta ametoa nyimbo 15 ila 10 had 12 unakuta za kwenye mahrusi ye na ngelela ndo pigo zao hizo hafu unakuta jamii inahitaji nyimbo za kuelimisha mim kwenye simu yangu sina bongo fleva hata moja asili ndo nyimbo zangu ko najua nachokisem mana kila anapotoa nyimbo lazima inifikie

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 Před 3 měsíci

      @@massanja221 sasa kaka hizo ndo kwao zinahela wasipoziimba hizo wakale wapi wacha waimbe tu maana wasukuma wenyewe ndo wanatoa hela wawaimbiwe.

    • @massanja221
      @massanja221 Před 3 měsíci

      @@thefactbook...1607 sema ni kwel ila wajitahid tu kubalance unaona mfano Elizabeth malinganya karbia kila week ana upload nyimbo ila nyimbo alizotoa ambazo hazihusiani na masherehe ni 3 sasa mana ake hapo amechagua watu wale ambao hawapendi nyimbo za kwenye maharus utakuta wanapunguza kukufatilia lakin hata ukienda kwenye mbina haipendez sana kuimba harus za watu ng'wana kang'wa base fani yake nikubwa san lakin ukimfuata mtu leo hii ukamwambia akutajie wasanii wanaofanya vizur sana ataanza na akina kisima bhudagala gudegude akimalza ndo atakuja sasa aanze kuchambua wengine ni kwann ni kwa sababu wale wamebezi sana kweny nyimbo za kuelimisha

  • @marykatemi-vu2nt
    @marykatemi-vu2nt Před 3 měsíci +2

    Wabheja wa ko kaya ❣️

  • @plastaog
    @plastaog Před 3 měsíci +3

    Bigtime❤

  • @ngasangwegwe253
    @ngasangwegwe253 Před 3 měsíci +4

    Pride of sukuma tribe meaning of Africa

  • @user-zg7gm3cy1j
    @user-zg7gm3cy1j Před 3 měsíci +3

    Mwamba unaua sana yaani jiwe juu ya jiwee

  • @StephanoMichael-ym8cu
    @StephanoMichael-ym8cu Před 3 měsíci +2

    Your so creative bro mungu akutangulie ufike mbali

  • @mtundaagnes5609
    @mtundaagnes5609 Před 3 měsíci +2

    congatration

  • @user-nf7kt6wp6s
    @user-nf7kt6wp6s Před 3 měsíci +3

    Hongela sana kwa
    Kabisa zr

  • @MbukeLeonard-ym7hn
    @MbukeLeonard-ym7hn Před 29 dny +1

    Hii ngoma nimeipenda sanaaa kiasili Safi sana

  • @amosmacompyuta1015
    @amosmacompyuta1015 Před 3 měsíci +4

    Hauna mpinzani kwa upande huu 🎉🎉🎉🎉

  • @EmaanAl2
    @EmaanAl2 Před 15 dny +1

    Kazi❤❤❤❤❤❤🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-wx1ll3gs9l
    @user-wx1ll3gs9l Před 2 měsíci +2

    Leo nimeamka asubuhi hii ngoma inapigwa wasafi Tv nikaamua niisake kabisa kumbe bonge la nyimbo 🤝🤝

  • @FEDRICKSICHALWE-ob8im
    @FEDRICKSICHALWE-ob8im Před 3 měsíci +2

    Hongera bro uko makini sana na kaz Yako ukule uhangame

  • @mussakasela5562
    @mussakasela5562 Před 3 měsíci +3

    Safi Sana Ntemi kazi imekaa mahali pake

  • @mahungujulius1788
    @mahungujulius1788 Před 3 měsíci +3

    Hongera sana Kwa kazi Nzur sana Imesimama mno Sebha Agwambeleje Nkoi Doleho Egagongwa Nkoi

