Tunakupenda shekhe Othman maalimu kwa ajili ya Allah 🤲! Mungu tujalie kheri wanawake wote duniani tuwe na moyo kama wa Bi khadija mke wa Kipenzi chetu Mohammad S. W. S
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh. SHEIKH Othman Maalim hongera sana ALLAH akulipe hapa duniani na kesho akhera. Kwani unatupa mawaidha mazuri yenye kujenga Iman ALHAMDULILLAH
Kweli sheikh Allah atusamehe Ila n'a wanaume wa izi Siku awafati mwenendo wa mtume na kama bi Khadija akumuuzi mtume.Mtume alikuwa na sifa nzuri saaaanaaaa siyo Awa wanaume wa izi zama wametuaciya majukumu yawo yote kama nitakuwa nimesema vibaya naomba samahani.
Maashallah Sheikh ujumbe mzuri,kwa hakika kulikuwa na Muhammad akapatikana Khadija katika zama zetu hizi hawapatikani wenye sifa za muhammadi ndiyo maana hawapatikani akina Khadija.Baada ya kujua hili ni wajibu wa kila muislam kujitathmini kama mume je una sifa za Muhammad na kama mwanamke je una sifa za Khadija.
Shekh othman maalim wengine hufanya Ivo moja wapo ya deko kwa mume wake anaetamani aambewe pole mke wangu Ila wanaume wengine kauzu ukisema mwanamke nimechoka huwaambia umechoka umefanya kazi gani wanaume wajirekebishe wanawake ni watu wa kudeka na kuliwazwa
Kama mtu wetu angekuwepo hai... Sheikh Othman maalim angekuwa miongon mwa swahaba bora saana.... Allah akuhifadhi sheikh wngu nae kupinda kuzidi maelezo.... Hekima kubwaaa jameni...
MashaAllah shukran kwa ujumbe wako mzuri na na vip kuhusu wanaume maan na wao wanapenda kukutumia hilo neno la talaka waandalie na wao wajue si kwetu tu
Asante Maalim sheikh organic kwa mawaidha yako Mimi ni kutoka Kenya turkana mwenyezi mungu akupe umri afya subra ili sisi tunufaike kwa mawaidha yako pia tutafanya mpango uje kwetu hapa lodwar.nikija Zanzibar inshallah nitakutafuta.
Allah akujalie umri mref uendeleee kutukumbusha tuliyosahau na tusiyoyajua na mwenyezimung atujalie kuwa wake bora kwa waume zetu dunia na akherah insha Allah
Jazakha llahah kheira shekh wallah nimejisikia vizuri Sana na mafundisho yako nimeyaelewa mungu anifanyie wepesi niyaepuke yote mabaya yasiyotupendeza wanawake Kwa waume zetu
Asalaam Alaykum sheikh Othman. Ki ukweli umegusa panapo itesa jamii yetu tunayo ishi nayo duniani kwa sasa. Kwani siku hizi ni kama bahati mbaya vile. Kumpata mke mwema. Sasa ni ajabu kubwa sana sana sana kuwa na mke ambaye ni mwema na mwenye nizamu ya hali ya juu. But Allah atupe wake wema sisi na vizazi vyetu. Amin amin aamin
Mashallah mawaidha yametugusa wengi... tunaomba shekh utuandalie na mawaidha yanayohusu wanaume wanaosumbulia hata ukinywa maji ...wanaolaumu kwa kila kitu...wanaodharau wake zao na kuthamini marafiki au wanawake baki...
Shukran sheikh tunaskur Sana kwa kutuonesha nyia iliosahihi lkn bi khadija alikuwa Sana na pia Mtume alikuwa mbora zaid mbele ya mkewe ndio maana palikuwa hapana makero lkn kwa ss wanaume ndo wanaanza hyo makero
Kero Tumeumbiwa wote ...Mwanaume Ni Mwanaume Tu na Huwa tu wadhaifu Sana Mbele ya Mwanamke .... #Hakuna Mwanaume Mjeuri Mbele Ya Mwanamke Mwenye Busara
Masha Allah , darsa zuri sana Allah akulipe kheri sheikh wetu. Lkn sheikh wanaume wengine mtihani unaweza kufanya yote hayo Lkn mwanaume akakuona ww km kigaragosi tu yy ndio anajivisha vizuri akakuacha upo hovyo hovyo
Namuomba Mola Allah ampe Sheikh Othman afya kamili pamoja na ikhlaas, taqwa na mwisho mema. Allah amhifadhi yeye na watoto wake. Allah abariki elimu yake.
