Limbu luchagula x Mayiku sayi ft Shule_Zilipendwa_Official Video 4K

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • #Director_Migera#0762277374#mbasha_studio

Komentáře • 252

  • @NgasaPeter
    @NgasaPeter Před 3 měsíci +5

    Ngoma ikifikia nisaandale ndo inakuwa hatar aiseeee Hawa jamaa nouma sana

  • @exaverymbembat5040
    @exaverymbembat5040 Před 3 měsíci +5

    Waooo nimependa huu wimbo wasukuma tupo pamoja

  • @JophasJohn-oh8zu
    @JophasJohn-oh8zu Před 6 měsíci +6

    Mimi ni masai ila huu wimbo nimeupenda kwa kweli kwanza hawa wanao dance ni moto hongela kaka❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @mrishobulabo8014
    @mrishobulabo8014 Před 6 měsíci +2

    Boss wangu Migera umetisha sanaaaaaaaaaaa kwenye video hiii gharama ndogo video Kali ndo tunaita ubunifu kulingana na kitu kilichopo nimependa sana background ya Sayi wale masister wanaendelea na mishe zao uku yeye anaimba ukweliii umetisha sanaaaaaaaaaaa
    Alafu kanyimbo katamu bwana huwezi kusikiliza Mara moja lazima urudie Tena Mnyama 🦁 katisha Zilipendwa

  • @josephphalesi9735
    @josephphalesi9735 Před 5 měsíci +8

    Oy unajua mpanka unakela😅😅😅 wangapi waludia kama mimi😂

  • @RebeccaRebecca-my1jt
    @RebeccaRebecca-my1jt Před 6 dny

    Mnaocheza mungu awatuze mnajua hatali 😂😂😂😂 naenjoy kuwatazama❤❤❤

  • @augustinosabuni-pu8bq
    @augustinosabuni-pu8bq Před 5 měsíci +5

    hatamm naupend san nimeangaika kuupata 😂😂😂😂

  • @NeemaHamis-e1t
    @NeemaHamis-e1t Před 12 hodinami

    Dah napenda tu kujisandalaaa et iyeeeeeeeeeeeeeee nalangwa numanina kuyejayeja bhamunhu dah hapo ndoo penyewe kula chuma hcho baba lake

  • @KashinjeShija-rk9fv
    @KashinjeShija-rk9fv Před měsícem +2

    🔥🔥🔥🔥🔥 ongeza moto ni muda wako mnyama wimbo ubadilishe uwe Nisadale
    Lakni mayiku sai anakuzidi usharobaro anaishi wapi yeye

  • @user-kw2bp3ww1b
    @user-kw2bp3ww1b Před 5 měsíci +5

    Tumekiwa sisi wat wa Mara tumekuwa tumewajuwa Baz ya wasanii IL Sasa huy yup fom sana

  • @winifrindamede5482
    @winifrindamede5482 Před 6 měsíci +5

    nimeutafutaa siku ya tano ndo nimekuja kupataa😂😂😂 honger ndgu umewenzaa

  • @user-eg5lt4lu2z
    @user-eg5lt4lu2z Před 6 měsíci +2

    Upo vizuri, jitahidi tu ujue kuwa jamii unayoiimbia inabadilika kulingana na mda...
    Ukitoa nyimbo inayohitajika na jamii kwa wakati huo, utateka mashabiki wengi

  • @neemakiganga2580
    @neemakiganga2580 Před 6 měsíci +5

    Hongera Mama angu kuwa msukuma

  • @hinikasteve176
    @hinikasteve176 Před 6 měsíci +5

    Aisee niko Dar ila Kama niko tu bariadi usukuman maana Mimi nafurahi sana asili yangu mziki wa asili yangu umekua na nyie mnajua sio siri hasa huyu dogo anaenza kuimba dakika ya 8 hapo duuh melody Kali nahisi Raha ninaurudi huu wimbo hata mara 20 Kwa siku waswahili dar wanaita ngosha

