Sheikh Michael, huu mchanganyiko mzuri sana kwa inavyoonyesha, Mafuta ya Karafuu kujitia kwenye mnazi huko naona hatari sana kwa yanavyo wacha hata pale baada ya kuyachanganyisha na masini mengine.
Unajua maana ya kubadili maumbile wewee? Shekhe habadili maumbile Bali anatibu maradhi.. kwani hujawahi ona mtu amezaliwa miguu imepinda na anapatiwa tiba Hadi inanyooka Kama yako?
@@aminahassanali1190 Kuna ugonjwa wakuchanika midomo maaruf waitwa midomo wazi waufaham? Unajua Kama SIKU hizi wenye matatzo Yale hufanyiwa tiba Hadi mdomo unakuwa Kama wako??
Siku hizi mnaimiza watu wabadili maumbo aliyoumba mwenyezi Mungu (zama za mwisho) Shetani alimwambia mwenyezi Mungu... Watabadilisha ulivyoviumba. Nyie ni masheikh wapumbavu ambao hamfai kuitwa masheikh.
Kusoma haujasoma, hata kusikiliza unasikiliza mambo ya anasa tu za hawo masheikh wako wapumbavu. Basi nambie wewe muumini uliyetoka hija Jana, sura na aya ya ngapi kwenye Quran imesema kurefusha maumbile ya mwili.... Au ndo kumkosoa mwenyezi Mungu kuwa kakosea kuwaumba.....? Wewe na huyo sheikh wako hamna akili.
Mwenyezimungu akupe umri mrefu shekhe wetu othman
Sheikh Michael, huu mchanganyiko mzuri sana kwa inavyoonyesha, Mafuta ya Karafuu kujitia kwenye mnazi huko naona hatari sana kwa yanavyo wacha hata pale baada ya kuyachanganyisha na masini mengine.
Changamoto ya watanzania,ni ubishi japo jambo lenywe hatulijui,
Mungi akupe uwelewa zaid shekh
Shukran Shekhy,hapo nina swali kuna vitu vingine imezitaja hati juu hapa Kenya,wacha mita zinafika vizuri nikutumiye Insha Allah.
Shukran Ustadh kwa Elimu nzuri MASHAALLAH ALLAH Barik
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🙏🤲🙏🤲🙏
Shida hajibu
Allaah akubaarik Inshaallaah
Pelekeni maabara uchunguzi wa kisayansi ufanyike watu wengi wanataka mboro za pund acheni utapel na ujanja ujanja
Allah akubariki sheikh kwa elim unayoitoa kwa watu
Tapeli huyo abarikiwe wapi.
Sheikh napend unavyotow dawa na Tabassam mashallaah shukraan
Shekhe napenda unapotoa daawa unatabasamu Mungu akujaalie shekh
Assalam alaykum ustadh Othman uko na elimu nzuri lakini shida yako haujibu maswali yetu.
Mnatumia msikiti kufanya mambo ambayo hamna uhakika nayo Allah anawaona
Hii ni elimu kaka hujafosiwa
Sheikh umejaribu Hakuna matokeo?
Barakallahu sheikh wetu.
Mashallah Allah akuongezee wahai
Shukrani Allah akubariki akulinde
Assalam alaykum, ustadh Othman uko elimu nzuri lakini haujibu maswali yetu hadi Nimechoka na kukusikiliza maana unapuuza comment zetu
Ahsante umejibu uzuri sanaa
Sheikh unayumba sana mungu anakuona kwa kutokomeza uma
Kweli
Shukran kwajitihada zako.
Inapatikan kwashingap hii yamaumbile kuwa makubw
Shukran sana shekh wangu
Shukran sheikh kwa elimu nzuri Allah akujalie
unatoa hotuba au unafundisha dawa shekhe mbona maelezo mengi yasiyo na tija
Shukran shekh
Kweli kbx ustadh
Mafunzo mema Mungu akulinde na akupe umri mrefu lkn ningeomba ieleze kwa kizungu..
