DUUH ! ETI HIZI NDIO SIFA ZA MWANAMKE WA KICHAGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 08. 2024
  • Kama kawaida yake Zuch Zuchero kaingia tena mtaani pembeni akiwa na M-Koba ambapo leo amekuja na swali jingine la kizushi akiuliza; Mwanamke wa Kichaga ana sidfa gani..?

Komentáře • 31

  • @siamoye4549
    @siamoye4549 Před 3 lety +2

    Tunawafanya wanaume wajue changamot za kutafuta hela kiukwel kwetu mwanaume akizubaa tunamuacha mbal hata Kama hatujaenda hata darasa moja na mwanaume una elimu ya makaratas sio ya maisha kwetu tunakukimbiza

  • @arnoldtitomaganyiro854
    @arnoldtitomaganyiro854 Před 5 lety +4

    Jamanie mimi ninacho fahamu kwamba sio wanawake tu wa kichaga ndio wanaojua kutafuta mbona kuna wanawake wa makabila tofautitofauti wanajua kutafu tena wanazitafuta kwa udi na uvumba kwahiyo aina haja ya kusema mwanamke wa kichaga anajua kutafuta mbona kuna wengi wanajua kutafuta na wala hawajisifii na kujionesha

    • @iraqgirl2143
      @iraqgirl2143 Před 4 lety +1

      Wanakurupuka hao hawajui wachaga wavivu pia wapo sana sema hawajakaa uchagani kwa mda mrefu

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 Před 3 lety +3

    Ni wanawake wazuri maana wanakupa changoto hauwezi kuaibika ukiwa nae na hawataki upuuzi lazima mwanaume uoneshe malengo ya kimaisha sio unaishi ishi tuu hovyo hovyo hauleweki wanajua thamani ya hela na wanajua kuitunza. Hawaendekezi mapenzi sana na kama ikitokea ni lazima uwe umeeleweka vzr

    • @jenipherchristopher8083
      @jenipherchristopher8083 Před 3 lety

      Nashukur kwa hcho ulichoandika hapo wasituchukulie poa tunapenda ela na tunajua kuchapa kazi nakuzitafuta pia

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 3 lety +1

    Pesa sabuni ya roho jamani 👌👌👌👌

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 Před 5 lety +1

    Wanapenda hela ila awajui kufanya mpangilio wa mambo yao ktk Pesa........anataka kila jambo lifanyike kwa pamoja kama Ana mambo 10 kila kitu kifanyike kwa pamoja na atakama budget ya hela aitoshi yeye ajui yuko ladhi afanye na anabakia Ana sh moja......

  • @davidlelo6192
    @davidlelo6192 Před 9 měsíci

    Pesa mbele mapenzi nyumaa mama wakichaga

  • @humansofmwanza763
    @humansofmwanza763 Před 3 lety +2

    Wanaroga mpaka vyuma halafu kiukweki wana asiri ya kutojiamini kwenye mahusiano ndio maana wana adress za waganga😂😂

    • @siamoye4549
      @siamoye4549 Před 3 lety +1

      Jaman sio kwel tupo weny ndoa zetu sema ni watu weny malengo na maisha tena nimeolewa huko mwanza na wasukuma wanatupemda sana

    • @siamoye4549
      @siamoye4549 Před 3 lety +1

      Wasukuma wanapenda wachaga sana

    • @godlivingurassa5752
      @godlivingurassa5752 Před 2 lety

      Wachagga ndo watu waamini Mungu Tz nzima,nenda kwao sharika kibao,shule za msingi kibao hadi hazina wanafunzi,za upili kibao ,sasa anapofanikiwa kiakili wakati ww akili hizo huna lazma umuone mwanga,halafu ukicheki alikuja lofa akapambana akatoka kiwango cha rangi tatu akakuacha japo alikukuta,lazma hata kama mimi ndo ww nione ni uganga

  • @mdentertainmenttz124
    @mdentertainmenttz124 Před 3 lety +1

    Kipindi kibovu mtangazaji hakiwezi anazingua

  • @mujkanal6446
    @mujkanal6446 Před 5 lety +2

    wote ni mafara hamna kitu hapo

  • @yumna1290
    @yumna1290 Před 5 lety +2

    Wachaga wote njoni hapa mpate sifa zenu

  • @richardjoseph2921
    @richardjoseph2921 Před rokem

    tangazo refu kuliko jambo husika, maelezo hayaelewi. Hovyo kabisa

  • @ciamallya8356
    @ciamallya8356 Před 3 lety +1

    Mtangazaji unaboa

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 Před rokem

    Yote you

  • @charlesphilipo6443
    @charlesphilipo6443 Před 2 lety

    Kama Mende kudadeki

  • @msomiitanga5050
    @msomiitanga5050 Před 4 lety +2

    Kuua wanaume

  • @tedikimario7616
    @tedikimario7616 Před 3 lety

    Haziwahusu nyie tunazijua wenyewe.

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 Před 5 lety +1

    mmmh wanajuwa wapi kupika muda wote wanawaza pesa tu yupo mchoyo mnyanyasaji kwa ndugu wa mume wasio nakipato.wanaongoza kwenye vikoba .. na marejesho awawezi. kwenye nyumba hakuna baba wala mama mwenye pesa ndio baba.. wanabadua makabila wanapenda waowane tu.. ebu gonga like hapa kama kunasifa unaijuwa moja za wachaga

    • @mtanzaniahalisimungunimwem673
      @mtanzaniahalisimungunimwem673 Před 4 lety +1

      Bora afanye kuliko ale Bata zote abaki hana kitu..mchaga anataka maendeleo ujinga no

    • @iraqgirl2143
      @iraqgirl2143 Před 4 lety +2

      @@mtanzaniahalisimungunimwem673 sio wote wako ivo kitu ambacho kila kabila kipo sema waliwezeshwa na wakoloni hata kwa mambo ya elimu

  • @mujkanal6446
    @mujkanal6446 Před 5 lety +1

    wanawake wa kichaga ni masnichi si wapendi kama nin wana roho mbaya kinyama

  • @evaristlembile7935
    @evaristlembile7935 Před 4 lety +1

    Alaf hata sio wazuri