WACHAGA KWA PESA: BINTI WA KICHAGA ALIVYOAMUA KUISAKA PESA KWA WACHINA
Vložit
- čas přidán 26. 04. 2019
- Christina Mori ni binti wa Kitanzania ambae anasoma China ambapo akiwa huko ameiendeleza spirit ya ‘kichaga’ kwa kuwauzia Wachina idea ya kupika vyakula vya Kitanzania na sasa anaingiza pesa kwa kulipwa na Wachina.
Kama wewe ata china unapasikia gonga like apa😉😉😉
KAMA WEWE NI MCHAGA GONGA LIKE APO👆,KUMPA CONGRATS,
EUGEN FREDRICK wapeeeee she iz perfect
Hogera sana
wachagga like zenu hapa 2juane!!! heleri
Wachaga like zenu tafadhali........
Emmanuel Shayo nc
Ye mbe heleri
Aika mae
Wachaga oyeee by stiv saria
Hapo Mwika headmaster Mr Mlay....wengineo mwlm Makyao, Mlaki, Meena nk
kama unatukubali sisi wachagga like hapa
Ugumu wa maisha kipimo cha akili. Msemo mzuri
Life yyte ya nje ni magum xna.. tuna vumilia tu. Good idea and patients. God knows how. Congrats. Keep it up.🤗
Nilikuwa nimezoea kula pale Madina ila sasa ntakuwa nakuja kula kwako asee... Ungikorie kyumbo na machalari
Korekio na memba za mbala
😂😂😂😂
God bless you for your hard work
Your family should be proud of you
And Tanzania should be proud of you for your hard work and big example to everyone
Sorry to be so off topic but does someone know of a way to get back into an instagram account??
I stupidly forgot my login password. I appreciate any tips you can offer me.
Wachagga ni wayahudi wa Tz,.the more you hate them the more they explore
Belinda Giliard kweli kabisa
Mkinga ndio kiboko ya wachaga useme niwakimya ilawanajuwakukusanya Hao watu wanamake na kuna makabila hayo toeni like
Anaongea Kama Nai wa Moni! .. Kama unakubaliana na mm.. Gonga like
Wachaga hatujawahi kosea kwa utaftaji Wa pesa
hongera sana mimi pia ni mchaga lkni nilisoma kenya ...wapi wachaga mboo ntafoo
Umeonaee
Hadi huku Liberia na Ivory Coast nimekutana na hawa wachaga, wako kama wamasai karibu kila mahali wapo. Walioko huku Afrika ya magharibi tujuane
Hongera sana sstr tina wangu Ilove you 😘😘
Asante mama nakupenda mpampanaji wangu wadada mfano uo popote ni mahali pa kazi cha muhimu kutokiuka sheria za dini yako basi
Nimekuelew pamban,
Mungu awe nawe,
Cna ndoto za kufika chin ila. Ngoja nizianzishe sasa
Congrats ...class mate
good wakilisha mkoa pendwaa
Very intelligent girl.
🙊 21,000/= vya loko hivo.kweli unazimeki.ngoja nijeona dada yangu...
Good job mama chagga wapambanaji proud of our tribe
Hongera mama
Nitatafuta connection na wewe
Hongera Manka! Mungu akusimamie kielimu na kikazi!
Mankaaa, wachaga cc bana. Tunaisaka ilekhi bana.
Unaulizwa umezaliwa na kukulia wapi, unajibu ww ni mchaga😁😁😁😁😁😁😁😁😁 lkn hongera kwa kujiongeza
Hongera sana Tina
Hongera zako
Hapa mko ok... Ayo
Big up
hongera munama
Hongera dada.
Update za China tamu sanaa
Mtangazaji upo vizuri sana
Kwer Et
Nice
Muojiwa atoe sauti
Good
Hakuna Kitu Sema Mnapenda sifa Za Kiwehu, ila kuna Makabila Yanapiga Note Kimyakimya
Wapi ww wachaga wapo juu Sana tukubali tu
Umeona ee??
biggup blood
Madam tupe infor ya HoteIi lako tuta leta biashara....shukrani.
Kama umesikia mwika primary like
Me ndio nasikia kwake tuu itakuwa alivo maliza yeye na ikafa
Jaman kasoma radiology diploma au maana miaka mitatu
Niajiri basi wajinaaaa
jamani dada nimekupenda dada yangu aika mae
Mshikyi oko.ngyikeri njieny.ngechelya iho kopfo monowama.ngyiukyie iha mtonyi..
ARNOLD NMINJA hoyeeeeeeee
daah umepanusha akil yangu nilikua nimeshakata tamaa daah ninekupenda dada yangu
Msalimie jet lee
😂 😂
Huyu jamaa anamaswali huyoo
Ahsant
Nyuma ya camera Yuko nanini au ni boss
kal hila kaza sna
Big up sana ila tuliomba tupewe location ya hapo Xiobe ili tukija iwe wepesi kupajua
Wachaga apaaa jaman
Wachina Mimi siwaamini hawachelewi kuwaungia mboga na mafuta ya nyoka
Sauti hajakaa poa
TAMBAZA NIWAONE APA
Huyu binti nimesoma nae ifunda pgm
Hapo ndio china?
Penda sana kabila languuu
Duuuuuuh...still ni ishu...nilijua umeanza from scratch.