Mashekh acheni Haya mambo wachieni waganga nyinyi simameni kwenye dini kueliminisha watu kila mhubili ni mganga
Kama huelimiki Nayo wacha wengine waelimike,,
Enda ulale wewe
Asante shekhe
Sheikh Niko Uganda naweza nikasaidiwa jee?kulingana matibabu
Allah bless you
Sheik iyo dawa ya kurefusha umme mm nahitaji lakin niko tɑnga je naweza nikaipataje
Zanzibar yanapatikana wap
Mawasiliano Yako sheikh Yako wap
Assalaam alykum warahmatulullah wabarakatuh shekh.Hiyo dawa shekh imeitengeza tayari shekh?
Asante sheikh
Hi dua hukuitaja ya shekh
A Alaykum! Shkh hizi dawa zako zote Kenya Mombasa zapatikana wapi?
Ushalipata duka!
Dawa hii yapatikana wapi Mombasa kenya.
Huu mti nimeuona sehem migadini changamwe Mombasa
Assalaam aleykum sheikh vp tukiihitaji dawa ambayo umeshaitengeeza tunaipataje kwa tulio mikoani?
Sheh unapataje hyo dawa ikiwa ishaachangangwa na kwajina gani
Bomuu Bomuuu weeeeeee2😂🤔💯🙌📌
Kaka
Sheikh assalam aleikum vipi naipata hii dawa niko Ukunda karibu na Mombasa Kenya
Asalam alaikum jaman naomben namba
Apo sawa
Shk hio aya
وقد خلقكم اطوال
Sijawahi iona
Doctor
Kazi ipo kwa kinamama
COMO FUNCIONA ESTE TRATAMENTO,SOU DO BRASIL E HÁ MUITOS HOMENS QUE PROCURAM POR ESTE TRATAMENTO DE AUMENTO DO MEMBRO GENITAL ,AQUI NO BRASIL ?
Inauza shgp sheikh
Hili sheikh jinga sana kama ilivyo kwa misheikh mingine. Ukilisikia kama sheikh lakini kiundani ni najisi tupu
Allah akusamehe
Nataka piya
Nice 🤲🤲🤲🤲🇰🇪🇸🇦🔥🔥🔥❤❤
Shekhe iyo dawa naipataje Mimi nipo nachingwea mkoa wa lindi na bei gani
Naomba unisaidie hiyo dawa tafadhali
Shuqran ustazi kwa dawa yako
Jamani ivi kumbe kweli kweli kunayo haya tena ya kumulaani muamad tena kivipi na inawesekana aje tena
hujaeleweka
Na sisi tulioko mbali na Tanzania twapata vp iyo dawa?
Sheikh hakuna kosa kwa Allah juu ya kubadili kile Allah alichotupatia?
Hat mm natk kuuliza hilo swali
Wale wanaobadili figo je??
Unajua maana ya kubadili maumbile wewee? Shekhe habadili maumbile Bali anatibu maradhi.. kwani hujawahi ona mtu amezaliwa miguu imepinda na anapatiwa tiba Hadi inanyooka Kama yako?
@@aminahassanali1190
Kuna ugonjwa wakuchanika midomo maaruf waitwa midomo wazi waufaham? Unajua Kama SIKU hizi wenye matatzo Yale hufanyiwa tiba Hadi mdomo unakuwa Kama wako??
@@shakourdutilo3813 shukrn nikutak kujua zaid na si vinginevyo
Assalam aleykum ya shekh ukiihitaj tunaipataje hiodawa
Anapitikana Buguruni rozana ndipo penye ofisi zake
Mm niko south africa na hitaji hizo dawa zote ntazipataje na bei gani zote
Muhim san
Number zako Sheikh twakuomba tafadhali 🙏🏾
Siku hizi mnaimiza watu wabadili maumbo aliyoumba mwenyezi Mungu (zama za mwisho)
Shetani alimwambia mwenyezi Mungu...
Watabadilisha ulivyoviumba.
