Kama kawaida yake Zuch Zuchero kaingia tena mtaani pembeni akiwa na M-Koba ambapo leo amekuja na swali jingine la kizushi akiuliza; Mwanamke wa Kichaga ana sidfa gani..?
Tunawafanya wanaume wajue changamot za kutafuta hela kiukwel kwetu mwanaume akizubaa tunamuacha mbal hata Kama hatujaenda hata darasa moja na mwanaume una elimu ya makaratas sio ya maisha kwetu tunakukimbiza
Jamanie mimi ninacho fahamu kwamba sio wanawake tu wa kichaga ndio wanaojua kutafuta mbona kuna wanawake wa makabila tofautitofauti wanajua kutafu tena wanazitafuta kwa udi na uvumba kwahiyo aina haja ya kusema mwanamke wa kichaga anajua kutafuta mbona kuna wengi wanajua kutafuta na wala hawajisifii na kujionesha
Ni wanawake wazuri maana wanakupa changoto hauwezi kuaibika ukiwa nae na hawataki upuuzi lazima mwanaume uoneshe malengo ya kimaisha sio unaishi ishi tuu hovyo hovyo hauleweki wanajua thamani ya hela na wanajua kuitunza. Hawaendekezi mapenzi sana na kama ikitokea ni lazima uwe umeeleweka vzr
Wanapenda hela ila awajui kufanya mpangilio wa mambo yao ktk Pesa........anataka kila jambo lifanyike kwa pamoja kama Ana mambo 10 kila kitu kifanyike kwa pamoja na atakama budget ya hela aitoshi yeye ajui yuko ladhi afanye na anabakia Ana sh moja......
Wachagga ndo watu waamini Mungu Tz nzima,nenda kwao sharika kibao,shule za msingi kibao hadi hazina wanafunzi,za upili kibao ,sasa anapofanikiwa kiakili wakati ww akili hizo huna lazma umuone mwanga,halafu ukicheki alikuja lofa akapambana akatoka kiwango cha rangi tatu akakuacha japo alikukuta,lazma hata kama mimi ndo ww nione ni uganga
mmmh wanajuwa wapi kupika muda wote wanawaza pesa tu yupo mchoyo mnyanyasaji kwa ndugu wa mume wasio nakipato.wanaongoza kwenye vikoba .. na marejesho awawezi. kwenye nyumba hakuna baba wala mama mwenye pesa ndio baba.. wanabadua makabila wanapenda waowane tu.. ebu gonga like hapa kama kunasifa unaijuwa moja za wachaga
Tunawafanya wanaume wajue changamot za kutafuta hela kiukwel kwetu mwanaume akizubaa tunamuacha mbal hata Kama hatujaenda hata darasa moja na mwanaume una elimu ya makaratas sio ya maisha kwetu tunakukimbiza
Jamanie mimi ninacho fahamu kwamba sio wanawake tu wa kichaga ndio wanaojua kutafuta mbona kuna wanawake wa makabila tofautitofauti wanajua kutafu tena wanazitafuta kwa udi na uvumba kwahiyo aina haja ya kusema mwanamke wa kichaga anajua kutafuta mbona kuna wengi wanajua kutafuta na wala hawajisifii na kujionesha
Wanakurupuka hao hawajui wachaga wavivu pia wapo sana sema hawajakaa uchagani kwa mda mrefu
Ni wanawake wazuri maana wanakupa changoto hauwezi kuaibika ukiwa nae na hawataki upuuzi lazima mwanaume uoneshe malengo ya kimaisha sio unaishi ishi tuu hovyo hovyo hauleweki wanajua thamani ya hela na wanajua kuitunza. Hawaendekezi mapenzi sana na kama ikitokea ni lazima uwe umeeleweka vzr
Nashukur kwa hcho ulichoandika hapo wasituchukulie poa tunapenda ela na tunajua kuchapa kazi nakuzitafuta pia
Pesa sabuni ya roho jamani 👌👌👌👌
Wanapenda hela ila awajui kufanya mpangilio wa mambo yao ktk Pesa........anataka kila jambo lifanyike kwa pamoja kama Ana mambo 10 kila kitu kifanyike kwa pamoja na atakama budget ya hela aitoshi yeye ajui yuko ladhi afanye na anabakia Ana sh moja......
Pesa mbele mapenzi nyumaa mama wakichaga
Wanaroga mpaka vyuma halafu kiukweki wana asiri ya kutojiamini kwenye mahusiano ndio maana wana adress za waganga😂😂
Jaman sio kwel tupo weny ndoa zetu sema ni watu weny malengo na maisha tena nimeolewa huko mwanza na wasukuma wanatupemda sana
Wasukuma wanapenda wachaga sana
Wachagga ndo watu waamini Mungu Tz nzima,nenda kwao sharika kibao,shule za msingi kibao hadi hazina wanafunzi,za upili kibao ,sasa anapofanikiwa kiakili wakati ww akili hizo huna lazma umuone mwanga,halafu ukicheki alikuja lofa akapambana akatoka kiwango cha rangi tatu akakuacha japo alikukuta,lazma hata kama mimi ndo ww nione ni uganga
Kipindi kibovu mtangazaji hakiwezi anazingua
wote ni mafara hamna kitu hapo
Wachaga wote njoni hapa mpate sifa zenu
Yumna 12
tangazo refu kuliko jambo husika, maelezo hayaelewi. Hovyo kabisa
Mtangazaji unaboa
Yote you
Kama Mende kudadeki
Kuua wanaume
Haziwahusu nyie tunazijua wenyewe.
mmmh wanajuwa wapi kupika muda wote wanawaza pesa tu yupo mchoyo mnyanyasaji kwa ndugu wa mume wasio nakipato.wanaongoza kwenye vikoba .. na marejesho awawezi. kwenye nyumba hakuna baba wala mama mwenye pesa ndio baba.. wanabadua makabila wanapenda waowane tu.. ebu gonga like hapa kama kunasifa unaijuwa moja za wachaga
Bora afanye kuliko ale Bata zote abaki hana kitu..mchaga anataka maendeleo ujinga no
@@mtanzaniahalisimungunimwem673 sio wote wako ivo kitu ambacho kila kabila kipo sema waliwezeshwa na wakoloni hata kwa mambo ya elimu
wanawake wa kichaga ni masnichi si wapendi kama nin wana roho mbaya kinyama
Alaf hata sio wazuri
Wazuri Sana sisi wachaga acha wivu
Aache wivu kabisa
Sisi wazur na akil tunazo mwanaume ukizubaa tunakuacha mbal sana
Acha dhambi uliumba wako mzuri acha kufuru