  • @user-yy7dd5rx7k
    @user-yy7dd5rx7k Před 3 měsíci +2

    Wimbo mzuri sana. Naomba mnisaidie wimbo wa lilombe lije kubabyele naupenda sana ila siuoni CZcams

  • @GraceJKibomola
    @GraceJKibomola Před 3 měsíci +2

    Msukuma mwenzetu umeweza sana 🔥🔥

  • @MadahaMasalu
    @MadahaMasalu Před 3 měsíci +5

    Niko dar lakini nyimbozako zinanifanya nijisikie niko kahama vile uko vrz sana kamana❤

  • @restitutapaulfyeka4969

    Obheja noi Sezone!Yeeeh!Onishisha kaya gete nkoyi🎉🎉

  • @aminaali8378
    @aminaali8378 Před 3 měsíci +2

    Kaka umetisha much love from Kenya 🇰🇪

  • @AndrewTheson
    @AndrewTheson Před 3 měsíci +2

    Uko vizuri broo, umeua 5:

  • @user-nq2ol8ev8q
    @user-nq2ol8ev8q Před 3 měsíci +3

    Kweli hii ni kazi nzuri

  • @mabalaVideostudio
    @mabalaVideostudio Před 3 měsíci +3

    Hizi ni za wachache wewe🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mauwa yako moston

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs Před 3 měsíci +2

    Muraaaa ngoma kaliii hiii

  • @user-zx7lr5eo5k
    @user-zx7lr5eo5k Před 3 měsíci +3

    Awe eeeh 🎉

  • @user-wf1bo4me2g
    @user-wf1bo4me2g Před 2 měsíci +1

    Henaho sawa getee

  • @SaadaMpwai-wf8kt
    @SaadaMpwai-wf8kt Před 3 měsíci +4

    Nmeingia tu CZcams nmekutana nao,najivunia kuwa msukuma hongera sanaa bro kazi nzurii mno🔥🔥♥️

  • @sylvesterdonald7441
    @sylvesterdonald7441 Před 3 měsíci +3

    Eminza,eseya naleho aha

  • @Luhende-og
    @Luhende-og Před 3 měsíci +3

    Hongera sn dada lixie kutoka mwanza mkolan

  • @shinjengasa3574
    @shinjengasa3574 Před 3 měsíci +3

    Nyanda kabundi kafika huku tena,we ni balaa Mzee baba

  • @isackjohn7123
    @isackjohn7123 Před 3 měsíci +2

    Boom 🔥🔥🔥🔥

  • @user-gv8yn9lg1i
    @user-gv8yn9lg1i Před 2 měsíci

    Waandike wengine wao wanaiga wazungu, jamaa anaimba asili yake..... big up NG'WANA KANG'WA ❤❤❤❤❤

  • @jesminjes5804
    @jesminjes5804 Před 3 měsíci +5

    Wow

  • @patrickkapisha628
    @patrickkapisha628 Před 3 měsíci +6

    Kuna mtu mmoja ambaye alikuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi huu ila bado hajafika anaitwa the ntuzzu
    Kafel sana uyujamaa

    • @massanja221
      @massanja221 Před 3 měsíci +1

      Na sio kawaida yake kuchelewa😮

  • @thentuzumusic
    @thentuzumusic Před 3 měsíci +5

    Migera migera duuu

  • @Director_Kitindi_Complete
    @Director_Kitindi_Complete Před 3 měsíci +2

    Unyama sana kaka Ng'wana Kang'wa Kazi Kali sana Respect Sana na Director Migera Good Job

  • @jeremiahsarya6881
    @jeremiahsarya6881 Před 3 měsíci +1

    Big up imetulia kinoma

  • @wilsonmusonda7857
    @wilsonmusonda7857 Před 3 měsíci +2

    I am watching and listening from Siavonga, Zambia. I don't understand the language but I am deeply in love with this song. I've been playing it continuously since yesterday. Kindly translate in English. What a perfect piece of art!! Dressing, dancing, sound work, video clips, everything is miraculously in perfect harmony. Ng'wana Kang'wa, dancers audio and video engineers, Job Well done!!