  • @jeniferjulius720
    @jeniferjulius720 Před 12 dny

    Yan ninavyokata mauno apa😆😆😆😆ni balaa,niwape tu mauwa yenu wasukuma🙌🙌🙌🙌

  • @W_Konk_Tm
    @W_Konk_Tm Před 6 měsíci +2

    ❤kaka sio limbu mnyama na watoto wake bas mungu tusimchukie kwa alicho tupa kiufup salute kwa wote directed na wasanii wetu😂

  • @paschalmatinde321
    @paschalmatinde321 Před 4 měsíci +2

    Hyo style walocheza hao jamaa n fire

  • @dmmkemia614
    @dmmkemia614 Před 6 měsíci +1

    Nimesikiliza vzr nimerudi tena Ku COMMENT yule jamaa anajiita MAYIKU kumamae muacheni kabisa na anaonekana kama kasoma mbn jamaa

    • @manambavideoproduction8394
      @manambavideoproduction8394 Před 6 měsíci +1

      jamaa anaakili sana huyu na anajuwa kusoma fresh tu...Msanii wangu wa pendwa kwa miaka miwili sasa

  • @immabahatiimmabahati2373
    @immabahatiimmabahati2373 Před 5 měsíci +9

    Kazi wanayo kaka karibu sana shabiki yako niko China 🇨🇳 ngwanzuuuu haaap

  • @RebeccaRebecca-my1jt
    @RebeccaRebecca-my1jt Před 6 dny

    Nyie mnaocheza tumuombe mungu msife tafadhali 😅😅😅😅😅

  • @HamisiMasesa
    @HamisiMasesa Před 6 měsíci +1

    Nakuaminia san kaka miger ujawah hufeli hata siku moja kaz zuri sana

  • @josephsanduli.5216
    @josephsanduli.5216 Před 6 měsíci +3

    Credit nyingi zimuendee Mayikusai ni moto mkàli🔥🔥🔥🔥🔥

  • @MafayoChibuga
    @MafayoChibuga Před 3 měsíci +2

    Salute sana simba mnatisha

  • @marlopharle9199
    @marlopharle9199 Před 6 měsíci +3

    limbu hao vijana wawil umekomaza kwan wanaweza kuimba ila kumbka huyo shule mwishon mwa wimbo kuna mistar kanipangia imenyooka kama rula hapo mshamba apite mbar Ahsanten kwa kaz zuri

  • @satobuzelengule3304
    @satobuzelengule3304 Před 2 měsíci +2

    Maiku sai kunamaua yake hapa Jin's anavyodance nikiwango Cha juuu

  • @AzizuKasimu
    @AzizuKasimu Před 6 dny

    Shule nimekuelewa uko vizur saana❤

  • @AmosMaduka-tk3vl
    @AmosMaduka-tk3vl Před 4 měsíci +2

    Hongereni sana nawafatilia nipo hapa Dar es salaam chuo cha taifa cha usafirishaji(NIT)

  • @GraciousWilliam
    @GraciousWilliam Před 5 měsíci +2

    Nimeupenda Sana hu wimbo ❤❤❤❤❤❤

  • @fabianlufitola4452
    @fabianlufitola4452 Před 2 měsíci +2

    Mayiku Sae ndio aliimba vizuri, ndio kaupendezesha wimbo.

  • @Benson-cw3ob
    @Benson-cw3ob Před 5 měsíci +3

    Hongera kwa kaz nzur

  • @Mariam-ln7pd
    @Mariam-ln7pd Před 2 měsíci +1

    Sema shule ni handsome 😊

  • @Emma562
    @Emma562 Před 5 měsíci +2

    Bana eee,,Siwagi shabíki yako kwa saabu ya nyimbo zako za dharau ila hapa hahahahàaaaa sina jambo umeuwaaaaaa

  • @StanleyDaud-nm9ku
    @StanleyDaud-nm9ku Před 10 dny

    Kisima , Limbu
    Hawa jamaa nihatali na nusu

  • @gushahanhale79
    @gushahanhale79 Před měsícem +2

    limbu nyimbo zako zinapigwa hadi huku dar na pwanic

  • @littlebloom6910
    @littlebloom6910 Před 4 měsíci +2

    Limbu najiona tuko pamoja sana

  • @ZachariaKidiga
    @ZachariaKidiga Před 3 měsíci +3

    Bhagosha aya amimbo lulu aha daaah!!