Tatzo langu Moja shekhe mm n Islamic lakn nimepata mwanaume wa tofauti na dini yangu na ana Kila sifa ya kua mume Bora manshaallah lakn nafanyaje awe muislam
Shekhe wetu Allah akulipe kheri amin yarabil alamin 🤲🤲lakini hayo yote unayo yaongea wanaume wengine ndio wanazo wao maana tunachoka tunastahamil sana na ukiwaona huwafikiri
Subhanallah😓 yaa Rab tujaalie tuwe miongoni mwa w/ke wema. Lakin na w/me wenye tabia izo wapo Allah atuhifadh nao (wanasumbulia, wanakulinganisha na wengine nk
Asalaam aleikum kaka Alhamdulillah Allah Kareem wallaih nko n matatizo ambayo yanaitaji subra ya Allah kuyashinda kwa kweli mm naitwa Hemedy ntokee n mkaazi wa kenya lkini tatizo langu nko n mke ambae najaribu sana kumuelekeza kwa misingi ya dini lkini tabia zinaghalifisha sana ila n subra ..Ambiliki jeuri heshima matusi na n mke mkuu najiribu kumueleza lakini mara una kuwa mzuri mara anarudi vile vile NTAFANYAJE
Uislam ni dini iliyo elezea kila kitu duniani na akhera shekhe othman Allah akuweke Mahala pema duniani na akhera nakupenda sana kwa masomo yako ahsante kwa kutugawaia elimu ulio nayo 🙏
Kuna siku nilimuuliza kijana mmoja mm....kwann hamuwezi kutreat kama munavyowatreat MMA zenu au kuonesha heshima kama mama zenu...maana sisi sisi ndio tutakuja kuwa mama na ndio same ni wanawake tu kama wazazi wenu. Basi nilijibiwa mama na mke tofauti... Najua Mimi kuwa ni tofauti na sikutaka jambo jengine zaidi ya heshima na upendo kama unaoneshwa kwa mzazi wao wa kike.... But majibu niliopewa ndio hayo hehhehe Niliubana kimnyaa maana kuna wanaume hawasikiii ata uwaambie nini wao ndio wako right in everything. Mtihani kusema kwa kweli...kuna watu Wana dini na wako vizur maashallah...lakn hawawezi ata siku moja kujishusha chini kwa mwanammke au kukubali kama mke anatry kumuambia kitu au kumfhaamisha kitu not in a bad way....
Salaaam! Na ukristo wangu NIMEKUPENDA MAHUBIRI YAKO MAZURI SANA. Mungu Akubariki🙏
Karibu tena sikunyengine kwani yapo mengi yakufaidika nayo
karibu katika uislam
Karibu katika uislam kipenzi
Mashaallah
Karibu kpnz ktk dini ya hakki
DAAAH eeh mung tujaalie waume wema na wenye HOFU ya mung sote tusioolewa, inshallah ameeen, na tukawe wake wema kwa waume zotee
Ameen
Aameen
Ameen Ameen yaallah
Aamiina insha allah
Tunakupenda shekhe Othman maalimu kwa ajili ya Allah 🤲! Mungu tujalie kheri wanawake wote duniani tuwe na moyo kama wa Bi khadija mke wa Kipenzi chetu Mohammad S. W. S
Ameen yaa Rabb
@@sakinat2527 🤲
Aamin InshaaAllah yaarab
Allahumma amiin
Ameen....
Ya Allah subhana wa taala nijalie Mie na wanawake wote wakiislam tuwe Katika wake wema na Mwanamke wa peponi
Allah atujaliye tuwe wanawake bora kwenye famillia yetu namuke bora kwamume wangu ❤💓
Masha Allah nimejifunza mengi Allah atujaalie waume bora wenye mfano wa mtume Mohammad S.A.W
Natokea mombasa kenya,kama hujaolewa namba zangu izo 0741959849
Amiiin yarabi
amiin
Shukran Shekhe Athman ALLAH akuhifadhi n Elimu yako n akupe Kher y Dunia n Akhera asante sana kw Elimu nzr tunafaidika n kuelimika ALLHMDULLILLAH
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh. SHEIKH Othman Maalim hongera sana ALLAH akulipe hapa duniani na kesho akhera. Kwani unatupa mawaidha mazuri yenye kujenga Iman ALHAMDULILLAH
Nilianza kumsikiliza sheikh othman maalim from 2005/2006
15yrs+i get to see him from my tablets those days i used radio
Sauda Omar@ Even me, nilianza kumsikiliza since 2007
@@zenaal-baalawy3262 walahi sheikh mawaidha yake inapendeza
@@saudaomar7105 Ni kweli
inshallah Mungu atatuepusha na maaswi haya tuliyo nayo wanawake sheikh othman maalim Mungu akupe kheri uzidi kuishi maisha marefu inshallah
Ameen Ameen yaallah
Unaongea kwa Umakini na unaeleweka mashallah. Allah akupe umri.