Nyie ni masheikh wapumbavu ambao hamfai kuitwa masheikh.
Sasa wewe kafiri mambo ya masheikh yanakuhusu nini !?
Siundelee na ushetani wako , sie tuache na masheikh wetu
Kusoma haujasoma, hata kusikiliza unasikiliza mambo ya anasa tu za hawo masheikh wako wapumbavu.
Basi nambie wewe muumini uliyetoka hija Jana, sura na aya ya ngapi kwenye Quran imesema kurefusha maumbile ya mwili....
Au ndo kumkosoa mwenyezi Mungu kuwa kakosea kuwaumba.....?
Wewe na huyo sheikh wako hamna akili.
Muacheni atukane tatizo elimu bado haja ifahamu na ataki kuifahamu
@@burbiddy316 Kweli ndugu wengine yuaingilia yasiyowahusu,,kuropoka ropoka inabidi kuwa nao makini.
Mashallah
Shekh nikitaka kuagiza nakupataje
Unapatikana wp?
Asalam aleykm shekh asali lazim iwe ya nyiki wa dogo tu
A, alykum
Wizi mtupu
Sheke muongope Allah
Acha shobo wewe
Ni tapeli.
Sheikh mimi ngependa kujuwa kama hizi dawa kenya zinapatikana wapi ngependa kununua pia.
Niko Kenya naweza pataje dawa hizo, na kwa bei ipi?
namba yako na izo dawa tunapataje
mimi nilifanya kwa kutumika mafuta miaka hishilini
Ulifany kwa miaka ishilin nin master bration au
Kazi iendelee
Umriumeendakaka hivinikiutumia nitapatarungukweli
Kenya tutazipata wapi shehe
Ila mimi najiuliza mbona sheikh michael hajibu maswali kwa wenye kuuliza?
Cheikh nipo drc congo nawezakupa matibabuya iyi dawa je?
Shekhe hizi dawa hapa dar zinapatikana wapi ?
Nini maana ya muegea?huu ni mmea upi kwa kingereza?
KISHERIA AU KICHAWI MAALIM
Maana hio sio sayansi, huo ni uchawi
Hiyo ukitumia uume unakuwa mkubwa lakini legelege hausugui uke vizuri
Ili uwe na uume wa wastani unaofanya kazi vizuri nitumie nini
Jaman kibiliti upele ndo nn??
She,Mimi nahitaji hiyo dawa yakukuza maumbile naniko mkoan naipataje
shekhie dawa nta ipata aje nip namba zako
Naipataje hiyo dawa sheik
Asalamu alaykm shekhe nambazako vp sass ?
Sheikh izo dawa naziitaji nitazipataje
daqainaitwaje shee ikishachanganywa
Mbona sielewi
Bei za dawa kila moja ni shilingi ngapi? Na mtu akiwa mikoani kama Kilimanjaro Moshi tunaipataje mna mawakala ? Na ni sehemu gani?
Hiyo dawa iinazwa Bei gsni? Kwa hicho kichupa cha zakari na mtu anapataje akiwa mkoani asante
1700sh
Weak namba tuwapigie jamani
Asalam aleikum tafadhali sauti iko chini
NCMz 6.rwpCbmz64
ZN
Hiyo dawa inauzwa shilingi ngapi?
assalam aleykum
Al akhiii naweza viip kupata hiyo dawa please
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh, tutaweza tukapata whatsapp number?
1700sh chupa Mombasa
Maneno mengi kuliko maelezo watu watashindwa kukalili khaaaa nenda kwenye maelezoooo
Hiyo dawa inapatikana mikoani kweli? Mwz una ofisi Yu tunaomba majibu tafadhali
Mbona Sisi hukukongo hatupate mafuta
Asalamu alykum mbona nilitafutaga nambayako nilipo ipata niliku andikiya ila hukunijibu sijuwi mnasaidiya vip
Jifunze kuandika kwanza ndipo uwaandikie meseji
..... Nina Imani watakujibu
Shehe naomba namba yako
Tutaipataje