  • @sfggf468
    @sfggf468 Před 6 měsíci +2

    MIGERA wewe ni director wa Kimataifa

  • @RobertSalum-vs9oj
    @RobertSalum-vs9oj Před 3 měsíci +1

    Hili jamaa kwa sasa waimbaji wa kisukuma wakae mbali kwa kweli , bhaghosha yee hatari eling'wana lyene ♥️♥️🥰🥰🙆🙆🥰🥰🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰

  • @michaelmakenzi
    @michaelmakenzi Před 5 měsíci +2

    Dancer mwenye brichi hatari fire

  • @josekipara5165
    @josekipara5165 Před 5 měsíci +2

    Hiii nyimbo umeua sana mnyama nailudia rudia

  • @luponejabusunge7609
    @luponejabusunge7609 Před měsícem +1

    Chombo matata Sana hii safiiiiii ilifaa iitwe Nisandale.

  • @JoyceAndongwisye-l2k
    @JoyceAndongwisye-l2k Před měsícem +1

    Mayiku ameua kuimba hadi kucheza❤

  • @Felister776
    @Felister776 Před 6 měsíci +29

    Nimeipata jamani sku tatu niko CZcams 😂😂😂😂nipeni like

  • @SaidWilison-gi7zj
    @SaidWilison-gi7zj Před 6 měsíci +2

    Hongera sana namukubali sana limbu luchagula

  • @user-ys1mg7iz9p
    @user-ys1mg7iz9p Před 6 měsíci +3

    Nakupenda Sana huo mwimbo

  • @PaulMarko-x9j
    @PaulMarko-x9j Před 8 dny

    Lelo lyakwisandara 🎉🎉

  • @elishanhonyanyambulile2261

    Mmetisha wanangu

  • @mussasamson-gg7rt
    @mussasamson-gg7rt Před 3 měsíci +3

    Natogwa nalangwa goyejayej

  • @SamweliJohn-c3f
    @SamweliJohn-c3f Před 22 dny

    Yan hawa jamaa wameshindikana yan nihatariii

  • @SophiaMwambi
    @SophiaMwambi Před 3 měsíci +2

    Wabeja sanaa kaka

  • @slvestermulimi767
    @slvestermulimi767 Před 5 dny

    Basukma duli hamo ❤

  • @SengaJames
    @SengaJames Před měsícem +1

    Niko tabora lakn kama niko Bariadi tu nafurahia sana kabila letu na napapenda sana kwetu bariadi