Shekh Allah akulipe
Mashaallah uo wote ni uzuri wa dini ya kiislamu dini ya haki ladhaa isiyoisha kwa tunaoipenda alhamdulillah
Mashaallah
Allah atuwekee Masheikh wetu, tuendelee kuchota ilmu kwao... Amin yaa rabb Alamiin....
Wallahi huwa napenda mawaidha yako shekh kwani yanaeleweka sana na unaongeaga kwa msisitizo mungu akupe mwisho mwema
Sheikh Allah akupe Afya njema na akupe mwisho mwema nakupenda kwa ajili ya ALLAH
Subhanallah Mungu atuongoze katika ndoa zetu yarabbi
Golden speech
Shukran sana Shheikh wetu
Mashaallah allah akupe umri wa kheri akuripe pepo ya juu firdausi NIMEUPENDA MUQADDIMA WAKO WAKIBABE jazaakallahu kheri
Kweli sheikh othman Allah atusameheee wengi tabia ni izo izo... Tuwe niwenyekubadilika wapenzi wanawake
Maashaallah
@@lailakibalu592 no
Kweli sheikh Allah atusamehe Ila n'a wanaume wa izi Siku awafati mwenendo wa mtume na kama bi Khadija akumuuzi mtume.Mtume alikuwa na sifa nzuri saaaanaaaa siyo Awa wanaume wa izi zama wametuaciya majukumu yawo yote kama nitakuwa nimesema vibaya naomba samahani.
Sz@@kipwezamudy8099 sd
WALLAHI USTHATHI ALLAH AKUZIDISHIE INSHALLAH
Allah atuongoze sisi wanawake ktk tabia njema inshalah Amiin 🤲
Mashallah, jazaakallahu khaira fil dunia wal akhera in shaa Allah
MaashaAllh
Mungu akuzidishie jaman
Jazzakallah shekh Othman maalim umma wa Allah wakuelewe hapa duniani na kesho aakhera akulinde na kila shari
Amin ya rabby
Amiin yarabi
Allah atujaalie tuwe wake wema inshaallah tupate jannat firdaus kwa kuwatii waume zetu
Aaamin ya Rabby
Aamin yaraby
Ameen
Amina yarab alamin
امين يارب العالمين
شكرا ما شاء الله تبارك الله جزاك الله خيرا يا شيخ صدقت❤❤
Duuh!!mcba mkubwa Allah atubadilishe wanawake 😭😭😭
Amin
Inshallaah 🤲🤲
M.Mungu atujaalie tubadilike tufate nyayo za mama yetu bibi Khadija ili mwisho wa maisha yetu tuingie peponi inshaallah
Shukran shehe kwa mawaidha mwenyenzi mungu aku jalie kilalaheri nasisi wanawake. Wakislamu atujalie tu we kama bi Khadija
tunajifunza mengi kwa kweli allah akupe umri mrefu wenye manufaa na kheri nyingi inshaallah
Maashallah Sheikh ujumbe mzuri,kwa hakika kulikuwa na Muhammad akapatikana Khadija katika zama zetu hizi hawapatikani wenye sifa za muhammadi ndiyo maana hawapatikani akina Khadija.Baada ya kujua hili ni wajibu wa kila muislam kujitathmini kama mume je una sifa za Muhammad na kama mwanamke je una sifa za Khadija.