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  Před 3 měsíci +1

      Well, I'm honoured to have a new fun from Zambia.This song simply insists the importance of appreciating and not forgetting where you came from.
      How ever "Nalhi Nsukuma" means I'm Msukuma, Wasukuma are the people from Sukuma tribe located in the Lake zone area of Tanzania country. It's one of the biggest tribe with three regions which are Mwanza, Shinyanga and Tabora.Thank you!

  • @keflinasteven6443
    @keflinasteven6443 Před 3 měsíci +2

    Nalhi nsukuma🔥🔥✨❤

  • @MadenjaMasungakabote
    @MadenjaMasungakabote Před 9 dny +1

    Wimbo mnzuri sana

  • @AnjelNgongo
    @AnjelNgongo Před 17 dny

    Msanii wangu pendwa miaka mia daa asante umetufariji tulioko mbari daa nalewakobhakamba🔥🔥🔥🔥

  • @KasaiBoyTv
    @KasaiBoyTv Před 3 měsíci +8

    Nilidhema Sikudhema 🔥🔥Naona moto mkali Mpka moto Unaungua.Commeny Yako muhimu hapa ntemi🙏

  • @VeronicaMaduka-p6l
    @VeronicaMaduka-p6l Před měsícem

    Umetisha sana Kaka napenda sana nyimbo zako. Mungu. Akupe ukipendacho

  • @marymasota7846
    @marymasota7846 Před 3 měsíci +2

    Hii ngoma nzuri sana 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MwananshomaZenzeione
    @MwananshomaZenzeione Před 3 měsíci +3

    Nakubariiii

  • @winfridasanyenge6510
    @winfridasanyenge6510 Před 3 měsíci +2

    Hatari na nusu,hii nyimbo nzuri haswaa

  • @drmusanungula1067
    @drmusanungula1067 Před 3 měsíci +2

    Good song bro❤

  • @user-gt2sc9rp2h
    @user-gt2sc9rp2h Před 3 měsíci +2

    Ukweli kaka Ntemi kaya ni kaya ❤

  • @denismusa4965
    @denismusa4965 Před 24 dny +1

    Nakubal wasukuma 2kopamoja
    San

  • @robertpaulmadaha660
    @robertpaulmadaha660 Před 3 měsíci +2

    Hongera kaka, hii imeenda

  • @bubinzalubinza6870
    @bubinzalubinza6870 Před dnem

    Nyimbo iko good San kaka hongera;

  • @MkapaJohn
    @MkapaJohn Před 3 měsíci +2

    Ponfezi Sana Kaka hii ngoma unetisha

  • @ErastoPetro-qp6oe
    @ErastoPetro-qp6oe Před 3 měsíci +2

    Kazi nzuri ntemi ujumbe muhimu

  • @IvanElias-wc4jf
    @IvanElias-wc4jf Před 3 měsíci +2

    Wasukuma wenzangu oyeee

  • @JephtaJoseph
    @JephtaJoseph Před 3 měsíci +4

    Kaz nzur sana kaka nimeielewa lazma ifke mbali haya ndo maadili yetu waskuma kama mi bongo fleva hii ni comasava

  • @bahatisamsony6637
    @bahatisamsony6637 Před 3 měsíci +2

    Sana wasukuma ❤❤❤❤

  • @mayungarichard7443
    @mayungarichard7443 Před 3 měsíci +2

    Asante kwa kutuheshimisha Ng'wakang'wa, nakupata nikiwa Dsm

  • @rebecaemmanuel8988
    @rebecaemmanuel8988 Před měsícem

    Brother napenda sna nyimbo zako ❤❤ MUNGU mwingi wa rehema azidi kkjalia afya na utumishi uliotukuka

  • @elizabethkapina6616
    @elizabethkapina6616 Před měsícem +1

    Congratulations 🎉