  • @deucdeucmathias3562
    @deucdeucmathias3562 Před 5 měsíci +1

    Jamaaaa wametisha Sana from Arusha ✓

  • @hazarikipingu2865
    @hazarikipingu2865 Před 5 měsíci +2

    Mmi msambaa ila hii nimeikubali❤

  • @user-hi6od3wx8t
    @user-hi6od3wx8t Před 4 měsíci +3

    umetisha mawamba

  • @JaphethEliasManogwa
    @JaphethEliasManogwa Před 12 dny +1

    Chapa cha mda wako huu wakele

  • @JosephBaluhya-hq7lw
    @JosephBaluhya-hq7lw Před 2 měsíci +1

    Nisandale sait safi sana

  • @RebeccaRebecca-my1jt
    @RebeccaRebecca-my1jt Před 6 dny

    Ikifika hapo kwenye isandale unatamani isiishe😂😂😂😂😂

  • @fredrickhenrygwantemi1816
    @fredrickhenrygwantemi1816 Před 6 měsíci +1

    Subiri usifiwe, sifa siyo poa

  • @RobertMtengwa
    @RobertMtengwa Před 2 měsíci +1

    Ninakubari kazi yako mkuu

  • @SamweliJohn-c3f
    @SamweliJohn-c3f Před 22 dny

    Nawakubali sana

  • @TweveAdili
    @TweveAdili Před 5 měsíci +1

    aseeeeee vijana haoo watatu yulee wa katikati namkubali sana namwitaga ikram

  • @EMMANUELJENGA-mt3wy
    @EMMANUELJENGA-mt3wy Před 2 měsíci +1

    Taifa halijakubali make baadhi ya sehemu kama Arusha , Kilimanjaro nk hawawajui wasanii kma ha...

  • @bernardsamwel2777
    @bernardsamwel2777 Před měsícem +1

    Amefundishwa kufrahisha washikaji

  • @marlopharle9199
    @marlopharle9199 Před 6 měsíci +3

    Shule uko vzur chapa kaz

  • @user-hz7xn1jv6l
    @user-hz7xn1jv6l Před 3 dny

    Nzur san

  • @NikodemKazembe
    @NikodemKazembe Před 4 měsíci +2

    Aminia bonge la ngoma

  • @peterjosephnzegatvnzegaasi5681
    @peterjosephnzegatvnzegaasi5681 Před 6 měsíci +1

    Kazi zako ni Top bwana Migera 💯💯

  • @user-jr3pl4ge4w
    @user-jr3pl4ge4w Před 6 měsíci +1

    Jamaa kwenye ngoma hii ngosha ulitisha kazi nzuri sana

  • @ElizabethSimon-y3d
    @ElizabethSimon-y3d Před 3 dny

    Mmetixha xn

  • @user-zg7gm3cy1j
    @user-zg7gm3cy1j Před 6 měsíci +2

    Wapinzani wake wajipange mwamba yupo moto sana make anatumia akili sana huyu jentruman

    • @NgasaPeter
      @NgasaPeter Před 3 měsíci +1

      Hii ngoma ikifikia nisaandale ndo inakuwa hatar aiseeee Hawa jamaa nouma sana

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 Před 3 měsíci +1

    Ila limbu una mauzi we mbwa😅😅😅😅😅 kwahyo taifa linakutegemea ww tu na watoto wako😅😅😅 wasanii wengi wakafungwe😅😅😅

  • @petrovisent3805
    @petrovisent3805 Před 6 měsíci +1

    ata nyanda madilisha alienda kwa staili hii mm nimshabiki wako lakin acha kuimba kwa sifa👏👏🙏

  • @Director_Kitindi_Complete
    @Director_Kitindi_Complete Před 6 měsíci +3

    Ticha wangu utawauwa poza kidogo😁

  • @Anna-qn4dn
    @Anna-qn4dn Před 4 měsíci +1

    Wa kwetu ❤❤❤❤❤

  • @NgasaPeter
    @NgasaPeter Před 3 měsíci +1

    Ngoma ikifikia nisaandale ndo inakuwa hatar aiseeee Hawa jamaa nouma sana 7:47

  • @erickernest999
    @erickernest999 Před 6 měsíci +1

    Isee hii ngoma kali sana! Kiujumla mmepambana sana

  • @malibabashuduma
    @malibabashuduma Před 6 měsíci

    Wabheja simba na watoto wako, ngoj nitafute hela ,mje mnifulahishe❤❤❤

  • @maobundala3376
    @maobundala3376 Před 5 měsíci +6

    Anae weza kunitafasilia hiki kipande alichomba mayiku sai 😢 nalangwa nu mayu ……..