Naam
Masha Allah tabaraka llah.. Allah azidi kukuongoza.. Nmeambiwa n mchumba wangu nisikize hii ili nijiandae kwake shkrn ya shekh jazakallahu kheir
mashallah sheikh OTHMAN you never let me down mashallah 👍👍
Masha allah mawaidha mazur ya ya kuelimisha na kujirekebisha allah akulipe insha allah
Shekh othman maalim wengine hufanya Ivo moja wapo ya deko kwa mume wake anaetamani aambewe pole mke wangu Ila wanaume wengine kauzu ukisema mwanamke nimechoka huwaambia umechoka umefanya kazi gani wanaume wajirekebishe wanawake ni watu wa kudeka na kuliwazwa
Sio Kila Mwanamke Wa Kubembelezwa ....Kuna Wanawake Wana kiburi Sana Hata Nguvu Ya Kumbembeleza Huwa Tunakosa
MashaaAllah, Jazakumullah kheir May Allah grant you jannatul Firdousy and guide you through all ur life 🙏
أمين يا رب العالمين 🤲🤲
Kwasababu hanisaidii chochote
Mashallah shekh Othuman mwenyezi mungu kakupa Elim na azidikukupa zaidi elim
Shekhe othumani maalimu Allah atukutanishe sote fridauthi inshaa Allah na Allah atuongoze ktk njia ya almustakim Allah akuzidishiye shekhe
MashaaAllah jazzakallahu kher sheikh othman yaa Rabbih akulipe kheri fill dunia wal akhera Amiin
Kama mtu wetu angekuwepo hai... Sheikh Othman maalim angekuwa miongon mwa swahaba bora saana.... Allah akuhifadhi sheikh wngu nae kupinda kuzidi maelezo.... Hekima kubwaaa jameni...
Masha Allah a nice darsa may Allah bless you abundantly
MashaAllah shukran kwa ujumbe wako mzuri na na vip kuhusu wanaume maan na wao wanapenda kukutumia hilo neno la talaka waandalie na wao wajue si kwetu tu
MaashaAllah sheikh Othman nmejifunza mengi kupitia hii mawaidha acha nijitahidi nisiwe mwanamke mchafuvkwa mme wangu lnshaAllah
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh shukuran sn sheikh.wetu Allah akujalie umri mrefu wenye neema 😍😍😍😍😍
Qq
P
Pp
Asante Maalim sheikh organic kwa mawaidha yako Mimi ni kutoka Kenya turkana mwenyezi mungu akupe umri afya subra ili sisi tunufaike kwa mawaidha yako pia tutafanya mpango uje kwetu hapa lodwar.nikija Zanzibar inshallah nitakutafuta.
Allah akujalie umri mref uendeleee kutukumbusha tuliyosahau na tusiyoyajua na mwenyezimung atujalie kuwa wake bora kwa waume zetu dunia na akherah insha Allah
Jti
Sheikh maalim napenda mawaidha yako yana mafundisho na allah akuhifadhi na akulipe fridaus inshallah
Jazakha llahah kheira shekh wallah nimejisikia vizuri Sana na mafundisho yako nimeyaelewa mungu anifanyie wepesi niyaepuke yote mabaya yasiyotupendeza wanawake Kwa waume zetu
Asalaam Alaykum sheikh Othman. Ki ukweli umegusa panapo itesa jamii yetu tunayo ishi nayo duniani kwa sasa. Kwani siku hizi ni kama bahati mbaya vile. Kumpata mke mwema. Sasa ni ajabu kubwa sana sana sana kuwa na mke ambaye ni mwema na mwenye nizamu ya hali ya juu. But Allah atupe wake wema sisi na vizazi vyetu. Amin amin aamin
Shekhe uthman nakubali nasaa zako za ndowa twaumia vijana majunba yetu ni kama magereza ila twaomba mungu atupatie subra amiin
Mashallah mawaidha yametugusa wengi... tunaomba shekh utuandalie na mawaidha yanayohusu wanaume wanaosumbulia hata ukinywa maji ...wanaolaumu kwa kila kitu...wanaodharau wake zao na kuthamini marafiki au wanawake baki...
Masha Allah allah akupe afya njema, umrii mrefuu kutupa elimu kubwa ya dini yetu ya uislamu insha Allah
Shukran sheikh tunaskur Sana kwa kutuonesha nyia iliosahihi lkn bi khadija alikuwa Sana na pia Mtume alikuwa mbora zaid mbele ya mkewe ndio maana palikuwa hapana makero lkn kwa ss wanaume ndo wanaanza hyo makero
Allah atujalie turithi tabia za bbi khadija.
@@asiyamakame9462 Allahuma amiin ya rabbi
@@asiyamakame9462 Allahuma amiin ya rabbi
Kero Tumeumbiwa wote ...Mwanaume Ni Mwanaume Tu na Huwa tu wadhaifu Sana Mbele ya Mwanamke .... #Hakuna Mwanaume Mjeuri Mbele Ya Mwanamke Mwenye Busara
Shukraan Sana sheikh wetu kwa ujumbe mzur Allah akubariki jazaka Allahu khaira
Maashaallah shekh Othman Maalim,Allah akutulize zaidi nazaidi kama mbingu angani na akuepushe nahusdaa zawafitini,Aamin.
Amin
Maa sha Allah darsa zuri Allah atujaalie tuwe wake wema na waume wawe waume wema .... Mola akujaalie pepo ya hali ya juu Shekh Othman Maalim
Ma Sha Allah ya Sheik Othman Malim kwa mawaidha nzuri
Masha Allah , darsa zuri sana Allah akulipe kheri sheikh wetu. Lkn sheikh wanaume wengine mtihani unaweza kufanya yote hayo Lkn mwanaume akakuona ww km kigaragosi tu yy ndio anajivisha vizuri akakuacha upo hovyo hovyo
Allah atuongolee waume zetuu nasisi wanawake tujitahidini
Mashallah,, mwenyeezi mungu akuzdishie shekhe wangu
Shukran shekhe wetu Allah akupe umri uzidi kutuelimisha Insha Allah
Ameen
Shukran sana sheikh kwa mawaidha mazuri yenye kutufuza sisi wanawake.
Mashallaah nimeelimika vyema shekhe wangu,shukran mnoo 🙏
Namuomba Mola Allah ampe Sheikh Othman afya kamili pamoja na ikhlaas, taqwa na mwisho mema.
Allah amhifadhi yeye na watoto wake.
Allah abariki elimu yake.
Mashaallah sheikh Osman Maalim. Allah Akulipe na Atupe mwisho mwema.
Hakika anatoa mufundisho boa zaid
Wa alleykum salaam warahmatulah wabaraqatuu sheikh Othman shukraan jazzakah Allahu kheir
Shekhe mawaizaa yako nimeyapenda na nimejifunza Sana ............ Ahsante Sana shekhe
Allah atujaalie tuwe miongoni mwa wake wema ishallah
Inshaallah amin
Thumma amiin
Amiin
Tatzo langu Moja shekhe mm n Islamic lakn nimepata mwanaume wa tofauti na dini yangu na ana Kila sifa ya kua mume Bora manshaallah lakn nafanyaje awe muislam
Kama hatosliimu hufai kuolewa nae
ALLAH akujalie umri shekh wetu maana napenda sana mawaidha yako
mwenye mwenyezi mungu akupe maisha malefu uzidi kutuelimisha inshallah
Allah akbari..mungu atuzidishia tupate wke mwema..🤲
Shekhe wetu Allah akulipe kheri amin yarabil alamin 🤲🤲lakini hayo yote unayo yaongea wanaume wengine ndio wanazo wao maana tunachoka tunastahamil sana na ukiwaona huwafikiri
wallah sheikh othman nakupenda wewe kwjl ta ALLAH!mawaidha yako hunitoa machoz sn😥,Allahu main as aluka husnul khatima
aamiin
Amiin
Sheikh othmani Allah akupe kheer dunian na ahera
Ameen yarab
Amiin 🤲🏾
AMIIN
Amiin yarabal alamin insha allah
Allahumma ameen
Shukran shekh
Allah akupe umri mrefu wenye kheri utufunze sisi navizazi vyetu amin amin
Anllah akupe umli mlefu kipenzi changu nakupenda sana Athumani Maalim jaazakhanllah kheli shukurani shekhe 🙏🏼
Yaa Allah, tujaalie tuwe katika waja wema wanaofuata maarisho yako na Mafundisho ya Mtume (s.a.w)
Ma Shaa Allah. Hakika sheikh Othman mtu akukusikiliza anabadilika kuendea njia ya sawa. Allah akupe umri mrefu utuongoze wengi.
ALLAH atuongoze yarab atusamehe tulipo kosea
Ameen
Shukran wajazaka llahu heri inshallah
Mungu akutunze shehe mie nmekuupata na Kuna tabia naziacha kuanzia leo
Nimekupata Uzur Maalim...Allah azidi kukupa maisha marefu ili uendelee kutupa elimu zaidi.