    • @georgelusana2346
      @georgelusana2346 Před 5 měsíci +1

      Kagundushwa na mzazi kufrahsha watu

    • @user-qk9oz8vo6r
      @user-qk9oz8vo6r Před 4 měsíci +2

      Nimefundishwa na mzazi kufurahisha wadau...

    • @frankbujiku9496
      @frankbujiku9496 Před 16 dny

      Mfilage mgeni akalale 😂😂 mzaramo akagoma kabisa nan akafilwe

  • @OSWARDMAKOYE
    @OSWARDMAKOYE Před 28 minutami

    Nizaidi ya nyimbo

  • @nurudinihamisi-le3lq
    @nurudinihamisi-le3lq Před 5 měsíci +1

    Shemejiiii umeupga mwingi snaa 👍👍👍

  • @KENDEGERVAS
    @KENDEGERVAS Před 4 dny

    Wewe kabila gan

  • @dmmkemia614
    @dmmkemia614 Před 6 měsíci +1

    Kuanzia dakika ya 5 adi mwisho duuuh apo ndo nimekoshwa asee walah💥💥💥🙄🙄

  • @JoyceAndongwisye-l2k
    @JoyceAndongwisye-l2k Před měsícem +1

    Natafutan lyrics

  • @mjukuuhotelitv7736
    @mjukuuhotelitv7736 Před 6 měsíci +6

    Unajua mpka unakera we fala😂😂😂😂

    • @MigeraStudio
      @MigeraStudio  Před 6 měsíci +2

      kwanini kaka

    • @mjukuuhotelitv7736
      @mjukuuhotelitv7736 Před 4 měsíci

      Fundi mpaka Raha yaan huyu Limbu ni noma ndo maana nikasema anajua mpka anakera

    • @Masebrain
      @Masebrain Před 3 měsíci

      😅😅😅 umemuambiaje??

  • @Ngwanasamaka
    @Ngwanasamaka Před 6 měsíci +1

    Kasema ukweli wake jamaa yupo sawa❤❤

  • @user-sf6ju7lf9b
    @user-sf6ju7lf9b Před 6 měsíci +1

    Sema ngoma kali sana na ipo 🔥🔥🔥🔥

  • @msukuma1
    @msukuma1 Před 5 měsíci +1

    Migera 🔥🔥 quality video

  • @alphaxardsungura1973
    @alphaxardsungura1973 Před měsícem

    Aiseeeh kazi nzuri keep going guys!!

  • @KelvinAmos-ow7pf
    @KelvinAmos-ow7pf Před 4 měsíci +1

    Hatali limbu kaz kwenu na watoto wako mayikusai kaz zuli

  • @michaelbindala354
    @michaelbindala354 Před 6 měsíci +1

    mwamba kwelikweli kisasa zaidi🙌

  • @JacklineSweetbert
    @JacklineSweetbert Před měsícem +1

    Boda boda tumekuawaje tena😂😂

  • @EliasiSabuni
    @EliasiSabuni Před 3 měsíci

    Kwa kweli umeninogesha niko Zambia,, from,, mwanza land,magu, Hong era sana, tunataka kaz hizi❤❤❤

  • @ZenahLusali
    @ZenahLusali Před 29 dny

    Otishaga nyanda

  • @mobigo2mobigo
    @mobigo2mobigo Před 5 měsíci +1

    🎉mumeupiga mwingi

  • @yohanasuguta223
    @yohanasuguta223 Před 5 měsíci +1

    Nakukubali mwamba mungu akusimamie.

  • @peterndutu8885
    @peterndutu8885 Před 5 měsíci +1

    Iko poaa sana mkuu hongera

  • @charlesmgaza4169
    @charlesmgaza4169 Před 4 měsíci +1

    Fire

  • @ZuwenaIddy-dj2nw
    @ZuwenaIddy-dj2nw Před 5 měsíci +1

    Nakukubali sana limbu ❤❤❤❤❤❤❤

  • @CosmasKuzenza
    @CosmasKuzenza Před 6 měsíci +1

    They are very clean, congratulations