Mashallahu asante shehe kwa mawaidha mazuri kabisa nimefurahi mno nakufuatilia shekhe vipindi vyako na mungu atujaalie tuwe miongoni mwa.wale wanawake wema inshaal
شكرا ماشاءالله تبارك الله جزاك الله خيرا يا شيخ صدقت
Assalam alykum
52710094
Mashallah 🙏🙏 darsa zurii saana Allah akulipe kheriii pia atujalie na sisi tuweiongon mwa wake wema kwa waume wetu Inshallah 🙏🙏
Mashallah shukrain allah atujaliye tuwe tumfuwate nyonyo za bi khadija kwa uwezo wako allahuma ameen
Subhanallah😓 yaa Rab tujaalie tuwe miongoni mwa w/ke wema. Lakin na w/me wenye tabia izo wapo Allah atuhifadh nao (wanasumbulia, wanakulinganisha na wengine nk
Ameen ya Rabb🙏
😂😂😂 Mimi Nataka Kwenda Nyumban MashaAllah Allah Akuzidishie Kila La Heri
Shukraan jazillah sheikh wetu Allah akujaze majazo memah❤kwa jili ya Allah
Good preacher, May God Bless you, Talk all men and women, your teaching is Godly and especially to men who leave their wife's without caring.
Allah atujalie tuwe wake wema Allahuma Amiin
Mashallah mashallah Allah atutilie wepes tuwe wake wemaaa
Mashaallah
Nafaidika sana na mawaidha yako sheikh othman.
Allah azidi kukupa umri mrefu, uzidi kutuelimisha.
masha allah mungu akupeleke janatul firdows amiiiin allahuma amiiin ya rahman
Mashallah allah atujalie tuwe wanawake wa peponi
Upo vzr shekh wang Allah akuongoze akupe daraja LA juu
Asalaam aleikum kaka Alhamdulillah Allah Kareem wallaih nko n matatizo ambayo yanaitaji subra ya Allah kuyashinda kwa kweli mm naitwa Hemedy ntokee n mkaazi wa kenya lkini tatizo langu nko n mke ambae najaribu sana kumuelekeza kwa misingi ya dini lkini tabia zinaghalifisha sana ila n subra ..Ambiliki jeuri heshima matusi na n mke mkuu najiribu kumueleza lakini mara una kuwa mzuri mara anarudi vile vile NTAFANYAJE
Waleykumsalam warammatullah wabarakatu Allah atujalie wanawake tuweniwenye kubadili tabia zetu.Amiin
Shukrani shekhe kwa kutuelimisha mungu akujaalie inshaal
Mola amhifadhi Sheikh Othman pamoja na family na watoto wake na waislamu wote
Uislam ni dini iliyo elezea kila kitu duniani na akhera shekhe othman Allah akuweke Mahala pema duniani na akhera nakupenda sana kwa masomo yako ahsante kwa kutugawaia elimu ulio nayo 🙏
Amiin ishaallah
Kweri
Subhana Allah Shegh Maalim Kwa Visa Hivyo Ndipo Sheitwan AmaFanya Kazi Yake Yarab Tunusuru Na atusamehe
Wahidi na wanaume kama hawa ili wajuwi thaman ya wanawake ni mama zao sio vinyago vyao. Amiin
Kuna siku nilimuuliza kijana mmoja mm....kwann hamuwezi kutreat kama munavyowatreat MMA zenu au kuonesha heshima kama mama zenu...maana sisi sisi ndio tutakuja kuwa mama na ndio same ni wanawake tu kama wazazi wenu. Basi nilijibiwa mama na mke tofauti...
Najua Mimi kuwa ni tofauti na sikutaka jambo jengine zaidi ya heshima na upendo kama unaoneshwa kwa mzazi wao wa kike.... But majibu niliopewa ndio hayo hehhehe
Niliubana kimnyaa maana kuna wanaume hawasikiii ata uwaambie nini wao ndio wako right in everything.
Mtihani kusema kwa kweli...kuna watu Wana dini na wako vizur maashallah...lakn hawawezi ata siku moja kujishusha chini kwa mwanammke au kukubali kama mke anatry kumuambia kitu au kumfhaamisha kitu not in a bad way....
Allah akujalie umri wenye afya njema sheikh popote ulipo
Amiin
@@aishaaisha1495 Allahumma amin
Ameen
@@sakinat2527 Allahumma amin
Mawaidha masuri inshallah na mwenye ezimungu akujaze hikima
Asante kwa ukumbusho fadhakir fainadhikra tan'fau limuuminina mungu akupe umri mrefu inshaallah ili uzidi kutukumbusha tuliyoyasahau